MANENO MAZITO NA AHADI ZA MH OTHMAN MASOUD KWA ZANZIBAR

#RiyadhTvZnz #Zanzibar #MaalimSeif

Пікірлер: 20

  • @mgenimgeni8450
    @mgenimgeni84503 жыл бұрын

    Allaah atakuongozeni na atakusaidieni kuisimamia haki all the best.

  • @abubakarzamir6276
    @abubakarzamir62763 жыл бұрын

    Mungu akuzidishie mheshimiwa uwe na msimamo mzuri na wenye hekima ila mashekhe msiwasahau

  • @topaviator

    @topaviator

    3 жыл бұрын

    Mashekhe wamefungwa na (national security) ko ata uyo magufuli hana say. Ije kua Othaman masoud.

  • @abubakarzamir6276

    @abubakarzamir6276

    3 жыл бұрын

    @@topaviator uwo uongo na kama ni hivyo kwann wafungwe na ao kosa asa ni lipi

  • @topaviator

    @topaviator

    3 жыл бұрын

    @@abubakarzamir6276 na mie nkuulize kwann wasiendelee kufungwa hapa hapa znz na badala yake wakapelekwa bara

  • @abubakarzamir6276

    @abubakarzamir6276

    3 жыл бұрын

    @@topaviator sababu ni kwamba walikua wakitetea Zanzibar na uislamu wa Zanzibar jambo ambalo makafiri hapend iwe ivyo ila ipo siku haki itapatikana kupitia migongo ya hawahawa madhalim

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    3 жыл бұрын

    @@topaviator wewe acha ujinga unasema hata Raisi Magufuli hana kauli ,hujui ulisemalo.

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf2 жыл бұрын

    Huyo ndio mpambanaji na ndio mrisi mahsusi shabab wa Maalim Seif Sharif Hamad, Allah amlaze mahala pema peponi Aaameen .

  • @abdallahnassoro2460
    @abdallahnassoro2460 Жыл бұрын

    Inshaallh allah akupenguvu Zaid

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad50433 жыл бұрын

    Mashaallah Allah Awahifadhi Yarabiy Na Akulindeni Nakilashari Nimependa Spichi Ya Mungu Awasaidieni Wewe Na Raisi Wetu Na Viongozi Na Wananchi Wote

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim11063 жыл бұрын

    Mungu atakusaidiyeni kwa nia zenu. Kurejesha Zanzibar iwe na Thamani yake ndani na njee. Mungu IBARIKI Zanzibar na watu wake. AMIN.

  • @issahamad2502

    @issahamad2502

    3 жыл бұрын

    Mheshimiwa mashehe mashehe tukumbuke wamèka Miaka mingi na wao wana watoto.

  • @makamehajji4001

    @makamehajji4001

    3 жыл бұрын

    Kila mt na amali yake ukifanya mema mung atakueka sehem njem la utaenda unavotaka wew na mung atakufanya anavitak wew

  • @ahmedadan1915
    @ahmedadan19153 жыл бұрын

    Vp kuhusu mashekhe twakuomba huwatoye majela tafadhalie

  • @aishajabir8750
    @aishajabir8750Ай бұрын

    Weye vip kuongea hujui

  • @zaidybakar6865
    @zaidybakar6865 Жыл бұрын

    Mamlaka ya zannzibar 2 ndo runatka

  • @ladislausngoyinde4384
    @ladislausngoyinde43843 жыл бұрын

    Mnavyomsifia utadhani ni rais kamili

Келесі