MAOMBI YA KUNENA KWA LUGHA MPYA | MTUME NA NABII JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA
1 Wakorintho 14:2
[2]Maana yeye anenaye kwa lugha, hasemi na watu, bali husema na Mungu; maana hakuna asikiaye; lakini anena mambo ya siri katika roho yake.
For he that speaketh in an unknown tongue speaketh not unto men, but unto God: for no man understandeth him; howbeit in the spirit he speaketh mysteries.
Maombi haya yatakuongezea kiu, na kuongezea katika kunena kwako lwa lugha mpya.
Karibu tunene katika lugha za malaika, lugha ya mbinguni, ili tuseme na Mungu baba wazi wazi.
Пікірлер: 21
Amen Baba yangu
Jamani mi nikitulia tu naweka Haya Maombi oooh Dady MWINGIRA I love you❤
Amen
Ameeen
Ktk maisha yangu tangu utoto nilikuwa najua Mungu labda ni ndoto za kusadikika,, ila efatha nimemuona jmn MUNGU ni halisi kabisa. anajifunua waziwazi ukimtafuta kwa bidii,, baba yangu wa kiroho nakupenda mnoooo umenifundisha kumjua Mungu wa kweli,, hata mama yangu alipokea wokovu
Amem
Najipatanisha na ibada hiii sasa
🔥🔥🔥🔥
Powerful
❤
amen
Mtu wa Mungu maombi haya play usiku wa manane lazima utaona nguvu ya Mungu HAKIKA❤🙏
Ameeeeeeeennnnnn
Waoooooooo
Amen
❤
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen