MAZOEZI YA KWANZA YA CHAMA/VYUMA VIMEKAA/HUYU MTU ANA BALAA.

Спорт

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Пікірлер: 182

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p16 күн бұрын

    kwanza muoneni chama alivong,aa ns jezi yayanga walikua wanamfubaisha na marangi yao ya jexi yasiyoeleweka jaman wanayanga kweli uwongo like zenu wanaokubaliana na mm

  • @BahatiTumbuka

    @BahatiTumbuka

    16 күн бұрын

    Umeiona kama mimi

  • @RachelMaiga-xe9ez

    @RachelMaiga-xe9ez

    16 күн бұрын

    Kumbe na ww umeonaa jmn nilizn mm tu mwamba kapendeza nilizan dube pekee kumbe na triple C more ❤❤❤

  • @user-to2vn2jv3b

    @user-to2vn2jv3b

    16 күн бұрын

    Hata mm pia nmeona

  • @roi2554

    @roi2554

    16 күн бұрын

    Kweli banaa😂

  • @user-sr7cg9kz6b

    @user-sr7cg9kz6b

    15 күн бұрын

    💪💪💪

  • @muddybakar9185
    @muddybakar918516 күн бұрын

    M/Mungu akufanyie wepesi katika majukumu yako mapya chama sisi kama wananchi tumekupokea kwa mikono miwili tunaomba utusaidiye katika timu yetu tuna imani na wewe,❤❤❤

  • @husseinabdallahmkupulo1784
    @husseinabdallahmkupulo178416 күн бұрын

    Mungu ibariki yanga yangu msimu ujao ituletee kombe la caf

  • @kolosii4351
    @kolosii435116 күн бұрын

    Chama pambana kaka yangu. Mungu akaone juhudi zako na kuing'arisha nyota yako. Mungu akulinde na kukupatia nguvu.

  • @KajunaJovinary
    @KajunaJovinary16 күн бұрын

    Wa kwanzaaa kabisaaa naomba likes zangu nyingiiiiiiiii🎉🎉🎉🎉

  • @MonicaSimon-py3nx
    @MonicaSimon-py3nx16 күн бұрын

    Mwenyezi mungu awalinde mashujaaa wetu wasipate majerahaya yeyoto inshallah

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani138316 күн бұрын

    Karibu chama wetu Mungu akakupe kabali cha kufanya vizuri mara 10 ya ulipotoka ukawe bora zaidi ili wabaya wakaumbuke Mungu akuridhie pamoja na dube mkawe bora sana karibuni wananchi tunawapenda sanaaaaaaa❤❤

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka182716 күн бұрын

    Alhamndulilah nakuomba Allah wajaalie uwezo wachezaji wetu kwenye utendaji wao wa kazi Inshaallah

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma987016 күн бұрын

    MUNGU ni mwema karibu Sana Tena Sana Chama kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @babutiffahgang6050
    @babutiffahgang605016 күн бұрын

    Kwa hiyo yanga mmeamua kutuwekea na nyimbo ya majonzi Wana Simba imeniuma sana chama kututoka

  • @hk_ballers

    @hk_ballers

    16 күн бұрын

    Hii nyimbo inawafa

  • @starboyocal5393

    @starboyocal5393

    16 күн бұрын

    Vaa nguo uendee 😂

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    16 күн бұрын

    Acha ujinga wewe, alihama Messi Barcelona, nini chama,,,

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania16 күн бұрын

    Waoo yanga rangi Mungu ubarikio yanga tamu mwamba wa rusaka naliona umekuja kusaidia yanga iwe juu zaidi musimu ujao tunawataka mamelodi sasa wafue kope zao kwasasa

  • @veelmng7746
    @veelmng774616 күн бұрын

    Karibu Mwamba wa Lusaka, vijana wana mengi ya kujifunza kutoka kwako. Mungu akupe afya njema

  • @HusseinJumahussein-lf1xk
    @HusseinJumahussein-lf1xk16 күн бұрын

    Mungu akujalie ukaupige mwingi sana uwanjani Chama mwamba wa lusaka🙏🙏💪💪⭐💚💚🤲🤲🤲🔥🔥

  • @fatmasaaed144
    @fatmasaaed14416 күн бұрын

    Sisi kama wanayanaga tunamuomba mungu akupe msimu Boro ishallah tunajuwa kuwa wana simba wameumia sana ila hakuna namna wewe ni mchezaji unatafuta ridhiki kwahiyo kwa kudra zake allah mungu akujarie ridhki yako ikawe furaha kwetu pia sisi wanayanga na yoyote mwenye jicho la husda mungu mungu amuepushe na wewe ishallah amina

  • @amaniomar1755

    @amaniomar1755

    16 күн бұрын

    Ameen

  • @user-ij7kr6jw5i
    @user-ij7kr6jw5i16 күн бұрын

    Chama atakuwa vizuri sana shida kwa makolo hapakuwa na mazoezi ya kutosha

  • @user-MIO5pu1iv7o
    @user-MIO5pu1iv7o16 күн бұрын

    Jamani chama anaonekana kama under 20😢🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤ MUNGU msimamie mwanao Yanga raha sanaaaaaa.karibu chama Jangwani.we loves you

  • @HusseinJumahussein-lf1xk
    @HusseinJumahussein-lf1xk16 күн бұрын

    Raha sana jaman🔥🔥🔥🔥⭐💚💪💚💪💪

  • @bulaasiywez7014
    @bulaasiywez701416 күн бұрын

    Mwamba wa Lusaka tunakupenda sana kalibu apo ndo hmo kwako

  • @nelsonbenitho8050
    @nelsonbenitho805016 күн бұрын

    Our love team green and yellow nation 💚💛

  • @chegeb
    @chegeb16 күн бұрын

    Wa mwisho kabisa naomba like zangu

  • @jameschumbula7351
    @jameschumbula735116 күн бұрын

    Chama asaiv huku yanga amenawili tear dadek🤗✌️✅

  • @moonmyovela1523
    @moonmyovela152316 күн бұрын

    mwamba kaanza kazi safi sana

  • @akaniwa04tv35
    @akaniwa04tv3516 күн бұрын

    Mwamba kama mwamba Hatari 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @AthamanRamadhani

    @AthamanRamadhani

    16 күн бұрын

    Ogopaaa

  • @malietamaliet
    @malietamaliet16 күн бұрын

    😂😂😂nipeni maua yangu mm wakwanza kuview kulike kucoment🎉🎉

  • @Izzoh2021
    @Izzoh202116 күн бұрын

    Mwamba kama mwamba kazi ipo msim ujao mafundi wamezidi kuongezeka yanga raha sana

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba787416 күн бұрын

    Kalibu sana mwamba

  • @Shebe_traLove
    @Shebe_traLove16 күн бұрын

    Safi kazi kazi kazi

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba16 күн бұрын

    Kazi Iendelee daima nyuma Mwikooooooooo........

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania16 күн бұрын

    Yanga yanguuuuu nakufa nayo mimi

  • @godfreymkinga
    @godfreymkinga16 күн бұрын

    Welcome chama la Wana💚💚💚💚✅

  • @axumsharkun924
    @axumsharkun92416 күн бұрын

    Chama anang'aaa😂😂😂

  • @AndreaMrisho
    @AndreaMrisho16 күн бұрын

    Yanga daimaaaaaaaaaaa love xo much yangaaaaaaaaaa!!!!

  • @ChidySuleiman
    @ChidySuleiman16 күн бұрын

    Sasa haya ndio mazoezi sio kule unafanyishwa viji mazoezi🎉

  • @user-ws1to2dj4d
    @user-ws1to2dj4d16 күн бұрын

    Mimi nimshabiki wasimba ila kwenyenafasi yake nitamshabikia sikuzote haijalishi anachezea tim gani

  • @SurprisedHorseShoe-eh1dz
    @SurprisedHorseShoe-eh1dz16 күн бұрын

    Hii video twende nayo trending wanainchi

  • @AgnesNangale
    @AgnesNangale16 күн бұрын

    Chama kapendeza hadi raha

  • @chilimosimulizi
    @chilimosimulizi16 күн бұрын

    kama unaipenda yanga semaaaaaaaaaaaaa YANGAAAAAA

  • @Dulajuma
    @Dulajuma16 күн бұрын

    Tunamtaka aziz

  • @LeontiaLeonard-tv7oy
    @LeontiaLeonard-tv7oy16 күн бұрын

    Jaman chama kapendz sana kumbe jez za yanga nibomba mnooo

  • @abdillahmchia8557
    @abdillahmchia855716 күн бұрын

    Wanasema ukishindwa kupigan nao ungana nao

  • @user-jx4mn6yt5f
    @user-jx4mn6yt5f16 күн бұрын

    Jamani chama kanenepa ghafla, kumbe huyu dogo alikuwa anateseka Sana kwa makolo!

  • @user-qk8mh1hb6o
    @user-qk8mh1hb6o16 күн бұрын

    𝑯𝒂𝒌𝒖𝒏𝒂 𝒔𝒉𝒊𝒅𝒐

  • @NivanyRoshan-kz1hv
    @NivanyRoshan-kz1hv16 күн бұрын

    Good exercise practice

  • @user-nn8yj7fe4n
    @user-nn8yj7fe4n16 күн бұрын

    Ha ha ha ha nacheka kama mazuriiii jaman ,young sc

  • @stevepila9549
    @stevepila954916 күн бұрын

    Nimependa chama anavyobembea kichiba

  • @moonmyovela1523
    @moonmyovela152316 күн бұрын

    MWAMBA kaanza kazi

  • @davidhnzoka3738
    @davidhnzoka373816 күн бұрын

    Haya Mambo huwezi kuyaona Simba ni yanga tu

  • @rashidijoseph1858
    @rashidijoseph185816 күн бұрын

    Mwamba wa Lusaka

  • @kakaibrah-ml5kv
    @kakaibrah-ml5kv16 күн бұрын

    mwanzo mwema

  • @user-nl8ec4np1t
    @user-nl8ec4np1t16 күн бұрын

    Daah!! ikawe heri kwake welcome triple C

  • @ndembeamanzi8500
    @ndembeamanzi850016 күн бұрын

    Anomin chama ana miaka 24 like apa

  • @user-sw9tp2rf7f
    @user-sw9tp2rf7f16 күн бұрын

    Ila nyie achen wale hela mazoez makali angalia chama mpaka wanang'ata meno

  • @user-wm9oi5fw3r
    @user-wm9oi5fw3r16 күн бұрын

    Yangaaaaaaaaaaa

  • @Cuteeeee477
    @Cuteeeee47716 күн бұрын

    Ghafra Chama kawa kijana 🔰💛💚

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino13016 күн бұрын

    Video nzuri,ila huo wimbo,hapo sio mahala lake " wimbo haufananii na hiyo video --- mmechemka "

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy131816 күн бұрын

    Daaah Yanga ya Hersi haina huruma kabisa

  • @Bank-Of-Season
    @Bank-Of-Season16 күн бұрын

    Kazi wanayo

  • @user-um2gk3ix3s
    @user-um2gk3ix3s16 күн бұрын

    Yanga laaa

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r16 күн бұрын

    Mungu ibaliki yanga yetu

  • @oscarclaine5878
    @oscarclaine587816 күн бұрын

    Makoro walifeli kumpa chama mazoezi ya kutosha na wachezaji wa daraja lake.. karibu jangwani MWAMBA we ni mtu sana

  • @user-MIO5pu1iv7o
    @user-MIO5pu1iv7o16 күн бұрын

    So emotional 😢😢😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @imanibakili8028
    @imanibakili802816 күн бұрын

    Yaan nampenda sana Nkane ninaamini ana kitu apewe nafasi atajiamini

  • @japhetkahindi4791
    @japhetkahindi479116 күн бұрын

    Welcome Chama let the game begin

  • @ellyboy4165
    @ellyboy416516 күн бұрын

    mungu amuepuxhe na majeraha 🙏🙏🙏

  • @seydouside4081
    @seydouside408116 күн бұрын

    Kwani kwa cmba haya hakuna mazoezi hakuna eeeeee..kama anayashangaaa vile..piga boli mwamba..yajayo yanafurahisha..

  • @gegedulacasa
    @gegedulacasa16 күн бұрын

    Kalibu kwenye team kubwa team ya wana nchi

  • @lovemarkmajaliwa8530
    @lovemarkmajaliwa853016 күн бұрын

    Kavaa jezi namba 20 sio

  • @SephaniaPaul
    @SephaniaPaul16 күн бұрын

    Mungu chama uwe na msimu bora kuliko misimu yote uliyoishi tanzania

  • @minazsaid2470
    @minazsaid247016 күн бұрын

    Tunaomba Serikali itulinde

  • @victornzebele3990
    @victornzebele399016 күн бұрын

    You are most Welcome master 🔰🔰🔰🏆🏆🥇🥇 #Trip C

  • @aishabakari8040
    @aishabakari804016 күн бұрын

    Wa pili 🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰

  • @user-zd1zc8dr1f
    @user-zd1zc8dr1f16 күн бұрын

    Karibu fundi wa mpira

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p16 күн бұрын

    mwamba uyu apa

  • @user-sw9tp2rf7f
    @user-sw9tp2rf7f16 күн бұрын

    Jaman injini ya tim aucho simuoni mie hajarud

  • @amaniomar1755

    @amaniomar1755

    16 күн бұрын

    Atawasili usiwaze

  • @hk_ballers
    @hk_ballers16 күн бұрын

    Mwamba wa Lusaka 💚💪🏽

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady242016 күн бұрын

    Allaah Akbar

  • @abdunnurahmedsilim7456
    @abdunnurahmedsilim745616 күн бұрын

    Mwamba huyu hapa TRIPLE C

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles992016 күн бұрын

    Sasa ndo anakutana na mwl wa fitness atakuwa moto wa kuotea mbali

  • @meddymachozy1815
    @meddymachozy181516 күн бұрын

    Chumaa🔥🔥

  • @user-kq5ob4vj7k
    @user-kq5ob4vj7k16 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉

  • @BabaNuria
    @BabaNuria16 күн бұрын

    Karibu jh tuna Imani na ww

  • @saimonjmai801
    @saimonjmai80116 күн бұрын

    Mwamba huyo hapo , watukane tena Sasa 🔰🔰🔰💪

  • @LukaMwilafi
    @LukaMwilafi16 күн бұрын

    Wew Chama mbwaaaa tuu,umriì umekukata

  • @RAJABUKAROMBA
    @RAJABUKAROMBA16 күн бұрын

    Nakutakia maisha mema jangwan

  • @sabrinakassimu
    @sabrinakassimu16 күн бұрын

    naomba like

  • @JosephKanyengele
    @JosephKanyengele16 күн бұрын

    Good😊

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo16 күн бұрын

    Aaa kidume uyo

  • @davidsichone3641
    @davidsichone364116 күн бұрын

    Background music. Jina la wimbo tafadhali.

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya521316 күн бұрын

    Chuma kimewasili🎉🎉🎉🎉🎉

  • @samweledward7664
    @samweledward766416 күн бұрын

    Yanga Bingwa ✅

  • @elipidiusgerazi1924
    @elipidiusgerazi192416 күн бұрын

    🔥🔥🔥

  • @josepeter8033
    @josepeter803316 күн бұрын

    Huyu jamaaa alikuwa hana mazoez yakutisha🎉

  • @filemonkwaja6181
    @filemonkwaja618116 күн бұрын

    Yanga bingwa

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi587116 күн бұрын

    Chama nakuomba huku yanga uelewe ni kazi tu na displine Yale mambo yakule kwa makolo acha kabisa LAA SIVYO UTATUONA WABAYA

  • @ambokilemussa3518
    @ambokilemussa351815 күн бұрын

    anaboa kinomaa na komwe lake

  • @SospeterZacharia
    @SospeterZacharia16 күн бұрын

    1❤

  • @marthamjandwa4325
    @marthamjandwa432516 күн бұрын

    Mungu akujalie kaka pambana

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua917516 күн бұрын

    Mwamba wa Lusaka Triple C 🎉🎉🎉

  • @PatrickKimaro-do3lj
    @PatrickKimaro-do3lj16 күн бұрын

    ila cameraman ana makusud

  • @user-br7fz4zd5x
    @user-br7fz4zd5x16 күн бұрын

    Jamani dua na sala kwa wachezaji wetu

Келесі