MANARA AFUNGUA MOYO KUHUSU 'MSAIDIZI' WAKE - "AKINIPENDA, KWANINI NIMKATALIE"

Septemba 21, 2022 mitandao ya kijamii ililipuka baada ya Haji Manara kumtangaza msaidi wake na kupitia kipindi cha Lavidavi, Manara amefunguka mengi kuhusu ukaribu wake na msaidizi wake huyo
MANARA AFUNGUA MOYO KUHUSU 'MSAIDIZI' WAKE - "AKINIPENDA, KWANINI NIMKATALIE"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 80

  • @hamidayanga8224
    @hamidayanga8224 Жыл бұрын

    Tuliorudi kuangalia hii video baada ya ndoa ya jana tujuane😂😂

  • @rahmambonde2389

    @rahmambonde2389

    Жыл бұрын

    Tupooo

  • @hamidayanga8224

    @hamidayanga8224

    Жыл бұрын

    @@rahmambonde2389 🤣🤣

  • @fistonmakopa598
    @fistonmakopa598 Жыл бұрын

    😊😊😊❤

  • @Gody360
    @Gody360 Жыл бұрын

    Noma sana🤣🤣

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 Жыл бұрын

    One of the things or one thing

  • @sasamama7934
    @sasamama7934 Жыл бұрын

    Wanaume waongo jamani duuuuuu eti msaidizi wangu duuuuuuu

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official Жыл бұрын

    Miaka 23 kkkkk like seriously 🙄 😒 Manara acha hizo huyo Dada nimkubwa more than 30 years old

  • @eladiuspeter586

    @eladiuspeter586

    Жыл бұрын

    Duh!!Hata kama ni chuki sio hvyo. Mbona anaonekana Mdogo tu

  • @annajohn2488

    @annajohn2488

    Жыл бұрын

    Umejuaje umri wake why wabongo mnaumia na umri wa watu

  • @habibamaguru2722

    @habibamaguru2722

    Жыл бұрын

    Shavu limejikata hivyo miaka 23

  • @benjaminulanga6749
    @benjaminulanga6749 Жыл бұрын

    Huyu jamaa anajua jmn sikutegemea km anabadilika ivo sio yule anayeongeaga kwa sauti kali kwny mpira leo kashuka ivi

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 Жыл бұрын

    I would be a last person to agree with him!

  • @husseinali5535
    @husseinali5535 Жыл бұрын

    This person he is a player

  • @c75923
    @c75923 Жыл бұрын

    Huyu muhaya mbwembwe nyiiiingi na kiingereza cha chooni

  • @zakiamseka9698

    @zakiamseka9698

    Жыл бұрын

    Ongea wewe tusikie chako

  • @jeckajustinianjoyce7998

    @jeckajustinianjoyce7998

    Жыл бұрын

    Acha kutukana makabila ya watu kwa vitu visivyo na maana

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 Жыл бұрын

    Mmh tusubiri baada ya miezi 3 au 5 hv ndo tutajua msaidizi auuuuu🤣🤣🤣🤣maana we mwanangu kibokoooo

  • @mariasalomemelchiorkaigaru1974

    @mariasalomemelchiorkaigaru1974

    Жыл бұрын

    keshaoa ulimpa muda mrefu sana

  • @christinamsuya5492

    @christinamsuya5492

    Жыл бұрын

    @@mariasalomemelchiorkaigaru1974 hahahaha kwa kwel leo yametimia

  • @atamotivetv8104

    @atamotivetv8104

    Жыл бұрын

    Ulisema leo yametokea🤣🤣🤣

  • @abdulmalikiramadhani8067
    @abdulmalikiramadhani8067 Жыл бұрын

    Mm kumbe nawewe ulimletamzungu

  • @mrsmumewangu4907
    @mrsmumewangu4907 Жыл бұрын

    Hata wema sepetu tukae kwakutulia huyu Bora umpe pesa itafika kuliko kumuweka karibu na unashindana naulipo toka unaakili ww🤣🤣🤣🤣

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 Жыл бұрын

    Haikuwa zambi uyu mzee bhana we unakaa na mtu ambaye unaweza kumuowa ukaribu kama ule alafu una mke anayumba kiimani uyu mzee alafu ana miaka 40 bado anataka ujana ivi mwanawe atajifunza nn au ndio maisha ya kizungu

  • @johnkiimbila6799

    @johnkiimbila6799

    Жыл бұрын

    Miaka 40 sio mzee , huyo bado.

  • @saadmbaraqa5272

    @saadmbaraqa5272

    Жыл бұрын

    @@johnkiimbila6799 kwa cici waislam ujana hayupo tena ukifika arubain unatakiwa uwachane na mambo ya ujana kabisa kwa mtu mwenye kujielewa kakini urudi kwa mungu

  • @husna34562

    @husna34562

    Жыл бұрын

    @@saadmbaraqa5272 45

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Жыл бұрын

    Diva na miwani yake kama wale wazee wa kuchinja nyani

  • @nasseralrowahi4084
    @nasseralrowahi4084 Жыл бұрын

    Kwanini nyinyi watangazaji hamuongei kiswahili lazima mtiye luga si yakwenu huoni urimbukeni kuwa unajuwa kizungu ni ushamba wewe si mzungu

  • @kefamkv3743
    @kefamkv3743 Жыл бұрын

    Hiyo why not kama mm ndo nimeisema kwa diva vileeee😊😊

  • @hamidayanga8224

    @hamidayanga8224

    Жыл бұрын

    Yamekuaaa😂

  • @kefamkv3743

    @kefamkv3743

    Жыл бұрын

    @@hamidayanga8224 ndo mana nilisema hile why not haikuwa bure 😁😁

  • @hamidayanga8224

    @hamidayanga8224

    Жыл бұрын

    @@kefamkv3743 😂

  • @tinabapemacho8650
    @tinabapemacho8650 Жыл бұрын

    Haji Kama haji unimalizag KBS

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @salmaswala3900
    @salmaswala3900 Жыл бұрын

    Haji muongo jamanii mchepuko eti watoto yeye mh mchepuko niwale wazee ambao wakezao halafu na mwengine pembeni (mchepuko ) uyo jamani

  • @johannahakim8470
    @johannahakim8470 Жыл бұрын

    Uko mongo ule anazidi 23, iko mu ma 30 mpaka ata 36, naanamzidi ata zuchu ukubwa,ata dira yake inaonekana tu kama mkubwa,amekoma na sura

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Жыл бұрын

    Mke wa pili atajua hajui🤣🤣🤣🤣 Alifurahia mwazo.sasa zamu yke.

  • @rosejerry3294

    @rosejerry3294

    Жыл бұрын

    Umeona

  • @agreysimon4194
    @agreysimon4194 Жыл бұрын

    Hii interview ingekuwa poa kama huyo personal assistant angekuwepo hapo ili naye apigwe maswali ..mbivu na mbichi zingejulikana

  • @allyamuli8027
    @allyamuli8027 Жыл бұрын

    Jamaa kumbe anaringa

  • @mussamwadin806
    @mussamwadin806 Жыл бұрын

    sasa aina mbili au aina tatu, uzuzu ni shida

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 Жыл бұрын

    Nimchepuko😂😂😂

  • @reynaaalrawahi4137
    @reynaaalrawahi4137 Жыл бұрын

    Manara wacha uongo huna miaka 40 tumesoma wote tena darasa moja shule ya mnazi moja. Wewe ulikua darasa moja na mimi na ndugu yako hamida huna miaka 40 wewe miaka yako 48 wacha kusema uongo looh umekua jiwe wewe hukuwi 😅

  • @ramadhanabas4455

    @ramadhanabas4455

    Жыл бұрын

    Hata yeye hakusema ana miaka 40 kamili, kasema ana miaka 40 plus.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Жыл бұрын

    NA WEWE MASWALI GANI HAYO?

  • @kabugashija4836
    @kabugashija4836 Жыл бұрын

    😳😳💰💰💰 tuzipongeze, without 💰 zeruzeru ni kichefuchefu.

  • @colletatesha5265
    @colletatesha5265 Жыл бұрын

    Angejijua alivyo

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 Жыл бұрын

    Manara ni m1 tu bongo

  • @allymtungunyu2425

    @allymtungunyu2425

    Жыл бұрын

    Kwanini songea nguruwe anaitwa manara?

  • @avitusmichael5

    @avitusmichael5

    Жыл бұрын

    @@allymtungunyu2425 muulize mamako uliyemtomba msenge ww

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 Жыл бұрын

    Unapendwa ww zinapendwa pesa acha ujinga

  • @jazzmancoltrane
    @jazzmancoltrane Жыл бұрын

    very boring interview and interviewer. Why focus on the assistant? isn't that invasion of privacy?

  • @barakamwakapoma2702
    @barakamwakapoma2702 Жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @salamakombo3257
    @salamakombo3257 Жыл бұрын

    Mchipuko kwa kweli kumbe kweli

  • @samwelhiinyamhangahiileosi1060
    @samwelhiinyamhangahiileosi1060 Жыл бұрын

    Manara kaongea kwa upole xn kisa babra kupaa kimataifa

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf Жыл бұрын

    Kwendraaaaaa muhuni tuu wewe hujiheshimu. Personal assistant too young what she knows in terms of experiance

  • @lastsimbatv1497

    @lastsimbatv1497

    Жыл бұрын

    Always young are so experience than old trust me haji was right

  • @fabianchrizostom5743
    @fabianchrizostom5743 Жыл бұрын

    😆😆😆😆

  • @fadhilidini1181
    @fadhilidini1181 Жыл бұрын

    yuda asistensi kwenye nini

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew9399 Жыл бұрын

    Diva iyo miwani na ilo wigi 😄😄😄😄

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Жыл бұрын

    Wee Bwana una offisi gani na wp wakati unatumwa Tu na Gsm

  • @sultanisaidi9701

    @sultanisaidi9701

    Жыл бұрын

    iv hujui kma manara ana kampuni zake binafsi duh pole

  • @avitusmichael5

    @avitusmichael5

    Жыл бұрын

    @@sultanisaidi9701 achana nae fala huyo hajui chochote

  • @masakamgalla9273

    @masakamgalla9273

    Жыл бұрын

    Unaumwa aisee

  • @annajohn2488
    @annajohn2488 Жыл бұрын

    Wanawake njaaa ivi uyu haji unalala nae vp

  • @missclementsemizigimisscle7458

    @missclementsemizigimisscle7458

    Жыл бұрын

    Kwanini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @happynjukiz6495

    @happynjukiz6495

    Жыл бұрын

    Kwani wewe unanini cha kujifanya umbague Haji Manara

  • @rizikiabdalla2501

    @rizikiabdalla2501

    Жыл бұрын

    Eeeeee acha kukufuruuuu haman na yy ni kiumbe cha mungu usikufuruuuuu

  • @mikemutabuzi3665
    @mikemutabuzi3665 Жыл бұрын

    Kudadeki nabadilisha dini nikale bikra 70 kudadeki

  • @alexandrucarmen3185

    @alexandrucarmen3185

    Жыл бұрын

    Pole yako ndugu siku hizi hakuna bikra walienda na vita ya eid amin dada🤣🤣🤣🤣

  • @malak-lz6kx

    @malak-lz6kx

    Жыл бұрын

    @@alexandrucarmen3185 tena hakuna kabisaaaa

  • @lastsimbatv1497

    @lastsimbatv1497

    Жыл бұрын

    So cryz boy

  • @omaryhajji1393

    @omaryhajji1393

    Жыл бұрын

    @@alexandrucarmen3185 me mwenyewe nashangaa sijui walio na bikrah huwa wanaenda wap???

  • @felixhaule7071
    @felixhaule7071 Жыл бұрын

    Zungu Pori katika ubora wake

  • @josejoseph8888
    @josejoseph8888 Жыл бұрын

    Malaya mkubwa ww

Келесі