Mbele ninaendelea_Official_Video
Kwa neema ya Mungu napenda kukualika kuangalia nakuabudu pamoja nami wimbo huu wa mbele ninaendelea, nikutie moyo kuwa Bwana Yesu Anakwenda kukuinua kutoka apo ulipo Naomba Share,Subscribe channel hii ili uwe wakwanza kupata Video nyingine nyingi zaidi Amen
Пікірлер: 281
Ee Bwana Uniinue kwa Imani nisimame. Nipande milima yoooteee eeh Bwana Unipandishe. Hallelujah
So much annointing, niliimba huu wimbo wakati naendesha gari hasa kipande kila cha mwisho kutokuwa na mashaka na calvary, roho mtakatifu alishuka na kunenena kwa lugha huku naendesha gari, hakika wimbo huu una nguvu sana ya Mungu... barikiwa sana
@samwaya4873
Жыл бұрын
Ameeen Mungu ni mwema
@yusuphrameck7010
Жыл бұрын
Hongera sana kaka
@mosesmjwanga6155
Жыл бұрын
Amen
@iradukundabenigne2723
11 ай бұрын
Mungu ni mwema na apewe sifa
@ZakiaMwakikonyola
3 ай бұрын
Amen
Very powerful, upakoooo mwingi sana kwa hii nyimbo
Nilipookoka this was my song na mpaka leo haipiti wiki sijauimba katika madhabahu ya Bwana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾kwa imani
❤❤cant get enough of this
Nilikuwa nautafuta sna huu wimbo ,, thanks God nmeupata ,, glory to God
@samwaya4873
Жыл бұрын
Ameeeen
@raymondmutinda3773
Жыл бұрын
Ever woke up with a song in your mouth, I woke up with this today.
Mungu akubariki Sana kwa wimb mzuri eee bwana nipandishee hallelujah senk you my brother
Do much anointing...hakika naomba Mwenyezi Mungu unipandishe milima yote....in Jesus name.
Mbarikiwee siku zote nyimbo nzuri san huwa inanigusaa san
Give me this 🏔️. Bwana niinue kwa imani nisimame. Nipandishe. Amen
@danielmdm9339
2 жыл бұрын
Good song na amini uta barikiwa na wimbo huu pia 👉🏻kzread.info/dash/bejne/a6l-u6OteKi-gps.html God bless you 🙏🙏🙏🙏
Natamani kila anaesikia na kutazama hiii nyimbo asikie ninachosikia mimi 🙌🏼Wimbo umebeba utukufu sio wa Kawaidaa...God Bless You man of God....Glory to God
@danielmdm9339
2 жыл бұрын
Good song na amini uta barikiwa na wimbo huu pia 👉🏻kzread.info/dash/bejne/a6l-u6OteKi-gps.html God bless you 🙏🙏🙏🙏
❤❤💬😔😔😔😔😔 The Song is real spititual,direct connecting to God, Strengthening ,Rebbuilding,reconstructing confidence again... Re surender ,Powerful and blessing. Mungu aendelee kukutunza kwaajili Yangu🤝🤝✍️🧎🧎.
Everytime I think of my sick mother I play this song
Eeee bwana unipandishe ...very powerful
Nyimbo zako znajua kunieka sawa barikiwa
Utukufu kwa Mungu
KAKA MUNGU AKUTUNZE THAT'S IS MORE THAN ANOINTING 🔥
@samwaya4873
2 жыл бұрын
Amen Mungu akubariki kaka
@barakadeo2388
Жыл бұрын
@@samwaya4873 🙌
Ooh my God
I really wish to meet the producer there is this shhhhhhhhhhh am hearing on background inanikosesha kusikiliza wimbo kwa uzuriiii
❤ amazing
Nipande milima yoteee eeh Bwana unipandishe
Utukufu kwa Mungu wetu
Sina mashaka na wewe Mungu
I love this song
Kunanguvu yaajabu sana sana Mungu akubariki kwa nyimbo nzurii sana
Restoration Bible Church........my home.......May God's blessings be with you siku zoote......nawapenda nyote💖
@danielmdm9339
2 жыл бұрын
Good song na amini uta barikiwa na wimbo huu pia 👉🏻kzread.info/dash/bejne/a6l-u6OteKi-gps.html God bless you 🙏🙏🙏🙏🙏
@izuus2000
2 жыл бұрын
I can do all things through Christ Jesus. No mountain too higher than . My God is able to do all that I can think of imagine
Napenda wimbo huu🕊️
wow... this is Grace...
So powerful, blessed be the name of the Almighty God.
5:26 holly spirit alishuka, hallelujah
BEEN LISTENING TO THIS SONG SINCE YESTERDAY. IT REALY BLESSES MY SOUL. FEW SINGERS SING SONGS THIS WAY NOWADYS
More grace bro🙏
So beautiful song, God bless you all 🙏🙏🙏
Aisee aisee aisee hongera sn kwa ibada hii nzuri
Waya umu uliua saan kak
🔥🔥🔥
So powerful, how wonderful our living GOD. Praised be his mighty name JESUS CHRIST
My song❤
Nipandishe bwana
My lovely worshipping song
Bwana uniinue, thanks brother
nice song
AMEN tunayaweza yote katika yeye atutiae nguvu🤲
Huu mwimbo ni mzuri sana 🎉nauimbaga kila siku 🎉
Am blessed
Best gospel song I usually listen to.
Safi sana
🔥🔥 maombi uyasikie 🙏
Huu wimbo nikiimba naona Mungu anavyonitendea na roho mtakatifu anashuka kabisa najikuta nasali mno nakua jasiri
Very powerful,naomba mungu unipandishe juu zaidi na zaidi
Hallelujah ... 🙏🙏🙏
Utuinue kutoka kuzimu na utupandishe Hadi juu ya Yale mawingu maana huko ndiko kunapataka ufalme wa milele, eeeeh bwana utupandishe
Mungu akutunze mwanangu kazi hii isiwe bure Sam
@samwaya4873
2 жыл бұрын
Ameen asante sana mumy
Ubarikiwe mnoo Kaka
Nimebarikiwa Sana, mungu akutie nguvu kwenye kazi yako ya kumtumikia yeye ubarikiwe Sana🙏
my powerful song when i feel very low i jz sing one stansr thn i be strong en prayer warrior ...b blessed more
Mungu ndeye anastahili kutupandisha Juu
Yani Nina mwezi Mzima nasikiliza wimbo huuu Yani Kila nikisikiliza namuona mungu akinipandisha ubarikiwe kaka angu sanaaaaaaaaaaaaaaaa
@danielmdm9339
2 жыл бұрын
Good song na amini uta barikiwa na wimbo huu pia 👉🏻kzread.info/dash/bejne/a6l-u6OteKi-gps.html God bless you 🙏🙏🙏
Brother go go my Brother unahudumia wengi Kaka aiiisee umejaa neema Sana 😭😭😭😭😭
Very powerful, you have brought a new meaning to this song
Amina 🔥🔥🔥God bless you Man of God 🙏
Hakika Mungu mkubwa
Hakuna wimbo wowote mwaka huu wa 2022 umenibariki kama huu wimbo..Ndugu acha Mungu aendelee kukuinua zaidi na zaidi
@danielmdm9339
2 жыл бұрын
Good song na amini uta barikiwa na wimbo huu pia 👉🏻kzread.info/dash/bejne/a6l-u6OteKi-gps.html God bless you 🙏🙏🙏
Very powerful worshiping moment.I feel the presence of God
Hallelujah, thank you Nice song and More anointing
Unajua venyew nakupendaga hua unanibariki sana my bro
Mungu aendeleee kukulinda kwa kipawa hiki ulichonacho
@danielmdm9339
2 жыл бұрын
Good song na amini uta barikiwa na wimbo huu pia 👉🏻kzread.info/dash/bejne/a6l-u6OteKi-gps.html God bless you 🙏🙏🙏
I saw this song on my Inlaw's status, I searched it, I downloaded it, It had become my anthem, I listen to it everytime. God bless you guys
Bwana atupandishe juu ya Milima yote
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nipande milima yote,eee Bwana unipandashe🙏
from glory to glory.... praise be to the mighty God 🙏🙏
Thank you Holly ghost. Take me higher
Kunawatu hawaioni kazi yako 100percent Mungu atakufanya viwango vya juu mwaka huu
@danielmdm9339
2 жыл бұрын
Good song na amini uta barikiwa na wimbo huu pia 👉🏻kzread.info/dash/bejne/a6l-u6OteKi-gps.html God bless you 🙏🙏🙏🙏
This is powerful 😢😢
Powerful inaleta hamu ya kumwabudu MUNGU umefanya vizuriiiii SANAAA be Blessed 🙏
@danielmdm9339
2 жыл бұрын
Good song na amini uta barikiwa na wimbo huu pia 👉🏻kzread.info/dash/bejne/a6l-u6OteKi-gps.html God bless you 🙏🙏🙏🙏
blessed dear, awesome one. The piano is playing much and destructive on the beginning part.
🤝
Oooh Yeah
@zakiahmwakikonyola3911
2 жыл бұрын
God bless you
Mbn audiomac hamna ngoma zako
God bless you my brother Samwel kaz nzr sana hiiii
What a nice work...barikiwa sana
Ubarikiwe sana bro... Mungu aendelee kukupandisha viwango na viwango
@danielmdm9339
2 жыл бұрын
Good song na amini uta barikiwa na wimbo huu pia 👉🏻kzread.info/dash/bejne/a6l-u6OteKi-gps.html God bless you 🙏🙏🙏🙏
MANAGER 🔥🔥🔥🔥🔥......vie vwa
True meaning of worship may the name of God 🙏 be lifted up
Sina mashaka na kazi ya calvary, ee bwana sitaogopa chochote, maana Kwako ni salama, nipandishe Kwa Imani
Powerful! Hallelujah! 🙏🏾
Umeimba katika Roho ,nimebarikiwa sana
Powerful bro
My powerful prophetic song 🔥
Kaka nakukubali sana na unajua bro kazi nzuri sana backup wapo vizuri jmnii 🙌🙌🙌🙌🙌
Powerful song....God bless you more minister samwel waya
Sam maufundiiiiii, am your big fun... Am proud of you surely
@danielmdm9339
2 жыл бұрын
Good song na amini uta barikiwa na wimbo huu pia 👉🏻kzread.info/dash/bejne/a6l-u6OteKi-gps.html God bless you 🙏🙏🙏🙏
My God hold me up till the end since you are my boast wherever I am without you am nonsense at all😭🙏🙏
@danielmdm9339
2 жыл бұрын
Good song na amini uta barikiwa na wimbo huu pia 👉🏻kzread.info/dash/bejne/a6l-u6OteKi-gps.html God bless you 🙏🙏🙏
Nimebarikiwa na huduma hii sana sana Mungu skuinue zaidi na zaidi master!
@samwaya4873
Жыл бұрын
Mtaaalam masta
Eeh Bwana uniinue 🙌
Ooooh Haleluyaa nimebarikiwa Sana..
Extremely few Gospel musicians sing these powerful worship songs in this manner these days. This is anointed!
@samwaya4873
Жыл бұрын
Ameeen glory to God
@omuze1290
10 ай бұрын
There are worship, praise, and prayer songs. This one is not a worship but a prayer song!
Hakika faraja iko ndani ya wimbo huuu😭😭😭😭🙏🙏🙏
Glory to God