MHE. RAIS SAMIA AKIMPOKEA NA KUZUNGUMZA RAIS WA KENYA MHE. WILLIAM RUTO IKULU - DAR ES SALAAM

Ойын-сауық

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpokea na kuzungumza na Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. William Somoei Ruto Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 10 Oktoba, 2022

Пікірлер: 19

  • @rubyring100
    @rubyring100 Жыл бұрын

    Leading like a true Aquarius she is! Engaging and involving everyone! Huu uongozi umesimamia maana halisi ya Muungano wa Tanzania! Nafurahi sana kuona Mawaziri wote wawili kila wakati!! Such great leadership!

  • @georgekahwa5940
    @georgekahwa5940 Жыл бұрын

    karibu san Mheshimiwa Raisi Ruto wa JAMUHURI ya KENYA jisikie huko Nyumbani Mungu akubariki sana katika maono yako kuleta maendeleo Kenya nasi wana afrika mashariki

  • @bensonmlay662
    @bensonmlay662 Жыл бұрын

    Karibu Ruto tz

  • @ole_larusai587
    @ole_larusai587 Жыл бұрын

    Karibu sana Mh.W.S.Ruto. Tunakupenda sana.

  • @mokijames9958
    @mokijames9958 Жыл бұрын

    Congratulations 👏 my president From+254

  • @sheilamjune1233
    @sheilamjune1233 Жыл бұрын

    Kenya and tanzania ❤❤❤❤💥💥💥🥰🥰🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏👏👏

  • @daviemunesh4158
    @daviemunesh4158 Жыл бұрын

    The Kenyan president is amazing

  • @suleimanngare6707
    @suleimanngare6707 Жыл бұрын

    Congratulations Dkt WsR🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🙏🙏🤝

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Жыл бұрын

    Karibu sana Tanzania Nchi ya Asali na Maziwa ambayo Wananchi wake ni Maskini. Natamani Tanzania tuwe na Tume Huru ya Uchaguzi ili CCM itupishe Madarakani kama KANU ilivyoachia Ngazi Nchini Kenya na kuruhusu Vyama Vipya kushika Dola.. Tanzania Nchi Yetu Sote 🇹🇿🇹🇿

  • @thomasmallya2972
    @thomasmallya2972 Жыл бұрын

    Ilari nnaona una chahamaa sana maisha ya wakenya unayajuaaa au wasikia tuu kwa mitandaoo ist Afrika tanzania tunaishi maisha simpo sanaa ujui tuu pia cjaona chama pinzani chenye lengo la kushika dola vyote mamluki tuu

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Жыл бұрын

    Mimi ni Mzalendo wa Nchi yangu ntasema Ukweli na Kuelimisha Vijana wenzangu. Chama Cha Mapinduzi kinatupotezea muda tu japo kilitusaidia kupata Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar🇹🇿🇹🇿

  • @calebcaleb3193

    @calebcaleb3193

    Жыл бұрын

    Mimi ni mtanzania Na ni mpiga kura ila huyu mama sijuhi tangi achiwe nchi Na jipm akuna chochote kimefanyika

  • @bajagihaji8923

    @bajagihaji8923

    Жыл бұрын

    Maamuzi yako tu kila mmoja na maono ziara ya Rais unaleta uchama jiongeze

  • @zamzamabdi5279

    @zamzamabdi5279

    Жыл бұрын

    @@calebcaleb3193 kwani magufuli alikuwekeya chakula kwa meza.wewe unachuki tu.ulitaka akufanyia nini

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Жыл бұрын

    Rais Ruto ndiye Rais wa Haki wa Wananchi ndani ya Afrika Mashariki. Wananchi tumechoka na Uongozi wa CCM wa kuiba Kura na kujinufaisha na Maliasali za Nchi wenywewe. Tunamuachia Mwenyezi Mungu ipo siku tutakuwa na Rais aliyetoka kwenye maisha ya Umaskini na Chama Kipya. Tanzania Nchi Yetu Sote🇹🇿🇹🇿

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Жыл бұрын

    Tukiwa na Tume Huru ya Uchaguzi nina uhakika Chama Cha Mapinduzi hakitapata Ushindi wa Asilimia 50% sababu Wananchi tunataka Chama Kipya na Damu Mpya.🇹🇿🇹🇿

  • @stellaanyango9335
    @stellaanyango9335 Жыл бұрын

    Asha fika Tanzania hahaha 🤣🤣🤣

  • @charlesloto1091

    @charlesloto1091

    Жыл бұрын

    Anazunguka zunguka dunia sijui atakuja lini huku Kenya acha unga sukari na mafuta inendeelee kupanda tutamtoa kwa hiyo kiti

  • @al-hidayahonlinetv3447
    @al-hidayahonlinetv3447 Жыл бұрын

Келесі