Mch Moses Magembe - KITABU CHA YOELI | SEMINA YA VITABU 12 VYA MANABII WADOGO
Ibada ya Jumapili jioni katika kanisa la Gospel Campaign Centre TAG Majumbasita ukonga-Dar es salaam, chini ya Mch Moses Magembe.
Ujumbe: KITABU CHA YOELI
Andiko: YOELI 1
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 29.10.2023
Пікірлер: 14
Hii shule ni kali mno baba Mungu akubariki maana napenda sana shule kama hii.
Amina Babu yangu Nikuombeee KWA MUNGU UISHI MAISHA MAREFU UTUSAIDIE AKILI KWANZA ZANGU MAANAA ZIMEKWISHAAA KABISAAA NA ZINAHITAJI UKARABATI 😢😢 Yaanii sijawahi KURARUA MOYO 😢
Tafadhali sisi tunafuatilia mafundisho,mahubiri pamoja na maombezi. Jaribu kurebisha shida kuhusu mtandao. Ahsanteni.
Watu wa media mnaboa sana haiwezekan somo ni zuri mnaharibu
Amen
barikiwa baba
Amen❤
Amina Amina
🙏
Jaman tunawafuatilia online sasa shida mitambo inakatikakatika iwekeni sawa watumishi wa MUNGU
Wantu wa media mutusaidiye
Mafundi vp
Sasa nimeelewa kwamba wanaopinga Thiolojia hawajui maana ya neno Theology.
Amen