MIRAJI: CHAMA YANGA SIO MFALME | AZIZ KI NDIO MTAWALA | CHAMA AZINGATIE HAYA | YANGA WAMEBORESHA

Пікірлер: 20

  • @UmmyRajabu-gp2um
    @UmmyRajabu-gp2um28 күн бұрын

    Mudasili ndio atakua anaingia na kutoka akipishana na max Ili chama acheze ila co kilia game .ila chama atakua akipishana na azzi Iko ivyo

  • @user-kz7nx8xe4e

    @user-kz7nx8xe4e

    28 күн бұрын

    Weeee hakuna wakumtoa max

  • @mussammanga7791
    @mussammanga779128 күн бұрын

    Baadae nyinyi mtasema wachezaji hawajitumi. Leo unasema ata hujamuona kushika mpira.

  • @Deboramartin-z2m
    @Deboramartin-z2m28 күн бұрын

    Chama ni chama tuuu ongeeeni mengi ila chama mnamuona

  • @TafaAdams
    @TafaAdams28 күн бұрын

    Daaaah Familia kweli mlipotea

  • @allyshabani3404
    @allyshabani340428 күн бұрын

    Yani kwakuwa chama yupo Yanga hamumuoni samani yake chama hana mpinzani tanzania watu wa Simba mwana mke akikutoka mpe sifa zake chama wakati Robert inho alikuwa akimuweka Benci mmlikuwa mnalaumu

  • @HappyDominoes-jf1ji

    @HappyDominoes-jf1ji

    28 күн бұрын

    We mkeo akikuacha utaendelea kumsifia😂😂

  • @user-pf5zc6xi9w
    @user-pf5zc6xi9w27 күн бұрын

    Haya sasa tushawasikia wachambuzi tunamsubili gamond

  • @agathonkalolela9278
    @agathonkalolela927828 күн бұрын

    Chagamba umefanya vizuri kukaa nae chini na huyo miraji. Make mabega hayapigwi tena

  • @errydeo8865
    @errydeo886528 күн бұрын

    Hivi Miraji bila kumgusa Chagamba husikii raha😂😂😂? Aliyekuja na idea ya kukaa alikua anaokoa mabega ya Chagamba,ila jamaa bado tu anawashwa! Wekeni zile stuli ! Utafikiri demu wake bana! Punguza mahaba bro Miraji🤣🤣🤣

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome596428 күн бұрын

    Mtibwa haipo bwana familia

  • @samwelmasunga8293
    @samwelmasunga829328 күн бұрын

    Hayo mabega chagamba😂😂😂😂

  • @RaymonDbertha
    @RaymonDbertha28 күн бұрын

    Huyu milaji cjui yupoje

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome596428 күн бұрын

    Tafuteni naninyi vyanzo vyenu hii tumeiangalia jana finest online

  • @jaffjeff6912

    @jaffjeff6912

    28 күн бұрын

    Yani wanaboa sana maharamia hawa

  • @mhinajerome5964

    @mhinajerome5964

    28 күн бұрын

    @@jaffjeff6912 wajinga hawa sio wabunifu

  • @LeninJonas
    @LeninJonas28 күн бұрын

    Nilisubiri kitambo

  • @TafaAdams

    @TafaAdams

    28 күн бұрын

    Haaaaaaaaaaaah

  • @malietamaliet
    @malietamaliet28 күн бұрын

    uache kuiba content za @finestonline sawa

  • @FannySporttz

    @FannySporttz

    28 күн бұрын

    Kuwa na Amani Mwanafamilia... Finest Online ni Familia... Instagram tunapatikana kwa Finest Online na Alqasusu.... Kuwa na Amani Mwanafamilia 🙏 Tunashukuru kuwa Balozi Mzuri wa kazi zetu

Келесі