Maneno ya mwisho ya aliyekuwa katibu wa kanisa la Masanja Mkandamizaji kabla hajafa haya hapa

Пікірлер: 47

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 Жыл бұрын

    Naanza kupata shida huko makanisani baadhi ya watu wamefanya ni pango la kujificha nadhani Mwaka yupo ok

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    Жыл бұрын

    Baden benson hivi unafikiri baba mwaka ni muongo hata wiki 1 bado jibu lumetokea wote waliomtukana wachungaji na mashekhe wamuombe msamaha kama padri kalawiti mtoto haya subiri shekhe nae utasikia hayo ni ya kweli ndani ya dini zetu mungu ibariki afrika

  • @saumjuma958
    @saumjuma958 Жыл бұрын

    Hb Masha Allah ape kauli thabit

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 Жыл бұрын

    Huzuni sana .jaman duuu

  • @joymafur1935
    @joymafur1935 Жыл бұрын

    Inasikitisha sana

  • @amirinestory
    @amirinestory Жыл бұрын

    Hii ndio faida ya nyimbo za hakunaga ushemeji kwenye jamii yetu

  • @lightnessgamasa6039
    @lightnessgamasa6039 Жыл бұрын

    🙏

  • @NtanunuraWillsonBaru
    @NtanunuraWillsonBaru Жыл бұрын

    Picha inafananishwa mitandao ni hatari watu wanatengeneza sura lazima iwepo invidence vinginevyo uongo tu dunia watu wanafana Sanaa hasa waafrka.

  • @petermgogosi20
    @petermgogosi20 Жыл бұрын

    Kumbe hata nyinyi waongo sana hakuna ukweli show evidece

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga5813 Жыл бұрын

    Rest in peace si kweli mzinzi ni mzinzi tu aresti alipochagua mwemyewe .

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Жыл бұрын

    R.I.P

  • @mohamedally2692
    @mohamedally2692 Жыл бұрын

    Mwaka yupo sahihi

  • @saidmzee8609
    @saidmzee8609 Жыл бұрын

    Mnaongea sana

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Жыл бұрын

    Mwaka kwani alikuwa anasema uongo walimsema mengi sanaaaa sasa kila uchwao matukio ya makanisani yanatoa jibu wachungaji wote na mashekhe waliomsema mitandaoni wamuombe radhi

  • @ATUMANKWATA-tm4by
    @ATUMANKWATA-tm4by10 ай бұрын

    Uxenge tu

  • @samwelimwaim7136
    @samwelimwaim7136 Жыл бұрын

    PUMZIKA KWA AMANI

  • @samwelngabuji224
    @samwelngabuji224 Жыл бұрын

    Haah

  • @catherinebarn1493

    @catherinebarn1493

    Жыл бұрын

    Hivi ni kweli Mchungaji na mke wake na kanisa hawakwenda kumzika wala kutuma rambirambi???? Je kama anavyosema mama wa marehemu kuwa mwanae wamemtoa kafara majibu yatapatikana ya kanisa kufurika namafanikio ya kipesa

  • @venancjoseph1498
    @venancjoseph1498 Жыл бұрын

    Aliimba masanja hakuna jipya chini ya jua, 🥴🥴wote ni ubatili

  • @justinekashililika6329
    @justinekashililika6329 Жыл бұрын

    Usitudanganye Bwana hajatwa?

  • @mababa-tv..s.z.b.4905
    @mababa-tv..s.z.b.4905 Жыл бұрын

    Je N kweli amejinyooonga tujiulize kwa umakin sana jaman mbona kama vle filam iv ama story iliyoandaliwa vzur jaman

  • @azizaaziza9113

    @azizaaziza9113

    Жыл бұрын

    Kujinyonga anaweza kwa aslimia 100 usicheze na hisia za mtu kwenye mapenzi

  • @AfroMedic
    @AfroMedic Жыл бұрын

    Ndio sababu niliachaga kwenda kanisa , Mungu na kanisa nivitu viwili tafauti

  • @kennethbenjamin275

    @kennethbenjamin275

    Жыл бұрын

    Huko kwenye hayo makanisa hamnaga kitu

  • @badenbensoni7516

    @badenbensoni7516

    Жыл бұрын

    Sali usimuangalie binadamu ni kwa ajili yako

  • @janengaga2928

    @janengaga2928

    Жыл бұрын

    Unakosea anza kusali.Mungu anakuita njoo umtumikie.usipate kigezo cha marehem

  • @ramadhanmahongole9293

    @ramadhanmahongole9293

    Жыл бұрын

    Kwaiyo unaenda kusali wapi ambao unahisi kuna usalama msikitini au??

  • @ramadhanmahongole9293

    @ramadhanmahongole9293

    Жыл бұрын

    Utapotea sana kama unaenda kusali kanisani au msikitini kwa kumuangalia binadamu utahama nyuma zote za ibada kwa kukimbia matukio

  • @ashaabdallah9909
    @ashaabdallah9909 Жыл бұрын

    Dongo la mke wa masanja

  • @florayoram9099
    @florayoram9099 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂amemlaaa mpaka kunyowa nywele kanyowa kama masanjaa

  • @ramadhanmahongole9293

    @ramadhanmahongole9293

    Жыл бұрын

    Mnapenda kuliwa nyie wanawake sijui kwNini

  • @chrislwila8464
    @chrislwila8464 Жыл бұрын

    umalaya umempeleka kuzimu

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Жыл бұрын

    Kamkanyaga sana

  • @vesitinarevocatus7333
    @vesitinarevocatus7333 Жыл бұрын

    Kijana mdogo mno jamani mshahara wadhambi nimauti

  • @azizaaziza9113

    @azizaaziza9113

    Жыл бұрын

    So sad yote 9 sasa kwenye family yake wamelipokeaje tukio hili na huku wakisikia kuna mtu nyuma ya kifo cha mtoto wao

  • @blaq7403
    @blaq7403 Жыл бұрын

    Dubei

  • @neemiandondole6168

    @neemiandondole6168

    Жыл бұрын

    Na huyo nae ni mhehe? Maana wahehe kwa kujinyonga hawajambo.

  • @gersonimbafu7506
    @gersonimbafu7506 Жыл бұрын

    Pumbavu

  • @ATUMANKWATA-tm4by
    @ATUMANKWATA-tm4by10 ай бұрын

    Usinidanganye mxenge wewe

  • @paulinekamau9633
    @paulinekamau9633 Жыл бұрын

    Mjinga wewe Jina la bwana lihimidiwe kwa mtu kujitoa uhai ???

Келесі