Mangungu: "Issa Masoud Hana Mamlaka ya Kuitisha Mkutano | Ni Mchochezi"

Спорт

Murtaza Mangungu akizungumza kuhusu usaliti ndani ya klabu ya Simba na maoni ya baadhi ya viongozi na mashabiki #SportsXtra

Пікірлер: 91

  • @mosesregnald7117
    @mosesregnald7117Ай бұрын

    He is a smart leader

  • @amanimfinanga7321
    @amanimfinanga7321Ай бұрын

    Simba hatukutaki achia Simba yetu tokaaa

  • @saynomore7906
    @saynomore7906Ай бұрын

    Actions speak louder than words........football and politrix is like left and right...

  • @Jimmsuva-be5dc
    @Jimmsuva-be5dcАй бұрын

    Mangungu mtata sana

  • @bahatimellita6619
    @bahatimellita6619Ай бұрын

    Huyuuu mangungu anajiaminii nini Toka bwana tuachieee timu yetuuu😂😂😂

  • @johnsonbernald11

    @johnsonbernald11

    Ай бұрын

    Wewe unatimu?

  • @MageleFidelis
    @MageleFidelisАй бұрын

    Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde

  • @Mohd-wl1tc
    @Mohd-wl1tcАй бұрын

    Hatukutak mangungu Hatukutak mangungu Hatukutak mangungu

  • @AndersonMokiwa-is5ch

    @AndersonMokiwa-is5ch

    Ай бұрын

    Hamtaki kawakosea nini

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105Ай бұрын

    Mimi timu😅 Mangungu wewe je!?

  • @gkaniel87
    @gkaniel87Ай бұрын

    Brother una kadi sawa HATUJAKATAA,wewe mwanasimba kindakindaki sawa HATUJAKATAA ila tunaomba UJIUZULU.... Kwasababu hatujihisi tupo salama ku-share dawati la mbinu na wewe wazungu wanasema "we don't feel safe with all our hands on the deck with you".....Ondoka tu brother ili tuuhisi huo usalama kaka....Tunakuomba sana😢

  • @user-xl4io3or7r
    @user-xl4io3or7rАй бұрын

    Basi mangungu ondoka tu kila mmoja hakutaki tu. Wanasimba hawakutaki.

  • @Nehe100Kilindu
    @Nehe100KilinduАй бұрын

    Mzee wangu kwaeshima yako unge ondoka

  • @franccoz94
    @franccoz94Ай бұрын

    WE MZEE SIMBA NI TEAM KUBWAA, INAONEKANAA UNASHINDWAA KUIONGOZA MISMU MITATU UMEFELI NI VIGUMU SISI KUKUELEWA TUNAOMBA UTUACHIE TEAM YETUU

  • @MichaelMayemba-pc5cp

    @MichaelMayemba-pc5cp

    Ай бұрын

    Yah tatizo ni kufeli kwa uongozi kwenye usajili na kupata timu ya ushindani na kupata vyanzo vya uhakika vya fedha inapotokea mwekezaji kakausha kutoa fedha .simba inahitaji kurudisha heshima kwa miaka mitatu kutengeneza timu shindani ndani na nje kumefeli

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela8477Ай бұрын

    Mangungu ni tatizo

  • @trustboy6419
    @trustboy6419Ай бұрын

    Mangungu aendelee lkn wakae na wajumbe waweke mambo sawa

  • @user-vm8pg4yj6u
    @user-vm8pg4yj6uАй бұрын

    Mangungu uko vizur ila wachezajii tuuu waidadi Yuko shilikisho

  • @husseinmillinga
    @husseinmillingaАй бұрын

    Mangungu hatumtaki mangungu mwambieni

  • @johnsonbernald11

    @johnsonbernald11

    Ай бұрын

    Hata wewe unaweza kumwambia

  • @mashakaramadhani8665
    @mashakaramadhani8665Ай бұрын

    Huyo ni mtu fitina sana. Mangungu tuachie simba yetuu!!!

  • @dicksonbenard1741
    @dicksonbenard1741Ай бұрын

    Mangungu toka toka toka hatukutaki jaman duh!

  • @hamisipande7253
    @hamisipande7253Ай бұрын

    Umeulizwa swali badala ya kujibu wew unaleta ungesa fakin sana we mzeee

  • @shijamusilikale4731
    @shijamusilikale4731Ай бұрын

    We mzee ni mupumbazi sana we ndy mwanasiasi kama ukibaki kwenye timu ya simba inakufa we siyo mzee wa mpira , we ni mutapeli mzee we

  • @MusaMkembela-ex6ev
    @MusaMkembela-ex6evАй бұрын

    We mangungu huna unalolifanya hapo simba umekaa tu kama bumunda tu

  • @cleophacemasole
    @cleophacemasoleАй бұрын

    Wewe unayesema ajiuzulu wew unaweza kuiongoza Simba

  • @dicksonbenard1741
    @dicksonbenard1741Ай бұрын

    Acha siasa zako toka bhna

  • @philimonmtweve4522
    @philimonmtweve4522Ай бұрын

    Mashabiki hatukutakiiiiiii

  • @patrickkilongo3214
    @patrickkilongo3214Ай бұрын

    We mzee achia timu ondoka mashabiki na wapenz wa simba hawakutaki. Ondoka , toka nenda kaendeleee na siasa kilwa , toka

  • @HamisiMichael
    @HamisiMichaelАй бұрын

    Yani wewe mangungu upo katika maojiano unaonekana una SEMA uongo alafu sura yako inaonekana tapeli ondoka tuu Simba

  • @johnsonbernald11

    @johnsonbernald11

    Ай бұрын

    Uongo wake upo wapi hapo?

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu

    @SurprisedFullMoon-gg9vu

    Ай бұрын

    Alafu tumpe bibi yako awe mwnyekitii

  • @sinemazakorea

    @sinemazakorea

    Ай бұрын

    ​@@johnsonbernald11shida sio uongo shida haongei vitu anavyotakiwa kuongea.. kiufupi tu angetuambia zipi sababu zilizopelekea simba Okakosa kikosi chenye ushindani kwa kipindi alichokuepo halafu kwenye hizo sababu atushawishi kwamba yeye hakuuhisika kwenye sababu hata moja! ana zunguka zunguka tu anapingana mpk na wajumbe wake anaowaongoza wajumbe wake wanamsema mo vingine ye anasema vingine sasa hizo sio tabia za uongo uongo na unafki?

  • @Ramadhanjumanne-vl4sv
    @Ramadhanjumanne-vl4svАй бұрын

    Ndoka tu mzee hatukutak achia engo hufai

  • @KhamisKitwana-xi8sr
    @KhamisKitwana-xi8srАй бұрын

    Kama watu hawana Imani na were si utoke

  • @user-xd4wj6sn3q
    @user-xd4wj6sn3qАй бұрын

    Huyo Mzee ni mwanasiasa t

  • @MohdAli-fl2ef
    @MohdAli-fl2efАй бұрын

    Dah yan huyu mzee Kama ankuwa serious na simba ni mtu katili San Kwenye misimamao ila hatujui ana usiri gani yani yupo kihitlahitla Sio poa

  • @cleophacemasole
    @cleophacemasoleАй бұрын

    Mimi binafsi sioni sababu za kumwondoa Mangungo

  • @user-rp1ly4xc8k

    @user-rp1ly4xc8k

    Ай бұрын

    Kinachomnyonga Mangungu ni ujanja janja wake alioufanya kwenye uchaguzi alileta siasa kipindi hicho Manzoki alitakiwa asajiliwe simba ikashindikana akaenda china Cku ya uchaguzi akamlipia ndege toka china ili ambust kwenye kampeni na tokea hio siku akapoteza waaminifu kwa watu japo hajajua kama alijichombia kaburi mwenyewe

  • @ibrahimabdullah1887

    @ibrahimabdullah1887

    Ай бұрын

    Jee mo apouza wachezaji kina miqson wakati alikuja hazarani kusema hashida ma pesa ya kuwauza wachezaji yeye shida yake kuleta ubingwa wa cuf haya mwezi tu katupiwa hela kauzaa bila wachezaji kutaka ni nani tapeli mimi simba ila hapo magungu hawezi kuitoa timu kwa hao wapigaji na kujificha juu ya mgongo wake kama huna taluma mimi nisomea usalama na nigundua hilo nasimama na magungu simba ni yawanachama hawezi kuziwa mtu akeze tu na sheria ni wakezaji watatu haya nambie kuhusu uzamini kwann mo hataki company za njee zizamini​@@user-rp1ly4xc8k

  • @sakinasakina1286
    @sakinasakina1286Ай бұрын

    hatukutaki wew nenda zako wew

  • @HassaniJuma-wq3qb
    @HassaniJuma-wq3qbАй бұрын

    We mzee siku tutakuja kukupiga wewe ondoka jamani ondokaaaaaaaaaaaaa

  • @ignasamando9593
    @ignasamando9593Ай бұрын

    Hatuna mtu anashidwa kuwa na KADI ya Simba we na kipara chako umeshindwa kuweka mifumo mzuriii ili wetu wachukue hizo KADI na kuwa wanachama rasmi.Ww hapo Simba hutoshi mzeee Simba Kubwa kuliko ww. Kama kweliii ww ni mwamba itisha mkutano wa dharura ili tujadili kwa nn viongozi wa boards upande wa wadhamini wanajiudhuru.

  • @righitkileo
    @righitkileoАй бұрын

    Kwan ukijiuzulu itakuqalimu nn?? Si ni kotendo cha kiunqwana tu kama watu wamepoteza Iman haina haja .unaheshi maamuz ya wenqi.

  • @PaskoSambo-pz7oy
    @PaskoSambo-pz7oyАй бұрын

    Atoke uyo mwongo mwongo Yani ulivo sema wanachama wengi wanamwamini mo kuliko uyo mangungu atumtaki mangungu ajiuzuli tu

  • @sinemazakorea
    @sinemazakoreaАй бұрын

    Yani huyu kweli mwanasiasa anachoongea hata hakieleweki yeye na wajumbe wake wenyewe wanapingana 😅 haya basi kwa ufupi angetuambia nn kimefanya simba isiwe na kikosi kizuri chenye ushindani? Simple kabisa bila kuzunguka zunguka atupe sababu za simba kutokua na kikosi cha ushindani alafu humo kwenye hizo sababu atushawishi kuwambwa yeye hakuhusika kwenye sababu hata moja ili tuone kwamba hajashindwa kazi na hana sababu ya kujiuzulu

  • @YahyaKhalfana
    @YahyaKhalfanaАй бұрын

    Ata ikimaliza taar ubingwa 😅😅

  • @MarryCharles-rc6ei
    @MarryCharles-rc6eiАй бұрын

    Aaaaah,, kumbe ubasubiri wiki ijayo ndo ujiuzuru eee! Jpili ndo tunakuondoaa

  • @Ramadhanjumanne-vl4sv
    @Ramadhanjumanne-vl4svАй бұрын

    Acha siasa achi engo mzeee hutufai

  • @user-ny6xw4ps4r
    @user-ny6xw4ps4rАй бұрын

    Mangungu tukimwona huku kwetu chamoto atakiona

  • @dicksonbenard1741
    @dicksonbenard1741Ай бұрын

    Wewe Mangungu sio mtu wa mpira ww unatuletea siasa kwenye soka na ujanjaunja mwingi unaenda kutuletea manzoki na bado hukuona aibu ukaenda kutuletea na Mayele siasa na mpira havindi pamoja, kwa masilahi mapana ya simba maana simba sio yako kaa pembeni hatukutaki yan ungekua na mapenzi mema na simba kwanza ungekua umesha achia ngazi ila ww ......??

  • @BoniphasLukas
    @BoniphasLukasАй бұрын

    Kwann unang'ang'ania kwann kwan siuondoke achia mwizi ww

  • @MarryCharles-rc6ei
    @MarryCharles-rc6eiАй бұрын

    Unatafuta huruma ya watu ili iweje, ita mutant tukuhukum wenye simba yetu

  • @alitante4279
    @alitante4279Ай бұрын

    Alf hk kizee kinajeur sanaa na kiburi bt dawa yke ipo jikoni

  • @johnsonbernald11

    @johnsonbernald11

    Ай бұрын

    Dawa gani hiyo au unajichekesha wewe mwenyewe?

  • @alitante4279

    @alitante4279

    Ай бұрын

    @@johnsonbernald11 ya kujiuzuluu kwa lazma

  • @Nehe100Kilindu
    @Nehe100KilinduАй бұрын

    Mzee sasa uta muongoza Nani nahatukutaki

  • @user-zf2kf3ik5z
    @user-zf2kf3ik5zАй бұрын

    Unapenda vyeo si ubanduke? Moyo wako unajua kwenye umma unaweza kudanganya toka kwenye uongozi

  • @JumaAlly-fb3xq
    @JumaAlly-fb3xqАй бұрын

    Wee mzee nae hilo jina lako linachangia tukuchukie wewe nenda mzee hatukutak

  • @chancelorharubu2731
    @chancelorharubu2731Ай бұрын

    Kama sio msaliti mbona huambatani na team inapokwenda kwenye mechi zake,au wewe ni mwwnyekiti w mpira wa kikpu

  • @NoelVitalis-xe6hb
    @NoelVitalis-xe6hbАй бұрын

    Mangungu we sepa tu maana anaekwamisha maendeleo simba ndo wewe

  • @user-hi5hi7nt3b
    @user-hi5hi7nt3bАй бұрын

    Wewe tunakwambia wazi hufai unapoteza muda tu unalazimisha ila hatukutaki

  • @Rafaeltuli-gw8ii
    @Rafaeltuli-gw8iiАй бұрын

    hatukutaki toka

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298Ай бұрын

    Haka kazee cjui kanataka nini

  • @frankraphael7546
    @frankraphael7546Ай бұрын

    Wewe mangungu jifanye msani tu kichachako kitapona ondoka araka atukutak

  • @MusaMkembela-ex6ev
    @MusaMkembela-ex6evАй бұрын

    Nyie mwaka huu mme sajili nan? Ambae yupo bora

  • @saidbakari2408
    @saidbakari2408Ай бұрын

    Wanasimba tunasema kikubwa ni wewe kutoka tokaaaaaaaaaaA

  • @johnsonbernald11

    @johnsonbernald11

    Ай бұрын

    Usitujumlishe, sema wewe ndo unataka sio sisi wote

  • @saidbakari2408

    @saidbakari2408

    Ай бұрын

    @@johnsonbernald11 nawe pia tokaaaaaaaaaaaa wanasimba tumesema atokeeeeeeeeeeeeeee ingia mitandao yote na matawi yote wanachama hatumtakiiiiiiiiiiiiiii Toka nae kama unaumia tokeniiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @user-vv9wb9he2x
    @user-vv9wb9he2xАй бұрын

    Unang'ang'ania Nini achia ngazi hatukutaki

  • @DashAhmad-mp7ne
    @DashAhmad-mp7neАй бұрын

    Toka bhana wwe unazingua

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETAАй бұрын

    HAPO ULIPO UONGOZI WA SIMBA SIO KUTUMIA SHERIA BALI HEKIMA NA KUACHIA MADARAKA kwa manufaa ya TIMU.IKIWA Uongozi ni kwa Maslahi ya timu kiongozi ubaki kufanya nini ikiwa HUNA MASLAHI BINAFSI?

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900Ай бұрын

    Kwa kifupi ww umefeli kuiongoza Simba,haiwezekani tokea uanze kuiongoza Simba imekuwa ikiboronga tu,nyi yi mnaendekea kulipana posho za jasho la wanasimba,ivi mnachong,ng,nia hapo ni nn?Acheni ulimbukeni wa ki uongozi,.km ni riziki ni popote na sio Simba tu ,jifunzeni kuwa na aibu msilazimishe bakora kuwafuata

  • @franccoz94
    @franccoz94Ай бұрын

    SHIDA YA MANGUNGU N MWANA SIASA, HUWEZI KULETA SIASA KWENYE MPIRA

  • @brunomchalla4439

    @brunomchalla4439

    Ай бұрын

    Hata hiyo siasa haijui, angeweza kuwaunganisha wana Simba badala ya kuleta mpasuko

  • @MnubiMm

    @MnubiMm

    Ай бұрын

    Kweli Kabisa Mangungu lakini wewe hutakiwi Simba na kinachokuponza huna Hela na mo haguswi kwa sbb ni Tajiri lakini Makosa yapo kwa Mo timu inaboronga anaangalia tu sio kwa Bahati Mbaya ni makusudi ili wewe akuangushie jumbo Bovu utolewe kafara na ndicho kilichotokea na kinachoendelea wewe hutakiwi na Boss na hao waliojiuzuru upande wa Boss anaowataka atawarudisha tu kujiuzuru kwa Jaribu Tena ni kiinimacho tu ili wewe ujiresi wao warudi kwa kivuli tumeludiswa na Boss

  • @alitante4279
    @alitante4279Ай бұрын

    Mchawi ni usajil tu na mashirikiano mazr uwandaji wa mechi bc hyo mengn ata hatujl sana kulen pesa mtakavyo bt sisi tunatk furah tu ushindi

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518Ай бұрын

    We mzee na uwalaza lako,yan makelele yote haya na bado umèkomalia madaraka SI UTOKE KWANI TIMU NI YAKO AU YA FAMILIAR YAKO OVYO KABISA

  • @brunomchalla4439
    @brunomchalla4439Ай бұрын

    Mangungu wewe uliye na mamlaka ya kuitisha mkutano unangoja nini wakati huu wa kuiokoa Simba? Heri huyo anayethubutu kuiokoa club. Wewe hujali kuzima migogoro , umebakia tu kung’ang’ania taratibu zifuatwe. Hujuma hiyo Mzee.

  • @iddkabange1573

    @iddkabange1573

    Ай бұрын

    Hakuna Mfumo huo Simba. Maamuzi yote yanafanya na Mkutano Wa Bodi ya Wajumbe. So Mangungu hawezi Kufanya Maamuzi yoyote Hadi MO ateue Wajumbe wake 7Ndio waitishe Mkutano na ndio Management itatangaza Mkutano kupitia Kwa Mtendaji Mkuu

  • @HillaryMasheyo
    @HillaryMasheyoАй бұрын

    Ondoka wewe mzee timu siyo ya baba yako

  • @kakururubambula7270
    @kakururubambula7270Ай бұрын

    mangungu Baki mpaka muda wako uishe! Wanachama walipitisha katiba mbovu inayokufunga mikono anayetakiwa kuwajibika ni bwana mo bahati mbaya wenye njaa ndo wapo upande wa mo! Huwezi kusikia wanasema kuhusu mapungufu ya mo kupiga b20! Hawa m pesa zao zimetumia pesa kuchafua hali ya hewa ili mangungu utokee kwa sababu umegoma kupitisha msaada wa mo kuwa mtaji!

  • @edgarmbegu1974

    @edgarmbegu1974

    Ай бұрын

    We jamaa mpumbavu kweli. Mbona utopolo mnamkumbatia GSM?

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10Ай бұрын

    Mohamed Mo tuna matumaini Na wewe

  • @mtangag774
    @mtangag774Ай бұрын

    Kumbe

  • @bensonmwakipexle8960
    @bensonmwakipexle8960Ай бұрын

    Unajielewa wewe

  • @Ramadhanjumanne-vl4sv
    @Ramadhanjumanne-vl4svАй бұрын

    Ndoka tu mzee hatukutak achia engo hufai

  • @MageleFidelis
    @MageleFidelisАй бұрын

    Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde

  • @MageleFidelis
    @MageleFidelisАй бұрын

    Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde

  • @MageleFidelis
    @MageleFidelisАй бұрын

    Mwenyekiti wa wanachama hebu malizeni hayo matatizo msajili wachezaji wenzetu wanatuacha sisi mashariki ambao hatuna kadi hata sisi tunaumia na kuchekwa chonde chonde

  • @Ramadhanjumanne-vl4sv
    @Ramadhanjumanne-vl4svАй бұрын

    Ndoka tu mzee hatukutak achia engo hufai

Келесі