MASIKINI!! MBUNGE BWEGE WA ACT WAZALENDO AKATWA MGUU - "SIWEZI KUGOMBEA AFYA INADORORA"
Ойын-сауық
MASIKINI!! MBUNGE BWEGE WA ACT WAZALENDO AKATWA MGUU - "SIWEZI KUGOMBEA AFYA INADORORA"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 311
Mwenyezi mungu akufanyie wepesi mzee wangu..nakupenda sana kutokea moyoni mwangu umekua mtetezi na msema kweli hukujali maslai yako umefanya kazi yako kwa ukweli na uwazi!!
Aiseee Mungu mabariki sana na kumpa maisha mrefu sana ..
@emmanuellyatuu4103
2 ай бұрын
🙏🙏🙏
Mwanadamu hujamalizwa kuumbwa,Allah Ampe shifaa mzee wetu,lkn ugonjwa wa sukar umemaliza watu wengi sana
Kumwonesha mgonjwa akiwa amebebwa siyo content nzuri
Pole Sana Boss Wangu Nakuombea MUNGU AKUPONYE
Rabii ampe shifaa yarabii msaidie mjawako alisimama kuwapigania wanyonge mbele ya wapenda dhuluma wasowahurumia raiya wao lakini bwege hakuogopa katika kipindi kigumu yarabii msaidi ndugu yetu
Unaumwa lakini bado unawapambania wanancho wako hongera sana
Allah akufanyie wepec upowe kwa rehma zake
Pole sana Mungu atakusaidia... Amen
Pole baba nakuombea kwa mungu akuponye kwa uruma yake 🙏🙏 ❤❤
Allah akujalie kher mzee wtu tunakupenda sana tena sana
Pole sana mhe. Mwenyezi Mungu aendelee kukujalia afya njema
Pole Sana.... Mzee Bwege..... Sema we are learning we are all under Ups and Down till late...
Polesana babaangu Allah akupeshifaa yaharaka inaumizakwakweli ila yote niqadar ya Allah
Kabla hujafa hujaumbika! Allah nipe subra na mwisho mwema. Allah mpe pozo mzee huyu. Na umlipe kwa hili.
Pole sana mheshimiwa bwege
Namuomba Allaah akupe shifaa upone haraka kwa huruma zake Allaah
Pole baba kwa mtiani ulioupata.mungu akupe shufaaa upone haraka.
Pole mzee wangu mungu atakufanyia wepes
Ewe Mwenyewezi Mungu,yeyote atakae soma na kucomment hapa,Nakuomba umkinge na umuepushe na ugonjwa hatari sana wakisukari🙏🙏🙏.
@HamisiMsami-ol3zk
5 ай бұрын
Amin
@joycemkeka3769
5 ай бұрын
Amin🙏
Pole sana Mungu akujalie afya njema.
Subhanallah 😢kweli hatujafa hatujambika,Allah ampe shifaa mzee wetu amiin,na ampe mwisho mwema.
@IbrahimuLikolinji-ly2tp
5 ай бұрын
Amiin
@issashekh4726
5 ай бұрын
Aamin
@RahmaYassinmlaponi
5 ай бұрын
Amiina yaraby alamina
@rajabukipara3008
5 ай бұрын
Aamin
@yuzotv458
5 ай бұрын
nimeskia uchungu sana ila yote nimapenzi ya Allah😭😭😭😭.
daaa maskini imekuwaje tena jamani?pole sana mzee wetu Bwege tunakupenda sana,Mungu akufanyia wepesi mkuu.
"Ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa Uumbaji"
Uyu mzee Allah amfanyie wepes nampenda sana' kwa ukweli ambao aliokua anaongea bungeni..... Allah akuhifazi na akupe umri mrefu wenye kher naww
@emmanuellyatuu4103
2 ай бұрын
🙏🙏🙏
Mheshimiwa huyu Mungu aendelee kumtunza katika Uweza wake🙏🙏🙏
Sukari ugonjwa mbaya sana Alafu Afrika tunauchuliya poa. Allah akuendelee maradhi kwa ufalme wake.
@sabihaibrahim143
5 ай бұрын
sasa hivi dawa ipo huku zanzibar na wanapona tunawapelekea na wenzetu bongo na wanatumia
@zubeirelhanaf
5 ай бұрын
Sahihi kabisa, dawa zipo kabisa
@edson2450
5 ай бұрын
@@sabihaibrahim143Dawa Inapatikanaje Dada, watu wanateseka sana
@sabihaibrahim143
5 ай бұрын
@@edson2450 ipoo ni mwani ule wa baharini watu wameshaujulia unasafirishwa sana huko watu wanatumi wiki tu utashukuru
@abdifaraji2883
4 ай бұрын
@@sabihaibrahim143Wajapani wanakula mwani sana katika chakula chao cha kila siku, lkn mbona kuna idadi kubwa sana ya wagonjwa wa Kisukari? Kisukari hakiponi ila unaweza kukidhibiti kama utaifuata miko na kutumia dawa kama daktari atavyokuelekeza.
Pole sana Mungu akujaalie afya njema
Pole sana,Mungu atakujaalia afya njema.
Huu ugonjwa wa sukari haunaga adabu kweli pole sana
Pole mzee wangu...Mungu akufanyie wepesi
Pole sana mzee wangu. Mchangowakotu naukumbuksana bungeni da. Tunaanza upyaaaaaaaaa
Mwandishi hongera , maswali mazuri ka kipaparazi., pole mzee bwege ila usigombee Tena kaa pumzika
Pole sana mzee wangu, Endelea kumshukuru na kumuomba MUNGU.
binadam bn tunapitia changamoto nying mno kwenye maisha yetu pole sana bwege mungu akupe afya njema
Pole sana mheshimiwa,kamuone dr.Abbas -kariakoo,atasaidia mguu wako kupona haraka
Bwege mungu akulinde sana na kukupa maisha marefu,tunakupenda. sana
Mungu akulinde
Dah pole sana mara ya mwisho ulikuja kunywa juisi kwangu
hiyo ndio dunia hujafa hujaumbika.......dunia ni mapito....lnshaaAllahu Allah atakujaalia afya ilobora...
Ddah!!! Pole sana mbunge bwege
Pole sana kiongozi Allah akufanyie wepesi
Kweli alikuwa mbunge wa watu wake anatamika hata akiwa katika mazingira magumu Mungu akupe wepesi baba.
Mungu atakuponya pole sana mzee wetu kama umeguswa na hali ya Mheshimiwa bwenge Gonga like hapa kuonesha umeguswa na hii hali plz
@user-wr7io8lh6j
5 ай бұрын
Sasa hii like unayoitaka inahusiana na nn na ugonjwa wa bwege
@NdongaKichwa-hz7jf
5 ай бұрын
@@user-wr7io8lh6j ni umoja na kuguswa tu ili kila anoweka like huonesha alama ya uugwana
@mosesmpesa9
5 ай бұрын
Wote tunaumizwa na taarifa mbaya na za huzuni sasa kwanin unatuletea hbr za like acheni ushamba wa namna hii
@NdongaKichwa-hz7jf
5 ай бұрын
@@mosesmpesa9 umepanik kwani like inazidisha nini au inapunguza nini wewe ndomsha mbwa
+MUNGU+ amponye na kumtia nguvu YOHANA 14:14🙏🙌
Kaah hadi sura imepotea kabisa mungu wangu
uyu ni jembe langu namkubali mpambanaji sana Mungu akuweke mzee wangu
Allah Akuponye mzee wetu
ALLAH JALA JALAAL AKUONGOZE NA AKUPE KILA LENYE KHERI MZEE WANGU 🤲 , WEWE NI SHUJAA KUNA SOMO KUBWA UNATUFUNDISHA HAPA 👏
Daaah! pole yake aisee kweli hujafa hujaumbika😭😭😭
Mwenyezi Mungu akuponye kwa neema zake
Allah akupe shifaa mzee wetu Amiin
Kaah maskini,pole sana mbunge mbwege
Pole sana Mzee wng,mungu atakuafu
Pole sana mbunge wetu MUNGU akuondolee mitihani
Pole sana mh. Mbunge
Pole sana baba,mungu akupe heri ya kupona kidonda.
Pole sana Mh ,Mungu akuponye kabisa
Haaaaa baba mungu akulinde sana ndani ya maumivu makali,bado unalitumikia taifa na wananchi ni uzalendo mkubwa.
شفاك الله
Subuhanallah. Pole Allah Ashifki
pole sana mweshimiwa
Pole sana mzee wangu,mola akupe subra
Mitihani imeumbiwa mwanadamu ,Leo kwako kesho Kwa mwingine! Pole mheshimiwa
Pole sana mbunge wangu mungu akuludishie afya Amina yaraby alamina
@mohammedsururu4047
5 ай бұрын
😂
Pole sana mheshimiwa. Mungu akutie nguvu wakati huu mgumu.
Allah akufanyie shifaa inshaAllah
Mungu ampee Nafuu zaid Mzee wetu❤️😓
Allah akufanyie wepesi
Dah pole Sana mzee sukar noma Sana
Pole Sana Allah Akupe Tahfif
Pole sana Mzee wetu
Mungu amfanyie wepesi Mzee Bwege
Pole sana,BWEGE
Pole sana
Pole sana kiongozi wetu
Pole mzee wetu.
Subhanallah Allah akupe shifaa
Pole sana Mungu akufanyie wepesi
Allah akufanyie wepesi inshallah
Pole sana,namkumbuka sana Bwege
😢dah imentoa machozi, mungu ampe shifaa
Mungu akupe afya njema
Pole sana mzee wetu Mungu akuponye
pole sana mzew mwenyezmungu atuhifadh na maradhi makubwa
Pole mzee binafsi nakuombea afya njema
Pole sana mzee
Mungu ndiye mjuzi
Hapa ndipo naona na kuukubali ustaarabu wa wana CCM hakuna coment chafu za kisiasa angelipata mtihani huo mbunge wa CCM mpaka kuna coment zisingesomeka
Pole sana Mheshimiwa Bwege
Pole sana mze wetu Mungu akutie nguvu😭🙏
Allah atakufanyia wepesi
Pole Mh Bwege
Hujafa hujaumbika mzee wangu pole kwa hilo
Pole sana mheshimiwa
Pole sana mzee wetu.
Pole sana mzee wangu. Niakuombea mungu upone harakaa?
Daaah pole
Allah amfanyie wepesi
Pole sana maradhi bhna