hamisa kapendeza sana kama unakubaliana na mimi gonga like yako hapa tujuane
@zuhurahemed9740
5 жыл бұрын
Sigifridy Franky katupia
@changanikisesa7021
5 жыл бұрын
May you raise more hamisa
@wakifedhayakub7834
5 жыл бұрын
Kapendeza hamisa
@ummun8763
5 жыл бұрын
@@wakifedhayakub7834 kapendeza sana
@cecysamwel2572
5 жыл бұрын
Nakupenda sana hamisa ww ni mzuri sana pia mrembio kuliko pendeza mno mamy.
@stukiaally46905 жыл бұрын
Hamisa mzuri jamani kama na yeye yupo kwenye mashindano huwezi jua kama mama wawili tz sweet heart
@hadija8465 жыл бұрын
Yaani Hamisa ni mzuri kweli yaani hajulishi kabisa kama ni mama wa watoto wawili napenda sana umbo lake kwa kweli na ucheshi wake. Nakuombea mema wakati wote 🙏 😘
@karimnaushady9502
5 жыл бұрын
Nakupenda amiss sina jinsi inabidi niendelee kukupenda tu uwezowa kuana Ww sina tuchanganyemama muache Simba akutupe Ww mzuli Tanzania nzima sijaona wakukuzidi ww
@denniskalisti2570
5 жыл бұрын
中川アーシャ angekuwa kwa mashindano ya umiss angepita uyu
@hadija846
5 жыл бұрын
@@denniskalisti2570 ni kweli kabisa maana wote kawazidi👍
@hamismasoud8808
5 жыл бұрын
中川アーシャ ni kweli na wala haoneshi kama ni mchawi😂😂😂😂
@reetasmyth7062
5 жыл бұрын
love u hamisa xx
@roycemerchades36635 жыл бұрын
Mbona sihelewi hamisa mbn kama ndo miss tz kama nawewe humeoma hivyo ngoga lake
@ummun8763
5 жыл бұрын
Kweli
@joycekasakisya3453
5 жыл бұрын
Sanaaaa!! Kawazidi wote.
@magrethakida7579
5 жыл бұрын
Royce Merchades kapendeza Lear kweli baby Hamissa Tanzania sweetheart😀😀
@roycemerchades3663
5 жыл бұрын
@@magrethakida7579 umeona eeeh
@aishaabdullah5005
5 жыл бұрын
Upo juu mama
@masiqaima30995 жыл бұрын
hamisa wewe ndio unaonekana kuwa miss sasa wow hongera mama tunakupenda sweet
@safinageorge51485 жыл бұрын
Hamisa umemdashiii sana my piga kazi tu waache na majungu yao
@roseirungo19505 жыл бұрын
Yaani Hamisa ata akingangania hicho crown bado naweza kunyakua ,,,Huyu mama 2 hazeeki wala kupoteza uzuri wake 😘😘😘👍👍👍👍
@pendomariki6703
5 жыл бұрын
Rose Irungo
@tatut38895 жыл бұрын
Hamisa umepata sifa kuzidi mamiss unapendwa sana misa 😍😍😍
@eyfdfhuf1830
5 жыл бұрын
Kabisa my
@mwanahaji13
5 жыл бұрын
Tutazid kumpenda ht wakimchafua
@shabanihussein40405 жыл бұрын
Ufala ni nn Ufala ni pale upo kwenye nchi yako halafu unaongea kiingereza Wakati bibi yako hajui kitu unacho ongea 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@vitalissmsalanji2537
5 жыл бұрын
Wambie
@saleekipacha7533
5 жыл бұрын
we mwenyw pia umeongea ufala pia asa kama bibi anajua kinge wat if
@petal8776
5 жыл бұрын
Kenyan detected bora uhai asi
@FatmaFatma-kt1or
5 жыл бұрын
Ha ha ha
@kidotir4106
5 жыл бұрын
hahahaha
@cutelove26865 жыл бұрын
Mungu hakunyimi vyote Hamissa...Tunakupnda mnoo.. 😍😘😘😘
@herlove18855 жыл бұрын
Hamisa we mzuri bhana😍ulipendeza sanaa
@rozinahamisi845 жыл бұрын
Naona warembo ila sweetheart tz kapendeza zaidi ya wote ukumbini@hamisamobetto
@lovemomomicpapamohamed6568
5 жыл бұрын
Rozina Hamisi 👆❤❤❤❤👏👌misa moto
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
hmm
@mustafasuleyman97815 жыл бұрын
jamani Mimi nnamuona hamisa tu ndo kpndz.km na ww wamuona hamisa ndio kpndza gonga like
@sheilalolila22335 жыл бұрын
hamisa umependeza sana umenifurahisha kwa kweli tz sweet heart hamisa
@happysoka2043
2 жыл бұрын
Hao n mamiss uinjereza? Mbona wofe wanasema enjilish
@hildababyabdullah56275 жыл бұрын
Kweli aso mtu ana mungu mana family ya dai kila kukicha wanamzulia mabalaa hawajui km chuki zao ndio wanamfungulia njia za kupata neema hongera mama wawili nakupenda misa achana nao tizama maisha yako songa mbele mamii hamisa ww mzr achana na lile liwema linaropoka tuu nakujifanya limekamilika limezeeka halina mtt ata wakuchonga cjui akizaa litakuaje
@carrendan8745 жыл бұрын
Swthrt wangu hamisa love you mama dee❤❤❤❤ umependeza sanaaaaaa💋💋💋💋
Masha Allah tusiwe wanafki Hamisa kapendeza jamani
@maimunashaban6314
5 жыл бұрын
sweet heart tanzanian bby hamisa kapendeza sanaa
@hadija846
5 жыл бұрын
Kapendeza sana tena sana😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘💕💕💕💕💕💕
@hildapastor7988
5 жыл бұрын
Yaan nadhan kwa kunoga huku kuna watu matumbo yamewauma, hamisa oyoooooo
@wemakalam94155 жыл бұрын
Hamisa umependeza balaa hongera mumy
@lashymreal65555 жыл бұрын
Hamisa mrembo kuliko mamiss wote mama2
@hadija846
5 жыл бұрын
Yaani Hamisa ni mzuri kweli yaani hajulishi kabisa kama ni mama wa watoto wawili napenda sana umbo lake kwa kweli na ucheshi wake. Hamisi mbele zaidi nakuombea mema wakati wote🙏😘
@jullymshashu856
5 жыл бұрын
no 09 kajibu poa pia kazuriiiiiii😘😘😘😘😘😘
@husnauthman7609
5 жыл бұрын
Sanaaaa
@mwanaishambili2415 жыл бұрын
Mashaallah hamisa kapendeza ucjali ddangu kila mti wenye matunda ndio unayo purwa mawe
@nabintukadende23885 жыл бұрын
Misa. Hamisa u lk good Mama Dee
@shufaarashid8965 жыл бұрын
asante jmn nafurahia uwepo wako hamisa you so cute
@elizabetandundi29705 жыл бұрын
Hamisa wewe unawashinda wote yani ungekuwa miss Tz inge pendeza Zaidi yani wewe mremboooooooo
@aishaaisha70325 жыл бұрын
Masha ALLAH beauty with brain kizungu hapo umeuwa wabongo Elizabeth
@pennyjohn13065 жыл бұрын
Hamisa umewafunika wote ao sjaona wakukufikia sula ata shepu
@subrynerysegerow1323
5 жыл бұрын
Penny John kuna shepu haraf kuna figure sawa?
@pendomarco9307
5 жыл бұрын
wao mama dee pendeza
@irenelukungu11505 жыл бұрын
Ila mobeto kapendeza jamani
@naimanurdin2846
5 жыл бұрын
Sanaaaaa my
@sangooabdallah9246
5 жыл бұрын
Kweli. kabisaaaa
@zumbeshauri81145 жыл бұрын
mwenyewe nilijua hamisa yupo kugombea umiss naye mana kapendeza sana
@wemakalam94155 жыл бұрын
You rock hamisa mabeto
@preccypressy22265 жыл бұрын
Wow!I love you miss Tz very fluency English mmmwwwah. Hamisa you rock mummy Love you to the fullest cutee
@youngracemst92415 жыл бұрын
My baby so cute 😍😍😍 Love you Hamisa Mobetto 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
@beatricemveyange11565 жыл бұрын
Nmeamin mung akisema ndyo hakuna wa kupinga misaa Nakupenda. Hatar
@peterpetermchaga371
5 жыл бұрын
Beatrice Mveyange 😘😘mobeto
@jackrinaman75215 жыл бұрын
Haaa uyo miss tanzania kesho utasikia mchepuko wa mond mana ndo mambo yake hayoooooo
@chanceirankunda81905 жыл бұрын
Woooo hamisa muzuri sanaaa love u so much maman
@reemiiomar93865 жыл бұрын
Ndio Mwanajuma Esma anakuchikia n Mamake sio kwa kupendeza hk mamadayllan wacha wasokupenda iwacost pingakazi majungu muachie muuza vitenge
@barthazarbarthazar3564
5 жыл бұрын
Reemii Omar dada umeongea kweli exact
@mwanahaji13
5 жыл бұрын
Na kweli ajali maisha yk t
@esterlwambo48785 жыл бұрын
Confidence ya Queen Elizabeth nimeipenda
@rehemanyitu640
5 жыл бұрын
team hamisa, piga kelele oyooooooooooooooooo
@hildapastor7988
5 жыл бұрын
Oyoooooooooooooooooooooooooo
@magynzioka11225 жыл бұрын
Ukiona wana kusema jua umewazid kweli sweet heart Tanzania umewazidi wote hadi wana hamia inji jirabi 🔥👌✨💘💪
@fatmamasoud62435 жыл бұрын
Hamix banaa umedamshi mim nilijuaa we Ndioo tz swetht
@goldgold.5 жыл бұрын
Wow! Hamisa is the most beautiful than all. Congratulations Hamisa
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
Pink Pink hmm
@neemagreshen41895 жыл бұрын
Mimi sipendagi kujiusisha na mitandao lakni msema kweli mpenzi wa mungu hamisa umependeza sanaaaaaa
@lindasophia12885 жыл бұрын
🔥🔥 misaaaaa ❤️🤸♀️🤸♀️
@anthonymwandu26155 жыл бұрын
ningekuwa rais tusingeendelea kuwa watumwa kutumia lugha za wenzetu nawakti tupo kwenye nchi yetu acha kiswahili kikue bhana mnatumia kingereza ili iweje sasa nawakati mnajua watanzania wengine hawajui hii lugha yakigeni
@majaliwagessler4443
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@aishamattar6381
5 жыл бұрын
Yani hili jambo mm linanikera kwann wanadharau lugha yao?
@dionestermwinuka9446
5 жыл бұрын
anthony mwandu !! Ni kweli ndo mana aliyeongea kiswahili wengi wameelewa na wamependa
@anthonymwandu2615
5 жыл бұрын
hii ndo tunataka uzalendo huyo alieongea kiswahili bora apewe hilo taji
@hildapastor7988
5 жыл бұрын
@@dionestermwinuka9446 yaan ni zaidi ya utumwa
@edgarngomani82085 жыл бұрын
ayo mungu amemuangazia mwanga kwayote mlio sema
@aminajuma74275 жыл бұрын
Madam hero herself 😘😘😘
@mwanatz59805 жыл бұрын
Waoooo Tanzania sweet heart 👑
@bijumakassim36975 жыл бұрын
Hamisa ww kiboko yao yani kashepu kako dada kana nikosha mie nakupendaje Basi Yani wee acha tu...shukran kwa Allah kwa kukujalia uzuri pia kwa mama alie kuzaa hongera kwake...Allah akulinde hamisa😘😘😘
@annyrutty6575 жыл бұрын
Mliojibu maswal kwa lugha ya kiingereza bado mnatetea ukoloni, Kiswahil ndo lugha ya Taifa letu. Jarbuni kusoma nyakati
@laymapeace45385 жыл бұрын
yani aka kadada number 9 nakapenda vibaya
@limokisuda4145
5 жыл бұрын
Mwazan Gomaa hata mi nimekanokii manzee
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
ndo yupi uyo..
@agelpella6052
5 жыл бұрын
Yan kazur na kalivyojibohnua sas sjui hakachoki hahaha sema so nice
@jacqulinemushi58495 жыл бұрын
Hamisa unacheka vizur umedamshi sana mama wawil Aiseeh! Nakupendaga2
@queenjohm34515 жыл бұрын
hamisa mrembo
@hadijangolo79305 жыл бұрын
amisa umependeza sanaa 😍😍😍yani sanaa😍
@elvinnyanchama52625 жыл бұрын
Hamisa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Dlugonzibwa
5 жыл бұрын
Elvin Nyanchama mh
@richardmiti20165 жыл бұрын
asante miss no 3 kwa kukienz kixwahil,
@subrynerysegerow13235 жыл бұрын
Huyo mwanaume alinichekesha jana daah sema mama semaaaaaaa
@ramlaahmadabdullah6245 жыл бұрын
Misaaaaaaaaaaaaaaàaaa😘
@nankyjrobby1310
5 жыл бұрын
Hamisaaaaa wewe ni noma Mungu akulinde
@tatuhabibu5080
5 жыл бұрын
yaan misa umetishaaaaaaaaa love
@MsAggie55 жыл бұрын
Nimempenda huyo dada aliyekuwa karibu na Hamisa yuko natural. No fake hair or colour.
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
Aggi Bibi Angel bila shaka na wewe upo hivyi ndomn mnajuana na memuona mwenzio, fny nije nikufuate mm huhuhu
@MsAggie5
5 жыл бұрын
Mnzava Chris hahahahaha ulijuaje? Usinichekeshe mi wa mwaka 47 ndo maana..........niko mbali .......
@tinajoe45 жыл бұрын
Lugha ya kiswahili ni nzuri zaidi wakati mwingine tumieni lugha ya nyumbani
@sweetsweet77905 жыл бұрын
Congratulations. The new Miss World Tanzania 2018. Is Beautiful lady.
@jackjackson24985 жыл бұрын
Ume damshi mama dee
@hadijapazia6845 жыл бұрын
Hamisa bby umeua,pendezano😘😘😘
@elizabethodindo25935 жыл бұрын
Wangapi wanakubali kuwa dada mwenye anapeana naba nimrembo weka like
@eliadaabel8991
5 жыл бұрын
n mrembo yupo natural
@saodashaban34495 жыл бұрын
mashallah mama deee pambee tuu
@beatricemveyange11565 жыл бұрын
Hapo sawa lugha. Yetuuuu. Kwnzaaaa kiswahili hoyeeeeeeeeee
@asiahmariam39425 жыл бұрын
Missa leo mbona kapendeza sana hivyo mamaeeeee 🤔🤔🤔🤔
@rachelkem16985 жыл бұрын
madam hero did a good job. this gal is flying higher congrats misa
@queenbi54775 жыл бұрын
Mbona hamissa kapendeza sana kuzidia warembo wote Mama Dee much love for you
@princessjudith44175 жыл бұрын
Sasa hiyo ndo lugha ya taifa,, au mnatak wengine wasielew achen kusherekea uongo
@ismailyusuph7405 жыл бұрын
Mashindano ya kuchagua VYOMBO VYA STAREHE....! Na ujinga Sio kutokujua KIINGEREZA’ bali ujinga ni kutojali LUGHA YAKO...!
@dismaskayombo9488
5 жыл бұрын
Ismail Yusuph sana uzalendo kwanza
@ismailyusuph740
5 жыл бұрын
#dismaskayombo ....Haya mashindano hayakutakiwa kabisa kuwepo’ maana hayana faida yoyote Kwa nchi wala Vizazi vyetu...!
@lilianestephanie78815 жыл бұрын
Hadi goosebumps queen Elizabeth alivyojibu maswali.Miss tz
@sabinashabani97425 жыл бұрын
❤❤❤❤❤ hamisa achana nahuyo mwenye kutakasifa mdaote we nikarembo sana mama dee
@gracetweve84855 жыл бұрын
Huyu Dada kastahili kuwa miss Tanzania
@christsflowe.r
5 жыл бұрын
Elisa Wangare amesema kastahili
@musafatuma424
5 жыл бұрын
Grace Tweve
@christsflowe.r
5 жыл бұрын
Elisa Wangare she said that she deserved it. She didn't say that she didn't deserve it. She said kastahili she didn't say hajastahili
@MsAggie5
5 жыл бұрын
Grace Tweve kweli naungana nawe nilikuwa na chart live, nili sema she’s the one nili furahi alivyoshinda
@dorcusemmanueldorchi4988
5 жыл бұрын
Kabisa yaani
@naifinmeghan44185 жыл бұрын
Mrembo huyo vepee👌👌😏😏😏 you just use English language and then you're Tanzanian how comes 😁😬😁 just like and appreciate your own language haha,,👌👌👌
@fanerajofabra17285 жыл бұрын
Watanzania bwana hawaelew kiingereza wamebk kukoment tu hamisa,hamisa
@malkiabhanji87885 жыл бұрын
misa u looks so cute
@julianabanali46245 жыл бұрын
nakupenda sana hamisa ur so cute
@maryikwabe93775 жыл бұрын
Twakupenda Queen Hamisa keep it up ur one in a million
@nyasonyilugoe95545 жыл бұрын
mi nashangaa, hamisa mzuri sana why umlilie diamond, wapo type yako mama,,,,
@rizikirizikirasy93005 жыл бұрын
MashaAllah Hamisa kapendeza
@uwimanaraoul68245 жыл бұрын
Waoooo sweetheart tz #Hamissamobetto 🍏🍓
@annawkiwale34905 жыл бұрын
no 16 umeelewa vzur abt tour yako ya Amani nature reserve.. karbu tena Tanga, Muheza
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
annaw kiwale Amani ipo tanga enh.??
@nancyshah2545 жыл бұрын
You are so cute hamisa. I like your confidence
@jacquelinendambuki27595 жыл бұрын
Hamisa gorgeous
@shamilamaryan47445 жыл бұрын
Wow very clear english i love this
@omanphone1855 жыл бұрын
Hamisa nakupenda unaongea English nzuri sana
@lovelyqueen75965 жыл бұрын
Love you hamiss you look so mwaah
@danielmagwaza24105 жыл бұрын
daah! quen hongera rafiki angu kwa kuwa mis tanzania nakumbuka tulikuwa wote pale 823kj msange
@amalvalerio68785 жыл бұрын
ningependa kutumia lugha ya kingereza. na waingereza watatumia kiswahilk
@eliadaabel8991
5 жыл бұрын
hahaha ndo apo sasa
@sarasempoli62885 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu hamisa wangu piga kazi mm
@happykipeya85165 жыл бұрын
11 😍😍😍😍
@upendogallan47015 жыл бұрын
Linda samsoni no.11 umejibu vizuri dear
@rachelmarandi74985 жыл бұрын
gorgeous Missa
@ramadhanseleman42765 жыл бұрын
Mhh urembo nao kazi cheki walivyoganda mikono kiunoni wanajikenusha ovyo masikini shida hizi mbayaa😂😂
@mandazakaria5882
5 жыл бұрын
Mbavu zangu mie
@emmanuelmorris5083
5 жыл бұрын
Sony LCD mmmmmm pozi nalo kukenua pointi hahahaaa
@wardatambwe5881
5 жыл бұрын
Sony LCD 😂😂😂😂😂
@shanimbaruku2071
5 жыл бұрын
😁😁😁😁umejua kunifurahisha hatari eti wanakikenusha shida hizi mbaya😂😂😂
@mbulimkomwa89095 жыл бұрын
hamisa umependeza sana mama
@jumabakili19945 жыл бұрын
mmmmmh sema kiswahili kigumuu wallah
@asiazuberi97225 жыл бұрын
Jamani jana nilikesha na hawa mamis leo napita tu kusomo comment 💃💃💃
Пікірлер: 385
hamisa kapendeza sana kama unakubaliana na mimi gonga like yako hapa tujuane
@zuhurahemed9740
5 жыл бұрын
Sigifridy Franky katupia
@changanikisesa7021
5 жыл бұрын
May you raise more hamisa
@wakifedhayakub7834
5 жыл бұрын
Kapendeza hamisa
@ummun8763
5 жыл бұрын
@@wakifedhayakub7834 kapendeza sana
@cecysamwel2572
5 жыл бұрын
Nakupenda sana hamisa ww ni mzuri sana pia mrembio kuliko pendeza mno mamy.
Hamisa mzuri jamani kama na yeye yupo kwenye mashindano huwezi jua kama mama wawili tz sweet heart
Yaani Hamisa ni mzuri kweli yaani hajulishi kabisa kama ni mama wa watoto wawili napenda sana umbo lake kwa kweli na ucheshi wake. Nakuombea mema wakati wote 🙏 😘
@karimnaushady9502
5 жыл бұрын
Nakupenda amiss sina jinsi inabidi niendelee kukupenda tu uwezowa kuana Ww sina tuchanganyemama muache Simba akutupe Ww mzuli Tanzania nzima sijaona wakukuzidi ww
@denniskalisti2570
5 жыл бұрын
中川アーシャ angekuwa kwa mashindano ya umiss angepita uyu
@hadija846
5 жыл бұрын
@@denniskalisti2570 ni kweli kabisa maana wote kawazidi👍
@hamismasoud8808
5 жыл бұрын
中川アーシャ ni kweli na wala haoneshi kama ni mchawi😂😂😂😂
@reetasmyth7062
5 жыл бұрын
love u hamisa xx
Mbona sihelewi hamisa mbn kama ndo miss tz kama nawewe humeoma hivyo ngoga lake
@ummun8763
5 жыл бұрын
Kweli
@joycekasakisya3453
5 жыл бұрын
Sanaaaa!! Kawazidi wote.
@magrethakida7579
5 жыл бұрын
Royce Merchades kapendeza Lear kweli baby Hamissa Tanzania sweetheart😀😀
@roycemerchades3663
5 жыл бұрын
@@magrethakida7579 umeona eeeh
@aishaabdullah5005
5 жыл бұрын
Upo juu mama
hamisa wewe ndio unaonekana kuwa miss sasa wow hongera mama tunakupenda sweet
Hamisa umemdashiii sana my piga kazi tu waache na majungu yao
Yaani Hamisa ata akingangania hicho crown bado naweza kunyakua ,,,Huyu mama 2 hazeeki wala kupoteza uzuri wake 😘😘😘👍👍👍👍
@pendomariki6703
5 жыл бұрын
Rose Irungo
Hamisa umepata sifa kuzidi mamiss unapendwa sana misa 😍😍😍
@eyfdfhuf1830
5 жыл бұрын
Kabisa my
@mwanahaji13
5 жыл бұрын
Tutazid kumpenda ht wakimchafua
Ufala ni nn Ufala ni pale upo kwenye nchi yako halafu unaongea kiingereza Wakati bibi yako hajui kitu unacho ongea 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@vitalissmsalanji2537
5 жыл бұрын
Wambie
@saleekipacha7533
5 жыл бұрын
we mwenyw pia umeongea ufala pia asa kama bibi anajua kinge wat if
@petal8776
5 жыл бұрын
Kenyan detected bora uhai asi
@FatmaFatma-kt1or
5 жыл бұрын
Ha ha ha
@kidotir4106
5 жыл бұрын
hahahaha
Mungu hakunyimi vyote Hamissa...Tunakupnda mnoo.. 😍😘😘😘
Hamisa we mzuri bhana😍ulipendeza sanaa
Naona warembo ila sweetheart tz kapendeza zaidi ya wote ukumbini@hamisamobetto
@lovemomomicpapamohamed6568
5 жыл бұрын
Rozina Hamisi 👆❤❤❤❤👏👌misa moto
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
hmm
jamani Mimi nnamuona hamisa tu ndo kpndz.km na ww wamuona hamisa ndio kpndza gonga like
hamisa umependeza sana umenifurahisha kwa kweli tz sweet heart hamisa
@happysoka2043
2 жыл бұрын
Hao n mamiss uinjereza? Mbona wofe wanasema enjilish
Kweli aso mtu ana mungu mana family ya dai kila kukicha wanamzulia mabalaa hawajui km chuki zao ndio wanamfungulia njia za kupata neema hongera mama wawili nakupenda misa achana nao tizama maisha yako songa mbele mamii hamisa ww mzr achana na lile liwema linaropoka tuu nakujifanya limekamilika limezeeka halina mtt ata wakuchonga cjui akizaa litakuaje
Swthrt wangu hamisa love you mama dee❤❤❤❤ umependeza sanaaaaaa💋💋💋💋
Mashallah hamisa our sweat heart tz,umependeza sn,nakupenda sn,mungu akulinde sn,na husda
@mesalimmuna8327
5 жыл бұрын
Tully Abdul amiin inshallh yarabi
So cuuute hamisa ..wasio kupenda wameze wembe
@evelynkilawe1823
5 жыл бұрын
Kabisaaa
@jumashunda6954
5 жыл бұрын
Nice mbeto
Nakupenda hamisa wangu yani kamaumeniroga we Dada
Masha Allah tusiwe wanafki Hamisa kapendeza jamani
@maimunashaban6314
5 жыл бұрын
sweet heart tanzanian bby hamisa kapendeza sanaa
@hadija846
5 жыл бұрын
Kapendeza sana tena sana😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘💕💕💕💕💕💕
@hildapastor7988
5 жыл бұрын
Yaan nadhan kwa kunoga huku kuna watu matumbo yamewauma, hamisa oyoooooo
Hamisa umependeza balaa hongera mumy
Hamisa mrembo kuliko mamiss wote mama2
@hadija846
5 жыл бұрын
Yaani Hamisa ni mzuri kweli yaani hajulishi kabisa kama ni mama wa watoto wawili napenda sana umbo lake kwa kweli na ucheshi wake. Hamisi mbele zaidi nakuombea mema wakati wote🙏😘
@jullymshashu856
5 жыл бұрын
no 09 kajibu poa pia kazuriiiiiii😘😘😘😘😘😘
@husnauthman7609
5 жыл бұрын
Sanaaaa
Mashaallah hamisa kapendeza ucjali ddangu kila mti wenye matunda ndio unayo purwa mawe
Misa. Hamisa u lk good Mama Dee
asante jmn nafurahia uwepo wako hamisa you so cute
Hamisa wewe unawashinda wote yani ungekuwa miss Tz inge pendeza Zaidi yani wewe mremboooooooo
Masha ALLAH beauty with brain kizungu hapo umeuwa wabongo Elizabeth
Hamisa umewafunika wote ao sjaona wakukufikia sula ata shepu
@subrynerysegerow1323
5 жыл бұрын
Penny John kuna shepu haraf kuna figure sawa?
@pendomarco9307
5 жыл бұрын
wao mama dee pendeza
Ila mobeto kapendeza jamani
@naimanurdin2846
5 жыл бұрын
Sanaaaaa my
@sangooabdallah9246
5 жыл бұрын
Kweli. kabisaaaa
mwenyewe nilijua hamisa yupo kugombea umiss naye mana kapendeza sana
You rock hamisa mabeto
Wow!I love you miss Tz very fluency English mmmwwwah. Hamisa you rock mummy Love you to the fullest cutee
My baby so cute 😍😍😍 Love you Hamisa Mobetto 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Nmeamin mung akisema ndyo hakuna wa kupinga misaa Nakupenda. Hatar
@peterpetermchaga371
5 жыл бұрын
Beatrice Mveyange 😘😘mobeto
Haaa uyo miss tanzania kesho utasikia mchepuko wa mond mana ndo mambo yake hayoooooo
Woooo hamisa muzuri sanaaa love u so much maman
Ndio Mwanajuma Esma anakuchikia n Mamake sio kwa kupendeza hk mamadayllan wacha wasokupenda iwacost pingakazi majungu muachie muuza vitenge
@barthazarbarthazar3564
5 жыл бұрын
Reemii Omar dada umeongea kweli exact
@mwanahaji13
5 жыл бұрын
Na kweli ajali maisha yk t
Confidence ya Queen Elizabeth nimeipenda
@rehemanyitu640
5 жыл бұрын
team hamisa, piga kelele oyooooooooooooooooo
@hildapastor7988
5 жыл бұрын
Oyoooooooooooooooooooooooooo
Ukiona wana kusema jua umewazid kweli sweet heart Tanzania umewazidi wote hadi wana hamia inji jirabi 🔥👌✨💘💪
Hamix banaa umedamshi mim nilijuaa we Ndioo tz swetht
Wow! Hamisa is the most beautiful than all. Congratulations Hamisa
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
Pink Pink hmm
Mimi sipendagi kujiusisha na mitandao lakni msema kweli mpenzi wa mungu hamisa umependeza sanaaaaaa
🔥🔥 misaaaaa ❤️🤸♀️🤸♀️
ningekuwa rais tusingeendelea kuwa watumwa kutumia lugha za wenzetu nawakti tupo kwenye nchi yetu acha kiswahili kikue bhana mnatumia kingereza ili iweje sasa nawakati mnajua watanzania wengine hawajui hii lugha yakigeni
@majaliwagessler4443
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@aishamattar6381
5 жыл бұрын
Yani hili jambo mm linanikera kwann wanadharau lugha yao?
@dionestermwinuka9446
5 жыл бұрын
anthony mwandu !! Ni kweli ndo mana aliyeongea kiswahili wengi wameelewa na wamependa
@anthonymwandu2615
5 жыл бұрын
hii ndo tunataka uzalendo huyo alieongea kiswahili bora apewe hilo taji
@hildapastor7988
5 жыл бұрын
@@dionestermwinuka9446 yaan ni zaidi ya utumwa
ayo mungu amemuangazia mwanga kwayote mlio sema
Madam hero herself 😘😘😘
Waoooo Tanzania sweet heart 👑
Hamisa ww kiboko yao yani kashepu kako dada kana nikosha mie nakupendaje Basi Yani wee acha tu...shukran kwa Allah kwa kukujalia uzuri pia kwa mama alie kuzaa hongera kwake...Allah akulinde hamisa😘😘😘
Mliojibu maswal kwa lugha ya kiingereza bado mnatetea ukoloni, Kiswahil ndo lugha ya Taifa letu. Jarbuni kusoma nyakati
yani aka kadada number 9 nakapenda vibaya
@limokisuda4145
5 жыл бұрын
Mwazan Gomaa hata mi nimekanokii manzee
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
ndo yupi uyo..
@agelpella6052
5 жыл бұрын
Yan kazur na kalivyojibohnua sas sjui hakachoki hahaha sema so nice
Hamisa unacheka vizur umedamshi sana mama wawil Aiseeh! Nakupendaga2
hamisa mrembo
amisa umependeza sanaa 😍😍😍yani sanaa😍
Hamisa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Dlugonzibwa
5 жыл бұрын
Elvin Nyanchama mh
asante miss no 3 kwa kukienz kixwahil,
Huyo mwanaume alinichekesha jana daah sema mama semaaaaaaa
Misaaaaaaaaaaaaaaàaaa😘
@nankyjrobby1310
5 жыл бұрын
Hamisaaaaa wewe ni noma Mungu akulinde
@tatuhabibu5080
5 жыл бұрын
yaan misa umetishaaaaaaaaa love
Nimempenda huyo dada aliyekuwa karibu na Hamisa yuko natural. No fake hair or colour.
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
Aggi Bibi Angel bila shaka na wewe upo hivyi ndomn mnajuana na memuona mwenzio, fny nije nikufuate mm huhuhu
@MsAggie5
5 жыл бұрын
Mnzava Chris hahahahaha ulijuaje? Usinichekeshe mi wa mwaka 47 ndo maana..........niko mbali .......
Lugha ya kiswahili ni nzuri zaidi wakati mwingine tumieni lugha ya nyumbani
Congratulations. The new Miss World Tanzania 2018. Is Beautiful lady.
Ume damshi mama dee
Hamisa bby umeua,pendezano😘😘😘
Wangapi wanakubali kuwa dada mwenye anapeana naba nimrembo weka like
@eliadaabel8991
5 жыл бұрын
n mrembo yupo natural
mashallah mama deee pambee tuu
Hapo sawa lugha. Yetuuuu. Kwnzaaaa kiswahili hoyeeeeeeeeee
Missa leo mbona kapendeza sana hivyo mamaeeeee 🤔🤔🤔🤔
madam hero did a good job. this gal is flying higher congrats misa
Mbona hamissa kapendeza sana kuzidia warembo wote Mama Dee much love for you
Sasa hiyo ndo lugha ya taifa,, au mnatak wengine wasielew achen kusherekea uongo
Mashindano ya kuchagua VYOMBO VYA STAREHE....! Na ujinga Sio kutokujua KIINGEREZA’ bali ujinga ni kutojali LUGHA YAKO...!
@dismaskayombo9488
5 жыл бұрын
Ismail Yusuph sana uzalendo kwanza
@ismailyusuph740
5 жыл бұрын
#dismaskayombo ....Haya mashindano hayakutakiwa kabisa kuwepo’ maana hayana faida yoyote Kwa nchi wala Vizazi vyetu...!
Hadi goosebumps queen Elizabeth alivyojibu maswali.Miss tz
❤❤❤❤❤ hamisa achana nahuyo mwenye kutakasifa mdaote we nikarembo sana mama dee
Huyu Dada kastahili kuwa miss Tanzania
@christsflowe.r
5 жыл бұрын
Elisa Wangare amesema kastahili
@musafatuma424
5 жыл бұрын
Grace Tweve
@christsflowe.r
5 жыл бұрын
Elisa Wangare she said that she deserved it. She didn't say that she didn't deserve it. She said kastahili she didn't say hajastahili
@MsAggie5
5 жыл бұрын
Grace Tweve kweli naungana nawe nilikuwa na chart live, nili sema she’s the one nili furahi alivyoshinda
@dorcusemmanueldorchi4988
5 жыл бұрын
Kabisa yaani
Mrembo huyo vepee👌👌😏😏😏 you just use English language and then you're Tanzanian how comes 😁😬😁 just like and appreciate your own language haha,,👌👌👌
Watanzania bwana hawaelew kiingereza wamebk kukoment tu hamisa,hamisa
misa u looks so cute
nakupenda sana hamisa ur so cute
Twakupenda Queen Hamisa keep it up ur one in a million
mi nashangaa, hamisa mzuri sana why umlilie diamond, wapo type yako mama,,,,
MashaAllah Hamisa kapendeza
Waoooo sweetheart tz #Hamissamobetto 🍏🍓
no 16 umeelewa vzur abt tour yako ya Amani nature reserve.. karbu tena Tanga, Muheza
@mnzavachris5423
5 жыл бұрын
annaw kiwale Amani ipo tanga enh.??
You are so cute hamisa. I like your confidence
Hamisa gorgeous
Wow very clear english i love this
Hamisa nakupenda unaongea English nzuri sana
Love you hamiss you look so mwaah
daah! quen hongera rafiki angu kwa kuwa mis tanzania nakumbuka tulikuwa wote pale 823kj msange
ningependa kutumia lugha ya kingereza. na waingereza watatumia kiswahilk
@eliadaabel8991
5 жыл бұрын
hahaha ndo apo sasa
Mungu akupe maisha marefu hamisa wangu piga kazi mm
11 😍😍😍😍
Linda samsoni no.11 umejibu vizuri dear
gorgeous Missa
Mhh urembo nao kazi cheki walivyoganda mikono kiunoni wanajikenusha ovyo masikini shida hizi mbayaa😂😂
@mandazakaria5882
5 жыл бұрын
Mbavu zangu mie
@emmanuelmorris5083
5 жыл бұрын
Sony LCD mmmmmm pozi nalo kukenua pointi hahahaaa
@wardatambwe5881
5 жыл бұрын
Sony LCD 😂😂😂😂😂
@shanimbaruku2071
5 жыл бұрын
😁😁😁😁umejua kunifurahisha hatari eti wanakikenusha shida hizi mbaya😂😂😂
hamisa umependeza sana mama
mmmmmh sema kiswahili kigumuu wallah
Jamani jana nilikesha na hawa mamis leo napita tu kusomo comment 💃💃💃
@emmanuelmorris5083
5 жыл бұрын
Asia Zuberi hahaaaaa
Beautiful hamisa much love
Hamisa mzur Sana sema mitandao inamchafua sana
umependeza hamisa