Meneja wa TRA wilaya ya Kibondo adakwa akisafirisha meno ya Tembo!

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 96

  • @XxhamxyyxShha
    @XxhamxyyxShha19 күн бұрын

    Inaonekana viongozi wengi ndio tabia yao

  • @wallaceexpert4081
    @wallaceexpert408119 күн бұрын

    Siku mbaya kazini

  • @Peterchila-un2lx
    @Peterchila-un2lx19 күн бұрын

    Safi sana Hawa huwa wanatesa sana wafanyabiashara saf sana

  • @ajsmainde5138
    @ajsmainde513819 күн бұрын

    baadae utasikia vijana hamtaki kazi, kumbe kuna black deals mnazifanya kisha mnakuja kututambia mitaani.

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph40518 күн бұрын

    Kawaida Sana ,kwasisi wapambanaji tunasemaga ajari kazin,, kwamuda ote aliofanya iyo biashara ,uyo anapesa nyingi na hawezi fungwa,coz tz hakuna geleza la matajir😂😂😂😂😂

  • @shirimabenedict5431
    @shirimabenedict543119 күн бұрын

    Serikali imeajiri wezi vijana waadilifu wapo mtaani

  • @DavalsonMarlony

    @DavalsonMarlony

    18 күн бұрын

    awo vjana wenyewe wakpata fursa lazma wapite na frsa😂😂😂😂😂

  • @nathanlusulo-po2lj

    @nathanlusulo-po2lj

    18 күн бұрын

    Waadilifu kwa sababu hawajapata kazi

  • @faidhamyovela179

    @faidhamyovela179

    18 күн бұрын

    😂😂 WAKIPATA KAZ WANAKUWA HIV HIV YAN KAZ SANA KUPATA MTU MTIIFU NA MWAMINIFU

  • @user-hw3wn8ms6j

    @user-hw3wn8ms6j

    18 күн бұрын

    Hatuwezi kuwa na wafanyakazi waaminifu, ikiwa wabadhilifu wa mali za umma hawafilisiwi. Hasa wanasiasa na wafanyabiashara wakubwa, kwakifupi hakuna anae taka aonekane mjinga.😢😢😢😢

  • @deogratiusyudatadei5658

    @deogratiusyudatadei5658

    17 күн бұрын

    ​@@user-hw3wn8ms6jnikweli kabisa ingetakiwa MTU Kama huyo asilisiwe kila kitu na afutiwe mpaka vyeti yake alafu afunge hata miaka 3 tu alafu aachiwe na uhakika itakuwa fundisho

  • @geofreyj.1986
    @geofreyj.198618 күн бұрын

    Manager is like "Bro nimeyaokota I was about kuyaleta kituo chenu" 😂😂😂

  • @florencemeza6540
    @florencemeza654019 күн бұрын

    Hamilidhiki muibe pesa ,a TRA Bado muue tembo haya kwa JPM YALIKWISHA KABISA

  • @mamodelmam
    @mamodelmam19 күн бұрын

    Haya sasa kuwanyonya wafanya biashara kumbe uku mnavyanzo vyenu vya pesa

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni967619 күн бұрын

    Meneja acha tamaa ya mali, Fanya kazi za halali

  • @ayubusambo
    @ayubusambo18 күн бұрын

    Iyo kes haifk mbal,soon tuu utasikia ametoka na kahamishiwa wilaya nyingine

  • @fetychina3969
    @fetychina396919 күн бұрын

    Duh!menaja wa TRA anafanya hivyo ??😂😂😂 kweli pesa haijawahi tosha mtu

  • @hopechidera

    @hopechidera

    19 күн бұрын

    Pesa ni tamu sana...

  • @iddylumbila7399
    @iddylumbila739919 күн бұрын

    Ungekula na wenzio sema unaonekana mchoyo siunaona walivyo kuchoma, ndo sirikali ya bongo ilivyo kwani unafikiri uko pekeako unafanya biashara iyo.

  • @lamartaker527
    @lamartaker52719 күн бұрын

    Eh hatoshek

  • @malkavoice2570
    @malkavoice257019 күн бұрын

    Huyu na waliosaini mkataba wa DPW wanatofautiana kitu gani?

  • @user-pi9ds7oe9s

    @user-pi9ds7oe9s

    19 күн бұрын

    Niyale Yale hayana utofauti labda upemba na ubara

  • @zebedayokatamaduni9676

    @zebedayokatamaduni9676

    19 күн бұрын

    Ni yaleyale 😂

  • @aediayumgo8546

    @aediayumgo8546

    18 күн бұрын

    Dp imetoka wapi😲

  • @malkavoice2570

    @malkavoice2570

    18 күн бұрын

    @@aediayumgo8546 World

  • @user-fj5dy9hh5v
    @user-fj5dy9hh5v19 күн бұрын

    Ataachiwa tu angekua mnyonge sijui ingekuaje

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni19 күн бұрын

    Meneja wa TRA

  • @mrsinia3064
    @mrsinia306419 күн бұрын

    Duuh! Alikuw anaenda kupiga hela 🤔🤔

  • @u.v.vgroup5559
    @u.v.vgroup555919 күн бұрын

    Wamezoeya Sana hao jamaa Wamearibu mazingira Sana Ila shida serekali itaachia watu hao serekali yakipumbavu😢😢😢😢😢😢😢

  • @NunuKupela

    @NunuKupela

    19 күн бұрын

    Kwan wale waliotumbuliwa kipindi kile walifanywa nn iliumiza mamilioni mengi wlitolewa kazi tu si tulitarajiwa wangeambia warudishe pesa Sasa Kwa vile serikali yetu haitaj tabia hizi muache nae mama afanye analoweza kama atawasamehe ni maamuz yake hatutolalamika kabisa wengi walishahurumiwa sisi tunamktakia Kila la kher madear mama

  • @GervasMalimi
    @GervasMalimi19 күн бұрын

    Noma

  • @Peterchila-un2lx
    @Peterchila-un2lx19 күн бұрын

    Safi sana

  • @farajiissa560
    @farajiissa56017 күн бұрын

    Mm siwalaumu kama mkuuu wa nchi anaiba kura na anaongoza kwa dhuruma vip hawa chawa wadogo wadogo

  • @user-qf9dw9ki1g
    @user-qf9dw9ki1g18 күн бұрын

    Duh

  • @ASALABOY
    @ASALABOY15 күн бұрын

    SnS inaunguruma ukweli n UWAKIKA

  • @BakarIdi-qc8yf
    @BakarIdi-qc8yf16 күн бұрын

    😢😢😢😢

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed34519 күн бұрын

    Daah 🙌🏿🙌🏿

  • @Niika870
    @Niika87019 күн бұрын

    Heeeeee Kwanini,maajabu Saba ya Dunia😢😢

  • @maidimples8236
    @maidimples823619 күн бұрын

    Hawa TRA Mungu anawaona

  • @happymrema7487
    @happymrema748718 күн бұрын

    Mmmmm

  • @modricseif1018
    @modricseif101818 күн бұрын

    Fresh

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo909619 күн бұрын

    Bora alie kamatwa na meno ya Tembo kuliko uende kuua binadamu mwaya maua yako kaka meneja wa TRA

  • @allykassim1120
    @allykassim112019 күн бұрын

    waandishi tuone hilo tukio mpaka mwisho lisiishie kati mpaka matokeo yake

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe728418 күн бұрын

    Safi sana kamata kabisaaaa

  • @emanwelywambura2614
    @emanwelywambura261418 күн бұрын

    Kawekewa polisi bwana

  • @davisnitu890
    @davisnitu89017 күн бұрын

    Msimu huu tutayaona mengi😂😂

  • @JechaMakameIssa-gs2bl
    @JechaMakameIssa-gs2bl18 күн бұрын

    Kama kaweza kufanya ilo bc akeshawaibia wtu wengi tu halafu si naskia TRA mshahara wke mkubwa tena Meneja mzima aaaah kweli hela mwanaharam

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman995719 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂hahahhahahahah safi sana

  • @wadantz123
    @wadantz12319 күн бұрын

    Heheheeeeee yamemkuta uyo😂😂

  • @CastoryKapinga-nb7ht
    @CastoryKapinga-nb7ht18 күн бұрын

    Turidhike na vile ambavyo Mungu anatubariki ndipo Bwan atatuzidishiaa na kutifanya wakuu

  • @rickiefisher1085
    @rickiefisher108518 күн бұрын

    Meneja anapiga rushwa kubwa tu plus mshahara mzuri haitoshi bado na deal kama hizo Mungu huwa anawalaani sana Hawa hela za watu zinauma sana

  • @zenamadoo1020
    @zenamadoo102019 күн бұрын

    du aisee pole yake jmn

  • @Juli-ep9dn
    @Juli-ep9dn17 күн бұрын

    Duuuh sisemi kitu

  • @zenamadoo1020
    @zenamadoo102019 күн бұрын

    jmn jmn aiseee huyo meneja sitakaa nisahau nililia San ofsin kwake kisa kutokutoa risiti leo yeye hahahhaha

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam249119 күн бұрын

    Kaisha 😂😂😂😂😂😂

  • @athumanshaban
    @athumanshaban18 күн бұрын

    Hapo tayar wamechomeshana maana viongo ndio kazi zao

  • @user-tq4lx9si1n
    @user-tq4lx9si1n19 күн бұрын

    Mimi nipo huku nimrfatria mchakato mzima hishu iliyokwepo iyo dri wanacheza na OCD sasa kana bahazi ya makamanda wanalijua hilo na wanatumwa kuskndkza gari mipakan halafu malipo wana wa chikichia ndomana wameamua kuchoma kibanda

  • @vicentmapunda3146

    @vicentmapunda3146

    19 күн бұрын

    Umesemaaaa

  • @faridmnyamike556
    @faridmnyamike55618 күн бұрын

    Pamoja na mishahara mizuri lakini bado hawatosheki, sasa ngoja akaonje joto halisi la maisha magumu

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela17918 күн бұрын

    😂😂😂😂😊

  • @nathanlusulo-po2lj
    @nathanlusulo-po2lj18 күн бұрын

    Waswahili kwa wizi

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th18 күн бұрын

    angekuwa masikini angeukumiwa lakin kwakuwa tajiri wala hata hukumiwa hapo

  • @africa7479
    @africa747918 күн бұрын

    mishahara mikubwa lkin bado hutosheki

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu18 күн бұрын

    Meneja umepigaje hapo??? Khaaaaa,Usikute ni Dua ya mtu mmoja tu aliyemdhulumu ndio iliyopokelewa na Bado mpaka mseme na mtasema

  • @user-lq4cm4rq6z
    @user-lq4cm4rq6z18 күн бұрын

    Sky Kuna siku utuhadithi.kwani hizo pembe meno ya ndovu deal Sana kwa nn ziwe dili wanazitengezea nn tujuze tujuwe

  • @selemankishema5780
    @selemankishema578018 күн бұрын

    Sasa ikiwa hawa majambazi ndio wasimamizi wa pesa zetu haya mama samia tuambie tutakuwaje salama na idara hiyo na ndio maana mkilala mkiamka mnatungezea kodi makato ya pango kupitia umeme bila huruma

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e18 күн бұрын

    Yeee ameamka na mkoshi

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja199519 күн бұрын

    Mwaka huu 2022 😂😂

  • @jamesnyamila2165
    @jamesnyamila216518 күн бұрын

    Huyo ni mmoja tu, yapo mengi mno ya hivyo

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei565817 күн бұрын

    Hii serikali ya tz kipindi hichi inaoneka Ile tabia ya chukua chako mapema imerudi yani imejaa majambazi na waizi wahujumu uchumi na hakuna sauti yoyote inayo pazwa kila kukicha mambo ya ajabu na rais hasemi chochote 😢😢

  • @user-ux3jl9cl4w
    @user-ux3jl9cl4w18 күн бұрын

    Mwaka gan apooo mbona km sijaerewa iv

  • @GraceMakenga-zd1vn
    @GraceMakenga-zd1vn18 күн бұрын

    Bongo wanafki wengi

  • @GraceMakenga-zd1vn
    @GraceMakenga-zd1vn18 күн бұрын

    Atatoka tuuuu namuombea Mungu

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry269819 күн бұрын

    Ukiona hivyo ujue wametathimini na kuona ni rahisi sana kufanya uhalifu wenye uhujumu uchumi ndani yake katika awamu hii na bado ukaheshimiwa kuliko anayefichua hujuma zake

  • @saidmwinyi7062
    @saidmwinyi706215 күн бұрын

    Meneja km menejaaa

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje288718 күн бұрын

    😂😂😂😂😂 I see hakutaka Kula na wana

  • @wolfgangkichai8577
    @wolfgangkichai857718 күн бұрын

    Wamechomeshana tuu

  • @user-pi9ds7oe9s
    @user-pi9ds7oe9s19 күн бұрын

    Hakuna selekal hoples

  • @TVT4888
    @TVT488818 күн бұрын

    😂😂😢😢😢

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly568619 күн бұрын

    Kwao napesa nimbali san 😢iyiyote kutafuta money 💰 umaskini ulaniwe

  • @eben_ezer8853
    @eben_ezer885318 күн бұрын

    Ukiona Kenya maandamano ni kwa sababu hizi za wakubwa kuwa wezi,, huyo Kuna. Wakubwa wake

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y18 күн бұрын

    Pumbavu huyu kaona hela ya Kodi haimtoshi mpaka kuingia kuchukua uhai watembo wasio nahatia sasa 😡😡😡

  • @happymrema7487
    @happymrema748718 күн бұрын

    Unakaz nzur bado unahangaika

  • @omeraJR
    @omeraJR19 күн бұрын

    Kapigwa kipigo tembo😂😂

  • @user-ji1mq4sk1n
    @user-ji1mq4sk1n18 күн бұрын

    Utasikia uchunguzi miaka 7

  • @hbdina
    @hbdina19 күн бұрын

    🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Ndio hayo hayo RUSHWA/UBADHILIFU WA MALI YA UMMA wananchi wa Kenya wanapingana nayo.Alafu ni wa TRA achunguzwe zaidi hata kazini

  • @criminalminds7723
    @criminalminds772319 күн бұрын

    Hizo ni pembe ama ni meno jamani sky?

  • @vibetz9991

    @vibetz9991

    19 күн бұрын

    Meno,,,, Tembo Hana pembe,,, Pembe hukaa juu ya kichwa

  • @criminalminds7723

    @criminalminds7723

    19 күн бұрын

    @@vibetz9991 umesoma shule gani bro?hemu download picha ya tembo uangalie vizuri kama Hana pembe,Alaaa

  • @user-rv3ld1oh5s
    @user-rv3ld1oh5s19 күн бұрын

    😊😊😊

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g18 күн бұрын

    Kuna muda inabidi tulizike tu jaman

  • @khadijaalimohd1320
    @khadijaalimohd132018 күн бұрын

    HAITOSHEKI NAKUIBA BADO WANAUWA WANYAMA .LOL

  • @jeremiahevodius925
    @jeremiahevodius92519 күн бұрын

    Kachomwa na mchawi wake hamjuwi

  • @Commentsplus
    @Commentsplus19 күн бұрын

    Mwaka 2024 Sky

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi19 күн бұрын

    Arafu sisi wafanyabiashara wadogo wanatubana kumbe ndo tabia zao daaa

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m19 күн бұрын

    Yamemkuta sasa. Hapa sasa ndo utajua dunia ni tamu au chungu kiasi gani.

Келесі