Murtaza Mangungu akizungumza kuhusu usaliti ndani ya klabu ya Simba na maoni ya baadhi ya viongozi na mashabiki #SportsXtra
Жүктеу.....
Пікірлер: 91
@mosesregnald7117Ай бұрын
He is a smart leader
@amanimfinanga7321Ай бұрын
Simba hatukutaki achia Simba yetu tokaaa
@saynomore7906Ай бұрын
Actions speak louder than words........football and politrix is like left and right...
@Jimmsuva-be5dcАй бұрын
Mangungu mtata sana
@bahatimellita6619Ай бұрын
Huyuuu mangungu anajiaminii nini Toka bwana tuachieee timu yetuuu😂😂😂
@johnsonbernald11
Ай бұрын
Wewe unatimu?
@MageleFidelisАй бұрын
Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde
Brother una kadi sawa HATUJAKATAA,wewe mwanasimba kindakindaki sawa HATUJAKATAA ila tunaomba UJIUZULU.... Kwasababu hatujihisi tupo salama ku-share dawati la mbinu na wewe wazungu wanasema "we don't feel safe with all our hands on the deck with you".....Ondoka tu brother ili tuuhisi huo usalama kaka....Tunakuomba sana😢
@user-xl4io3or7rАй бұрын
Basi mangungu ondoka tu kila mmoja hakutaki tu. Wanasimba hawakutaki.
@Nehe100KilinduАй бұрын
Mzee wangu kwaeshima yako unge ondoka
@franccoz94Ай бұрын
WE MZEE SIMBA NI TEAM KUBWAA, INAONEKANAA UNASHINDWAA KUIONGOZA MISMU MITATU UMEFELI NI VIGUMU SISI KUKUELEWA TUNAOMBA UTUACHIE TEAM YETUU
@MichaelMayemba-pc5cp
Ай бұрын
Yah tatizo ni kufeli kwa uongozi kwenye usajili na kupata timu ya ushindani na kupata vyanzo vya uhakika vya fedha inapotokea mwekezaji kakausha kutoa fedha .simba inahitaji kurudisha heshima kwa miaka mitatu kutengeneza timu shindani ndani na nje kumefeli
@luckygmdegela8477Ай бұрын
Mangungu ni tatizo
@trustboy6419Ай бұрын
Mangungu aendelee lkn wakae na wajumbe waweke mambo sawa
@user-vm8pg4yj6uАй бұрын
Mangungu uko vizur ila wachezajii tuuu waidadi Yuko shilikisho
@husseinmillingaАй бұрын
Mangungu hatumtaki mangungu mwambieni
@johnsonbernald11
Ай бұрын
Hata wewe unaweza kumwambia
@mashakaramadhani8665Ай бұрын
Huyo ni mtu fitina sana. Mangungu tuachie simba yetuu!!!
@dicksonbenard1741Ай бұрын
Mangungu toka toka toka hatukutaki jaman duh!
@hamisipande7253Ай бұрын
Umeulizwa swali badala ya kujibu wew unaleta ungesa fakin sana we mzeee
@shijamusilikale4731Ай бұрын
We mzee ni mupumbazi sana we ndy mwanasiasi kama ukibaki kwenye timu ya simba inakufa we siyo mzee wa mpira , we ni mutapeli mzee we
@MusaMkembela-ex6evАй бұрын
We mangungu huna unalolifanya hapo simba umekaa tu kama bumunda tu
We mzee achia timu ondoka mashabiki na wapenz wa simba hawakutaki. Ondoka , toka nenda kaendeleee na siasa kilwa , toka
@HamisiMichaelАй бұрын
Yani wewe mangungu upo katika maojiano unaonekana una SEMA uongo alafu sura yako inaonekana tapeli ondoka tuu Simba
@johnsonbernald11
Ай бұрын
Uongo wake upo wapi hapo?
@SurprisedFullMoon-gg9vu
Ай бұрын
Alafu tumpe bibi yako awe mwnyekitii
@sinemazakorea
Ай бұрын
@@johnsonbernald11shida sio uongo shida haongei vitu anavyotakiwa kuongea.. kiufupi tu angetuambia zipi sababu zilizopelekea simba Okakosa kikosi chenye ushindani kwa kipindi alichokuepo halafu kwenye hizo sababu atushawishi kwamba yeye hakuuhisika kwenye sababu hata moja! ana zunguka zunguka tu anapingana mpk na wajumbe wake anaowaongoza wajumbe wake wanamsema mo vingine ye anasema vingine sasa hizo sio tabia za uongo uongo na unafki?
@Ramadhanjumanne-vl4svАй бұрын
Ndoka tu mzee hatukutak achia engo hufai
@KhamisKitwana-xi8srАй бұрын
Kama watu hawana Imani na were si utoke
@user-xd4wj6sn3qАй бұрын
Huyo Mzee ni mwanasiasa t
@MohdAli-fl2efАй бұрын
Dah yan huyu mzee Kama ankuwa serious na simba ni mtu katili San Kwenye misimamao ila hatujui ana usiri gani yani yupo kihitlahitla Sio poa
@cleophacemasoleАй бұрын
Mimi binafsi sioni sababu za kumwondoa Mangungo
@user-rp1ly4xc8k
Ай бұрын
Kinachomnyonga Mangungu ni ujanja janja wake alioufanya kwenye uchaguzi alileta siasa kipindi hicho Manzoki alitakiwa asajiliwe simba ikashindikana akaenda china Cku ya uchaguzi akamlipia ndege toka china ili ambust kwenye kampeni na tokea hio siku akapoteza waaminifu kwa watu japo hajajua kama alijichombia kaburi mwenyewe
@ibrahimabdullah1887
Ай бұрын
Jee mo apouza wachezaji kina miqson wakati alikuja hazarani kusema hashida ma pesa ya kuwauza wachezaji yeye shida yake kuleta ubingwa wa cuf haya mwezi tu katupiwa hela kauzaa bila wachezaji kutaka ni nani tapeli mimi simba ila hapo magungu hawezi kuitoa timu kwa hao wapigaji na kujificha juu ya mgongo wake kama huna taluma mimi nisomea usalama na nigundua hilo nasimama na magungu simba ni yawanachama hawezi kuziwa mtu akeze tu na sheria ni wakezaji watatu haya nambie kuhusu uzamini kwann mo hataki company za njee zizamini@@user-rp1ly4xc8k
@sakinasakina1286Ай бұрын
hatukutaki wew nenda zako wew
@HassaniJuma-wq3qbАй бұрын
We mzee siku tutakuja kukupiga wewe ondoka jamani ondokaaaaaaaaaaaaa
@ignasamando9593Ай бұрын
Hatuna mtu anashidwa kuwa na KADI ya Simba we na kipara chako umeshindwa kuweka mifumo mzuriii ili wetu wachukue hizo KADI na kuwa wanachama rasmi.Ww hapo Simba hutoshi mzeee Simba Kubwa kuliko ww. Kama kweliii ww ni mwamba itisha mkutano wa dharura ili tujadili kwa nn viongozi wa boards upande wa wadhamini wanajiudhuru.
@righitkileoАй бұрын
Kwan ukijiuzulu itakuqalimu nn?? Si ni kotendo cha kiunqwana tu kama watu wamepoteza Iman haina haja .unaheshi maamuz ya wenqi.
@PaskoSambo-pz7oyАй бұрын
Atoke uyo mwongo mwongo Yani ulivo sema wanachama wengi wanamwamini mo kuliko uyo mangungu atumtaki mangungu ajiuzuli tu
@sinemazakoreaАй бұрын
Yani huyu kweli mwanasiasa anachoongea hata hakieleweki yeye na wajumbe wake wenyewe wanapingana 😅 haya basi kwa ufupi angetuambia nn kimefanya simba isiwe na kikosi kizuri chenye ushindani? Simple kabisa bila kuzunguka zunguka atupe sababu za simba kutokua na kikosi cha ushindani alafu humo kwenye hizo sababu atushawishi kuwambwa yeye hakuhusika kwenye sababu hata moja ili tuone kwamba hajashindwa kazi na hana sababu ya kujiuzulu
Wewe Mangungu sio mtu wa mpira ww unatuletea siasa kwenye soka na ujanjaunja mwingi unaenda kutuletea manzoki na bado hukuona aibu ukaenda kutuletea na Mayele siasa na mpira havindi pamoja, kwa masilahi mapana ya simba maana simba sio yako kaa pembeni hatukutaki yan ungekua na mapenzi mema na simba kwanza ungekua umesha achia ngazi ila ww ......??
Unatafuta huruma ya watu ili iweje, ita mutant tukuhukum wenye simba yetu
@alitante4279Ай бұрын
Alf hk kizee kinajeur sanaa na kiburi bt dawa yke ipo jikoni
@johnsonbernald11
Ай бұрын
Dawa gani hiyo au unajichekesha wewe mwenyewe?
@alitante4279
Ай бұрын
@@johnsonbernald11 ya kujiuzuluu kwa lazma
@Nehe100KilinduАй бұрын
Mzee sasa uta muongoza Nani nahatukutaki
@user-zf2kf3ik5zАй бұрын
Unapenda vyeo si ubanduke? Moyo wako unajua kwenye umma unaweza kudanganya toka kwenye uongozi
@JumaAlly-fb3xqАй бұрын
Wee mzee nae hilo jina lako linachangia tukuchukie wewe nenda mzee hatukutak
@chancelorharubu2731Ай бұрын
Kama sio msaliti mbona huambatani na team inapokwenda kwenye mechi zake,au wewe ni mwwnyekiti w mpira wa kikpu
@NoelVitalis-xe6hbАй бұрын
Mangungu we sepa tu maana anaekwamisha maendeleo simba ndo wewe
@user-hi5hi7nt3bАй бұрын
Wewe tunakwambia wazi hufai unapoteza muda tu unalazimisha ila hatukutaki
@Rafaeltuli-gw8iiАй бұрын
hatukutaki toka
@frankmwinuka6298Ай бұрын
Haka kazee cjui kanataka nini
@frankraphael7546Ай бұрын
Wewe mangungu jifanye msani tu kichachako kitapona ondoka araka atukutak
@MusaMkembela-ex6evАй бұрын
Nyie mwaka huu mme sajili nan? Ambae yupo bora
@saidbakari2408Ай бұрын
Wanasimba tunasema kikubwa ni wewe kutoka tokaaaaaaaaaaA
@johnsonbernald11
Ай бұрын
Usitujumlishe, sema wewe ndo unataka sio sisi wote
@saidbakari2408
Ай бұрын
@@johnsonbernald11 nawe pia tokaaaaaaaaaaaa wanasimba tumesema atokeeeeeeeeeeeeeee ingia mitandao yote na matawi yote wanachama hatumtakiiiiiiiiiiiiiii Toka nae kama unaumia tokeniiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@user-vv9wb9he2xАй бұрын
Unang'ang'ania Nini achia ngazi hatukutaki
@DashAhmad-mp7neАй бұрын
Toka bhana wwe unazingua
@YOSHUAMWAMPETAАй бұрын
HAPO ULIPO UONGOZI WA SIMBA SIO KUTUMIA SHERIA BALI HEKIMA NA KUACHIA MADARAKA kwa manufaa ya TIMU.IKIWA Uongozi ni kwa Maslahi ya timu kiongozi ubaki kufanya nini ikiwa HUNA MASLAHI BINAFSI?
@abdisalim7900Ай бұрын
Kwa kifupi ww umefeli kuiongoza Simba,haiwezekani tokea uanze kuiongoza Simba imekuwa ikiboronga tu,nyi yi mnaendekea kulipana posho za jasho la wanasimba,ivi mnachong,ng,nia hapo ni nn?Acheni ulimbukeni wa ki uongozi,.km ni riziki ni popote na sio Simba tu ,jifunzeni kuwa na aibu msilazimishe bakora kuwafuata
@franccoz94Ай бұрын
SHIDA YA MANGUNGU N MWANA SIASA, HUWEZI KULETA SIASA KWENYE MPIRA
@brunomchalla4439
Ай бұрын
Hata hiyo siasa haijui, angeweza kuwaunganisha wana Simba badala ya kuleta mpasuko
@MnubiMm
Ай бұрын
Kweli Kabisa Mangungu lakini wewe hutakiwi Simba na kinachokuponza huna Hela na mo haguswi kwa sbb ni Tajiri lakini Makosa yapo kwa Mo timu inaboronga anaangalia tu sio kwa Bahati Mbaya ni makusudi ili wewe akuangushie jumbo Bovu utolewe kafara na ndicho kilichotokea na kinachoendelea wewe hutakiwi na Boss na hao waliojiuzuru upande wa Boss anaowataka atawarudisha tu kujiuzuru kwa Jaribu Tena ni kiinimacho tu ili wewe ujiresi wao warudi kwa kivuli tumeludiswa na Boss
@alitante4279Ай бұрын
Mchawi ni usajil tu na mashirikiano mazr uwandaji wa mechi bc hyo mengn ata hatujl sana kulen pesa mtakavyo bt sisi tunatk furah tu ushindi
@emmanuelmayunga1518Ай бұрын
We mzee na uwalaza lako,yan makelele yote haya na bado umèkomalia madaraka SI UTOKE KWANI TIMU NI YAKO AU YA FAMILIAR YAKO OVYO KABISA
@brunomchalla4439Ай бұрын
Mangungu wewe uliye na mamlaka ya kuitisha mkutano unangoja nini wakati huu wa kuiokoa Simba? Heri huyo anayethubutu kuiokoa club. Wewe hujali kuzima migogoro , umebakia tu kung’ang’ania taratibu zifuatwe. Hujuma hiyo Mzee.
@iddkabange1573
Ай бұрын
Hakuna Mfumo huo Simba. Maamuzi yote yanafanya na Mkutano Wa Bodi ya Wajumbe. So Mangungu hawezi Kufanya Maamuzi yoyote Hadi MO ateue Wajumbe wake 7Ndio waitishe Mkutano na ndio Management itatangaza Mkutano kupitia Kwa Mtendaji Mkuu
@HillaryMasheyoАй бұрын
Ondoka wewe mzee timu siyo ya baba yako
@kakururubambula7270Ай бұрын
mangungu Baki mpaka muda wako uishe! Wanachama walipitisha katiba mbovu inayokufunga mikono anayetakiwa kuwajibika ni bwana mo bahati mbaya wenye njaa ndo wapo upande wa mo! Huwezi kusikia wanasema kuhusu mapungufu ya mo kupiga b20! Hawa m pesa zao zimetumia pesa kuchafua hali ya hewa ili mangungu utokee kwa sababu umegoma kupitisha msaada wa mo kuwa mtaji!
@edgarmbegu1974
Ай бұрын
We jamaa mpumbavu kweli. Mbona utopolo mnamkumbatia GSM?
@Brunotarimo10Ай бұрын
Mohamed Mo tuna matumaini Na wewe
@mtangag774Ай бұрын
Kumbe
@bensonmwakipexle8960Ай бұрын
Unajielewa wewe
@Ramadhanjumanne-vl4svАй бұрын
Ndoka tu mzee hatukutak achia engo hufai
@MageleFidelisАй бұрын
Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde
@MageleFidelisАй бұрын
Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde
@MageleFidelisАй бұрын
Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde
Пікірлер: 91
He is a smart leader
Simba hatukutaki achia Simba yetu tokaaa
Actions speak louder than words........football and politrix is like left and right...
Mangungu mtata sana
Huyuuu mangungu anajiaminii nini Toka bwana tuachieee timu yetuuu😂😂😂
@johnsonbernald11
Ай бұрын
Wewe unatimu?
Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde
Hatukutak mangungu Hatukutak mangungu Hatukutak mangungu
@AndersonMokiwa-is5ch
Ай бұрын
Hamtaki kawakosea nini
Mimi timu😅 Mangungu wewe je!?
Brother una kadi sawa HATUJAKATAA,wewe mwanasimba kindakindaki sawa HATUJAKATAA ila tunaomba UJIUZULU.... Kwasababu hatujihisi tupo salama ku-share dawati la mbinu na wewe wazungu wanasema "we don't feel safe with all our hands on the deck with you".....Ondoka tu brother ili tuuhisi huo usalama kaka....Tunakuomba sana😢
Basi mangungu ondoka tu kila mmoja hakutaki tu. Wanasimba hawakutaki.
Mzee wangu kwaeshima yako unge ondoka
WE MZEE SIMBA NI TEAM KUBWAA, INAONEKANAA UNASHINDWAA KUIONGOZA MISMU MITATU UMEFELI NI VIGUMU SISI KUKUELEWA TUNAOMBA UTUACHIE TEAM YETUU
@MichaelMayemba-pc5cp
Ай бұрын
Yah tatizo ni kufeli kwa uongozi kwenye usajili na kupata timu ya ushindani na kupata vyanzo vya uhakika vya fedha inapotokea mwekezaji kakausha kutoa fedha .simba inahitaji kurudisha heshima kwa miaka mitatu kutengeneza timu shindani ndani na nje kumefeli
Mangungu ni tatizo
Mangungu aendelee lkn wakae na wajumbe waweke mambo sawa
Mangungu uko vizur ila wachezajii tuuu waidadi Yuko shilikisho
Mangungu hatumtaki mangungu mwambieni
@johnsonbernald11
Ай бұрын
Hata wewe unaweza kumwambia
Huyo ni mtu fitina sana. Mangungu tuachie simba yetuu!!!
Mangungu toka toka toka hatukutaki jaman duh!
Umeulizwa swali badala ya kujibu wew unaleta ungesa fakin sana we mzeee
We mzee ni mupumbazi sana we ndy mwanasiasi kama ukibaki kwenye timu ya simba inakufa we siyo mzee wa mpira , we ni mutapeli mzee we
We mangungu huna unalolifanya hapo simba umekaa tu kama bumunda tu
Wewe unayesema ajiuzulu wew unaweza kuiongoza Simba
Acha siasa zako toka bhna
Mashabiki hatukutakiiiiiii
We mzee achia timu ondoka mashabiki na wapenz wa simba hawakutaki. Ondoka , toka nenda kaendeleee na siasa kilwa , toka
Yani wewe mangungu upo katika maojiano unaonekana una SEMA uongo alafu sura yako inaonekana tapeli ondoka tuu Simba
@johnsonbernald11
Ай бұрын
Uongo wake upo wapi hapo?
@SurprisedFullMoon-gg9vu
Ай бұрын
Alafu tumpe bibi yako awe mwnyekitii
@sinemazakorea
Ай бұрын
@@johnsonbernald11shida sio uongo shida haongei vitu anavyotakiwa kuongea.. kiufupi tu angetuambia zipi sababu zilizopelekea simba Okakosa kikosi chenye ushindani kwa kipindi alichokuepo halafu kwenye hizo sababu atushawishi kwamba yeye hakuuhisika kwenye sababu hata moja! ana zunguka zunguka tu anapingana mpk na wajumbe wake anaowaongoza wajumbe wake wanamsema mo vingine ye anasema vingine sasa hizo sio tabia za uongo uongo na unafki?
Ndoka tu mzee hatukutak achia engo hufai
Kama watu hawana Imani na were si utoke
Huyo Mzee ni mwanasiasa t
Dah yan huyu mzee Kama ankuwa serious na simba ni mtu katili San Kwenye misimamao ila hatujui ana usiri gani yani yupo kihitlahitla Sio poa
Mimi binafsi sioni sababu za kumwondoa Mangungo
@user-rp1ly4xc8k
Ай бұрын
Kinachomnyonga Mangungu ni ujanja janja wake alioufanya kwenye uchaguzi alileta siasa kipindi hicho Manzoki alitakiwa asajiliwe simba ikashindikana akaenda china Cku ya uchaguzi akamlipia ndege toka china ili ambust kwenye kampeni na tokea hio siku akapoteza waaminifu kwa watu japo hajajua kama alijichombia kaburi mwenyewe
@ibrahimabdullah1887
Ай бұрын
Jee mo apouza wachezaji kina miqson wakati alikuja hazarani kusema hashida ma pesa ya kuwauza wachezaji yeye shida yake kuleta ubingwa wa cuf haya mwezi tu katupiwa hela kauzaa bila wachezaji kutaka ni nani tapeli mimi simba ila hapo magungu hawezi kuitoa timu kwa hao wapigaji na kujificha juu ya mgongo wake kama huna taluma mimi nisomea usalama na nigundua hilo nasimama na magungu simba ni yawanachama hawezi kuziwa mtu akeze tu na sheria ni wakezaji watatu haya nambie kuhusu uzamini kwann mo hataki company za njee zizamini@@user-rp1ly4xc8k
hatukutaki wew nenda zako wew
We mzee siku tutakuja kukupiga wewe ondoka jamani ondokaaaaaaaaaaaaa
Hatuna mtu anashidwa kuwa na KADI ya Simba we na kipara chako umeshindwa kuweka mifumo mzuriii ili wetu wachukue hizo KADI na kuwa wanachama rasmi.Ww hapo Simba hutoshi mzeee Simba Kubwa kuliko ww. Kama kweliii ww ni mwamba itisha mkutano wa dharura ili tujadili kwa nn viongozi wa boards upande wa wadhamini wanajiudhuru.
Kwan ukijiuzulu itakuqalimu nn?? Si ni kotendo cha kiunqwana tu kama watu wamepoteza Iman haina haja .unaheshi maamuz ya wenqi.
Atoke uyo mwongo mwongo Yani ulivo sema wanachama wengi wanamwamini mo kuliko uyo mangungu atumtaki mangungu ajiuzuli tu
Yani huyu kweli mwanasiasa anachoongea hata hakieleweki yeye na wajumbe wake wenyewe wanapingana 😅 haya basi kwa ufupi angetuambia nn kimefanya simba isiwe na kikosi kizuri chenye ushindani? Simple kabisa bila kuzunguka zunguka atupe sababu za simba kutokua na kikosi cha ushindani alafu humo kwenye hizo sababu atushawishi kuwambwa yeye hakuhusika kwenye sababu hata moja ili tuone kwamba hajashindwa kazi na hana sababu ya kujiuzulu
Ata ikimaliza taar ubingwa 😅😅
Aaaaah,, kumbe ubasubiri wiki ijayo ndo ujiuzuru eee! Jpili ndo tunakuondoaa
Acha siasa achi engo mzeee hutufai
Mangungu tukimwona huku kwetu chamoto atakiona
Wewe Mangungu sio mtu wa mpira ww unatuletea siasa kwenye soka na ujanjaunja mwingi unaenda kutuletea manzoki na bado hukuona aibu ukaenda kutuletea na Mayele siasa na mpira havindi pamoja, kwa masilahi mapana ya simba maana simba sio yako kaa pembeni hatukutaki yan ungekua na mapenzi mema na simba kwanza ungekua umesha achia ngazi ila ww ......??
Kwann unang'ang'ania kwann kwan siuondoke achia mwizi ww
Unatafuta huruma ya watu ili iweje, ita mutant tukuhukum wenye simba yetu
Alf hk kizee kinajeur sanaa na kiburi bt dawa yke ipo jikoni
@johnsonbernald11
Ай бұрын
Dawa gani hiyo au unajichekesha wewe mwenyewe?
@alitante4279
Ай бұрын
@@johnsonbernald11 ya kujiuzuluu kwa lazma
Mzee sasa uta muongoza Nani nahatukutaki
Unapenda vyeo si ubanduke? Moyo wako unajua kwenye umma unaweza kudanganya toka kwenye uongozi
Wee mzee nae hilo jina lako linachangia tukuchukie wewe nenda mzee hatukutak
Kama sio msaliti mbona huambatani na team inapokwenda kwenye mechi zake,au wewe ni mwwnyekiti w mpira wa kikpu
Mangungu we sepa tu maana anaekwamisha maendeleo simba ndo wewe
Wewe tunakwambia wazi hufai unapoteza muda tu unalazimisha ila hatukutaki
hatukutaki toka
Haka kazee cjui kanataka nini
Wewe mangungu jifanye msani tu kichachako kitapona ondoka araka atukutak
Nyie mwaka huu mme sajili nan? Ambae yupo bora
Wanasimba tunasema kikubwa ni wewe kutoka tokaaaaaaaaaaA
@johnsonbernald11
Ай бұрын
Usitujumlishe, sema wewe ndo unataka sio sisi wote
@saidbakari2408
Ай бұрын
@@johnsonbernald11 nawe pia tokaaaaaaaaaaaa wanasimba tumesema atokeeeeeeeeeeeeeee ingia mitandao yote na matawi yote wanachama hatumtakiiiiiiiiiiiiiii Toka nae kama unaumia tokeniiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Unang'ang'ania Nini achia ngazi hatukutaki
Toka bhana wwe unazingua
HAPO ULIPO UONGOZI WA SIMBA SIO KUTUMIA SHERIA BALI HEKIMA NA KUACHIA MADARAKA kwa manufaa ya TIMU.IKIWA Uongozi ni kwa Maslahi ya timu kiongozi ubaki kufanya nini ikiwa HUNA MASLAHI BINAFSI?
Kwa kifupi ww umefeli kuiongoza Simba,haiwezekani tokea uanze kuiongoza Simba imekuwa ikiboronga tu,nyi yi mnaendekea kulipana posho za jasho la wanasimba,ivi mnachong,ng,nia hapo ni nn?Acheni ulimbukeni wa ki uongozi,.km ni riziki ni popote na sio Simba tu ,jifunzeni kuwa na aibu msilazimishe bakora kuwafuata
SHIDA YA MANGUNGU N MWANA SIASA, HUWEZI KULETA SIASA KWENYE MPIRA
@brunomchalla4439
Ай бұрын
Hata hiyo siasa haijui, angeweza kuwaunganisha wana Simba badala ya kuleta mpasuko
@MnubiMm
Ай бұрын
Kweli Kabisa Mangungu lakini wewe hutakiwi Simba na kinachokuponza huna Hela na mo haguswi kwa sbb ni Tajiri lakini Makosa yapo kwa Mo timu inaboronga anaangalia tu sio kwa Bahati Mbaya ni makusudi ili wewe akuangushie jumbo Bovu utolewe kafara na ndicho kilichotokea na kinachoendelea wewe hutakiwi na Boss na hao waliojiuzuru upande wa Boss anaowataka atawarudisha tu kujiuzuru kwa Jaribu Tena ni kiinimacho tu ili wewe ujiresi wao warudi kwa kivuli tumeludiswa na Boss
Mchawi ni usajil tu na mashirikiano mazr uwandaji wa mechi bc hyo mengn ata hatujl sana kulen pesa mtakavyo bt sisi tunatk furah tu ushindi
We mzee na uwalaza lako,yan makelele yote haya na bado umèkomalia madaraka SI UTOKE KWANI TIMU NI YAKO AU YA FAMILIAR YAKO OVYO KABISA
Mangungu wewe uliye na mamlaka ya kuitisha mkutano unangoja nini wakati huu wa kuiokoa Simba? Heri huyo anayethubutu kuiokoa club. Wewe hujali kuzima migogoro , umebakia tu kung’ang’ania taratibu zifuatwe. Hujuma hiyo Mzee.
@iddkabange1573
Ай бұрын
Hakuna Mfumo huo Simba. Maamuzi yote yanafanya na Mkutano Wa Bodi ya Wajumbe. So Mangungu hawezi Kufanya Maamuzi yoyote Hadi MO ateue Wajumbe wake 7Ndio waitishe Mkutano na ndio Management itatangaza Mkutano kupitia Kwa Mtendaji Mkuu
Ondoka wewe mzee timu siyo ya baba yako
mangungu Baki mpaka muda wako uishe! Wanachama walipitisha katiba mbovu inayokufunga mikono anayetakiwa kuwajibika ni bwana mo bahati mbaya wenye njaa ndo wapo upande wa mo! Huwezi kusikia wanasema kuhusu mapungufu ya mo kupiga b20! Hawa m pesa zao zimetumia pesa kuchafua hali ya hewa ili mangungu utokee kwa sababu umegoma kupitisha msaada wa mo kuwa mtaji!
@edgarmbegu1974
Ай бұрын
We jamaa mpumbavu kweli. Mbona utopolo mnamkumbatia GSM?
Mohamed Mo tuna matumaini Na wewe
Kumbe
Unajielewa wewe
Ndoka tu mzee hatukutak achia engo hufai
Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde
Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde
Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde
Ndoka tu mzee hatukutak achia engo hufai