kwanza muoneni chama alivong,aa ns jezi yayanga walikua wanamfubaisha na marangi yao ya jexi yasiyoeleweka jaman wanayanga kweli uwongo like zenu wanaokubaliana na mm
@BahatiTumbuka
16 күн бұрын
Umeiona kama mimi
@RachelMaiga-xe9ez
16 күн бұрын
Kumbe na ww umeonaa jmn nilizn mm tu mwamba kapendeza nilizan dube pekee kumbe na triple C more ❤❤❤
@user-to2vn2jv3b
16 күн бұрын
Hata mm pia nmeona
@roi2554
16 күн бұрын
Kweli banaa😂
@user-sr7cg9kz6b
15 күн бұрын
💪💪💪
@muddybakar918516 күн бұрын
M/Mungu akufanyie wepesi katika majukumu yako mapya chama sisi kama wananchi tumekupokea kwa mikono miwili tunaomba utusaidiye katika timu yetu tuna imani na wewe,❤❤❤
@husseinabdallahmkupulo178416 күн бұрын
Mungu ibariki yanga yangu msimu ujao ituletee kombe la caf
@kolosii435116 күн бұрын
Chama pambana kaka yangu. Mungu akaone juhudi zako na kuing'arisha nyota yako. Mungu akulinde na kukupatia nguvu.
@KajunaJovinary16 күн бұрын
Wa kwanzaaa kabisaaa naomba likes zangu nyingiiiiiiiii🎉🎉🎉🎉
@MonicaSimon-py3nx16 күн бұрын
Mwenyezi mungu awalinde mashujaaa wetu wasipate majerahaya yeyoto inshallah
@cynthiapwani138316 күн бұрын
Karibu chama wetu Mungu akakupe kabali cha kufanya vizuri mara 10 ya ulipotoka ukawe bora zaidi ili wabaya wakaumbuke Mungu akuridhie pamoja na dube mkawe bora sana karibuni wananchi tunawapenda sanaaaaaaa❤❤
@rukiakyaka182716 күн бұрын
Alhamndulilah nakuomba Allah wajaalie uwezo wachezaji wetu kwenye utendaji wao wa kazi Inshaallah
@naliakafatuma987016 күн бұрын
MUNGU ni mwema karibu Sana Tena Sana Chama kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@babutiffahgang605016 күн бұрын
Kwa hiyo yanga mmeamua kutuwekea na nyimbo ya majonzi Wana Simba imeniuma sana chama kututoka
Waoo yanga rangi Mungu ubarikio yanga tamu mwamba wa rusaka naliona umekuja kusaidia yanga iwe juu zaidi musimu ujao tunawataka mamelodi sasa wafue kope zao kwasasa
@veelmng774616 күн бұрын
Karibu Mwamba wa Lusaka, vijana wana mengi ya kujifunza kutoka kwako. Mungu akupe afya njema
@HusseinJumahussein-lf1xk16 күн бұрын
Mungu akujalie ukaupige mwingi sana uwanjani Chama mwamba wa lusaka🙏🙏💪💪⭐💚💚🤲🤲🤲🔥🔥
@fatmasaaed14416 күн бұрын
Sisi kama wanayanaga tunamuomba mungu akupe msimu Boro ishallah tunajuwa kuwa wana simba wameumia sana ila hakuna namna wewe ni mchezaji unatafuta ridhiki kwahiyo kwa kudra zake allah mungu akujarie ridhki yako ikawe furaha kwetu pia sisi wanayanga na yoyote mwenye jicho la husda mungu mungu amuepushe na wewe ishallah amina
@amaniomar1755
16 күн бұрын
Ameen
@user-ij7kr6jw5i16 күн бұрын
Chama atakuwa vizuri sana shida kwa makolo hapakuwa na mazoezi ya kutosha
@user-MIO5pu1iv7o16 күн бұрын
Jamani chama anaonekana kama under 20😢🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤ MUNGU msimamie mwanao Yanga raha sanaaaaaa.karibu chama Jangwani.we loves you
@HusseinJumahussein-lf1xk16 күн бұрын
Raha sana jaman🔥🔥🔥🔥⭐💚💪💚💪💪
@bulaasiywez701416 күн бұрын
Mwamba wa Lusaka tunakupenda sana kalibu apo ndo hmo kwako
@nelsonbenitho805016 күн бұрын
Our love team green and yellow nation 💚💛
@chegeb16 күн бұрын
Wa mwisho kabisa naomba like zangu
@jameschumbula735116 күн бұрын
Chama asaiv huku yanga amenawili tear dadek🤗✌️✅
@moonmyovela152316 күн бұрын
mwamba kaanza kazi safi sana
@akaniwa04tv3516 күн бұрын
Mwamba kama mwamba Hatari 🔥🔥🔥🔥🔥
@AthamanRamadhani
16 күн бұрын
Ogopaaa
@malietamaliet16 күн бұрын
😂😂😂nipeni maua yangu mm wakwanza kuview kulike kucoment🎉🎉
@Izzoh202116 күн бұрын
Mwamba kama mwamba kazi ipo msim ujao mafundi wamezidi kuongezeka yanga raha sana
@yasrikomba787416 күн бұрын
Kalibu sana mwamba
@Shebe_traLove16 күн бұрын
Safi kazi kazi kazi
@NassoroSipemba16 күн бұрын
Kazi Iendelee daima nyuma Mwikooooooooo........
@AminaTanzania16 күн бұрын
Yanga yanguuuuu nakufa nayo mimi
@godfreymkinga16 күн бұрын
Welcome chama la Wana💚💚💚💚✅
@axumsharkun92416 күн бұрын
Chama anang'aaa😂😂😂
@AndreaMrisho16 күн бұрын
Yanga daimaaaaaaaaaaa love xo much yangaaaaaaaaaa!!!!
@ChidySuleiman16 күн бұрын
Sasa haya ndio mazoezi sio kule unafanyishwa viji mazoezi🎉
@user-ws1to2dj4d16 күн бұрын
Mimi nimshabiki wasimba ila kwenyenafasi yake nitamshabikia sikuzote haijalishi anachezea tim gani
@SurprisedHorseShoe-eh1dz16 күн бұрын
Hii video twende nayo trending wanainchi
@AgnesNangale16 күн бұрын
Chama kapendeza hadi raha
@chilimosimulizi16 күн бұрын
kama unaipenda yanga semaaaaaaaaaaaaa YANGAAAAAA
@Dulajuma16 күн бұрын
Tunamtaka aziz
@LeontiaLeonard-tv7oy16 күн бұрын
Jaman chama kapendz sana kumbe jez za yanga nibomba mnooo
@abdillahmchia855716 күн бұрын
Wanasema ukishindwa kupigan nao ungana nao
@user-jx4mn6yt5f16 күн бұрын
Jamani chama kanenepa ghafla, kumbe huyu dogo alikuwa anateseka Sana kwa makolo!
@user-qk8mh1hb6o16 күн бұрын
𝑯𝒂𝒌𝒖𝒏𝒂 𝒔𝒉𝒊𝒅𝒐
@NivanyRoshan-kz1hv16 күн бұрын
Good exercise practice
@user-nn8yj7fe4n16 күн бұрын
Ha ha ha ha nacheka kama mazuriiii jaman ,young sc
@stevepila954916 күн бұрын
Nimependa chama anavyobembea kichiba
@moonmyovela152316 күн бұрын
MWAMBA kaanza kazi
@davidhnzoka373816 күн бұрын
Haya Mambo huwezi kuyaona Simba ni yanga tu
@rashidijoseph185816 күн бұрын
Mwamba wa Lusaka
@kakaibrah-ml5kv16 күн бұрын
mwanzo mwema
@user-nl8ec4np1t16 күн бұрын
Daah!! ikawe heri kwake welcome triple C
@ndembeamanzi850016 күн бұрын
Anomin chama ana miaka 24 like apa
@user-sw9tp2rf7f16 күн бұрын
Ila nyie achen wale hela mazoez makali angalia chama mpaka wanang'ata meno
@user-wm9oi5fw3r16 күн бұрын
Yangaaaaaaaaaaa
@Cuteeeee47716 күн бұрын
Ghafra Chama kawa kijana 🔰💛💚
@albertvalentino13016 күн бұрын
Video nzuri,ila huo wimbo,hapo sio mahala lake " wimbo haufananii na hiyo video --- mmechemka "
@ameirzapy131816 күн бұрын
Daaah Yanga ya Hersi haina huruma kabisa
@Bank-Of-Season16 күн бұрын
Kazi wanayo
@user-um2gk3ix3s16 күн бұрын
Yanga laaa
@user-mp6zd2ui7r16 күн бұрын
Mungu ibaliki yanga yetu
@oscarclaine587816 күн бұрын
Makoro walifeli kumpa chama mazoezi ya kutosha na wachezaji wa daraja lake.. karibu jangwani MWAMBA we ni mtu sana
@user-MIO5pu1iv7o16 күн бұрын
So emotional 😢😢😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@imanibakili802816 күн бұрын
Yaan nampenda sana Nkane ninaamini ana kitu apewe nafasi atajiamini
@japhetkahindi479116 күн бұрын
Welcome Chama let the game begin
@ellyboy416516 күн бұрын
mungu amuepuxhe na majeraha 🙏🙏🙏
@seydouside408116 күн бұрын
Kwani kwa cmba haya hakuna mazoezi hakuna eeeeee..kama anayashangaaa vile..piga boli mwamba..yajayo yanafurahisha..
@gegedulacasa16 күн бұрын
Kalibu kwenye team kubwa team ya wana nchi
@lovemarkmajaliwa853016 күн бұрын
Kavaa jezi namba 20 sio
@SephaniaPaul16 күн бұрын
Mungu chama uwe na msimu bora kuliko misimu yote uliyoishi tanzania
@minazsaid247016 күн бұрын
Tunaomba Serikali itulinde
@victornzebele399016 күн бұрын
You are most Welcome master 🔰🔰🔰🏆🏆🥇🥇 #Trip C
@aishabakari804016 күн бұрын
Wa pili 🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰
@user-zd1zc8dr1f16 күн бұрын
Karibu fundi wa mpira
@user-iz3hs8jl5p16 күн бұрын
mwamba uyu apa
@user-sw9tp2rf7f16 күн бұрын
Jaman injini ya tim aucho simuoni mie hajarud
@amaniomar1755
16 күн бұрын
Atawasili usiwaze
@hk_ballers16 күн бұрын
Mwamba wa Lusaka 💚💪🏽
@shaibusaady242016 күн бұрын
Allaah Akbar
@abdunnurahmedsilim745616 күн бұрын
Mwamba huyu hapa TRIPLE C
@sosomacharles992016 күн бұрын
Sasa ndo anakutana na mwl wa fitness atakuwa moto wa kuotea mbali
@meddymachozy181516 күн бұрын
Chumaa🔥🔥
@user-kq5ob4vj7k16 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@BabaNuria16 күн бұрын
Karibu jh tuna Imani na ww
@saimonjmai80116 күн бұрын
Mwamba huyo hapo , watukane tena Sasa 🔰🔰🔰💪
@LukaMwilafi16 күн бұрын
Wew Chama mbwaaaa tuu,umriì umekukata
@RAJABUKAROMBA16 күн бұрын
Nakutakia maisha mema jangwan
@sabrinakassimu16 күн бұрын
naomba like
@JosephKanyengele16 күн бұрын
Good😊
@ShafiiHungo16 күн бұрын
Aaa kidume uyo
@davidsichone364116 күн бұрын
Background music. Jina la wimbo tafadhali.
@sallyeliya521316 күн бұрын
Chuma kimewasili🎉🎉🎉🎉🎉
@samweledward766416 күн бұрын
Yanga Bingwa ✅
@elipidiusgerazi192416 күн бұрын
🔥🔥🔥
@josepeter803316 күн бұрын
Huyu jamaaa alikuwa hana mazoez yakutisha🎉
@filemonkwaja618116 күн бұрын
Yanga bingwa
@lucymsheshi587116 күн бұрын
Chama nakuomba huku yanga uelewe ni kazi tu na displine Yale mambo yakule kwa makolo acha kabisa LAA SIVYO UTATUONA WABAYA
Пікірлер: 182
kwanza muoneni chama alivong,aa ns jezi yayanga walikua wanamfubaisha na marangi yao ya jexi yasiyoeleweka jaman wanayanga kweli uwongo like zenu wanaokubaliana na mm
@BahatiTumbuka
16 күн бұрын
Umeiona kama mimi
@RachelMaiga-xe9ez
16 күн бұрын
Kumbe na ww umeonaa jmn nilizn mm tu mwamba kapendeza nilizan dube pekee kumbe na triple C more ❤❤❤
@user-to2vn2jv3b
16 күн бұрын
Hata mm pia nmeona
@roi2554
16 күн бұрын
Kweli banaa😂
@user-sr7cg9kz6b
15 күн бұрын
💪💪💪
M/Mungu akufanyie wepesi katika majukumu yako mapya chama sisi kama wananchi tumekupokea kwa mikono miwili tunaomba utusaidiye katika timu yetu tuna imani na wewe,❤❤❤
Mungu ibariki yanga yangu msimu ujao ituletee kombe la caf
Chama pambana kaka yangu. Mungu akaone juhudi zako na kuing'arisha nyota yako. Mungu akulinde na kukupatia nguvu.
Wa kwanzaaa kabisaaa naomba likes zangu nyingiiiiiiiii🎉🎉🎉🎉
Mwenyezi mungu awalinde mashujaaa wetu wasipate majerahaya yeyoto inshallah
Karibu chama wetu Mungu akakupe kabali cha kufanya vizuri mara 10 ya ulipotoka ukawe bora zaidi ili wabaya wakaumbuke Mungu akuridhie pamoja na dube mkawe bora sana karibuni wananchi tunawapenda sanaaaaaaa❤❤
Alhamndulilah nakuomba Allah wajaalie uwezo wachezaji wetu kwenye utendaji wao wa kazi Inshaallah
MUNGU ni mwema karibu Sana Tena Sana Chama kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Kwa hiyo yanga mmeamua kutuwekea na nyimbo ya majonzi Wana Simba imeniuma sana chama kututoka
@hk_ballers
16 күн бұрын
Hii nyimbo inawafa
@starboyocal5393
16 күн бұрын
Vaa nguo uendee 😂
@jumakapilima7295
16 күн бұрын
Acha ujinga wewe, alihama Messi Barcelona, nini chama,,,
Waoo yanga rangi Mungu ubarikio yanga tamu mwamba wa rusaka naliona umekuja kusaidia yanga iwe juu zaidi musimu ujao tunawataka mamelodi sasa wafue kope zao kwasasa
Karibu Mwamba wa Lusaka, vijana wana mengi ya kujifunza kutoka kwako. Mungu akupe afya njema
Mungu akujalie ukaupige mwingi sana uwanjani Chama mwamba wa lusaka🙏🙏💪💪⭐💚💚🤲🤲🤲🔥🔥
Sisi kama wanayanaga tunamuomba mungu akupe msimu Boro ishallah tunajuwa kuwa wana simba wameumia sana ila hakuna namna wewe ni mchezaji unatafuta ridhiki kwahiyo kwa kudra zake allah mungu akujarie ridhki yako ikawe furaha kwetu pia sisi wanayanga na yoyote mwenye jicho la husda mungu mungu amuepushe na wewe ishallah amina
@amaniomar1755
16 күн бұрын
Ameen
Chama atakuwa vizuri sana shida kwa makolo hapakuwa na mazoezi ya kutosha
Jamani chama anaonekana kama under 20😢🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤ MUNGU msimamie mwanao Yanga raha sanaaaaaa.karibu chama Jangwani.we loves you
Raha sana jaman🔥🔥🔥🔥⭐💚💪💚💪💪
Mwamba wa Lusaka tunakupenda sana kalibu apo ndo hmo kwako
Our love team green and yellow nation 💚💛
Wa mwisho kabisa naomba like zangu
Chama asaiv huku yanga amenawili tear dadek🤗✌️✅
mwamba kaanza kazi safi sana
Mwamba kama mwamba Hatari 🔥🔥🔥🔥🔥
@AthamanRamadhani
16 күн бұрын
Ogopaaa
😂😂😂nipeni maua yangu mm wakwanza kuview kulike kucoment🎉🎉
Mwamba kama mwamba kazi ipo msim ujao mafundi wamezidi kuongezeka yanga raha sana
Kalibu sana mwamba
Safi kazi kazi kazi
Kazi Iendelee daima nyuma Mwikooooooooo........
Yanga yanguuuuu nakufa nayo mimi
Welcome chama la Wana💚💚💚💚✅
Chama anang'aaa😂😂😂
Yanga daimaaaaaaaaaaa love xo much yangaaaaaaaaaa!!!!
Sasa haya ndio mazoezi sio kule unafanyishwa viji mazoezi🎉
Mimi nimshabiki wasimba ila kwenyenafasi yake nitamshabikia sikuzote haijalishi anachezea tim gani
Hii video twende nayo trending wanainchi
Chama kapendeza hadi raha
kama unaipenda yanga semaaaaaaaaaaaaa YANGAAAAAA
Tunamtaka aziz
Jaman chama kapendz sana kumbe jez za yanga nibomba mnooo
Wanasema ukishindwa kupigan nao ungana nao
Jamani chama kanenepa ghafla, kumbe huyu dogo alikuwa anateseka Sana kwa makolo!
𝑯𝒂𝒌𝒖𝒏𝒂 𝒔𝒉𝒊𝒅𝒐
Good exercise practice
Ha ha ha ha nacheka kama mazuriiii jaman ,young sc
Nimependa chama anavyobembea kichiba
MWAMBA kaanza kazi
Haya Mambo huwezi kuyaona Simba ni yanga tu
Mwamba wa Lusaka
mwanzo mwema
Daah!! ikawe heri kwake welcome triple C
Anomin chama ana miaka 24 like apa
Ila nyie achen wale hela mazoez makali angalia chama mpaka wanang'ata meno
Yangaaaaaaaaaaa
Ghafra Chama kawa kijana 🔰💛💚
Video nzuri,ila huo wimbo,hapo sio mahala lake " wimbo haufananii na hiyo video --- mmechemka "
Daaah Yanga ya Hersi haina huruma kabisa
Kazi wanayo
Yanga laaa
Mungu ibaliki yanga yetu
Makoro walifeli kumpa chama mazoezi ya kutosha na wachezaji wa daraja lake.. karibu jangwani MWAMBA we ni mtu sana
So emotional 😢😢😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Yaan nampenda sana Nkane ninaamini ana kitu apewe nafasi atajiamini
Welcome Chama let the game begin
mungu amuepuxhe na majeraha 🙏🙏🙏
Kwani kwa cmba haya hakuna mazoezi hakuna eeeeee..kama anayashangaaa vile..piga boli mwamba..yajayo yanafurahisha..
Kalibu kwenye team kubwa team ya wana nchi
Kavaa jezi namba 20 sio
Mungu chama uwe na msimu bora kuliko misimu yote uliyoishi tanzania
Tunaomba Serikali itulinde
You are most Welcome master 🔰🔰🔰🏆🏆🥇🥇 #Trip C
Wa pili 🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰
Karibu fundi wa mpira
mwamba uyu apa
Jaman injini ya tim aucho simuoni mie hajarud
@amaniomar1755
16 күн бұрын
Atawasili usiwaze
Mwamba wa Lusaka 💚💪🏽
Allaah Akbar
Mwamba huyu hapa TRIPLE C
Sasa ndo anakutana na mwl wa fitness atakuwa moto wa kuotea mbali
Chumaa🔥🔥
🎉🎉🎉🎉
Karibu jh tuna Imani na ww
Mwamba huyo hapo , watukane tena Sasa 🔰🔰🔰💪
Wew Chama mbwaaaa tuu,umriì umekukata
Nakutakia maisha mema jangwan
naomba like
Good😊
Aaa kidume uyo
Background music. Jina la wimbo tafadhali.
Chuma kimewasili🎉🎉🎉🎉🎉
Yanga Bingwa ✅
🔥🔥🔥
Huyu jamaaa alikuwa hana mazoez yakutisha🎉
Yanga bingwa
Chama nakuomba huku yanga uelewe ni kazi tu na displine Yale mambo yakule kwa makolo acha kabisa LAA SIVYO UTATUONA WABAYA
anaboa kinomaa na komwe lake
1❤
Mungu akujalie kaka pambana
Mwamba wa Lusaka Triple C 🎉🎉🎉
ila cameraman ana makusud
Jamani dua na sala kwa wachezaji wetu