MANENO MAZITO NA AHADI ZA MH OTHMAN MASOUD KWA ZANZIBAR
#RiyadhTvZnz #Zanzibar #MaalimSeif
Жүктеу.....
Пікірлер: 20
@mgenimgeni84503 жыл бұрын
Allaah atakuongozeni na atakusaidieni kuisimamia haki all the best.
@abubakarzamir62763 жыл бұрын
Mungu akuzidishie mheshimiwa uwe na msimamo mzuri na wenye hekima ila mashekhe msiwasahau
@topaviator
3 жыл бұрын
Mashekhe wamefungwa na (national security) ko ata uyo magufuli hana say. Ije kua Othaman masoud.
@abubakarzamir6276
3 жыл бұрын
@@topaviator uwo uongo na kama ni hivyo kwann wafungwe na ao kosa asa ni lipi
@topaviator
3 жыл бұрын
@@abubakarzamir6276 na mie nkuulize kwann wasiendelee kufungwa hapa hapa znz na badala yake wakapelekwa bara
@abubakarzamir6276
3 жыл бұрын
@@topaviator sababu ni kwamba walikua wakitetea Zanzibar na uislamu wa Zanzibar jambo ambalo makafiri hapend iwe ivyo ila ipo siku haki itapatikana kupitia migongo ya hawahawa madhalim
@jumamohamed3168
3 жыл бұрын
@@topaviator wewe acha ujinga unasema hata Raisi Magufuli hana kauli ,hujui ulisemalo.
@sasha-ri7tf2 жыл бұрын
Huyo ndio mpambanaji na ndio mrisi mahsusi shabab wa Maalim Seif Sharif Hamad, Allah amlaze mahala pema peponi Aaameen .
@abdallahnassoro2460 Жыл бұрын
Inshaallh allah akupenguvu Zaid
@muhammadmuhammad50433 жыл бұрын
Mashaallah Allah Awahifadhi Yarabiy Na Akulindeni Nakilashari Nimependa Spichi Ya Mungu Awasaidieni Wewe Na Raisi Wetu Na Viongozi Na Wananchi Wote
@awatifalghanim11063 жыл бұрын
Mungu atakusaidiyeni kwa nia zenu. Kurejesha Zanzibar iwe na Thamani yake ndani na njee. Mungu IBARIKI Zanzibar na watu wake. AMIN.
@issahamad2502
3 жыл бұрын
Mheshimiwa mashehe mashehe tukumbuke wamèka Miaka mingi na wao wana watoto.
@makamehajji4001
3 жыл бұрын
Kila mt na amali yake ukifanya mema mung atakueka sehem njem la utaenda unavotaka wew na mung atakufanya anavitak wew
@ahmedadan19153 жыл бұрын
Vp kuhusu mashekhe twakuomba huwatoye majela tafadhalie
Пікірлер: 20
Allaah atakuongozeni na atakusaidieni kuisimamia haki all the best.
Mungu akuzidishie mheshimiwa uwe na msimamo mzuri na wenye hekima ila mashekhe msiwasahau
@topaviator
3 жыл бұрын
Mashekhe wamefungwa na (national security) ko ata uyo magufuli hana say. Ije kua Othaman masoud.
@abubakarzamir6276
3 жыл бұрын
@@topaviator uwo uongo na kama ni hivyo kwann wafungwe na ao kosa asa ni lipi
@topaviator
3 жыл бұрын
@@abubakarzamir6276 na mie nkuulize kwann wasiendelee kufungwa hapa hapa znz na badala yake wakapelekwa bara
@abubakarzamir6276
3 жыл бұрын
@@topaviator sababu ni kwamba walikua wakitetea Zanzibar na uislamu wa Zanzibar jambo ambalo makafiri hapend iwe ivyo ila ipo siku haki itapatikana kupitia migongo ya hawahawa madhalim
@jumamohamed3168
3 жыл бұрын
@@topaviator wewe acha ujinga unasema hata Raisi Magufuli hana kauli ,hujui ulisemalo.
Huyo ndio mpambanaji na ndio mrisi mahsusi shabab wa Maalim Seif Sharif Hamad, Allah amlaze mahala pema peponi Aaameen .
Inshaallh allah akupenguvu Zaid
Mashaallah Allah Awahifadhi Yarabiy Na Akulindeni Nakilashari Nimependa Spichi Ya Mungu Awasaidieni Wewe Na Raisi Wetu Na Viongozi Na Wananchi Wote
Mungu atakusaidiyeni kwa nia zenu. Kurejesha Zanzibar iwe na Thamani yake ndani na njee. Mungu IBARIKI Zanzibar na watu wake. AMIN.
@issahamad2502
3 жыл бұрын
Mheshimiwa mashehe mashehe tukumbuke wamèka Miaka mingi na wao wana watoto.
@makamehajji4001
3 жыл бұрын
Kila mt na amali yake ukifanya mema mung atakueka sehem njem la utaenda unavotaka wew na mung atakufanya anavitak wew
Vp kuhusu mashekhe twakuomba huwatoye majela tafadhalie
Weye vip kuongea hujui
Mamlaka ya zannzibar 2 ndo runatka
Mnavyomsifia utadhani ni rais kamili