MAU MPEMBA KWANINI RAMADHANI SEHEMU YA 2

Комедия

#MauMpemba #KomboKichwa #VitukoZanzibar
Furahi na jifunze na vichekesho vya Mau Mpemba. Mau Mpemba ni msanii wa Zanzibar anaejulikana sana kwa aina yake ya sanaa ya maigizo kwa kutumia asili yake ya Pemba. Kwa kushirikiana na wasanii mbali mbali Tanzania, Mau Mpemba anasisimua na kuvunja mbavu za watu wengi wanaopenda aina yake ya maigizo.
Aina ya sanaa anayofanya Mau Mpemba ni mfano wa kuingwa kwani, anatumia kile kidogo alichonacho ili kufurahisha na kuelimisha pia.
Ukihitaji kuunga mkoni harakati za wasanii hawa ili waweze kuleta furaha kila siku katika jamii zetu, hakikisha unatangaza biashara yako au kutoa ushauri wako kupitia.
+255 777 001500

Пікірлер: 47

  • @shaibhasan9233
    @shaibhasan9233 Жыл бұрын

    Wakwanza mieeeee kutoka dar es salaam naomben like Zang

  • @mudricksniper9495

    @mudricksniper9495

    Жыл бұрын

    Unaenda kuuza izo like ndugu tupe na ss mchongo

  • @abdullahhassan.6368
    @abdullahhassan.6368 Жыл бұрын

    Jmn mm wapili MÃÅÑÅ nmeingojea adi ime jiplay ÑÃØMBÃ like zenu bc

  • @mudricksniper9495
    @mudricksniper9495 Жыл бұрын

    Tupeni na ss ilo soko la like km zinauzwa

  • @user-wd3ej5tp5t
    @user-wd3ej5tp5t4 ай бұрын

    Goro safi sana kaza kamba unaweza ndugu tena unanikosha san

  • @ikramkhamis329
    @ikramkhamis329 Жыл бұрын

    ❤kazi nzuri wazalendo wetu wasanii bora mtokao ndani ya zanzibar kwa kutuletea kipind ambacho kina maadili na mafunzo kwa kujifunza ndani ya ramadhan yetu allah tawapa barka,twaomba kimaliza mchezo icho clip ya sound ya kaswaida itokee juma aitoe twazipenda kaz zenu wasanii we ❤❤❤RAMADHAN KAREEM ❤❤❤

  • @adammgoha6381
    @adammgoha6381 Жыл бұрын

    Maasha Allah kuna mafunzo humu ya kujifunza kombo kichwa simuoni

  • @UmmyAsfar-sn5ul
    @UmmyAsfar-sn5ul Жыл бұрын

    Nampenda saaana da naomba kwa ajili ya Allah.

  • @muswaabybinumeir4094
    @muswaabybinumeir4094 Жыл бұрын

    Naomba anajuwa kuigiza sana atafika mbali 👍👍

  • @alisaid7299
    @alisaid7299 Жыл бұрын

    Hongera na pongezi kwako Mtaalam wa uganga Mau hii ndio Nafac yko hasa nyngn washikiashikia tu.

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Жыл бұрын

    Ramadhan kareem❤❤❤

  • @nahirhamidu-ms3lq
    @nahirhamidu-ms3lq Жыл бұрын

    Inshallah watapata vifaa vizur wawe na subra

  • @saadanaufal-pe2zn
    @saadanaufal-pe2zn Жыл бұрын

    Mashallah ❤

  • @Filamumaridhawa
    @Filamumaridhawa6 ай бұрын

    Aliyaa wee aliya ngombee baaa

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 Жыл бұрын

    Hii iendelee mpaka siku za kawaida mutuoneshe baada ya ramadhani watu wanaishije na skukuu baada ya skukuu na siku za kawaida

  • @Yassirsleimanisalim
    @Yassirsleimanisalim4 ай бұрын

    👌

  • @remaz-tf6zh
    @remaz-tf6zh Жыл бұрын

    Nic naendelea kuwafata💪

  • @killingofficial5005
    @killingofficial5005 Жыл бұрын

    MashaAllah, Kaz nzuri

  • @iliasamohammed-dd4do
    @iliasamohammed-dd4do Жыл бұрын

    Lakn bila kusahau uyo mkewe mau nimempatia anaifanyia kazi vizur nafasi yake

  • @felisterbaraka6152
    @felisterbaraka6152 Жыл бұрын

    Asanteni sana tuleteeni muendelezo tafazali

  • @shmsazahir4021

    @shmsazahir4021

    Жыл бұрын

    😂mkoma

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 Жыл бұрын

    Na hii km hamutaimaliza basi tutaifungia Account mau Shemegi yangu ❤❤

  • @allyaseid3000
    @allyaseid3000 Жыл бұрын

    Jamani mau anaujuwa sana nyiee

  • @iliyasahemedi5159
    @iliyasahemedi5159 Жыл бұрын

    👏👏👏👏sici

  • @WahidHamad-rg1mv
    @WahidHamad-rg1mv3 ай бұрын

    Aaa hmn jmb

  • @babuafya3446
    @babuafya3446 Жыл бұрын

    jinn mwenziwe mganga

  • @bauchatv-yd4ug
    @bauchatv-yd4ug Жыл бұрын

    Jamani mm maoni yangu ningeomba hii kaswida pia muitowe video miurushe nmeipenda san

  • @hassanferej8553

    @hassanferej8553

    Жыл бұрын

    Kwa kweli

  • @abuubakarabdallaali5225
    @abuubakarabdallaali5225 Жыл бұрын

    Jarbun kutumy camera mzr kdg

  • @muniraahmedawadh2619
    @muniraahmedawadh2619 Жыл бұрын

    Mtihani huo watoto hawataki kwenda chuoni

  • @hassanferej8553
    @hassanferej8553 Жыл бұрын

    Jamani naomba jina la qasida plz

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 Жыл бұрын

    Nice

  • @alisaid7299
    @alisaid7299 Жыл бұрын

    Tunasubiri sehem y 3.

  • @ledoncrazy
    @ledoncrazy Жыл бұрын

    Wekeni sehem nyengine

  • @yussufmataka8584
    @yussufmataka8584 Жыл бұрын

    Sara ....

  • @hajiharoub8125

    @hajiharoub8125

    Жыл бұрын

    Camera Iko vzur tu sema wao hawatumii mekapu

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim6866 Жыл бұрын

    Pongezizenu mie wapili kutoka MSA kenya

  • @fetriucysuleiman9284
    @fetriucysuleiman9284 Жыл бұрын

    Wa kichokochwe😅😅

  • @allyaseid3000
    @allyaseid3000 Жыл бұрын

    Haya jamani niambiwe bas lemba ilo la pweza

  • @yahyamaabad9837
    @yahyamaabad9837 Жыл бұрын

    Mau hasa wanichekesha mtoto aumwa na njaa wampeleka kwa mganga ama weye hasa

  • @ceclizbon1783
    @ceclizbon1783 Жыл бұрын

    Mbona 3 ina chelewa???

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Жыл бұрын

    Mau mtoto mpeleke hospitali umpikie viubwabwa njaaaaaa itamua mungu awabariki njote

  • @iliasamohammed-dd4do
    @iliasamohammed-dd4do Жыл бұрын

    Makame nuhusi haelekei kuwa shehe 😀😀

  • @hajiharoub8125
    @hajiharoub8125 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣 umenikumbusha maji tunayoyapata mkoroshini yanatoka Kwapweza

  • @AyubuKhamis-xk3nh
    @AyubuKhamis-xk3nh Жыл бұрын

    camera mbovu xana

  • @BMSChasasa

    @BMSChasasa

    Жыл бұрын

    Naomba upo vixur dada allh akuwezeshe zaid 😂❤❤❤

  • @BMSChasasa

    @BMSChasasa

    Жыл бұрын

    Kamera sio nxur jmn tunapenda iwe nxur

Келесі