"MIMI NI MBWA WENU, WAZIRI NAMUAMBIAGA HUNA AKILI" MUSUKUMA
Joseph Musukuma ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Geita Vijijini ameendelea kuongea na Wananchi Jimboni kwake kwa kuwataja Madiwani anaodai wamemsaliti kwa kukubali Rushwa ya Mil.2, kwa kila mmoja.
Пікірлер: 18
King msukuma huwa nakuelewa sana, unawajali wananchi wako😎😎😎
Heko king,, mbwa wetu tunakupenda sana.
Jitahidi kaka kusaidia jamii yako kuunga jitihada za RAIS wetu JPM.
Mapepo yatoke kwenye jimbo lake,yaende kwenye majimbo ya wengine.Msukuma bhana,haishiwi vituko.Mmeisoma hiyoooooo,
King msukuma nakuelewa sanaaaaaa
Kweli wew ni mbwa
Kumbe Musukuma ameokoka? Maajabu! Mbona tuliambiwa ni kiongozi wa waganga wa kienyeji?
Msukuma wako wanaCCM wenzako hawajuwi wajibu wao kwa serikali. Serikali ya CCM kazi yake kubwa ni kudhulumu na kujificha kwenye kuvuli cha wapinzani wanakwamisha maendeleo. Msukuma nafikiri unaona ukweli na kuufanyia kazi. Ukweli CCM ndiyo wakandamizaji wakubwa wa wananchi.
Amen
AMEN
😆😆😆😆msukuma Jamani..AMEN
Anuary Brazaaa!!
Acha longologo kweli we ni mbwa