"MIMI NI MBWA WENU, WAZIRI NAMUAMBIAGA HUNA AKILI" MUSUKUMA

Joseph Musukuma ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Geita Vijijini ameendelea kuongea na Wananchi Jimboni kwake kwa kuwataja Madiwani anaodai wamemsaliti kwa kukubali Rushwa ya Mil.2, kwa kila mmoja.

Пікірлер: 18

  • @masalahuma7111
    @masalahuma71115 жыл бұрын

    King msukuma huwa nakuelewa sana, unawajali wananchi wako😎😎😎

  • @swahilitheafricantongue7041
    @swahilitheafricantongue70415 жыл бұрын

    Heko king,, mbwa wetu tunakupenda sana.

  • @nyanchokachacha6975
    @nyanchokachacha69755 жыл бұрын

    Jitahidi kaka kusaidia jamii yako kuunga jitihada za RAIS wetu JPM.

  • @kitokisospeter7247
    @kitokisospeter72474 жыл бұрын

    Mapepo yatoke kwenye jimbo lake,yaende kwenye majimbo ya wengine.Msukuma bhana,haishiwi vituko.Mmeisoma hiyoooooo,

  • @sebastianokeyo9566
    @sebastianokeyo95663 жыл бұрын

    King msukuma nakuelewa sanaaaaaa

  • @anicethmichael4942
    @anicethmichael49424 жыл бұрын

    Kweli wew ni mbwa

  • @scotiageraz4469
    @scotiageraz44695 жыл бұрын

    Kumbe Musukuma ameokoka? Maajabu! Mbona tuliambiwa ni kiongozi wa waganga wa kienyeji?

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija66725 жыл бұрын

    Msukuma wako wanaCCM wenzako hawajuwi wajibu wao kwa serikali. Serikali ya CCM kazi yake kubwa ni kudhulumu na kujificha kwenye kuvuli cha wapinzani wanakwamisha maendeleo. Msukuma nafikiri unaona ukweli na kuufanyia kazi. Ukweli CCM ndiyo wakandamizaji wakubwa wa wananchi.

  • @maryrweyemamu7825
    @maryrweyemamu78254 жыл бұрын

    Amen

  • @georgelukuba7696
    @georgelukuba76964 жыл бұрын

    AMEN

  • @klaragreen7999
    @klaragreen79994 жыл бұрын

    😆😆😆😆msukuma Jamani..AMEN

  • @malikimikidadi2639
    @malikimikidadi26395 жыл бұрын

    Anuary Brazaaa!!

  • @manoom2135
    @manoom21355 жыл бұрын

    Acha longologo kweli we ni mbwa

Келесі