MAU MPEMBA KWANINI RAMADHANI SEHEMU YA 2
Комедия
#MauMpemba #KomboKichwa #VitukoZanzibar
Furahi na jifunze na vichekesho vya Mau Mpemba. Mau Mpemba ni msanii wa Zanzibar anaejulikana sana kwa aina yake ya sanaa ya maigizo kwa kutumia asili yake ya Pemba. Kwa kushirikiana na wasanii mbali mbali Tanzania, Mau Mpemba anasisimua na kuvunja mbavu za watu wengi wanaopenda aina yake ya maigizo.
Aina ya sanaa anayofanya Mau Mpemba ni mfano wa kuingwa kwani, anatumia kile kidogo alichonacho ili kufurahisha na kuelimisha pia.
Ukihitaji kuunga mkoni harakati za wasanii hawa ili waweze kuleta furaha kila siku katika jamii zetu, hakikisha unatangaza biashara yako au kutoa ushauri wako kupitia.
+255 777 001500
Пікірлер: 47
Wakwanza mieeeee kutoka dar es salaam naomben like Zang
@mudricksniper9495
Жыл бұрын
Unaenda kuuza izo like ndugu tupe na ss mchongo
Jmn mm wapili MÃÅÑÅ nmeingojea adi ime jiplay ÑÃØMBÃ like zenu bc
Tupeni na ss ilo soko la like km zinauzwa
Goro safi sana kaza kamba unaweza ndugu tena unanikosha san
❤kazi nzuri wazalendo wetu wasanii bora mtokao ndani ya zanzibar kwa kutuletea kipind ambacho kina maadili na mafunzo kwa kujifunza ndani ya ramadhan yetu allah tawapa barka,twaomba kimaliza mchezo icho clip ya sound ya kaswaida itokee juma aitoe twazipenda kaz zenu wasanii we ❤❤❤RAMADHAN KAREEM ❤❤❤
Maasha Allah kuna mafunzo humu ya kujifunza kombo kichwa simuoni
Nampenda saaana da naomba kwa ajili ya Allah.
Naomba anajuwa kuigiza sana atafika mbali 👍👍
Hongera na pongezi kwako Mtaalam wa uganga Mau hii ndio Nafac yko hasa nyngn washikiashikia tu.
Ramadhan kareem❤❤❤
Inshallah watapata vifaa vizur wawe na subra
Mashallah ❤
Aliyaa wee aliya ngombee baaa
Hii iendelee mpaka siku za kawaida mutuoneshe baada ya ramadhani watu wanaishije na skukuu baada ya skukuu na siku za kawaida
👌
Nic naendelea kuwafata💪
MashaAllah, Kaz nzuri
Lakn bila kusahau uyo mkewe mau nimempatia anaifanyia kazi vizur nafasi yake
Asanteni sana tuleteeni muendelezo tafazali
@shmsazahir4021
Жыл бұрын
😂mkoma
Na hii km hamutaimaliza basi tutaifungia Account mau Shemegi yangu ❤❤
Jamani mau anaujuwa sana nyiee
👏👏👏👏sici
Aaa hmn jmb
jinn mwenziwe mganga
Jamani mm maoni yangu ningeomba hii kaswida pia muitowe video miurushe nmeipenda san
@hassanferej8553
Жыл бұрын
Kwa kweli
Jarbun kutumy camera mzr kdg
Mtihani huo watoto hawataki kwenda chuoni
Jamani naomba jina la qasida plz
Nice
Tunasubiri sehem y 3.
Wekeni sehem nyengine
Sara ....
@hajiharoub8125
Жыл бұрын
Camera Iko vzur tu sema wao hawatumii mekapu
Pongezizenu mie wapili kutoka MSA kenya
Wa kichokochwe😅😅
Haya jamani niambiwe bas lemba ilo la pweza
Mau hasa wanichekesha mtoto aumwa na njaa wampeleka kwa mganga ama weye hasa
Mbona 3 ina chelewa???
Mau mtoto mpeleke hospitali umpikie viubwabwa njaaaaaa itamua mungu awabariki njote
Makame nuhusi haelekei kuwa shehe 😀😀
🤣🤣🤣 umenikumbusha maji tunayoyapata mkoroshini yanatoka Kwapweza
camera mbovu xana
@BMSChasasa
Жыл бұрын
Naomba upo vixur dada allh akuwezeshe zaid 😂❤❤❤
@BMSChasasa
Жыл бұрын
Kamera sio nxur jmn tunapenda iwe nxur