EXCLUSIVE: ASLAY Akubali kujiunga WCB/Natamani KUJIUNGA WCB/Mkubwa Fela ni Baba yangu

Ойын-сауық

Haya ndio majibu ya Aslay kuhusu kuhitaji kujiunga na levo ya WCB ya Diamond Platnumz
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------

Пікірлер: 82

  • @hassanomedo-xn5cz
    @hassanomedo-xn5cz6 ай бұрын

    Bro ww ni msani unafanya vizuri sana na mm dogo aslay nakukubali xana ila bro utazidi kuwa mkali wakati utaamua kujiunga na WCB Simba naomba sana umsain dogo aslay plz mkubwa wangu mm ni mkenya halisi ila nitafurai sana dogo aslay akijiunga na WCB anaweza sana dogo aslay much respect simba one love bro ✌️🦁

  • @IdarousPossy

    @IdarousPossy

    6 ай бұрын

    Achana na utumwa wa Mawazo yakijinga mbona Kuna wasanii wengine ambao awapo wcb na wanafanya frshy tu,mfano mdogo lavalava huyo hapo yupo wcb lakini mbona hafiki mbali mbona bado awi mkubwa kihivo bro kila mtu na nyota yake....km huna nyota hata uimbe viipi hata upelekw wcb utakua palepale....aslay anajiamini mno na ndio mana ansiamama peke yake na sifa kuu ya mwana nikujiamini bila kutegemea back up ya mtu, nenda wew wcb

  • @Barakah001

    @Barakah001

    6 ай бұрын

    😂 wa kenya

  • @dalbtz7532

    @dalbtz7532

    6 ай бұрын

    Nomaaa

  • @RichardCharo-zx3sy

    @RichardCharo-zx3sy

    6 ай бұрын

    You're not a Kenyan😢

  • @ladisrausngonyan4343

    @ladisrausngonyan4343

    4 ай бұрын

    Kweli diamond Hana ubaya na msanii yeyote anapenda kusapot wasanii kibao na kutoboa tunamuona harmonize akipaa juu,kwahilo namuombea bwana aslay

  • @Lyongoboy
    @Lyongoboy15 күн бұрын

    Bro asly ww ni msani mkali sana pia ktk nyimbo zako mm nazikubali sana ila duu umepowa sana bro🎉🎉🎉❤

  • @salmamohammed2986
    @salmamohammed29866 ай бұрын

    Aslay❤❤❤❤ tafuta boss majuu upanue mziki na fan base in Tanzania and abroad na pia utajifunza zaidi mziki wa sasa unavyoenda.Ukitafuta boss Tanzania uta skika Tu Tz na kidogo outside

  • @starfordalex4139
    @starfordalex41396 ай бұрын

    Kwa WCB ukipata nafasi usilembe. Mboso kwa sasa ni Mkubwa

  • @user-vr9pp2hk9p
    @user-vr9pp2hk9p6 ай бұрын

    Kwili mm namuomba asley aende wcb

  • @user-qt7jd5on4z
    @user-qt7jd5on4z6 ай бұрын

    Aslay kashajitambua

  • @user-tw7sh4iw7f
    @user-tw7sh4iw7f6 ай бұрын

    Aslay amekuwa sasa majibu yake anajikinga sana asije akaharibu

  • @msakadoobongeladada-uh3sk

    @msakadoobongeladada-uh3sk

    6 ай бұрын

    Hiyo ndo inaitwa maturity

  • @msakadoobongeladada-uh3sk

    @msakadoobongeladada-uh3sk

    6 ай бұрын

    Hiyo ndo inaitwa maturity

  • @ladisrausngonyan4343
    @ladisrausngonyan43434 ай бұрын

    Akusaidiaye huwezi kumujua kikubwa tuachie yetu mkubwa aslay na tumekumbuka ngoma zako kwa ham

  • @kinyikaog7267
    @kinyikaog72676 ай бұрын

    umaskini na jeuli ndio inatuponzaga sana nenda wcb broo ukale maisha

  • @verobecamfipa8655

    @verobecamfipa8655

    6 ай бұрын

    😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @user-mf9dj3bf8z
    @user-mf9dj3bf8z6 ай бұрын

    Asley usisikiy maneno yawatu wew nenda wcB . Upandiah nyota yk

  • @hassanomedo-xn5cz
    @hassanomedo-xn5cz6 ай бұрын

    Simba fanya kitu kwa dogo aslay anaweza sana

  • @EricDudu-mt1xc
    @EricDudu-mt1xc6 ай бұрын

    WCB imewatoa Harmonize , Rayvanny , Zuchu , Mbosso, Lava Lava , D Voice...kisha Rick Media wanamkejeli Diamond Platnumz ⚠️⚠️

  • @MathnaMillian

    @MathnaMillian

    6 ай бұрын

    Tuangalie na mikataba yake jmn

  • @user-iu2pv4ri3i
    @user-iu2pv4ri3i6 ай бұрын

    Inapenda sana hii mtoto na baba..!

  • @sabinakalile2544
    @sabinakalile25446 ай бұрын

    Nataman sana uende WCB

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel6 ай бұрын

    mupitie na kwangu wapenzi ❤

  • @yohanamnema4496
    @yohanamnema44966 ай бұрын

    Akili za watanzania bana huyu kijana anatosha kujisimamia mwenye huyu kakoswa kazi mond atampoteza alikuwa vizuri sijui ni ushetani gani unataka kumuingia

  • @hakimbachani1508
    @hakimbachani15086 ай бұрын

    Unyama mwingi familia

  • @saidmwinyi7062
    @saidmwinyi70626 ай бұрын

    Nenda WCB ukafeeee

  • @user-vu4so8ti8r
    @user-vu4so8ti8r6 ай бұрын

    Aslay nakubali sana lakini kitu naweza kukushauri usiende kwenye WCB ukienda nyotayako inaenda nakuomba usiende kbx wa natamani kukuona kwenye WCB ila wayichukuwe nyota yako usiende ware niwachawi

  • @alkhudhertarek976

    @alkhudhertarek976

    6 ай бұрын

    😂😂😂kwa nyota gani alonayo

  • @nasibuahmedy2438

    @nasibuahmedy2438

    6 ай бұрын

    Mchawi huwa anamjua mchawi mwenzie

  • @muhibbualii4580
    @muhibbualii45806 ай бұрын

    Aslay angefaa kujifunza kuboresha tasnia yake awe independent mfano wa msanii mmoja marekani aitwa Russ amevunja njia zote anapata Zaidi ya wote wanaosainiwa record label marekani.

  • @ErickyTz-ku7dt
    @ErickyTz-ku7dt6 ай бұрын

    Aslay hajui yupo label gan😅😅😅😅 kw sasa

  • @Babilonmovies

    @Babilonmovies

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @mohdloushmoney9994

    @mohdloushmoney9994

    6 ай бұрын

    Yupo rockstar

  • @zomasamweli

    @zomasamweli

    6 ай бұрын

    Amesahau label yake😂😂😂😂

  • @user-genster
    @user-genster6 ай бұрын

    Aslay nenda wcb mwanangu

  • @JumaaSaidi-zg1fz
    @JumaaSaidi-zg1fz6 ай бұрын

    Aslay uckubali kwan cpia ww waeza jitegemea acha na diamond atakupoteza usanii aliuanza ww ukiwa ndani taar sasa atakuambia nn huyo

  • @Amourharoub-rf1tc
    @Amourharoub-rf1tc6 ай бұрын

    Nafasi hio usije ukaacha

  • @rymax7790
    @rymax77906 ай бұрын

  • @EricaBizuru-jp9by
    @EricaBizuru-jp9by6 ай бұрын

    Kwamba Aslay hajui anafanyia wapi kazi 😂😂😂😂😂

  • @farajrashidi4010

    @farajrashidi4010

    6 ай бұрын

    Asiley watu wakisikia unataka kusainiwatu watu wabaya kwako wanajifanya koponda badee nawala awasapoti kazizako muone mbosso anapokomea kwasasa

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin2756 ай бұрын

    Hivi nchi hii shuguli namba 1 sahv ni mizik tu ehh

  • @jumahamisi4660

    @jumahamisi4660

    6 ай бұрын

    Wewe una shuuligani apa kutakuw kama india

  • @feronandsulubu6711
    @feronandsulubu67116 ай бұрын

    Mwamba sasa amejua kuishi bongo 😂

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv44736 ай бұрын

    Mimi ni wcb for life mimi ningesgauri ujiunge wasafi kwa kufanya nao kazi sio kujiubfa.ninyi ndio mnakujaga kumtukana diamond

  • @mrsinia3064
    @mrsinia30646 ай бұрын

    Aslay chunga uspokee mkono tafadhar

  • @verobecamfipa8655

    @verobecamfipa8655

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂 amuulize mavoko

  • @user-kt1si2jn3o
    @user-kt1si2jn3o6 ай бұрын

    😢wcb ni pesa nenda2

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy6 ай бұрын

    hakuna kujiunga wcb hawa mdiyo wale wale akina hamo

  • @giztony2009

    @giztony2009

    6 ай бұрын

    Kama umeshindwa kuelewa ukubwa wa WCB basi una shida tena kubwa

  • @UshindiDavid

    @UshindiDavid

    6 ай бұрын

    ​@@giztony2009Ww hujamuelewa huyu jamaa anamanish kma kua huenda akaja mutukna diamond bdae😂😂

  • @mbarakkhalid117
    @mbarakkhalid1176 ай бұрын

    Aslay ukijiunga na wcb imekwisha

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro55886 ай бұрын

    Huyu asiende kokote apambane ajitafutie Rizki zake mwenyewe wcb pale kifunguni ukiingia kutoka inakua so poa

  • @msakadoobongeladada-uh3sk

    @msakadoobongeladada-uh3sk

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂 nimecheka hata sjui nimecheka nn

  • @vanessa-vavandikumwenayo2757

    @vanessa-vavandikumwenayo2757

    6 ай бұрын

    ​@@msakadoobongeladada-uh3sk😅😅😅😅😅😅

  • @user-be9zz3yg1f
    @user-be9zz3yg1f6 ай бұрын

    Hatukushaur uwende wasafi

  • @merinakassembe118

    @merinakassembe118

    6 ай бұрын

    Umhatakupoteza wewe niunaimba vizuri kuimba kwako ufanani nahuyo jamaa be carefull iukienda anakupoteza

  • @IslamAbdallahFumo
    @IslamAbdallahFumo6 ай бұрын

    Fundi huyu

  • @victoriakapele8682
    @victoriakapele86826 ай бұрын

    Dogo usisubutu kujiunga huko utapotea

  • @allyomary2271
    @allyomary22716 ай бұрын

    Kucha ndefu sana aslay wewe ni kijana wa kiume za nini sasa hizo au unakazi nazo

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    6 ай бұрын

    We zinakusaidia nini ziwe fupi au ndefu

  • @Zuu673

    @Zuu673

    6 ай бұрын

    ​@@fahadfaraj6474😂😂😂😂nimecheka Ila bongo kwakumpangia mtu maisha

  • @alimussa2655

    @alimussa2655

    6 ай бұрын

    ​@@Zuu673wasenge sana yaani

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    6 ай бұрын

    @@Zuu673 yani mtu kashakula kunde zake katia kibando cha jero anaanza kujifanya mchambuzi wa Maisha ya watu.

  • @priscamrekoni3451

    @priscamrekoni3451

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @nyandichearts
    @nyandichearts6 ай бұрын

    30%Ana mchango kwa wasaniii musimpaishe sanaaa huko matumbo😅😂😂😂😂

  • @m___ck799
    @m___ck7996 ай бұрын

    Yani atoke Alipo, RockStar aende WCB?😂 atapata nini cha zaidi? Talent ni ilele ile, labda afate clout tu ..

  • @user-be9zz3yg1f
    @user-be9zz3yg1f6 ай бұрын

    Aslay usije enda wasafi utapotea

  • @raphaelbravo8432

    @raphaelbravo8432

    6 ай бұрын

    That's your opinion

  • @rasvegas8991

    @rasvegas8991

    6 ай бұрын

    Hpo kapoteza ndo tunataka kumfufua uoni hpo yupo kweny label lkn hajuh inaitwaje 4:33

  • @raidinewton3268

    @raidinewton3268

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂​@@rasvegas8991

  • @vanessa-vavandikumwenayo2757

    @vanessa-vavandikumwenayo2757

    6 ай бұрын

    ​@@rasvegas8991unanichekesha sana

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe1186 ай бұрын

    Aslay usiende wcb

  • @Zuu673

    @Zuu673

    6 ай бұрын

    😂😂😂wewe km Nani?

  • @user-ur6eu8eb9w

    @user-ur6eu8eb9w

    6 ай бұрын

    Ana haki c shabiki

  • @user-be9zz3yg1f

    @user-be9zz3yg1f

    6 ай бұрын

    @@Zuu673 nikuulize we unaye niulize km nani,

  • @abelmbilinyi1262

    @abelmbilinyi1262

    6 ай бұрын

    Unataka aende mwanao 😂

  • @Zuu673

    @Zuu673

    6 ай бұрын

    @@user-ur6eu8eb9w anamsaidia nn?

Келесі