MAU MPEMBA KWANINI RAMADHANI SEHEMU 1
Комедия
#MauMpemba #KomboKichwa #VitukoZanzibar
Furahi na jifunze na vichekesho vya Mau Mpemba. Mau Mpemba ni msanii wa Zanzibar anaejulikana sana kwa aina yake ya sanaa ya maigizo kwa kutumia asili yake ya Pemba. Kwa kushirikiana na wasanii mbali mbali Tanzania, Mau Mpemba anasisimua na kuvunja mbavu za watu wengi wanaopenda aina yake ya maigizo.
Aina ya sanaa anayofanya Mau Mpemba ni mfano wa kuingwa kwani, anatumia kile kidogo alichonacho ili kufurahisha na kuelimisha pia.
Ukihitaji kuunga mkoni harakati za wasanii hawa ili waweze kuleta furaha kila siku katika jamii zetu, hakikisha unatangaza biashara yako au kutoa ushauri wako kupitia.
+255 777 001500
Пікірлер: 88
Gonga like hapa umeikubali😮
Nakukubali sana mau mpemba kaka Allah akujaalie kila lenye heri
Qaswida nice Masha Allah and movie yenye mafunzo pia ❤
Mau tunakutambua huku kenya❤
Mashaaallah good
Kazi mzuri wajina pamoja sana.
Proud of you zanzibarian comedian
Napenda sana kuangalia movie Kama hizi Hasa Ramadan naomba iyendele sehemu Mpaka 30 Inshaallha
@shaibhasan9233
Жыл бұрын
Saw hawa
Dalila from pemba pamoja sanaa ❤
Naomba nakupenda sana dada unanifurahisha 🤣
Tupemuendelezo kaka, nakubali kazi
Mashaallah ust juma faki allah akupe kher na azidi kukikuza kipaji chako pia hongera sana mau mpemba kwa filamu bora
Mashaallah
Kazi mzuri mau ila umepotea sana hadi tumekusahau ki comedy
Safi sana kazi nzur
Dah woot mastaa Wamo duh safiii
Kiungo Mahfoudh
Mashaallah vjana kz mzur sana
Nawakubali mola awabariki
Hongereni sana kwa kuenzi tamaduni zetu
Shadra shadra shadra umejitafut umejipata God bless you
Mashallah
Ahsanteni mungu Azidi kuwapa kheri inshaAllah
Mchezo mzuri sana huu tunaomba muendelezo
Mnajua sanaa
Mashaallah jazakumllah kheir amiin
Nice one😊
Pamoja sana wapendwa mashaAllah
Hamuna baya mau na kikosi chake
Mau uko vzr
Hongera maulid
MashaLLAH ❤
Mie nampenda sana naomba
Wa mwanzoooooo
Nzuri
Sehemu ya pili saa ngapi unaishusha
Mau tunakujua huku Saudia waarabu sote
Huna mby kak
Inaendelea lini
Swafiii
❤❤❤
Hakika hiiii iyetu wapemba
Kaka mau dogo nk nawakubali sana
Kidundo yuko wapii?
perfect
🚀
❤
❤❤❤❤❤❤
Fundi wazidi chafukwa Sasa kunaamua
Haaaa mau ashafanya tamaa ramadhi ni mwezi wakuchuma lakini sio tunavyo chuma siye umati w a sasaivi
♥️♥️
Mau mm km ww Niko sawa kaka 😂😂😂
Naaam
mashaallah
@amouraxmed1435
Жыл бұрын
Mashaaallah mchezo mzur
@BMSChasasa
Жыл бұрын
Hongera sana dada naomba upo vixur mashaallh mashallh mashaallh ❤❤❤😂😂😂
M napendaga wapemba wanavyo ongea 😅😅
Upo kaka naona ulikua kmy
😂😂😂😂❤
😅😅😅
Shadra umejitafut umejipata good bleeding you
Tuletee muendelezo
@sabaganga-jo8nz
Жыл бұрын
B shuu nakuona Asante mwalimu wangu
@sabaganga-jo8nz
Жыл бұрын
Mungu akuongo mwalimu wangu
Kachara yuwapi?
@musaqdeschwaz2071
Жыл бұрын
Kanlala
@mpembainc
Жыл бұрын
@@musaqdeschwaz2071 naona
Kachara kiboko yko ww Mau hujui kuwekting 😂😂😂😂 hufai 🎉🎉🎉hta KIDOGO 😅😅😅😅
ACTING ZAKO ZOTE MBOVU HTA CIJUI NANI KAKUSAPOT😢😢😢😢😢😢
@salimkhamis9406
Жыл бұрын
Mbona zako hatuzion au ndio uokosi tu maan Binadam tuna hasad za kila aina
@hamidrashid225
Жыл бұрын
Ili igizo kwa kiwango kikubwa limegusia uislam na lazim watu kama wee shetan achukie man shetan kuna wa kibinaadam pia
@vistoryvistory5908
Жыл бұрын
Husda si jambo zuri hata kidogo
@MauFundiElectronics
Жыл бұрын
Yako wewe hipo wapi???
@alhimnamussasaid3619
Жыл бұрын
Na wala hukulazimishwa kuangalia mpuuzi Mkubwa wewe
❤❤❤