MBOSSO AFUNGUKA A - Z CHANZO CHA BIFU LAKE NA ASLAY - "NI UPUUZI TU/WANAWAKE"

Ойын-сауық

MBOSSO AFUNGUKA A - Z CHANZO CHA BIFU LAKE NA ASLAY - "NI UPUUZI TU/WANAWAKE"
MSANII kutoka Lebo ya WCB, Mbosso, amefanya mahojiano na kipindi bora cha burudani nchini 'REFRESH' na kufunguka mambo mengi ikiwemo kuvunjika kwa kundi la Yamoto Band, ukweli juu ya kupendelewa na bosi wake Diamond Platnumz na kubwa zaidi ni juu ya bifu lake na aliyekuwa msanii mwenzake wa kundi la Ya Moto Band Aslay.
Mbosso pia ametaja baadhi ya kolabo alizofanya ambazo zimefanya vizuri sana na kusema wimbo uliondaliwa na Beka Fleva ili washirikiane haukuwa na viwango. Wasanii aliofanya nao kolabo ni pamoja na Zuchu (ambaye anatamba na nyimbo za JARO na FIRE), Tanasha Donna na nyingine nyingi.
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 328

  • @dereva0
    @dereva02 жыл бұрын

    mbosso ni msanii smart

  • @slimmuhabesh2400

    @slimmuhabesh2400

    2 жыл бұрын

    Yes Smart

  • @nathaniel9378

    @nathaniel9378

    2 жыл бұрын

    @@slimmuhabesh2400 g

  • @nathaniel9378

    @nathaniel9378

    2 жыл бұрын

    @@slimmuhabesh2400 fgggff

  • @nathaniel9378

    @nathaniel9378

    2 жыл бұрын

    @@slimmuhabesh2400 ddghff

  • @hadijasuleiman5350

    @hadijasuleiman5350

    2 жыл бұрын

    Tena sana

  • @norbertmakundi2305
    @norbertmakundi23052 жыл бұрын

    Smart sana mbosso, amakwelii nimeamini Mungu hagawi kwa mtu wa hovyo hovyo, daaah this man motivate me, gud interview

  • @abdulhalimshaibu78

    @abdulhalimshaibu78

    2 жыл бұрын

    Mboso moyo

  • @kudrantegakaje7237

    @kudrantegakaje7237

    2 жыл бұрын

    Nac

  • @tida3727
    @tida37272 күн бұрын

    Mbosso is humble,cool n smart...hana kiburi huyu mboso ..na talanta ako nayo kubwa❤❤❤❤

  • @dianabanga2625
    @dianabanga26252 жыл бұрын

    mbosso yuko poa sana yaan Smart mnoo🙌👏👏👏my favorite

  • @sammycharomwalili6728
    @sammycharomwalili67282 жыл бұрын

    Mboso nampenda kwa nyimbo za mapenzi big up wanawake wananipenda kwa nyimbo zako hahahahaha big up

  • @rehemashikeli961

    @rehemashikeli961

    2 жыл бұрын

    Wafurahisha🤣🤣🤣🤣🤣sababu ya kukupenda?

  • @mrsinia3064

    @mrsinia3064

    2 жыл бұрын

    @@rehemashikeli961 nyimbo za mbosso 🤣🤣

  • @kairatiswahilli7024

    @kairatiswahilli7024

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @sharriffcharo1915

    @sharriffcharo1915

    2 жыл бұрын

    India uwe

  • @dontsto3865
    @dontsto38652 жыл бұрын

    Ni jealous bro WASWAILI wazito sana beka na aslay walidhani washashinda maisha

  • @isackbaton3686

    @isackbaton3686

    2 жыл бұрын

    Yes hii ni kweli

  • @sihamnjagi

    @sihamnjagi

    2 жыл бұрын

    Hata hivyo na wao ndio waliotoka kwanza... Sasa wameona mwenzao yuko juu ndio wakaleta wivu.. Siku zote kutangulia sio kufika.. Lastly jealousy people will never win.

  • @mwanafalsafa3613

    @mwanafalsafa3613

    2 жыл бұрын

    Nanni kati yao ndio mswaili?

  • @dontsto3865

    @dontsto3865

    2 жыл бұрын

    @@mwanafalsafa3613 Wewe hapo

  • @yahyamkone5601
    @yahyamkone56012 жыл бұрын

    Yupo sahihi Sana mbosso ujuwe haya maisha bwana ni hatari Sana ukiona upo juu Sasa na mwenzakonaye akiwa juu usichukizwe dizaini Asley amekunja baada ya mbosso naye kushani hii nouma sana

  • @welcometoeat165

    @welcometoeat165

    2 жыл бұрын

    @@rashidyally8715 don't judge book by its cover! Mnapenda kushadadia 🙄🙄🙄🙄🙄

  • @chrispinmkanda6097

    @chrispinmkanda6097

    2 жыл бұрын

    @@rashidyally8715 acha kulopoka kijana alimkujia kivp Sasa alifukuzwa au aliondoka mwenyewe!?

  • @welcometoeat165

    @welcometoeat165

    2 жыл бұрын

    @@rashidyally8715 wewe mknd wako hauna kazi tayar Taft hela sio unaleta ushoga apa kenge maji wee

  • @welcometoeat165

    @welcometoeat165

    2 жыл бұрын

    @@chrispinmkanda6097 hapo Sasa

  • @rashidyally8715

    @rashidyally8715

    2 жыл бұрын

    @UCoQVqdIyJuTtEKDYubIINYw labda unataka kukazwa kalio linakuwasha

  • @dereva0
    @dereva02 жыл бұрын

    ukubwa alionao bado hataki kuvimba kwamba ni mlaki zaid ya aslay...sisi mashabiki ndo tunasema sasa ww ni mkali

  • @Auntybetty_tz
    @Auntybetty_tz2 жыл бұрын

    So Siri mwenyewe nakupenda sana kupitia kazi zako, ni shabiki damu kwako, Hadi watoto wangu wananitania kuwa mboso baba Yao mdogo. Pigs kazi dogo uko vizuri

  • @Nikita_8017
    @Nikita_80172 жыл бұрын

    This guy has no show off scandals, very cool guy!

  • @simoneliabunkhay7787

    @simoneliabunkhay7787

    2 жыл бұрын

    Khlb

  • @dafaboymusic3437
    @dafaboymusic34372 жыл бұрын

    Namiss kuwaona yamoto wakifanya kazi pamoja furaha yangu

  • @elogebigirimana5972
    @elogebigirimana59722 жыл бұрын

    Ambosso Mungu azidi kukubaliki kwa wazo lako ya kufanya kazi na yamoto nashuku saana

  • @wasikedenis
    @wasikedenis2 жыл бұрын

    We still love Yamoto Band

  • @estherwasike7789

    @estherwasike7789

    2 жыл бұрын

    Hio band karibu inivunjie ndoa wee wacha Tu but I thank God Niko na nyimbo zao zote

  • @wasikedenis

    @wasikedenis

    2 жыл бұрын

    @@estherwasike7789 karibu ikuvunjie aje

  • @felistersmejumaa5188

    @felistersmejumaa5188

    2 жыл бұрын

    @@estherwasike7789 🤣🤣🤣 Eeeeeh kumbe

  • @ciciliakhabosa6627

    @ciciliakhabosa6627

    2 жыл бұрын

    @Esther wasike Eeh mwana wefwe pole,😂😂

  • @sautikaliitz934
    @sautikaliitz9342 жыл бұрын

    mbosso ni mkweli sana namkubali

  • @bablee0016
    @bablee00162 жыл бұрын

    Salute..Bro 🇰🇪🇰🇪 Mboso

  • @meryamreally2768
    @meryamreally27689 ай бұрын

    Wow sawa mbosso ❤️❤️❤️😂😂😛❤️❤️❤️❤️👏👏

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz2332 жыл бұрын

    Big mind, akili kubwa mbossoGood Bro.

  • @swabrnamwaka8554
    @swabrnamwaka85542 жыл бұрын

    Mbosso hana kiki kama wa sanii wengne nakupenda sana 💕❤️

  • @doniamaratane8248
    @doniamaratane8248 Жыл бұрын

    aslay mtoto sana kwako.mbosso kama ameamua kukinukisha we achana nae

  • @mosesnyongole2681
    @mosesnyongole26812 жыл бұрын

    Nimekuelewa mboso big up sana aslay alianza muda ila upo juu

  • @chazbway6573
    @chazbway6573 Жыл бұрын

    Mimi niko uganda mwana kweri mbosso kazi zako noma Sana

  • @nba_fortunebello
    @nba_fortunebello2 жыл бұрын

    King Mbosso 👑

  • @khalidi39
    @khalidi392 жыл бұрын

    Nimekupenda sana mboss yan wasanii ote wangekua kama ww bs mziki wet ungefika mbali sana

  • @badruabdulmuttwalib1533
    @badruabdulmuttwalib15332 жыл бұрын

    Banaa mbossoo n mwenye moyo wenye imani n roho yenye kupenda watu wote mbosso ONE LOVE MY BIG BROTHER🥺🤟🥰

  • @nascentnoel395
    @nascentnoel3952 жыл бұрын

    Tajiri wa mbegu ..nmecheka atar😂

  • @ramahusomore1374
    @ramahusomore13742 жыл бұрын

    Mbosso is real and humble

  • @swalehesaad2692
    @swalehesaad26922 жыл бұрын

    Sema hii nyimbo ya moyo mbosso angeipiga mwenyewe au angeipiga na msanii wa taratibu kama marioo ama zuchu ingekaa pw sana hawa aliowashirikisha kuna ladha wameipoteza hii ni nyimbo ya kipwanipwani kabisa.

  • @zedekchamagogo1223

    @zedekchamagogo1223

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa mwanangu hawa alio washilikisha dizain kama walitoka kwenye mstari hivi

  • @swalehesaad2692

    @swalehesaad2692

    2 жыл бұрын

    @@zedekchamagogo1223 tunaomjua mbosso khan ndio tutaligundua hili hii nyimbo alitakiwa mtu wa taratibu na kama ni wa nje angekuwa dizaini ya reekardo banks

  • @subirachuta8169
    @subirachuta81692 жыл бұрын

    Love you Mbosso a.k.a Tajiri wa mbegu.

  • @cosmasmakoyelubasha3858
    @cosmasmakoyelubasha38582 жыл бұрын

    Umetisha sana nimekuelewa sana

  • @mohamedefranciscoxavier4440
    @mohamedefranciscoxavier44402 жыл бұрын

    Wasafi media big up 🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @mwanaidikhamis5430
    @mwanaidikhamis54302 жыл бұрын

    nimependa anavojieleza mbosso

  • @kbingwa8860
    @kbingwa88602 жыл бұрын

    We need to see you guys for one show ,,we as your fans have faith in you

  • @officialnifton
    @officialnifton2 жыл бұрын

    Great mind,, mbosso ❤️

  • @alejpapsyoh809
    @alejpapsyoh8092 жыл бұрын

    Napenda ulivo ba mkuu... Nenda songa mbali zaidi!

  • @naldotheprince7
    @naldotheprince72 жыл бұрын

    Perfect 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @AnnaPius-rv5md
    @AnnaPius-rv5md Жыл бұрын

    Nakupend boss uk smart❤

  • @jimkimtv
    @jimkimtv2 жыл бұрын

    I love mbosso 💕💕,🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @sheemwakuyumba2969
    @sheemwakuyumba29692 жыл бұрын

    Wallah napenda sana mboso..huwa afichi uovu...na Siku zote interview zote huwa yuongea ukwel kabisa na sina wakika kma ana chuki na mtu...na nikwel beka aliongea tofauti xna chamsingi amuombe radhi to mboso to

  • @ernestroman8264
    @ernestroman82642 жыл бұрын

    Nampenda sana mbosso yupo real sana....anasema enz yupo mbagala anakula MBILIMBI wkt aslay kaanza ku hit....

  • @francissakwa7282
    @francissakwa72822 жыл бұрын

    mboso nawapenda sana ,how iwish to meet you infact simba mwenyewe

  • @yuchaclassic6154
    @yuchaclassic61542 жыл бұрын

    mh mfano wa naz korona hahahaha all are the big aslay namuelewa sana it is my favourite artist and mboso

  • @sweet10shorts33
    @sweet10shorts332 жыл бұрын

    God Bless You Mbosso

  • @eppiemodest

    @eppiemodest

    Жыл бұрын

    Very intelligent boy😇

  • @farhyaabdallah2089
    @farhyaabdallah20892 жыл бұрын

    Uko vzr mbosso love 💕💕💕💕 so much

  • @hassansammy1076
    @hassansammy10762 жыл бұрын

    Mbosso khan mushedede🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-qn1yq1pi7p
    @user-qn1yq1pi7p11 ай бұрын

    Nafurahia sn jinsi mboso anavyo jibu maswali anayo ulizwa😄🥰

  • @codenamerobiner3816
    @codenamerobiner38162 жыл бұрын

    amuache aslay apambane huyu mwizi aslay ni talent kukushinda

  • @djkiwani9291
    @djkiwani92912 жыл бұрын

    But his music needs to grow beyond Africa

  • @joycechege5071
    @joycechege50712 жыл бұрын

    Mbosso hajaoa🙆‍♂️nko hapa nikujie hapa kenya tutingize mti😂

  • @tida3727

    @tida3727

    2 күн бұрын

    😂😂😂😂😂wewe tulia nawe

  • @heartpain6226
    @heartpain62262 жыл бұрын

    Very smart #mboso

  • @mshindotv
    @mshindotv2 жыл бұрын

    Mboso Alipofikia kwa sasa Ana aina ya Mziki wake ambao tofauti akiutoa tuu unajua huyu Mboso.

  • @rashhrs7144
    @rashhrs71442 жыл бұрын

    With me mbosso s the best musician in Africa 💯✅✅

  • @asiakashonda1669
    @asiakashonda16692 жыл бұрын

    Mbosso umekua kaka.. Huo ndio Ukubwa..... Nakukubali saaana

  • @denismongare3694
    @denismongare36942 жыл бұрын

    Brother inaweza

  • @saketnicholaus9962
    @saketnicholaus99622 жыл бұрын

    Smart boy wimbo na siyo wengine wanaosema nyimbo

  • @angelbb5217
    @angelbb52172 жыл бұрын

    Mbosso ❤️🥺

  • @318stars6
    @318stars62 жыл бұрын

    Siwezi kompea Aslay na Mboso, ni wakati wa mboso kushine,Aslay pia muda wake utafika...mungu hakosi mipango

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul32122 жыл бұрын

    Hawa yamoto Band hata sijui nn kilowasibu mpaka wengine wakapotea yani Nyimbo zao zote Hit-Song, kuliingia Jinamizi sijui gani.🤔

  • @azizkipitu8968

    @azizkipitu8968

    2 жыл бұрын

    Tatzo alilianzisha aslay kujiona mkubwa

  • @sifatiiman

    @sifatiiman

    2 жыл бұрын

    @@azizkipitu8968 wewe nae mpumbavu nini kaa kimya

  • @azizkipitu8968

    @azizkipitu8968

    2 жыл бұрын

    @@sifatiiman 🙏

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY2 жыл бұрын

    Nakupata vzl sana #AVATASTAR255

  • @asaadalbusaidi1870
    @asaadalbusaidi18702 жыл бұрын

    Mbosso wewe ati Tajiri wambegu😂😂👍

  • @azizkipitu8968
    @azizkipitu89682 жыл бұрын

    Wazo la mboso lilikuwa sahihi kutaka kumsaidia Enock bela Ila kwakuwa wimbo ni wa beka na anataka awe juu kupitia mboso shida ilianzia hapo Beka alishauriwa vbaya na aslay tena vbaya mno

  • @davidalengaingenieur1760
    @davidalengaingenieur17602 жыл бұрын

    Beka flavour ndo alikua baba lao kwa sauti nyororo

  • @abdulkareem7971

    @abdulkareem7971

    Жыл бұрын

    Akuna mbosso

  • @mwanaashasoud8240
    @mwanaashasoud82402 жыл бұрын

    Mwanangu uko sahihi

  • @antoinebakevya8911
    @antoinebakevya891111 ай бұрын

    Kweli yamoto ningali nakumbuka ngoma zao

  • @doniamaratane8248
    @doniamaratane8248 Жыл бұрын

    king mbosso

  • @hamisishirikisho2199
    @hamisishirikisho21992 жыл бұрын

    One of the nice guy

  • @seiflugendo5043
    @seiflugendo50432 жыл бұрын

    Ni kweli dogo watu hutengeneza sumu sana ni upuuzi mtupu.

  • @user-eo7ug2tg9r
    @user-eo7ug2tg9r2 жыл бұрын

    I love you mbosso😍😍😍

  • @superhemed7590
    @superhemed75902 жыл бұрын

    Hongera mbosso uko sahihi sn mdg wng

  • @PaschalWilliam-oi4kq
    @PaschalWilliam-oi4kq8 ай бұрын

    On fire

  • @PItty322
    @PItty3222 жыл бұрын

    Ila Bado naona Kuna kaukweli👍👌

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz14 күн бұрын

    Noma😮 #tellaaxistz

  • @furahinidaudi7851
    @furahinidaudi78512 жыл бұрын

    Maneno ya hekima mbosso be blessed

  • @charlesyona1045
    @charlesyona10452 жыл бұрын

    Dogo unaweza pamban 🤙

  • @stevenlenya5276
    @stevenlenya52762 жыл бұрын

    mboso uko juu

  • @edwinfweni
    @edwinfweni2 жыл бұрын

    Smart Smart

  • @nanaleetz
    @nanaleetz2 жыл бұрын

    Sio story ni ukwel Simba anampenda sana Mbosso 😃 kitoto cha WCB japo mkubwa ila ni kitoto

  • @othmanmohamed6346
    @othmanmohamed63462 жыл бұрын

    Hakunaga sehemu watu wakaa bila kukwanza,chukua hili neno we mjinga unaedhan mkae weng afu usikie watu wamepishana, nimekuelewa Sana babu mboso.

  • @user-uq7px2ei1e
    @user-uq7px2ei1e10 ай бұрын

    Mboso noma sana

  • @bentaakoth4274
    @bentaakoth4274 Жыл бұрын

    I still love yamoto band 🥰

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp82242 жыл бұрын

    Appreciate brother 💌

  • @mejamiela7436
    @mejamiela74362 жыл бұрын

    🔥🔥🔥

  • @florianminja1127
    @florianminja11272 жыл бұрын

    Wapi Konde boy mfalme wa mziki wa bongo

  • @junelatifa2618
    @junelatifa26182 жыл бұрын

    Love you mbosso

  • @princelungu7571
    @princelungu75712 жыл бұрын

    tupo sawaa

  • @scenepoint6317
    @scenepoint63172 жыл бұрын

    Mbosso mushedede blaza we ni mkali kinoma

  • @sammycharomwalili6728
    @sammycharomwalili67282 жыл бұрын

    Nawapenda wadogo wangu nikirudi Tanzania nitawatembelea

  • @florianminja1127
    @florianminja11272 жыл бұрын

    Msanii ni mmoja tu bongp kwa sasa ni Konde boy

  • @adamnasibu5931

    @adamnasibu5931

    2 жыл бұрын

    Huyo ni mvuta bangi tu sio msanii

  • @richardrozervinbwire3510

    @richardrozervinbwire3510

    2 жыл бұрын

    Jeshiiiii.....

  • @njoroboihustla125
    @njoroboihustla1252 жыл бұрын

    🗣🗣MBOSSOKHAAN ONE.NAMBA.MOJA☝

  • @princelungu7571
    @princelungu75712 жыл бұрын

    yupo sawaa dgo

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili2 жыл бұрын

    🔥🔥 🔥

  • @davidalengaingenieur1760

    @davidalengaingenieur1760

    2 жыл бұрын

    Mmmm?

  • @gama_liely
    @gama_liely2 жыл бұрын

    King khan🔥

  • @amani1316
    @amani13162 жыл бұрын

    Mhhh atary mbosso nakukubary sna

  • @abednegomichael2419
    @abednegomichael24192 жыл бұрын

    Mboss Khan 🔥🔥🔥

  • @karinganireemmanuel4380
    @karinganireemmanuel4380 Жыл бұрын

    Mungu aenderee kuku wezeza

  • @LearnandcreategreatIdeas
    @LearnandcreategreatIdeas2 жыл бұрын

    Mbosso rohoyako Safi that's why Allah ana bless Miziki yako so mwenye ankuongelea mbaya lazima ana anamatatizo ya akili Kama unavyosema Ila bro usimuache nyuma Enock Bella please bro wewe ushakuwa msanii mkubwa Sana japokuwa unandoto zako binafsi Ila tafadhali msaidie Enock pia mziki umlipe vizuri just like diamond platnumz anavyo saidia vijana wenzeke kujulikana na kupata kipato kupitia mziki na njia zengine zakibiashara.

  • @hadijasuleiman5350
    @hadijasuleiman53502 жыл бұрын

    Nakunda Sana mbosso

  • @Hawa-ed2hg
    @Hawa-ed2hg2 жыл бұрын

    💞💞💞💞

  • @flyracetvkenya
    @flyracetvkenya2 жыл бұрын

    Mbosso mkali sana

  • @cleveronlinemedia820
    @cleveronlinemedia8202 жыл бұрын

    WCB 4life

  • @olivertsumake3212

    @olivertsumake3212

    2 жыл бұрын

    They pay you how much?

  • @cleveronlinemedia820

    @cleveronlinemedia820

    2 жыл бұрын

    @@olivertsumake3212 songs

  • @shodristvtv6121

    @shodristvtv6121

    2 жыл бұрын

    @@olivertsumake3212 and how much you get paid for your hatred

  • @monahmussamonah6229

    @monahmussamonah6229

    2 жыл бұрын

    @@olivertsumake3212 🤣🤣

  • @aminata3702

    @aminata3702

    2 жыл бұрын

    @@olivertsumake3212 Good question

  • @abdulymtanga5893
    @abdulymtanga58932 жыл бұрын

    Mi mwenyewe nakukubali san mboss nakuelewa san wewe ni mkwery kabisa

Келесі