Mchungaji agombana na mzee wa kanisa baada ya kusema Yesu ni Mungu kimeumana mbele ya waisilamu

Пікірлер: 58

  • @maspro6294
    @maspro629411 ай бұрын

    Shekh Salum Waislam tunapenda unacho kifanya ila nakupa tahadhari wachungaji na maaskofu hawapendi unacho fanya wana weza kukudhuru pls vaa miwani safety za macho kuzua kumwagiwa Acid au kumwagiwa chochote pls 🙏

  • @dulividuli5237

    @dulividuli5237

    10 ай бұрын

    Kumbuka kwamba Mtume wetu alipigwa mawe na kung'olew meno kwa kazi hii na hii ni jihadi ytu sas ww uogope kufanya kaz ya Mungu kwa kuwaigopa watu ni sawa na wale waliokimbia kufa kwnye jihadi hautakuw tofaut nao mlinzi wtu ni Mungu pekee

  • @LilyKangethe-hw2bw
    @LilyKangethe-hw2bw11 ай бұрын

    Mashallah... Takbir Allah Akbar 🎉 . Yaani amejua watu wakijua ukweli washirika, watapiga bye bye 😂😂😂😂 aki Nawapenda Kwa ajili ya Mungu .Allah ❤Akbar😊.

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    11 ай бұрын

    Tunakupenda kwa ajili ya Allah

  • @MrKeyvo

    @MrKeyvo

    11 ай бұрын

    Masha Allah ni ukumbusho mdogo tu ndugu yangu kwa anwani Yako ni sahihi kusema Allahu Akbar ukisema Allah Akbar ni kusema Mungu kubwa. Afuan lakini

  • @LilyKangethe-hw2bw

    @LilyKangethe-hw2bw

    11 ай бұрын

    @@MrKeyvo 🧕👏

  • @user-dy4qf7uj2x

    @user-dy4qf7uj2x

    9 ай бұрын

    Mashaallah , Allahu Akbar

  • @hirewarsame5992
    @hirewarsame599211 ай бұрын

    Mashallah Sheikh Salim I feel like crying 😢😢 coz of satisfaction and contentment upon how you justify Oneness Of Allah ❤

  • @abcfisheries2865

    @abcfisheries2865

    11 ай бұрын

    Yes, i agree. And he is supported beautifully by fellow Ustads, Karioki and Ali. Thanks to Cameraman and other Teachers who are carrying the Books for the Team! Alhamdulillah for Islam!

  • @Sal.0

    @Sal.0

    7 ай бұрын

    SubhanAllah!

  • @abcfisheries2865
    @abcfisheries286511 ай бұрын

    Yule Kijana pamoja na huyu Pastor, ni Time Wasters! Muli fanya vizuri kum ignore huyu Kijana leo pia! Ni time waster! Ustad Karioki needs Glasses. Tufanyeni Mchango tafadhali! TabarakAllah Team, na Vijana waku bebea Korani na Vitabu!

  • @user-ng1po1dh4z
    @user-ng1po1dh4z5 ай бұрын

    Muelimishe huyo😂😂😂ataelewa tu. (Walio wengi, huenda Kanisani kuimba na kucheza tu. (Itimisho Wachungaji kuwatapeli pesa yao, eti Sadaka) MWENYEZI MUNGU TUNUSURU.

  • @hassansharif9216
    @hassansharif921610 ай бұрын

    Masha Allah. May the almighty Allah bless your work and reward you guys here in dunia and here after.

  • @Adm9464
    @Adm946411 ай бұрын

    He gave up after losing the battle ameona haki na kujua Yesu si Mungu bali mtume wa Mungu

  • @suleimanmuntari5486

    @suleimanmuntari5486

    11 ай бұрын

    Asante sanaa 🫡

  • @tasmimcreatives
    @tasmimcreatives11 ай бұрын

    Kazi nzuri mashekhe

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar67711 ай бұрын

    Assallam aleikum leo nimechelewa lakini nimewahi nawapenda wote kwa ajili ya Allah kazi njema kabisa

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    11 ай бұрын

    Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh tunakupenda kwa ajili ya Allah

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele69411 ай бұрын

    😂😂😂 pastor apandwa na mori , alizowea kudanganya watu kanisan

  • @hamisijm8437
    @hamisijm843711 ай бұрын

    Assalahm alahykum warahmatullah . Allahy Azidikuwapitia nguvu juu ya wislamu . Kwa ndunguzetu

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    11 ай бұрын

    Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh amiin amiin amiin sote

  • @janieali5521
    @janieali552111 ай бұрын

    MashaAllah Tabarak Allah, asanteni Masheikh kwa kuwanyoosha hao wakristo

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack61806 ай бұрын

    Watu km nyinyi km ningekuwa na uwezo ningemuomba Mungu akuongezen miaka ya kuish zaid ya elf 2,napenda sn mnacho kifanya nyie ndio mmefanya mm mpk nikasilim😭😭😭😭😭😭😭😭😭Mungu awaongoze leo na kesho Akhera

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    6 ай бұрын

    Aamiin amiin amiin sote

  • @huseinshedrack6180

    @huseinshedrack6180

    6 ай бұрын

    @@salimdaawah123 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @zeindaws6643
    @zeindaws664311 ай бұрын

    MashaAllah ma ikhwa ujumbe usambaee kote kwa wahusika bila shaka ALLAH IBARIQ

  • @mwanamtotosaid702
    @mwanamtotosaid70211 ай бұрын

    Masha Allah

  • @mohameddeeqhalane9420
    @mohameddeeqhalane942011 ай бұрын

    Jazakumulah kheran

  • @sweetylove9918
    @sweetylove991811 ай бұрын

    Mashallah kazi nzuri mnayoifanya Allah awalipe pepo

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    11 ай бұрын

    Aamiin amiin amiin sote waisilamu Allah atupe jannatul firdaus

  • @sadickkagoma5297
    @sadickkagoma529711 ай бұрын

    Allahu Akbar

  • @beardedalade
    @beardedalade11 ай бұрын

    Wakristo enyewe wamechanganyikiwa

  • @Sofia-rf6nd

    @Sofia-rf6nd

    11 ай бұрын

    Na hawataki kuelewa ukwl

  • @ibruzah001
    @ibruzah0015 ай бұрын

    Allahu Akbar ❤

  • @Adm9464
    @Adm946411 ай бұрын

    Pastor amehepa after ranting uwongo. He did not want to lose the battle.

  • @sheemaryam
    @sheemaryam11 ай бұрын

    Jamaa karopokwa LAKINI hakutoa andiko LA yesu alikuwa ni mungu

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim686611 ай бұрын

    Ustadhi Salim wape doze yao watumbuwe majipu yao wavumilie kutumbuliwa majipu yao na wavumilie uchungu wa kutumbuliwa

  • @shamsiyasalim6866

    @shamsiyasalim6866

    11 ай бұрын

    Ustadhi Salim watumbuwamajipu niuchungu ila itabidi wavumilie maumivu yakutumbuliwa majipu

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    11 ай бұрын

    Lazima tuwafikishie kazi yetu kufikisha tu ujumbe inn shaa Allah

  • @alijuma1815
    @alijuma181511 ай бұрын

    SALIM MBONA ALI SIMUONI LAKINI NI MZIMA

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    11 ай бұрын

    Yeah yuko tu anaangalia mambo ya nyumbani kindogo

  • @zainababdulrahmankarisa6273
    @zainababdulrahmankarisa627311 ай бұрын

    ALLAH amuongozee hyo mzee

  • @twaine40
    @twaine4011 ай бұрын

    Maa Shaa Allah

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim686611 ай бұрын

    Wewe ikiwa na jipu lilo IVA dawa ni kutubwuliwa na ukitubwuliwa tulia upate doze yake vumilia maumivu ni uchungu

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid235611 ай бұрын

    💞💞💞💞💞💞💞💞

  • @isaa_ogutu
    @isaa_ogutu4 ай бұрын

    Apostle is very incompetent.....hawa ndo watu ambao wanadanganya watu kanisani na wakijua ukweli wanapandishwa na mori😂😂😂

  • @loner_wolf
    @loner_wolf2 ай бұрын

    sasa bro , wanafunzi wa mcheza karate wakimwambia mwalimu wao shuhudia tumekwiva ,watakuwa wamekwiva juu ya kitu tofauti na kile walichofundishwa na mwalimu wao , na mwalimu atafundisha kitu ambacho hakiamini...?

  • @luvmo04
    @luvmo0411 ай бұрын

    Hata ukiwa una elimu kiasi gani ukiwa na imani za kikiristo unakuwa kama akili zako haziko sawa unaongea vitu kama umerukwa na akili maana mejazwa uzushi wa makanisa

  • @suleimanmugoya8167

    @suleimanmugoya8167

    11 ай бұрын

    💯👌

  • @Sal.0
    @Sal.07 ай бұрын

    Katika Isaiah 9:6, huyo 'mtoto' alio PEWA, already ASHA ZALIWA, wakati wa Isaiah! Present Tense, tena mara mbili. Isaiah 9:6 "For to us a child IS born, to us a son IS given, and the government will be on his shoulders." Therefore, Isaiah 9:6, SIO utabiri WOWOTE! Just ONE of the many NONSENSE Verses, katika Biblia la Wazungu. Sawa?

  • @zohramariga6678
    @zohramariga667811 ай бұрын

    Asalamu alakumu mashala kazinzuri

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    11 ай бұрын

    Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @kadiriosmam
    @kadiriosmam11 ай бұрын

    Asalam aleikum warakhmatullah

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    11 ай бұрын

    Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @riziwanirashid9133
    @riziwanirashid913311 ай бұрын

    Asalaam Aleykum warahmatullah wabarakatuh Allah akuzidishieni kwani mnafanya kazi kubwa sana kwani Wakiristo wamelishwa sumu kali sana mpaka umueleweshe mpaka akuelewe inataka kazi ya ziada

  • @salimdaawah123

    @salimdaawah123

    11 ай бұрын

    Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh wataelewa tu inn shaa Allah

  • @kawtharalbarwani1337
    @kawtharalbarwani133711 ай бұрын

    Allah awabariki masheikhe wetu kila la kheir na baraka InshaAllah amiin

  • @loner_wolf
    @loner_wolf2 ай бұрын

    sasa bro , wanafunzi wa mcheza karate wakimwambia mwalimu wao shuhudia tumekwiva ,watakuwa wamekwiva juu ya kitu tofauti na kile walichofundishwa na mwalimu wao , na mwalimu atafundisha kitu ambacho hakiamini...?

Келесі