MITIMINGI # 135 UNAPOTAFUTA MUME WA KUOLEWA NAYE VIGEZO VIKUBWA NI KUANGALIA MUME ALIYE SAHIHI
Vigezo visivyo sahihi vitakupeleka kwenye ndoa za majuto. Ndoa nyingi sana za leo hazina furaha kwa sababu vijana wa kike na kiume waliangalia vigezo visivyo sahihi.
MCHUNGAJI NA MWALIMU MITIMINGI p. 0713 18 39 39
Пікірлер: 69
Ubarikiwa sana kwa mafundisho Mwalm Peter Mitimingi
ubarikiwe San mtumishi hakika unaelimisha san
Amen mtumishi ubarikiwe sana, I don't care about life God knows
Mwalimu ubarikiwe sana🙏🏾
Nimeipenda sana hii clip. Leo akija akakuta hvyo hageuki nyuma n safar
Asante mwalimu peter,Mungu akubariki sana kwa mafundisho mazur
@jumamsakuz7734
4 жыл бұрын
Lilian Leonard m
Thanks a man of Jesus
Nimebarkiwa sana na mafundisho yako mtumishi Mungu akuongezee kipawa zaid na zaid
@horizondpqchanjohatutaki5402
3 жыл бұрын
Kweli
I love ur preaching
@mitimingionlinetv9896
5 жыл бұрын
Amen. Blessed Deborah. Where are you from?
Ameeeen ubarikiwe saana Mtumishi
@mitimingionlinetv9896
6 жыл бұрын
Amina
somo zuri kwa vijana una2bariki Mungu akuinue zaidi
Kiukweli mchungaji upo vizuri Sana Ila naomba na mm kupata elimu hiyo.
Ya pastor hayo ujayo sema ni ukweli kuna wanaume hawataki kutafuta kazi lkn wanatafuta wanake wa pesa . you are write pastor waambie ukweli
@eliammari1685
5 жыл бұрын
Mercyline Abuko
Amen! Ubarikiwe Sana kwa mafundisho mazuri
Barikiwa sana Daddy
Thank you for the message.You are so blessed!
Aisee Barikiwa SANA Mchungaji Mitiming
@mafobesking926
5 жыл бұрын
Eliphase Ibrahim asate sana mitimingi
This made me laugh but it's very true. A man with a vision will go far in life as long as there is consistency plus Jesus being the centre. Kuliko Yule mweyenye kila kitu but is visionary blind
Hahaha 😂😂😂 mwanamke anae kupenda angalia Mali Bali mtu jinsi alivo
Asanta mwalimu kwa darasa lako
Amen amen babaangu, mungu akutunze
mze nmejifunza mengi sana . penda sana mafundisho yko
Nabarikiwa saana Mch. Kwa mafundisho haya
@shomariabrahman2876
2 жыл бұрын
H788
Ubarikiwe sana Mtumishi
@mitimingionlinetv9896
6 жыл бұрын
Amen mpendwa
Jamaa yupo vizur kwa mafundisho
@beatriceomino7321
6 жыл бұрын
kabisa
@rashidomar9217
5 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho yako
@rashidomar9217
5 жыл бұрын
Zainab
be blessed teacher
Swali lang kwak kwa Mwalimu,umeolewa lakn ujatolewa Mali ,Mme mwenyewe kila mapunguf yang anasema kwa ndg zake mpak kwa wazaz wak,pia tunamiaka20 tunaish bila ndoa na hata kwetu ajaenda kujulikan,je ni fanye nn
ubarikiwe sana baba
Amina, barikiwa mtumishi wa Bwana.
@gracejoseph7886
6 жыл бұрын
Grace
Good sana haya mahubiriiiii
Thanks alot 🌹 WCC from 🇰🇪
Barikiwa kwa elimu nzuri
@mitimingionlinetv9896
6 жыл бұрын
Amina Hatim, Barikiwa sana sana
mitingi mungu akubaliki
@mitimingionlinetv9896
6 жыл бұрын
Amina
yaan nimependa kweli hii
Perfect Mtumishi
@horizondpqchanjohatutaki5402
3 жыл бұрын
Vip
Following....
Mungu akupe maisha malefu
@mitimingionlinetv9896
6 жыл бұрын
Amen
@andromedagabriel8079
6 жыл бұрын
Mungu akuzishiee, najifunza mengi saanaa
Wambie waache kupenda buree mtumishi wafanye kazi
@rechomponera428
5 жыл бұрын
Tum Mash kwa kweli dah umegusa pale pale
wanaume was namna hio hawaitwi wanaume in viumbe wenye jinsia ya kiume
Amen
Iyo kweli
asante baba ubarikiwe mno
😃😃😃😃
Amen ❤🙏
ubarikie Sana mtumisi wa mungu
@chrispinhaonga2370
6 жыл бұрын
Hakika mafundisho mazr
@annanzokayape4938
6 жыл бұрын
kiukweli yamenigusa maneno hayo
@mauasijaona9659
6 жыл бұрын
mungu akubariki mtumishi
@dorothymichael4837
6 жыл бұрын
AMINA kubwa
Amen
@marybasweti
Жыл бұрын
Huyu mwalimu so aje Kenya yetu tumeisha wamama ndio kila kitu na hao wanaume wanalia wanalala na wanaishi kuzaa tu shule hawajui wamama tumeisha