MEDICOUNTER: HATARI YA KUZIDI KWA KIWANGO CHA ASIDI TUMBONI
Unajua kuwa unaweza kupata ugonjwa wa koo huku chanzo kikiwa ni asidi iliyopo tumboni?
Unakijua kiwango cha kawaida cha asidi kinachopaswa kuwepo tumboni?
Je, matumizi ya dawa za koo bila kujua kuwa chanzo cha ugonjwa kinaweza kuwa wingi wa asidi tumboni kuna madhara gani?
Ungana na Dafrosa Prosper ndani ya Medicounter akijadiliana na daktari bingwa wa magonjwa ya koo, sikio na pua, Goodlove Peter wa hospitali ya Mloganzila.
Пікірлер: 232
Asante Sana doctor nimekusikiliza kwa makini mi niko moshi.Nilikua na tatizo lakikohozi Cha mudamrefu nimetibiwa Ent nimepewa dawa Sana dawa zikiisha tatizolinajirudia nimemezeshwa kipimo kwenye Koo shida haikuonekana na maranyingi nakohowa usiku nilala mwiliukisha rest.Baadaenilikuja kupatwa na vidonda vya tumbo hadisasa nimefuata mashart ,nimetumiwa dawa nimemapata nafuu Kuna muda nacheua kitukichungu Sana.Shida kubwa ninayo ipata ninasikia vibaya mwlini Hadi kichwani hatakama siumwikokote mwili haurudi kawaida Naomba ushauri wako doctor hii Hali imeniadhirj Sana.
Dr unaeleza vizuri sana hata namba tunaiona lakini nikipiga haipokelewi kila nikipiga inatumika Na tatizo hilo linanitesa naomba Msaada wako
Wapo vizuri sana kwenye maelezo ila tiba sasa😢!!? Nyie semeni tu ukweli huu ugonjwa hauna dawa ya moja kwa moja
This Doctor🙌🙌🙌🙌
In shaa Allah Huyu doctor nikirudi Tanzanian nitamtafuta maelezo yake mazuri Sana
Up mziki unazidi sauti ya Doctor
Daktari bingwa ni bingwa tu , nimemuelewa vzr sana
Asante Mimi tonses zimevimba Kwa ndan jaman dawa naweza kupata
Safi omeongea vzr sana doctor (Baba Chelsea
@sophiamsumi1682
2 жыл бұрын
unamjua mbona simu haipatikan ana hospital yake tumfate
@FadhilaAbrahman
Жыл бұрын
Tuambie basi tumfate wap
Nimejifunza vizuri
Maheka heka haya Mungu atusaidie tu sababu yy ndio mwenye spare za miili yetu. Mm hili tatizo limenitesaaa mno mara madaktari wengine waseme ni asidi mara wengine ni vidonda hata siwaelewagi Mungu tu asaidie
@HalimajumaKhamis
5 ай бұрын
Vp ulipona
@hidayaswai3119
5 ай бұрын
@@HalimajumaKhamis hivyo hivyo tu wakati mwingine vinasumbua wakati mwingine nipo sawa. Yaani hivyo ndg yangu
Namba ulioitoa kila nikipiga majibu inatumika sasa Mimi niliomba kuhusu tatizo la acid Mimi ninalo Na kikohozi cha muda kipo natamani nikuone wewe mwenyewe
Asante sana nimekuelewa sana mm nilikua ninayo iyo ila nilikula matunda sana ikapungua? Jeukila matunda kwasana Vp hapo
Yaani leo nimekutana na somo linalonisumbua🤔 xray nimepigwa za kutosha! Hivi karibuni nimeambiwa ninavidonda vya tumbo dawa natumia za vidonda vya tumbo lakini wapiii. Mwaka wa 2 sasa ni kukohoa tu😭😭😭 dr help me
Doctor naomba nisaidie kwa hapa Arusha nitawapataje Hilo tatixo ni la muda mrefu nimeenda kila hospital wameshindwa
Sasa tiba ya acid ni ipi
Asante sana kwa kazi inzuri. Number yako dactari. Mimi niko Kenya.
Nakupataje doc
Miito obrigado Azama tv
Umeelezea vzr mnooo,lkn mbona cm hampokei jmn madaktari wanajua kuringa na fani zao.
Tunaomba muwe mnatuondolea huo mziki madaktari wakiwa wanaongea
@easherfaith6466
4 жыл бұрын
Dr.tunaomba no jamani tunaumwa
@agnesmwita2474
3 жыл бұрын
@@easherfaith6466 ulipata namba ya huyo doctor dia?
@pudensianachristopher6239
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Dr. Tuandikie izo dawa tukanunue wengine tuko mbali
Dr mim nina shida na ww napataje namba zako?
Mm ninashida iyooo nakupatajee
Mnapatika wapi?
Msiwe mnaweka miziki anapokuwa anaelezea dokta maana usikivu unaatofautiana Kati yetu
Naomba. Number za simu. Tafathali
Shukrani
Ni miezi sita Sasa nahangaika bila mafanikio,nahisi kama kohozi kooni ,ukitoa halitoki,ukila nikama chakula kinakwama,na kupaliwa ovyo ovyo
Jamani mnaporusha vipindi muhimu km hv mnatoa namba km huyu dkt wengi tunashida tunataka tumueleze matatizo yetu hatujui tutampataje namba mlio weka hapo haipatikani
DOCTOR mbona hamutuwekei no ya ya wastApp sasa sisi ambao tuko mbali cm haingii paka wastApp ukinagalia number nyingj ni call zakawaida tufanyeje ss
Tunaomba no ya doct
Noted
Niko na hili tatizo miaka mingi sana naomba msaada.
@sadamsilu6615
Жыл бұрын
Ulipona ww
Dr Nina tatizo Hilo na ni muda mrefu naomba namba yako tafadhal
Tibayake ninini?
Badilishen namba za simu Mnazo zitoa kwani ni zangu
Mm naitwa anna nipo dar es salaam naumwa tumbo atari usiku silali nimepiga utrasaund mbili nimeambiwa ni vidonda vya tumbo pia aside nyingi dawa nimemaliza ila bado tumbo lina niuma sana naomba msaada
@HalimajumaKhamis
6 ай бұрын
Umepata dawa
Hongera sana Dr kwa kutuelimisha. Mimi nina shida hiyo naombA niandikie da
Namba.....
Mimi koo langu linashida iv sicheuwi vzuli km vile limeziba ivi navyokula chakula maji y kunywa yawe jilani sijajua titzo nini nisaididie dr
@sakinahamza5325
2 жыл бұрын
Umepona mwenzang
Sas tuskiliza vinanda aw doctor vinanda vyann wakat sis tnaskikiza doctor vile anatuambia
Jaman tunaomba namba ya huyu Dr au tuelekezeni hospital aliyopo na jina lake pia
@kelvinchaula5075
2 жыл бұрын
Hata ukipewa no.yake kuipokea Simi yako kaziipo
@halimamvungi1
2 жыл бұрын
Nenda hospital ya MLOGANZILA ,sema nata kuona daktari speshalist wa Koo ,au kama unamtakq huyo anaitwa Doctor mfuko
Dr namba haipatikan, namm ninahili tatizo, naomba Nijue upo hospital gn
@halimamvungi1
2 жыл бұрын
Hio namba sio ya Dakari ,ni namba MEDICAUNTA, ila ukiwacheki what's up anajibu
Hiyo namba haipokelewi
Ahsante dr tunaomba no yako ya simu
Doctor naomba namba ya sim manake mie sipati amani kakiba kwa tatizo ili ninalo na pia niko huku zanzibar
@emmanuelshadrack4614
2 жыл бұрын
Hello
@mahmoudsaleh230
2 жыл бұрын
Zuwena namoo . Habar ulishakwenda hospital kupimwa tatizo lko.
Huyu dr anapatikana kwa no ipi
Naomba namba yako Dr
Natatizo hilo
Dokta namshukuru na mimi kija a wangu anatatizo hilo upo dar sehemu gani
Godd
Dokta naomba namba yako nikwelekeze kwa umakini Sana kuusu vidonda vyangu Mimi ya vimekisili
Naomba namba ya doktari tafadhali🙏
Mxiki wa nini tena jaman..tunataka kumsikilizs dokta sio kelele za mziki....
Doctor samahan Bibi yangu anasumbuliwa Sana na tatizo la tumbo kujaa gesi imesababisha Hadi koo imekuwa na vidonda na sasa hv anashindwa Kula kitu chochote je nifanye nini niweze kumsaidia aweze kupona
@sakinahamza5325
2 жыл бұрын
Bb amepona
@futureboss6315
Жыл бұрын
rehema dickson kwel
Jamani naomba namba yako Dr please
Niko na hiyo shida kwa miyaka 16 nashindwa kupumua kila ifikapo usiku haswa naweza kuwapata wapi plz
@mahmoudsaleh230
2 жыл бұрын
Pole xana
@mwanasaidi5092
Жыл бұрын
Vp ulipona
docta mimi nina tatizo hilo pia naomba no yako
Dokta naomba namba nikwelekeze kwa umakini
Je acid ikiwa nyingi mwilini, inaweza kusababisha vichomi kwenye moyo na presha kupanda ?
@lovederyare6756
2 жыл бұрын
Ndy mwaya nilipata hali kama hyo ila nikakaa sawa
@annamartine9854
2 жыл бұрын
@@lovederyare6756 ulitumia nn
@lovederyare6756
2 жыл бұрын
@@annamartine9854 amoxxiline 4 na omeprazole 1 asubuh na jioni kwa cku 10..
@lovederyare6756
2 жыл бұрын
@@annamartine9854 kama una vidonda vya tumbo lakin ndo unatumia dozy hiyo
Tunna shids nying tusaidie
Dr. Dawa yake ninini
Doct mim Nina aliyakuwkama ninamabak kweny koo nitakuptje
Namba dockt
Tumsikilize daktari au instrument
Dr naww basi upoke simu watu wanamatatizo umeweka namba lakini upokei kaah😢
Tunaomba namba yako dr, tunashukuru, ila hili ttz naona madr wengi hawalijui tiba yake.
@dafrosaprosper7165
4 жыл бұрын
POLE SANA NO YA DACTARI HII 0713 159133
@isentrudikomba5825
4 жыл бұрын
Naomba namba tafadhali
@roselynerwezaula8519
2 жыл бұрын
Jamani jamani docta kwenye watu wakusaidia zaidi nimimi .yaani ukiniangalia ulimi utakimbia.sauti ilishabadilika meno yanaoza nimeshangoa meno matano .nikupate je jamani .Doctor watoto wangu ni wadogo sana
Habari doctor. Mimi ninalo Hilo tatizo na pia Niko Oman unaweza kunisaidiaje angalau nipate advice. Kwa kweli madoctor wengi hawayajuwi hayo.
@neemaeppah2992
3 жыл бұрын
Kabisa wengi hawaelewi ,wanaishia kutupa midawa tuuu mpaka nimechoka
@aishakhadija4002
3 жыл бұрын
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh VP ruqaya ulipata ushauri kuhusu acid unisaidie na mm please
@rosedickson8202
2 жыл бұрын
Nishada
7
Nataka namba zako
Sorry tunaomba namba za uy doc
Dokta naomba namba yako jamani me nadalilizote nisaidie mimi jamani
Venye unaelezea ndivyo nahisi,,,,nielezee niwapi nitakupata
Madoctor wengi awajui
Nisaidieni
Je vinaweza sababisha vidondo mdomoni
Tuna pataje namba za simu
Sasa ndugu yangu bibi yangu ana tubu kubwa dawangani
Mimi pia nateseka Sana na hii shida,Aisee Dr.nakupataje?
@mahmoudsaleh230
2 жыл бұрын
Raymond budodi . Vip umeenda hospital kuchek
@halimamvungi1
2 жыл бұрын
@@mahmoudsaleh230 MLOGANZILA mi nimeenda leo
@mgangaevarist9760
2 жыл бұрын
@@halimamvungi1 vp umepata huduma?
Mimi nilifanyiwa kipimo cha endoscopy niliambiwa ninamichubuko kwenye koo la chakula na njia ya chakula imesababishwa na asidi nyingi tumboni nikapewa dawa lakini hakuna mafanikio naomba msaada nateseka kwani mpk sasa meno yote yanauma na masikio yanaziba
@b2kmohammed202
3 жыл бұрын
Na mm pia nna hilo ttzo hata cjui nifanyeje
@neemaeppah2992
3 жыл бұрын
Ulifanyiwa wapi mm muhanga
@tumpemwaijande807
3 жыл бұрын
@@neemaeppah2992 nilifanyiwa hospital ya ikonda
@neemaeppah2992
3 жыл бұрын
Pole sana
@tumpemwaijande807
3 жыл бұрын
@@neemaeppah2992 vp wangu ulipata shuruhisho la tatizo lako my dear?
Nilikuwa naizo dalili zote nashukulu nimepona kabis asante doctar kwaelimu.
@sospetermsimbe6203
4 жыл бұрын
uliweza kutumia kitu gani tafadhali
@neemaeppah2992
3 жыл бұрын
Ulitumia nn jamani
@albertomary7345
3 жыл бұрын
Ulifanya nn mpka ukapona
@tumpemwaijande807
3 жыл бұрын
Ulitumia dawa gani tusaidie plz tuna shida sana
@copacabannaswax5061
3 жыл бұрын
@@tumpemwaijande807 ok inatakiwa kwanza uende hosp kwasababu shid zimetofautian,ili kuangalia ukubwa watatizo lako lipo kiasi gani ndi unapewa dawa kulingan natatizo lako.waone madoct kinywa na masiki na pua tatizo lako litakwisha.
Jena nikila mbonga mbonga kwa wingi Vp hapo
Mm kidg nafuu mana ilikuwa hatali wamenitowa mpk matonses vidonda vya tumbo shikamoo
@apainyange8512
Жыл бұрын
Ukitumia dawa gani jamani
@apainyange8512
Жыл бұрын
Tusaidiane
@DaynaTemba
10 ай бұрын
Tusaidie jamani na sisi
Huyu Dr.uhakika anchokielezea ni vitu vya kwel kabisa
Dr mi koo linanikauka sana na matonsi pia
@saidhatibu9565
3 жыл бұрын
Kama mm
@tinahwilliam1918
Жыл бұрын
Mimi piah
@rosehaule6765
5 ай бұрын
Huyu Dr yupo.mluganzila hosp nenda hapo muulizie😂😂 pole
Hogereni tunaomba huduma yenu kuwapata kukoje.
Docta naomba unisaidie niandikie dawa mipo mwanza
@zulpharashid3376
Жыл бұрын
Mambo ulifanikiwa kumpata doctor ?
Loo! Nina miezi 8 kooni kama kuna kitu limekwama makohozi alafu hayatoki koo Kukauka mwili unaisha nguvu joint zinaregea
@user-zz4lz3jb9w
4 ай бұрын
Matibabu yake ya ges sijayaelewa
Huo mziki uatupotezea kumsikiliza vizur doctor
Tumia homa prozo
Doctor iko kipimo huwa ni shingapi ukipiga cm hupokei
Doctor naomba namba yako tafadhali
Jmn mm acid inantesa,,, mwil unaishiw nguv moyo unaend mbio nahs kma nakosa pumz , Kuna muda nashindwa kubeua ..tusaidiane kitu gn kinasaidia kupunguz acid
@emmaculetemussa4619
2 жыл бұрын
Yn wewe ni mm mpaka nakuwa nahis kufa
@immakulethamussa1601
Жыл бұрын
Jmn wewe kama mm mpaka moyo umeanza moyo umeanza kulipuka mwili unaishiwa nguvu kichwa kinauma kiufupi CNA Aman kabisa
@MariamMariam-of9mr
Жыл бұрын
Kama Mimi jamani
@marthapeter8246
Жыл бұрын
@@MariamMariam-of9mr kama mimi jamani nateseka sana
@ummuhamadi9217
7 ай бұрын
Mm pia jmn nasteseka
Mimi nina hiyo shida ya acd inaninyima raha
@muhammedwakif6216
Жыл бұрын
Pole
Dr. Tusaidie namba tunaumwa yaani hadi 😭😭😭 nipo Oman
@maulidharunamaulid7076
3 жыл бұрын
Unafanya kazi Oman sehem ngani
Doctor mm na sikia kitu ikipada na kuteremka.alafu kwa koo na sikia kama kitu imekwama kwa koo.naeza Tumia dawa gani niko mbali
@sakinahamza5325
2 жыл бұрын
Nicheck mamy
@mwahijasammata4334
2 жыл бұрын
Mawasilano
@mgenirama2305
Жыл бұрын
Ulipata s Dawa
@veronicangalula
Жыл бұрын
@@sakinahamza5325 mambo
Dr tunaomba namba zako weng tuko na shida hiyo
@dafrosaprosper7165
4 жыл бұрын
POLE SANA NO YA DACTARI HII 0713 159133
@dafrosaprosper7165
4 жыл бұрын
POLE SANA NO YA DACTARI HII 0713 159133
@johnmwangove9928
4 жыл бұрын
Hii namba haipo hewani tunaomba namba nyingine
@rosedickson8202
2 жыл бұрын
Daaa
Inakaribia mwaka nik na hali hii Dr msaadaa wako
Ezeboy