MEDICOUNTER: HATARI YA KUZIDI KWA KIWANGO CHA ASIDI TUMBONI

Unajua kuwa unaweza kupata ugonjwa wa koo huku chanzo kikiwa ni asidi iliyopo tumboni?
Unakijua kiwango cha kawaida cha asidi kinachopaswa kuwepo tumboni?
Je, matumizi ya dawa za koo bila kujua kuwa chanzo cha ugonjwa kinaweza kuwa wingi wa asidi tumboni kuna madhara gani?
Ungana na Dafrosa Prosper ndani ya Medicounter akijadiliana na daktari bingwa wa magonjwa ya koo, sikio na pua, Goodlove Peter wa hospitali ya Mloganzila.

Пікірлер: 232

  • @erickkimaro5282
    @erickkimaro52822 жыл бұрын

    Asante Sana doctor nimekusikiliza kwa makini mi niko moshi.Nilikua na tatizo lakikohozi Cha mudamrefu nimetibiwa Ent nimepewa dawa Sana dawa zikiisha tatizolinajirudia nimemezeshwa kipimo kwenye Koo shida haikuonekana na maranyingi nakohowa usiku nilala mwiliukisha rest.Baadaenilikuja kupatwa na vidonda vya tumbo hadisasa nimefuata mashart ,nimetumiwa dawa nimemapata nafuu Kuna muda nacheua kitukichungu Sana.Shida kubwa ninayo ipata ninasikia vibaya mwlini Hadi kichwani hatakama siumwikokote mwili haurudi kawaida Naomba ushauri wako doctor hii Hali imeniadhirj Sana.

  • @joyceshandu2400
    @joyceshandu24003 жыл бұрын

    Dr unaeleza vizuri sana hata namba tunaiona lakini nikipiga haipokelewi kila nikipiga inatumika Na tatizo hilo linanitesa naomba Msaada wako

  • @johndingi2504
    @johndingi25047 ай бұрын

    Wapo vizuri sana kwenye maelezo ila tiba sasa😢!!? Nyie semeni tu ukweli huu ugonjwa hauna dawa ya moja kwa moja

  • @amadeusgerald6253
    @amadeusgerald62533 жыл бұрын

    This Doctor🙌🙌🙌🙌

  • @rehmahamishamismkande4348
    @rehmahamishamismkande43482 жыл бұрын

    In shaa Allah Huyu doctor nikirudi Tanzanian nitamtafuta maelezo yake mazuri Sana

  • @abalkassim5404
    @abalkassim54045 ай бұрын

    Up mziki unazidi sauti ya Doctor

  • @thompsonmkwanda3809
    @thompsonmkwanda38097 ай бұрын

    Daktari bingwa ni bingwa tu , nimemuelewa vzr sana

  • @tunsumejohnjohnmwalaba4719
    @tunsumejohnjohnmwalaba4719 Жыл бұрын

    Asante Mimi tonses zimevimba Kwa ndan jaman dawa naweza kupata

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme84552 жыл бұрын

    Safi omeongea vzr sana doctor (Baba Chelsea

  • @sophiamsumi1682

    @sophiamsumi1682

    2 жыл бұрын

    unamjua mbona simu haipatikan ana hospital yake tumfate

  • @FadhilaAbrahman

    @FadhilaAbrahman

    Жыл бұрын

    Tuambie basi tumfate wap

  • @priscammassy464
    @priscammassy464 Жыл бұрын

    Nimejifunza vizuri

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai311910 ай бұрын

    Maheka heka haya Mungu atusaidie tu sababu yy ndio mwenye spare za miili yetu. Mm hili tatizo limenitesaaa mno mara madaktari wengine waseme ni asidi mara wengine ni vidonda hata siwaelewagi Mungu tu asaidie

  • @HalimajumaKhamis

    @HalimajumaKhamis

    5 ай бұрын

    Vp ulipona

  • @hidayaswai3119

    @hidayaswai3119

    5 ай бұрын

    @@HalimajumaKhamis hivyo hivyo tu wakati mwingine vinasumbua wakati mwingine nipo sawa. Yaani hivyo ndg yangu

  • @joyceshandu2400
    @joyceshandu24003 жыл бұрын

    Namba ulioitoa kila nikipiga majibu inatumika sasa Mimi niliomba kuhusu tatizo la acid Mimi ninalo Na kikohozi cha muda kipo natamani nikuone wewe mwenyewe

  • @wilsonemanuel9915
    @wilsonemanuel99152 жыл бұрын

    Asante sana nimekuelewa sana mm nilikua ninayo iyo ila nilikula matunda sana ikapungua? Jeukila matunda kwasana Vp hapo

  • @malkiawanguvu3150
    @malkiawanguvu31502 жыл бұрын

    Yaani leo nimekutana na somo linalonisumbua🤔 xray nimepigwa za kutosha! Hivi karibuni nimeambiwa ninavidonda vya tumbo dawa natumia za vidonda vya tumbo lakini wapiii. Mwaka wa 2 sasa ni kukohoa tu😭😭😭 dr help me

  • @rehemadickson8730
    @rehemadickson87303 жыл бұрын

    Doctor naomba nisaidie kwa hapa Arusha nitawapataje Hilo tatixo ni la muda mrefu nimeenda kila hospital wameshindwa

  • @joharimadua8342
    @joharimadua83424 жыл бұрын

    Sasa tiba ya acid ni ipi

  • @susanmuriuki147
    @susanmuriuki1472 жыл бұрын

    Asante sana kwa kazi inzuri. Number yako dactari. Mimi niko Kenya.

  • @sylviasebastian2016
    @sylviasebastian201613 күн бұрын

    Nakupataje doc

  • @kalengemochi1306
    @kalengemochi13062 жыл бұрын

    Miito obrigado Azama tv

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 Жыл бұрын

    Umeelezea vzr mnooo,lkn mbona cm hampokei jmn madaktari wanajua kuringa na fani zao.

  • @edgeredson9691
    @edgeredson96915 жыл бұрын

    Tunaomba muwe mnatuondolea huo mziki madaktari wakiwa wanaongea

  • @easherfaith6466

    @easherfaith6466

    4 жыл бұрын

    Dr.tunaomba no jamani tunaumwa

  • @agnesmwita2474

    @agnesmwita2474

    3 жыл бұрын

    @@easherfaith6466 ulipata namba ya huyo doctor dia?

  • @pudensianachristopher6239

    @pudensianachristopher6239

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @mwh8547
    @mwh85472 жыл бұрын

    Dr. Tuandikie izo dawa tukanunue wengine tuko mbali

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 Жыл бұрын

    Dr mim nina shida na ww napataje namba zako?

  • @HosanaCharles-lx1ks
    @HosanaCharles-lx1ks9 ай бұрын

    Mm ninashida iyooo nakupatajee

  • @gladyskitonyi6636
    @gladyskitonyi66362 жыл бұрын

    Mnapatika wapi?

  • @salvanandsonsfinanciallimi2831
    @salvanandsonsfinanciallimi28312 жыл бұрын

    Msiwe mnaweka miziki anapokuwa anaelezea dokta maana usikivu unaatofautiana Kati yetu

  • @softjeanskhakis9993
    @softjeanskhakis99932 жыл бұрын

    Naomba. Number za simu. Tafathali

  • @aishtan2745
    @aishtan27453 жыл бұрын

    Shukrani

  • @dariaevance4258
    @dariaevance42582 жыл бұрын

    Ni miezi sita Sasa nahangaika bila mafanikio,nahisi kama kohozi kooni ,ukitoa halitoki,ukila nikama chakula kinakwama,na kupaliwa ovyo ovyo

  • @azizaalnaamani753
    @azizaalnaamani7532 жыл бұрын

    Jamani mnaporusha vipindi muhimu km hv mnatoa namba km huyu dkt wengi tunashida tunataka tumueleze matatizo yetu hatujui tutampataje namba mlio weka hapo haipatikani

  • @user-pe9gd2oi7r
    @user-pe9gd2oi7r5 ай бұрын

    DOCTOR mbona hamutuwekei no ya ya wastApp sasa sisi ambao tuko mbali cm haingii paka wastApp ukinagalia number nyingj ni call zakawaida tufanyeje ss

  • @rizikisimai5140
    @rizikisimai51403 жыл бұрын

    Tunaomba no ya doct

  • @sophiatengeza8010
    @sophiatengeza8010 Жыл бұрын

    Noted

  • @mammymammito5524
    @mammymammito5524 Жыл бұрын

    Niko na hili tatizo miaka mingi sana naomba msaada.

  • @sadamsilu6615

    @sadamsilu6615

    Жыл бұрын

    Ulipona ww

  • @ndeshilema339
    @ndeshilema3392 жыл бұрын

    Dr Nina tatizo Hilo na ni muda mrefu naomba namba yako tafadhal

  • @kelvinchaula5075
    @kelvinchaula50752 жыл бұрын

    Tibayake ninini?

  • @sharifumanili8627
    @sharifumanili86273 жыл бұрын

    Badilishen namba za simu Mnazo zitoa kwani ni zangu

  • @annakimario-rw6rd
    @annakimario-rw6rd Жыл бұрын

    Mm naitwa anna nipo dar es salaam naumwa tumbo atari usiku silali nimepiga utrasaund mbili nimeambiwa ni vidonda vya tumbo pia aside nyingi dawa nimemaliza ila bado tumbo lina niuma sana naomba msaada

  • @HalimajumaKhamis

    @HalimajumaKhamis

    6 ай бұрын

    Umepata dawa

  • @fatmatwalib8408
    @fatmatwalib8408 Жыл бұрын

    Hongera sana Dr kwa kutuelimisha. Mimi nina shida hiyo naombA niandikie da

  • @clementselestine5308
    @clementselestine53082 жыл бұрын

    Namba.....

  • @samsonkomba1439
    @samsonkomba14394 жыл бұрын

    Mimi koo langu linashida iv sicheuwi vzuli km vile limeziba ivi navyokula chakula maji y kunywa yawe jilani sijajua titzo nini nisaididie dr

  • @sakinahamza5325

    @sakinahamza5325

    2 жыл бұрын

    Umepona mwenzang

  • @MissaYahaya-zj9ut
    @MissaYahaya-zj9ut6 ай бұрын

    Sas tuskiliza vinanda aw doctor vinanda vyann wakat sis tnaskikiza doctor vile anatuambia

  • @jokhaabdallah7724
    @jokhaabdallah77243 жыл бұрын

    Jaman tunaomba namba ya huyu Dr au tuelekezeni hospital aliyopo na jina lake pia

  • @kelvinchaula5075

    @kelvinchaula5075

    2 жыл бұрын

    Hata ukipewa no.yake kuipokea Simi yako kaziipo

  • @halimamvungi1

    @halimamvungi1

    2 жыл бұрын

    Nenda hospital ya MLOGANZILA ,sema nata kuona daktari speshalist wa Koo ,au kama unamtakq huyo anaitwa Doctor mfuko

  • @consolatasimon316
    @consolatasimon3162 жыл бұрын

    Dr namba haipatikan, namm ninahili tatizo, naomba Nijue upo hospital gn

  • @halimamvungi1

    @halimamvungi1

    2 жыл бұрын

    Hio namba sio ya Dakari ,ni namba MEDICAUNTA, ila ukiwacheki what's up anajibu

  • @joyceshandu2400
    @joyceshandu24003 жыл бұрын

    Hiyo namba haipokelewi

  • @Luweenamandal2911
    @Luweenamandal29119 ай бұрын

    Ahsante dr tunaomba no yako ya simu

  • @zuwenanamoo4776
    @zuwenanamoo47764 жыл бұрын

    Doctor naomba namba ya sim manake mie sipati amani kakiba kwa tatizo ili ninalo na pia niko huku zanzibar

  • @emmanuelshadrack4614

    @emmanuelshadrack4614

    2 жыл бұрын

    Hello

  • @mahmoudsaleh230

    @mahmoudsaleh230

    2 жыл бұрын

    Zuwena namoo . Habar ulishakwenda hospital kupimwa tatizo lko.

  • @iddyhamisi6056
    @iddyhamisi60562 жыл бұрын

    Huyu dr anapatikana kwa no ipi

  • @joyceshandu2400
    @joyceshandu24003 жыл бұрын

    Naomba namba yako Dr

  • @kelvinmichael6203
    @kelvinmichael62033 жыл бұрын

    Natatizo hilo

  • @hamidabwanda9294
    @hamidabwanda92946 ай бұрын

    Dokta namshukuru na mimi kija a wangu anatatizo hilo upo dar sehemu gani

  • @kambalegulbert210
    @kambalegulbert2102 жыл бұрын

    Godd

  • @Noahlembris-zi6co
    @Noahlembris-zi6co3 ай бұрын

    Dokta naomba namba yako nikwelekeze kwa umakini Sana kuusu vidonda vyangu Mimi ya vimekisili

  • @salimakuyela7813
    @salimakuyela7813 Жыл бұрын

    Naomba namba ya doktari tafadhali🙏

  • @RaphaelDaffa
    @RaphaelDaffa3 ай бұрын

    Mxiki wa nini tena jaman..tunataka kumsikilizs dokta sio kelele za mziki....

  • @rehemadickson8730
    @rehemadickson87303 жыл бұрын

    Doctor samahan Bibi yangu anasumbuliwa Sana na tatizo la tumbo kujaa gesi imesababisha Hadi koo imekuwa na vidonda na sasa hv anashindwa Kula kitu chochote je nifanye nini niweze kumsaidia aweze kupona

  • @sakinahamza5325

    @sakinahamza5325

    2 жыл бұрын

    Bb amepona

  • @futureboss6315

    @futureboss6315

    Жыл бұрын

    rehema dickson kwel

  • @MonicaSepeku-oy4mu
    @MonicaSepeku-oy4mu Жыл бұрын

    Jamani naomba namba yako Dr please

  • @jijiomar2430
    @jijiomar24302 жыл бұрын

    Niko na hiyo shida kwa miyaka 16 nashindwa kupumua kila ifikapo usiku haswa naweza kuwapata wapi plz

  • @mahmoudsaleh230

    @mahmoudsaleh230

    2 жыл бұрын

    Pole xana

  • @mwanasaidi5092

    @mwanasaidi5092

    Жыл бұрын

    Vp ulipona

  • @macstar3608
    @macstar36083 жыл бұрын

    docta mimi nina tatizo hilo pia naomba no yako

  • @Noahlembris-zi6co
    @Noahlembris-zi6co3 ай бұрын

    Dokta naomba namba nikwelekeze kwa umakini

  • @anitakidola3820
    @anitakidola38203 жыл бұрын

    Je acid ikiwa nyingi mwilini, inaweza kusababisha vichomi kwenye moyo na presha kupanda ?

  • @lovederyare6756

    @lovederyare6756

    2 жыл бұрын

    Ndy mwaya nilipata hali kama hyo ila nikakaa sawa

  • @annamartine9854

    @annamartine9854

    2 жыл бұрын

    @@lovederyare6756 ulitumia nn

  • @lovederyare6756

    @lovederyare6756

    2 жыл бұрын

    @@annamartine9854 amoxxiline 4 na omeprazole 1 asubuh na jioni kwa cku 10..

  • @lovederyare6756

    @lovederyare6756

    2 жыл бұрын

    @@annamartine9854 kama una vidonda vya tumbo lakin ndo unatumia dozy hiyo

  • @fildausally5855
    @fildausally58554 жыл бұрын

    Tunna shids nying tusaidie

  • @kelvinchaula5075
    @kelvinchaula50752 жыл бұрын

    Dr. Dawa yake ninini

  • @SaumuJasho-bs9fk
    @SaumuJasho-bs9fk Жыл бұрын

    Doct mim Nina aliyakuwkama ninamabak kweny koo nitakuptje

  • @pendojohn9994
    @pendojohn99942 жыл бұрын

    Namba dockt

  • @abossto
    @abossto Жыл бұрын

    Tumsikilize daktari au instrument

  • @MonicaSepeku-oy4mu
    @MonicaSepeku-oy4mu8 ай бұрын

    Dr naww basi upoke simu watu wanamatatizo umeweka namba lakini upokei kaah😢

  • @stailekiko1512
    @stailekiko15124 жыл бұрын

    Tunaomba namba yako dr, tunashukuru, ila hili ttz naona madr wengi hawalijui tiba yake.

  • @dafrosaprosper7165

    @dafrosaprosper7165

    4 жыл бұрын

    POLE SANA NO YA DACTARI HII 0713 159133

  • @isentrudikomba5825

    @isentrudikomba5825

    4 жыл бұрын

    Naomba namba tafadhali

  • @roselynerwezaula8519

    @roselynerwezaula8519

    2 жыл бұрын

    Jamani jamani docta kwenye watu wakusaidia zaidi nimimi .yaani ukiniangalia ulimi utakimbia.sauti ilishabadilika meno yanaoza nimeshangoa meno matano .nikupate je jamani .Doctor watoto wangu ni wadogo sana

  • @ruqayahaloraimi4007
    @ruqayahaloraimi40074 жыл бұрын

    Habari doctor. Mimi ninalo Hilo tatizo na pia Niko Oman unaweza kunisaidiaje angalau nipate advice. Kwa kweli madoctor wengi hawayajuwi hayo.

  • @neemaeppah2992

    @neemaeppah2992

    3 жыл бұрын

    Kabisa wengi hawaelewi ,wanaishia kutupa midawa tuuu mpaka nimechoka

  • @aishakhadija4002

    @aishakhadija4002

    3 жыл бұрын

    Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh VP ruqaya ulipata ushauri kuhusu acid unisaidie na mm please

  • @rosedickson8202

    @rosedickson8202

    2 жыл бұрын

    Nishada

  • @verotarimo7845
    @verotarimo78453 жыл бұрын

    7

  • @kamuuaristarick5954
    @kamuuaristarick59542 жыл бұрын

    Nataka namba zako

  • @khaulaalliy8876
    @khaulaalliy8876 Жыл бұрын

    Sorry tunaomba namba za uy doc

  • @lrene4442
    @lrene444210 ай бұрын

    Dokta naomba namba yako jamani me nadalilizote nisaidie mimi jamani

  • @gladyskitonyi6636
    @gladyskitonyi66362 жыл бұрын

    Venye unaelezea ndivyo nahisi,,,,nielezee niwapi nitakupata

  • @fabianialexmpunga8137
    @fabianialexmpunga81373 жыл бұрын

    Madoctor wengi awajui

  • @dorinaamiri6448
    @dorinaamiri64483 жыл бұрын

    Nisaidieni

  • @CatherineCatjoh
    @CatherineCatjoh3 ай бұрын

    Je vinaweza sababisha vidondo mdomoni

  • @alimachutv6297
    @alimachutv6297 Жыл бұрын

    Tuna pataje namba za simu

  • @kambalegulbert210
    @kambalegulbert2102 жыл бұрын

    Sasa ndugu yangu bibi yangu ana tubu kubwa dawangani

  • @raymondbudodi4766
    @raymondbudodi47662 жыл бұрын

    Mimi pia nateseka Sana na hii shida,Aisee Dr.nakupataje?

  • @mahmoudsaleh230

    @mahmoudsaleh230

    2 жыл бұрын

    Raymond budodi . Vip umeenda hospital kuchek

  • @halimamvungi1

    @halimamvungi1

    2 жыл бұрын

    @@mahmoudsaleh230 MLOGANZILA mi nimeenda leo

  • @mgangaevarist9760

    @mgangaevarist9760

    2 жыл бұрын

    @@halimamvungi1 vp umepata huduma?

  • @tumpemwaijande807
    @tumpemwaijande8074 жыл бұрын

    Mimi nilifanyiwa kipimo cha endoscopy niliambiwa ninamichubuko kwenye koo la chakula na njia ya chakula imesababishwa na asidi nyingi tumboni nikapewa dawa lakini hakuna mafanikio naomba msaada nateseka kwani mpk sasa meno yote yanauma na masikio yanaziba

  • @b2kmohammed202

    @b2kmohammed202

    3 жыл бұрын

    Na mm pia nna hilo ttzo hata cjui nifanyeje

  • @neemaeppah2992

    @neemaeppah2992

    3 жыл бұрын

    Ulifanyiwa wapi mm muhanga

  • @tumpemwaijande807

    @tumpemwaijande807

    3 жыл бұрын

    @@neemaeppah2992 nilifanyiwa hospital ya ikonda

  • @neemaeppah2992

    @neemaeppah2992

    3 жыл бұрын

    Pole sana

  • @tumpemwaijande807

    @tumpemwaijande807

    3 жыл бұрын

    @@neemaeppah2992 vp wangu ulipata shuruhisho la tatizo lako my dear?

  • @copacabannaswax5061
    @copacabannaswax50614 жыл бұрын

    Nilikuwa naizo dalili zote nashukulu nimepona kabis asante doctar kwaelimu.

  • @sospetermsimbe6203

    @sospetermsimbe6203

    4 жыл бұрын

    uliweza kutumia kitu gani tafadhali

  • @neemaeppah2992

    @neemaeppah2992

    3 жыл бұрын

    Ulitumia nn jamani

  • @albertomary7345

    @albertomary7345

    3 жыл бұрын

    Ulifanya nn mpka ukapona

  • @tumpemwaijande807

    @tumpemwaijande807

    3 жыл бұрын

    Ulitumia dawa gani tusaidie plz tuna shida sana

  • @copacabannaswax5061

    @copacabannaswax5061

    3 жыл бұрын

    @@tumpemwaijande807 ok inatakiwa kwanza uende hosp kwasababu shid zimetofautian,ili kuangalia ukubwa watatizo lako lipo kiasi gani ndi unapewa dawa kulingan natatizo lako.waone madoct kinywa na masiki na pua tatizo lako litakwisha.

  • @wilsonemanuel9915
    @wilsonemanuel99152 жыл бұрын

    Jena nikila mbonga mbonga kwa wingi Vp hapo

  • @sakinahamza5325
    @sakinahamza5325 Жыл бұрын

    Mm kidg nafuu mana ilikuwa hatali wamenitowa mpk matonses vidonda vya tumbo shikamoo

  • @apainyange8512

    @apainyange8512

    Жыл бұрын

    Ukitumia dawa gani jamani

  • @apainyange8512

    @apainyange8512

    Жыл бұрын

    Tusaidiane

  • @DaynaTemba

    @DaynaTemba

    10 ай бұрын

    Tusaidie jamani na sisi

  • @jasminisharifu7446
    @jasminisharifu7446 Жыл бұрын

    Huyu Dr.uhakika anchokielezea ni vitu vya kwel kabisa

  • @marysilver7550
    @marysilver75503 жыл бұрын

    Dr mi koo linanikauka sana na matonsi pia

  • @saidhatibu9565

    @saidhatibu9565

    3 жыл бұрын

    Kama mm

  • @tinahwilliam1918

    @tinahwilliam1918

    Жыл бұрын

    Mimi piah

  • @rosehaule6765

    @rosehaule6765

    5 ай бұрын

    Huyu Dr yupo.mluganzila hosp nenda hapo muulizie😂😂 pole

  • @marymaleko5377
    @marymaleko53779 ай бұрын

    Hogereni tunaomba huduma yenu kuwapata kukoje.

  • @jamilaayahya650
    @jamilaayahya6502 жыл бұрын

    Docta naomba unisaidie niandikie dawa mipo mwanza

  • @zulpharashid3376

    @zulpharashid3376

    Жыл бұрын

    Mambo ulifanikiwa kumpata doctor ?

  • @MarianaMwansanga-tz5ho
    @MarianaMwansanga-tz5ho9 ай бұрын

    Loo! Nina miezi 8 kooni kama kuna kitu limekwama makohozi alafu hayatoki koo Kukauka mwili unaisha nguvu joint zinaregea

  • @user-zz4lz3jb9w

    @user-zz4lz3jb9w

    4 ай бұрын

    Matibabu yake ya ges sijayaelewa

  • @dinacharokiwa4849
    @dinacharokiwa4849 Жыл бұрын

    Huo mziki uatupotezea kumsikiliza vizur doctor

  • @karimkassam571
    @karimkassam5719 ай бұрын

    Tumia homa prozo

  • @user-ss7ks3no9n
    @user-ss7ks3no9n5 ай бұрын

    Doctor iko kipimo huwa ni shingapi ukipiga cm hupokei

  • @nembua
    @nembua2 жыл бұрын

    Doctor naomba namba yako tafadhali

  • @cialyzool8949
    @cialyzool89492 жыл бұрын

    Jmn mm acid inantesa,,, mwil unaishiw nguv moyo unaend mbio nahs kma nakosa pumz , Kuna muda nashindwa kubeua ..tusaidiane kitu gn kinasaidia kupunguz acid

  • @emmaculetemussa4619

    @emmaculetemussa4619

    2 жыл бұрын

    Yn wewe ni mm mpaka nakuwa nahis kufa

  • @immakulethamussa1601

    @immakulethamussa1601

    Жыл бұрын

    Jmn wewe kama mm mpaka moyo umeanza moyo umeanza kulipuka mwili unaishiwa nguvu kichwa kinauma kiufupi CNA Aman kabisa

  • @MariamMariam-of9mr

    @MariamMariam-of9mr

    Жыл бұрын

    Kama Mimi jamani

  • @marthapeter8246

    @marthapeter8246

    Жыл бұрын

    @@MariamMariam-of9mr kama mimi jamani nateseka sana

  • @ummuhamadi9217

    @ummuhamadi9217

    7 ай бұрын

    Mm pia jmn nasteseka

  • @nurukiukila7862
    @nurukiukila7862 Жыл бұрын

    Mimi nina hiyo shida ya acd inaninyima raha

  • @muhammedwakif6216

    @muhammedwakif6216

    Жыл бұрын

    Pole

  • @rezegerezege691
    @rezegerezege6913 жыл бұрын

    Dr. Tusaidie namba tunaumwa yaani hadi 😭😭😭 nipo Oman

  • @maulidharunamaulid7076

    @maulidharunamaulid7076

    3 жыл бұрын

    Unafanya kazi Oman sehem ngani

  • @mercymercy8830
    @mercymercy88302 жыл бұрын

    Doctor mm na sikia kitu ikipada na kuteremka.alafu kwa koo na sikia kama kitu imekwama kwa koo.naeza Tumia dawa gani niko mbali

  • @sakinahamza5325

    @sakinahamza5325

    2 жыл бұрын

    Nicheck mamy

  • @mwahijasammata4334

    @mwahijasammata4334

    2 жыл бұрын

    Mawasilano

  • @mgenirama2305

    @mgenirama2305

    Жыл бұрын

    Ulipata s Dawa

  • @veronicangalula

    @veronicangalula

    Жыл бұрын

    @@sakinahamza5325 mambo

  • @fildausally5855
    @fildausally58554 жыл бұрын

    Dr tunaomba namba zako weng tuko na shida hiyo

  • @dafrosaprosper7165

    @dafrosaprosper7165

    4 жыл бұрын

    POLE SANA NO YA DACTARI HII 0713 159133

  • @dafrosaprosper7165

    @dafrosaprosper7165

    4 жыл бұрын

    POLE SANA NO YA DACTARI HII 0713 159133

  • @johnmwangove9928

    @johnmwangove9928

    4 жыл бұрын

    Hii namba haipo hewani tunaomba namba nyingine

  • @rosedickson8202

    @rosedickson8202

    2 жыл бұрын

    Daaa

  • @fildausally5855
    @fildausally58554 жыл бұрын

    Inakaribia mwaka nik na hali hii Dr msaadaa wako

  • @ezekielmgao5860
    @ezekielmgao5860 Жыл бұрын

    Ezeboy

Келесі