MH. ABDALLAH ULEGA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI KATUKA UJENZI WA BANDARI MPYA WILAYANI KILWA.

Ойын-сауық

Waziri wa mifugo na uvuvi mh. Abdallah Ulega amefanya mazungumzo na waandishi wa habari katika eneo la ujenzi wa bandari mpya ya kilwa. Katika mazungumzo hayo waziri Ulega ameeleza namna bandari hiyo itakavyoinyanyua na kukuza sekta ya uvuvi.

Пікірлер

    Келесі