EXCLUSIVE: ASLAY Akubali kujiunga WCB/Natamani KUJIUNGA WCB/Mkubwa Fela ni Baba yangu
Ойын-сауық
Haya ndio majibu ya Aslay kuhusu kuhitaji kujiunga na levo ya WCB ya Diamond Platnumz
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
Пікірлер: 82
Bro ww ni msani unafanya vizuri sana na mm dogo aslay nakukubali xana ila bro utazidi kuwa mkali wakati utaamua kujiunga na WCB Simba naomba sana umsain dogo aslay plz mkubwa wangu mm ni mkenya halisi ila nitafurai sana dogo aslay akijiunga na WCB anaweza sana dogo aslay much respect simba one love bro ✌️🦁
@IdarousPossy
6 ай бұрын
Achana na utumwa wa Mawazo yakijinga mbona Kuna wasanii wengine ambao awapo wcb na wanafanya frshy tu,mfano mdogo lavalava huyo hapo yupo wcb lakini mbona hafiki mbali mbona bado awi mkubwa kihivo bro kila mtu na nyota yake....km huna nyota hata uimbe viipi hata upelekw wcb utakua palepale....aslay anajiamini mno na ndio mana ansiamama peke yake na sifa kuu ya mwana nikujiamini bila kutegemea back up ya mtu, nenda wew wcb
@Barakah001
6 ай бұрын
😂 wa kenya
@dalbtz7532
6 ай бұрын
Nomaaa
@RichardCharo-zx3sy
6 ай бұрын
You're not a Kenyan😢
@ladisrausngonyan4343
4 ай бұрын
Kweli diamond Hana ubaya na msanii yeyote anapenda kusapot wasanii kibao na kutoboa tunamuona harmonize akipaa juu,kwahilo namuombea bwana aslay
Bro asly ww ni msani mkali sana pia ktk nyimbo zako mm nazikubali sana ila duu umepowa sana bro🎉🎉🎉❤
Aslay❤❤❤❤ tafuta boss majuu upanue mziki na fan base in Tanzania and abroad na pia utajifunza zaidi mziki wa sasa unavyoenda.Ukitafuta boss Tanzania uta skika Tu Tz na kidogo outside
Kwa WCB ukipata nafasi usilembe. Mboso kwa sasa ni Mkubwa
Kwili mm namuomba asley aende wcb
Aslay kashajitambua
Aslay amekuwa sasa majibu yake anajikinga sana asije akaharibu
@msakadoobongeladada-uh3sk
6 ай бұрын
Hiyo ndo inaitwa maturity
@msakadoobongeladada-uh3sk
6 ай бұрын
Hiyo ndo inaitwa maturity
Akusaidiaye huwezi kumujua kikubwa tuachie yetu mkubwa aslay na tumekumbuka ngoma zako kwa ham
umaskini na jeuli ndio inatuponzaga sana nenda wcb broo ukale maisha
@verobecamfipa8655
6 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅
Asley usisikiy maneno yawatu wew nenda wcB . Upandiah nyota yk
Simba fanya kitu kwa dogo aslay anaweza sana
WCB imewatoa Harmonize , Rayvanny , Zuchu , Mbosso, Lava Lava , D Voice...kisha Rick Media wanamkejeli Diamond Platnumz ⚠️⚠️
@MathnaMillian
6 ай бұрын
Tuangalie na mikataba yake jmn
Inapenda sana hii mtoto na baba..!
Nataman sana uende WCB
mupitie na kwangu wapenzi ❤
Akili za watanzania bana huyu kijana anatosha kujisimamia mwenye huyu kakoswa kazi mond atampoteza alikuwa vizuri sijui ni ushetani gani unataka kumuingia
Unyama mwingi familia
Nenda WCB ukafeeee
Aslay nakubali sana lakini kitu naweza kukushauri usiende kwenye WCB ukienda nyotayako inaenda nakuomba usiende kbx wa natamani kukuona kwenye WCB ila wayichukuwe nyota yako usiende ware niwachawi
@alkhudhertarek976
6 ай бұрын
😂😂😂kwa nyota gani alonayo
@nasibuahmedy2438
6 ай бұрын
Mchawi huwa anamjua mchawi mwenzie
Aslay angefaa kujifunza kuboresha tasnia yake awe independent mfano wa msanii mmoja marekani aitwa Russ amevunja njia zote anapata Zaidi ya wote wanaosainiwa record label marekani.
Aslay hajui yupo label gan😅😅😅😅 kw sasa
@Babilonmovies
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@mohdloushmoney9994
6 ай бұрын
Yupo rockstar
@zomasamweli
6 ай бұрын
Amesahau label yake😂😂😂😂
Aslay nenda wcb mwanangu
Aslay uckubali kwan cpia ww waeza jitegemea acha na diamond atakupoteza usanii aliuanza ww ukiwa ndani taar sasa atakuambia nn huyo
Nafasi hio usije ukaacha
❤
Kwamba Aslay hajui anafanyia wapi kazi 😂😂😂😂😂
@farajrashidi4010
6 ай бұрын
Asiley watu wakisikia unataka kusainiwatu watu wabaya kwako wanajifanya koponda badee nawala awasapoti kazizako muone mbosso anapokomea kwasasa
Hivi nchi hii shuguli namba 1 sahv ni mizik tu ehh
@jumahamisi4660
6 ай бұрын
Wewe una shuuligani apa kutakuw kama india
Mwamba sasa amejua kuishi bongo 😂
Mimi ni wcb for life mimi ningesgauri ujiunge wasafi kwa kufanya nao kazi sio kujiubfa.ninyi ndio mnakujaga kumtukana diamond
Aslay chunga uspokee mkono tafadhar
@verobecamfipa8655
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 amuulize mavoko
😢wcb ni pesa nenda2
hakuna kujiunga wcb hawa mdiyo wale wale akina hamo
@giztony2009
6 ай бұрын
Kama umeshindwa kuelewa ukubwa wa WCB basi una shida tena kubwa
@UshindiDavid
6 ай бұрын
@@giztony2009Ww hujamuelewa huyu jamaa anamanish kma kua huenda akaja mutukna diamond bdae😂😂
Aslay ukijiunga na wcb imekwisha
Huyu asiende kokote apambane ajitafutie Rizki zake mwenyewe wcb pale kifunguni ukiingia kutoka inakua so poa
@msakadoobongeladada-uh3sk
6 ай бұрын
😂😂😂😂 nimecheka hata sjui nimecheka nn
@vanessa-vavandikumwenayo2757
6 ай бұрын
@@msakadoobongeladada-uh3sk😅😅😅😅😅😅
Hatukushaur uwende wasafi
@merinakassembe118
6 ай бұрын
Umhatakupoteza wewe niunaimba vizuri kuimba kwako ufanani nahuyo jamaa be carefull iukienda anakupoteza
Fundi huyu
Dogo usisubutu kujiunga huko utapotea
Kucha ndefu sana aslay wewe ni kijana wa kiume za nini sasa hizo au unakazi nazo
@fahadfaraj6474
6 ай бұрын
We zinakusaidia nini ziwe fupi au ndefu
@Zuu673
6 ай бұрын
@@fahadfaraj6474😂😂😂😂nimecheka Ila bongo kwakumpangia mtu maisha
@alimussa2655
6 ай бұрын
@@Zuu673wasenge sana yaani
@fahadfaraj6474
6 ай бұрын
@@Zuu673 yani mtu kashakula kunde zake katia kibando cha jero anaanza kujifanya mchambuzi wa Maisha ya watu.
@priscamrekoni3451
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
30%Ana mchango kwa wasaniii musimpaishe sanaaa huko matumbo😅😂😂😂😂
Yani atoke Alipo, RockStar aende WCB?😂 atapata nini cha zaidi? Talent ni ilele ile, labda afate clout tu ..
Aslay usije enda wasafi utapotea
@raphaelbravo8432
6 ай бұрын
That's your opinion
@rasvegas8991
6 ай бұрын
Hpo kapoteza ndo tunataka kumfufua uoni hpo yupo kweny label lkn hajuh inaitwaje 4:33
@raidinewton3268
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂@@rasvegas8991
@vanessa-vavandikumwenayo2757
6 ай бұрын
@@rasvegas8991unanichekesha sana
Aslay usiende wcb
@Zuu673
6 ай бұрын
😂😂😂wewe km Nani?
@user-ur6eu8eb9w
6 ай бұрын
Ana haki c shabiki
@user-be9zz3yg1f
6 ай бұрын
@@Zuu673 nikuulize we unaye niulize km nani,
@abelmbilinyi1262
6 ай бұрын
Unataka aende mwanao 😂
@Zuu673
6 ай бұрын
@@user-ur6eu8eb9w anamsaidia nn?