MIRUNGI ,BANGI VYOTE HARAMU// SHEIKH KIPOZEO

USISAHAU KU SUBSCRIBE

Пікірлер: 11

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Жыл бұрын

    Shekhe ubwa bwa tv juzi

  • @faroukfarouk477
    @faroukfarouk477 Жыл бұрын

    ,😂😂😂. Kipozeoniache bana

  • @othmanhaji862
    @othmanhaji862 Жыл бұрын

    Shukran

  • @janerouhassanjanerou7933

    @janerouhassanjanerou7933

    Жыл бұрын

    Nisha kuelewa farouk 😅

  • @swalehelshabiby5915
    @swalehelshabiby5915 Жыл бұрын

    Sheikh mimi nimekwenda Yemen watu wa huko waingia kwa msikiti na hiyo miraa na hata imamu pia anao miraa yake nauliza huko si haramu ama vipi

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 Жыл бұрын

    Wenyee kusikizaaa wawapiiii???? sheikh mwema watufahamisha lakin wawapiii wenyee kuelewaaaaa

  • @ibrahimtotti9051
    @ibrahimtotti9051 Жыл бұрын

    Mrungi hauleweshi kwaiyo sio haram

  • @RodgersMae
    @RodgersMae Жыл бұрын

    Sasa hio miraa na bangi hata ugoro pia vyote n haramu na mbone hamuvikatai? Na km mkikataa mnakataaje juu mtu akitawadhi tu anafutwa madhambi yake? Mkristo akifanya makosa hayo anakatazwa kuingia Kanisani miezi mitatu abaki akijiombea msamaha nyumbani na akirudi Kanisani mwezi wa4 haruhusiwi kusalimiana na waumini wenzake miezi6 kwa kuasi kwake

  • @abubakarymaulidy5681

    @abubakarymaulidy5681

    Жыл бұрын

    Hamna lolote nyie mbm mnaambiwa na wachungaji wenu kunyweni pombe kistarabu dah allah awaongoze ndugu zetu wa baba mmoja sjui mnafeli wapi

  • @RodgersMae

    @RodgersMae

    Жыл бұрын

    🤣🤣😂 Hak unafurahisha sana ww, ee! Ndugu bibilia imetumia mifano ya mbegu zilizo anguka chini semu tofauti nazo mbegu ni imani nne tofauti so mm nishajua ww n mbegu gani bt hayo kando sisi hatufuati Mapastor wanavyo sema bali tuifata bibilia inavyosema nayo bibilia imetukataza ulevi. Kweli Mungu niwakutukuzwa 📖Bibilia yasema KUNYWENI MSILEWE sasa chenye imekaza ni kulewa huo ulevi ndio nidhambi . Unajua nn Mungu angelitukataza pombe bado tungelewa kw madawa mengine ya ulevi na ametuhadharisha na manabii na makristo wauongo baadhi yetu wanajiita manabii wa upako eti niwakristo lakn sisi Wakristo wa ukwel tunajua hakuna nabii

  • @smadon5638

    @smadon5638

    6 ай бұрын

    Sasa mbona Wanawake wa kikiristo hawakubaliwi kuingia kanisani kama hawajafunika kichwa na kipo kwenye Biblia,wacha unafiki 😂