MBOSSO AFUNGUKA A - Z CHANZO CHA BIFU LAKE NA ASLAY - "NI UPUUZI TU/WANAWAKE"
Ойын-сауық
MBOSSO AFUNGUKA A - Z CHANZO CHA BIFU LAKE NA ASLAY - "NI UPUUZI TU/WANAWAKE"
MSANII kutoka Lebo ya WCB, Mbosso, amefanya mahojiano na kipindi bora cha burudani nchini 'REFRESH' na kufunguka mambo mengi ikiwemo kuvunjika kwa kundi la Yamoto Band, ukweli juu ya kupendelewa na bosi wake Diamond Platnumz na kubwa zaidi ni juu ya bifu lake na aliyekuwa msanii mwenzake wa kundi la Ya Moto Band Aslay.
Mbosso pia ametaja baadhi ya kolabo alizofanya ambazo zimefanya vizuri sana na kusema wimbo uliondaliwa na Beka Fleva ili washirikiane haukuwa na viwango. Wasanii aliofanya nao kolabo ni pamoja na Zuchu (ambaye anatamba na nyimbo za JARO na FIRE), Tanasha Donna na nyingine nyingi.
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 328
mbosso ni msanii smart
@slimmuhabesh2400
2 жыл бұрын
Yes Smart
@nathaniel9378
2 жыл бұрын
@@slimmuhabesh2400 g
@nathaniel9378
2 жыл бұрын
@@slimmuhabesh2400 fgggff
@nathaniel9378
2 жыл бұрын
@@slimmuhabesh2400 ddghff
@hadijasuleiman5350
2 жыл бұрын
Tena sana
Smart sana mbosso, amakwelii nimeamini Mungu hagawi kwa mtu wa hovyo hovyo, daaah this man motivate me, gud interview
@abdulhalimshaibu78
2 жыл бұрын
Mboso moyo
@kudrantegakaje7237
2 жыл бұрын
Nac
Mbosso is humble,cool n smart...hana kiburi huyu mboso ..na talanta ako nayo kubwa❤❤❤❤
mbosso yuko poa sana yaan Smart mnoo🙌👏👏👏my favorite
Mboso nampenda kwa nyimbo za mapenzi big up wanawake wananipenda kwa nyimbo zako hahahahaha big up
@rehemashikeli961
2 жыл бұрын
Wafurahisha🤣🤣🤣🤣🤣sababu ya kukupenda?
@mrsinia3064
2 жыл бұрын
@@rehemashikeli961 nyimbo za mbosso 🤣🤣
@kairatiswahilli7024
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@sharriffcharo1915
2 жыл бұрын
India uwe
Ni jealous bro WASWAILI wazito sana beka na aslay walidhani washashinda maisha
@isackbaton3686
2 жыл бұрын
Yes hii ni kweli
@sihamnjagi
2 жыл бұрын
Hata hivyo na wao ndio waliotoka kwanza... Sasa wameona mwenzao yuko juu ndio wakaleta wivu.. Siku zote kutangulia sio kufika.. Lastly jealousy people will never win.
@mwanafalsafa3613
2 жыл бұрын
Nanni kati yao ndio mswaili?
@dontsto3865
2 жыл бұрын
@@mwanafalsafa3613 Wewe hapo
Yupo sahihi Sana mbosso ujuwe haya maisha bwana ni hatari Sana ukiona upo juu Sasa na mwenzakonaye akiwa juu usichukizwe dizaini Asley amekunja baada ya mbosso naye kushani hii nouma sana
@welcometoeat165
2 жыл бұрын
@@rashidyally8715 don't judge book by its cover! Mnapenda kushadadia 🙄🙄🙄🙄🙄
@chrispinmkanda6097
2 жыл бұрын
@@rashidyally8715 acha kulopoka kijana alimkujia kivp Sasa alifukuzwa au aliondoka mwenyewe!?
@welcometoeat165
2 жыл бұрын
@@rashidyally8715 wewe mknd wako hauna kazi tayar Taft hela sio unaleta ushoga apa kenge maji wee
@welcometoeat165
2 жыл бұрын
@@chrispinmkanda6097 hapo Sasa
@rashidyally8715
2 жыл бұрын
@UCoQVqdIyJuTtEKDYubIINYw labda unataka kukazwa kalio linakuwasha
ukubwa alionao bado hataki kuvimba kwamba ni mlaki zaid ya aslay...sisi mashabiki ndo tunasema sasa ww ni mkali
So Siri mwenyewe nakupenda sana kupitia kazi zako, ni shabiki damu kwako, Hadi watoto wangu wananitania kuwa mboso baba Yao mdogo. Pigs kazi dogo uko vizuri
This guy has no show off scandals, very cool guy!
@simoneliabunkhay7787
2 жыл бұрын
Khlb
Namiss kuwaona yamoto wakifanya kazi pamoja furaha yangu
Ambosso Mungu azidi kukubaliki kwa wazo lako ya kufanya kazi na yamoto nashuku saana
We still love Yamoto Band
@estherwasike7789
2 жыл бұрын
Hio band karibu inivunjie ndoa wee wacha Tu but I thank God Niko na nyimbo zao zote
@wasikedenis
2 жыл бұрын
@@estherwasike7789 karibu ikuvunjie aje
@felistersmejumaa5188
2 жыл бұрын
@@estherwasike7789 🤣🤣🤣 Eeeeeh kumbe
@ciciliakhabosa6627
2 жыл бұрын
@Esther wasike Eeh mwana wefwe pole,😂😂
mbosso ni mkweli sana namkubali
Salute..Bro 🇰🇪🇰🇪 Mboso
Wow sawa mbosso ❤️❤️❤️😂😂😛❤️❤️❤️❤️👏👏
Big mind, akili kubwa mbossoGood Bro.
Mbosso hana kiki kama wa sanii wengne nakupenda sana 💕❤️
aslay mtoto sana kwako.mbosso kama ameamua kukinukisha we achana nae
Nimekuelewa mboso big up sana aslay alianza muda ila upo juu
Mimi niko uganda mwana kweri mbosso kazi zako noma Sana
King Mbosso 👑
Nimekupenda sana mboss yan wasanii ote wangekua kama ww bs mziki wet ungefika mbali sana
Banaa mbossoo n mwenye moyo wenye imani n roho yenye kupenda watu wote mbosso ONE LOVE MY BIG BROTHER🥺🤟🥰
Tajiri wa mbegu ..nmecheka atar😂
Mbosso is real and humble
Sema hii nyimbo ya moyo mbosso angeipiga mwenyewe au angeipiga na msanii wa taratibu kama marioo ama zuchu ingekaa pw sana hawa aliowashirikisha kuna ladha wameipoteza hii ni nyimbo ya kipwanipwani kabisa.
@zedekchamagogo1223
2 жыл бұрын
Kweli kabisa mwanangu hawa alio washilikisha dizain kama walitoka kwenye mstari hivi
@swalehesaad2692
2 жыл бұрын
@@zedekchamagogo1223 tunaomjua mbosso khan ndio tutaligundua hili hii nyimbo alitakiwa mtu wa taratibu na kama ni wa nje angekuwa dizaini ya reekardo banks
Love you Mbosso a.k.a Tajiri wa mbegu.
Umetisha sana nimekuelewa sana
Wasafi media big up 🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿
nimependa anavojieleza mbosso
We need to see you guys for one show ,,we as your fans have faith in you
Great mind,, mbosso ❤️
Napenda ulivo ba mkuu... Nenda songa mbali zaidi!
Perfect 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Nakupend boss uk smart❤
I love mbosso 💕💕,🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wallah napenda sana mboso..huwa afichi uovu...na Siku zote interview zote huwa yuongea ukwel kabisa na sina wakika kma ana chuki na mtu...na nikwel beka aliongea tofauti xna chamsingi amuombe radhi to mboso to
Nampenda sana mbosso yupo real sana....anasema enz yupo mbagala anakula MBILIMBI wkt aslay kaanza ku hit....
mboso nawapenda sana ,how iwish to meet you infact simba mwenyewe
mh mfano wa naz korona hahahaha all are the big aslay namuelewa sana it is my favourite artist and mboso
God Bless You Mbosso
@eppiemodest
Жыл бұрын
Very intelligent boy😇
Uko vzr mbosso love 💕💕💕💕 so much
Mbosso khan mushedede🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nafurahia sn jinsi mboso anavyo jibu maswali anayo ulizwa😄🥰
amuache aslay apambane huyu mwizi aslay ni talent kukushinda
But his music needs to grow beyond Africa
Mbosso hajaoa🙆♂️nko hapa nikujie hapa kenya tutingize mti😂
@tida3727
2 күн бұрын
😂😂😂😂😂wewe tulia nawe
Very smart #mboso
Mboso Alipofikia kwa sasa Ana aina ya Mziki wake ambao tofauti akiutoa tuu unajua huyu Mboso.
With me mbosso s the best musician in Africa 💯✅✅
Mbosso umekua kaka.. Huo ndio Ukubwa..... Nakukubali saaana
Brother inaweza
Smart boy wimbo na siyo wengine wanaosema nyimbo
Mbosso ❤️🥺
Siwezi kompea Aslay na Mboso, ni wakati wa mboso kushine,Aslay pia muda wake utafika...mungu hakosi mipango
Hawa yamoto Band hata sijui nn kilowasibu mpaka wengine wakapotea yani Nyimbo zao zote Hit-Song, kuliingia Jinamizi sijui gani.🤔
@azizkipitu8968
2 жыл бұрын
Tatzo alilianzisha aslay kujiona mkubwa
@sifatiiman
2 жыл бұрын
@@azizkipitu8968 wewe nae mpumbavu nini kaa kimya
@azizkipitu8968
2 жыл бұрын
@@sifatiiman 🙏
Nakupata vzl sana #AVATASTAR255
Mbosso wewe ati Tajiri wambegu😂😂👍
Wazo la mboso lilikuwa sahihi kutaka kumsaidia Enock bela Ila kwakuwa wimbo ni wa beka na anataka awe juu kupitia mboso shida ilianzia hapo Beka alishauriwa vbaya na aslay tena vbaya mno
Beka flavour ndo alikua baba lao kwa sauti nyororo
@abdulkareem7971
Жыл бұрын
Akuna mbosso
Mwanangu uko sahihi
Kweli yamoto ningali nakumbuka ngoma zao
king mbosso
One of the nice guy
Ni kweli dogo watu hutengeneza sumu sana ni upuuzi mtupu.
I love you mbosso😍😍😍
Hongera mbosso uko sahihi sn mdg wng
On fire
Ila Bado naona Kuna kaukweli👍👌
Noma😮 #tellaaxistz
Maneno ya hekima mbosso be blessed
Dogo unaweza pamban 🤙
mboso uko juu
Smart Smart
Sio story ni ukwel Simba anampenda sana Mbosso 😃 kitoto cha WCB japo mkubwa ila ni kitoto
Hakunaga sehemu watu wakaa bila kukwanza,chukua hili neno we mjinga unaedhan mkae weng afu usikie watu wamepishana, nimekuelewa Sana babu mboso.
Mboso noma sana
I still love yamoto band 🥰
Appreciate brother 💌
🔥🔥🔥
Wapi Konde boy mfalme wa mziki wa bongo
Love you mbosso
tupo sawaa
Mbosso mushedede blaza we ni mkali kinoma
Nawapenda wadogo wangu nikirudi Tanzania nitawatembelea
Msanii ni mmoja tu bongp kwa sasa ni Konde boy
@adamnasibu5931
2 жыл бұрын
Huyo ni mvuta bangi tu sio msanii
@richardrozervinbwire3510
2 жыл бұрын
Jeshiiiii.....
🗣🗣MBOSSOKHAAN ONE.NAMBA.MOJA☝
yupo sawaa dgo
🔥🔥 🔥
@davidalengaingenieur1760
2 жыл бұрын
Mmmm?
King khan🔥
Mhhh atary mbosso nakukubary sna
Mboss Khan 🔥🔥🔥
Mungu aenderee kuku wezeza
Mbosso rohoyako Safi that's why Allah ana bless Miziki yako so mwenye ankuongelea mbaya lazima ana anamatatizo ya akili Kama unavyosema Ila bro usimuache nyuma Enock Bella please bro wewe ushakuwa msanii mkubwa Sana japokuwa unandoto zako binafsi Ila tafadhali msaidie Enock pia mziki umlipe vizuri just like diamond platnumz anavyo saidia vijana wenzeke kujulikana na kupata kipato kupitia mziki na njia zengine zakibiashara.
Nakunda Sana mbosso
💞💞💞💞
Mbosso mkali sana
WCB 4life
@olivertsumake3212
2 жыл бұрын
They pay you how much?
@cleveronlinemedia820
2 жыл бұрын
@@olivertsumake3212 songs
@shodristvtv6121
2 жыл бұрын
@@olivertsumake3212 and how much you get paid for your hatred
@monahmussamonah6229
2 жыл бұрын
@@olivertsumake3212 🤣🤣
@aminata3702
2 жыл бұрын
@@olivertsumake3212 Good question
Mi mwenyewe nakukubali san mboss nakuelewa san wewe ni mkwery kabisa