MHE. RAIS SAMIA AKIMPOKEA NA KUZUNGUMZA RAIS WA KENYA MHE. WILLIAM RUTO IKULU - DAR ES SALAAM
Ойын-сауық
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpokea na kuzungumza na Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. William Somoei Ruto Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 10 Oktoba, 2022
Пікірлер: 19
Leading like a true Aquarius she is! Engaging and involving everyone! Huu uongozi umesimamia maana halisi ya Muungano wa Tanzania! Nafurahi sana kuona Mawaziri wote wawili kila wakati!! Such great leadership!
karibu san Mheshimiwa Raisi Ruto wa JAMUHURI ya KENYA jisikie huko Nyumbani Mungu akubariki sana katika maono yako kuleta maendeleo Kenya nasi wana afrika mashariki
Karibu Ruto tz
Karibu sana Mh.W.S.Ruto. Tunakupenda sana.
Congratulations 👏 my president From+254
Kenya and tanzania ❤❤❤❤💥💥💥🥰🥰🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏👏👏
The Kenyan president is amazing
Congratulations Dkt WsR🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🙏🙏🤝
Karibu sana Tanzania Nchi ya Asali na Maziwa ambayo Wananchi wake ni Maskini. Natamani Tanzania tuwe na Tume Huru ya Uchaguzi ili CCM itupishe Madarakani kama KANU ilivyoachia Ngazi Nchini Kenya na kuruhusu Vyama Vipya kushika Dola.. Tanzania Nchi Yetu Sote 🇹🇿🇹🇿
Ilari nnaona una chahamaa sana maisha ya wakenya unayajuaaa au wasikia tuu kwa mitandaoo ist Afrika tanzania tunaishi maisha simpo sanaa ujui tuu pia cjaona chama pinzani chenye lengo la kushika dola vyote mamluki tuu
Mimi ni Mzalendo wa Nchi yangu ntasema Ukweli na Kuelimisha Vijana wenzangu. Chama Cha Mapinduzi kinatupotezea muda tu japo kilitusaidia kupata Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar🇹🇿🇹🇿
@calebcaleb3193
Жыл бұрын
Mimi ni mtanzania Na ni mpiga kura ila huyu mama sijuhi tangi achiwe nchi Na jipm akuna chochote kimefanyika
@bajagihaji8923
Жыл бұрын
Maamuzi yako tu kila mmoja na maono ziara ya Rais unaleta uchama jiongeze
@zamzamabdi5279
Жыл бұрын
@@calebcaleb3193 kwani magufuli alikuwekeya chakula kwa meza.wewe unachuki tu.ulitaka akufanyia nini
Rais Ruto ndiye Rais wa Haki wa Wananchi ndani ya Afrika Mashariki. Wananchi tumechoka na Uongozi wa CCM wa kuiba Kura na kujinufaisha na Maliasali za Nchi wenywewe. Tunamuachia Mwenyezi Mungu ipo siku tutakuwa na Rais aliyetoka kwenye maisha ya Umaskini na Chama Kipya. Tanzania Nchi Yetu Sote🇹🇿🇹🇿
Tukiwa na Tume Huru ya Uchaguzi nina uhakika Chama Cha Mapinduzi hakitapata Ushindi wa Asilimia 50% sababu Wananchi tunataka Chama Kipya na Damu Mpya.🇹🇿🇹🇿
Asha fika Tanzania hahaha 🤣🤣🤣
@charlesloto1091
Жыл бұрын
Anazunguka zunguka dunia sijui atakuja lini huku Kenya acha unga sukari na mafuta inendeelee kupanda tutamtoa kwa hiyo kiti