MANDATORY TAX 4 ALL KENYANS IN GULF & OUTSIDE KENYA UYU AMEMALIZA WAKENYA KBSA

Ойын-сауық

Edit with InShot: inshotshare.app

Пікірлер: 31

  • @mildredmildred3267
    @mildredmildred326727 күн бұрын

    Wooi jackson, eti wamama wanafanya nini, wakinyamba was just chiling then boom😂😂😂😂

  • @patriceomolo232
    @patriceomolo23227 күн бұрын

    What for! Your days are numbered!

  • @emillyzeeh1173
    @emillyzeeh117328 күн бұрын

    Ivan na Jackson asante kwa ujumbi 🇩🇪🇪🇺🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @agnesalwanyi1859
    @agnesalwanyi185928 күн бұрын

    Nawapenda sana Ivano na Jackson I wish kila mtu angekua kama nyinyi aki shida yenye tunapitia nalia tu Chebkat ndio anafanya tupitie hayo yote mungu tuonekanie usikupali tuangamie😢

  • @hellenmwenda4971
    @hellenmwenda497128 күн бұрын

    Yeye niafanye vile anataka lakini ajue huu mwaka hautaisha ataona vile Mungu atampea punishment ndio watu watajua hakuchanguliwa na Mungu awe president

  • @Ivyonechepkurui

    @Ivyonechepkurui

    28 күн бұрын

    President afanye kazi nzuri sana I support him one hundred percent wengi walinyangqnywa mashamba juu hawakuwai pata usaidizi

  • @user-nw3tf6hl5q
    @user-nw3tf6hl5q26 күн бұрын

    Mwambie

  • @user-hv5bk5tr1j
    @user-hv5bk5tr1j27 күн бұрын

    Uhuru aliwambia sasa wacheni awanyooshe

  • @Sevelienman
    @Sevelienman28 күн бұрын

    Hello Ivano

  • @user-hv5bk5tr1j
    @user-hv5bk5tr1j27 күн бұрын

    Na bado mungemchagua mheshimiwa Raila Odinga saii kenya ingekua Europe..

  • @rosemuniu1171
    @rosemuniu117127 күн бұрын

    Ruto ni Mungu au Kenya niyake,GEMA tuko nayeye shingo kwa shingo.tutachukua zote ,time ya KK ni 2 1/2.

  • @appsplay4324
    @appsplay432428 күн бұрын

    Ipo siku atalipia

  • @larisabaranga914
    @larisabaranga91428 күн бұрын

    Huyu sasa tunafaa sisi Kam team strong tumueke Mali pake sasa enough is enough 😥😥

  • @user-ki7lc1kb4f
    @user-ki7lc1kb4f27 күн бұрын

    Everyday is burning far now today.

  • @snyagaka
    @snyagaka28 күн бұрын

    tulipanda now we’re harvesting tu

  • @user-pq9be8re6i
    @user-pq9be8re6i28 күн бұрын

    zakayo haone example from chebukati 😢😢😢

  • @sheilla4925
    @sheilla492528 күн бұрын

    Wafuasi wake wako wapi UDA ihope we are same

  • @maswatch
    @maswatch28 күн бұрын

    why are kenyans crying? this is the govt they wanted. Uhuru warned them by they never listened.

  • @user-tr8qn8ci5f

    @user-tr8qn8ci5f

    28 күн бұрын

    Then prepare for heaven 🎉🎉

  • @clairemuyonga5698

    @clairemuyonga5698

    28 күн бұрын

    My question too...why are we crying, lamenting and we chose him,we even said he's "deputy Jesus" 🤦🤦 God forbid.....we should swallow the pill slowly

  • @rosemuniu1171
    @rosemuniu117127 күн бұрын

    Nyama gani wewe

  • @softymoha5484
    @softymoha548428 күн бұрын

    wakenya tunapenda viongozi waongo....hawataki mtu wa kusema ukweli, ruto aliwadanganya wakaona kila kitu ni ukweli. hata wakasema uhuru ni mlevi,,wanataka kioongozi wa kanisa, muokovu,, God chosen....haya....ndio hiyo serikali ya mungu....munalia nini ? mtatia akili uchaguzi ujao

  • @juliaannenderitu

    @juliaannenderitu

    27 күн бұрын

    It's called the king Saul syndrome.... kimeturamba sisi wote....I knew it huyu mwokovu ni gutee

  • @dorcasgachoka5403
    @dorcasgachoka540328 күн бұрын

    Ngapi! Si kule tunaishi tuna lipa tax? Sasa Mara mbili mtu moja?

  • @Princessmanu1366
    @Princessmanu136628 күн бұрын

    Hao wabunge pia ndio mang'ombe si wamkataze tu ju mtu haezi amka na anasema tax kwa kila kitu na wanafuata tu kaa kondoo unless wanakula wote ruto ukufe tu na hio prophecy yako if it's real

  • @user-xt4we5sq9s

    @user-xt4we5sq9s

    27 күн бұрын

    Aiiii c wanapewa hongo

  • @Gaen-cz4kp
    @Gaen-cz4kp27 күн бұрын

    Si uchawi ni maombi kuleni kivuri yenu kabisa. What i knows from pharaoh hakupita kura alitoa psa kwa chebuchieta akaibiwa kura nanikitu waliba na uhuru ruto from 2013 .na bado atakuwa president mtapaka term mbili zikwishe .Wakenya waliuza maisha yao nawatoto wao kwa 200 and 500/ now they crying for who.No politicians will save Kenyans but only God.

  • @hidayasaidi7872
    @hidayasaidi787227 күн бұрын

    Weunaongeanini watuwaikamawakimbiziulisikiawapi hiiniserekaliga ni kunyanyasawatu mnyanganyi huyunihitila

  • @talatalaco6837
    @talatalaco683728 күн бұрын

    Tulipe mara gapi na huku piatunalipa tax wenye mlichagua ii nugu mlitupeleka mashakani

  • @juliaannenderitu

    @juliaannenderitu

    27 күн бұрын

    Imagine uko America being taxed by IRS sijui nini alaf huku Kenya bado tax 🧐

  • @softymoha5484
    @softymoha548428 күн бұрын

    hata wakenya wasilie,,,ju walimchaguwa wenyewe....waliimba hawapangwi ngwi....wakenya ni wajinga. uhuru ndio alijuwa ruto zaidi inje na ndani ndio maana alikuwa anawaonya..bt wakenya na ujinga wao waliona tu ruto....ndio anawafaa,,,mbona hawakuchaguwa mtu mwengine ju ni watu wengi walikuwa wamesimama urais? ruto alikuwa Dp wa uhuru....yeye kama dp alifanyia nini wakenya? ..lieni zaidi,,,fimbo ya kujitakia haina majuto

Келесі