MANARA AFUNGUA MOYO KUHUSU 'MSAIDIZI' WAKE - "AKINIPENDA, KWANINI NIMKATALIE"
Septemba 21, 2022 mitandao ya kijamii ililipuka baada ya Haji Manara kumtangaza msaidi wake na kupitia kipindi cha Lavidavi, Manara amefunguka mengi kuhusu ukaribu wake na msaidizi wake huyo
MANARA AFUNGUA MOYO KUHUSU 'MSAIDIZI' WAKE - "AKINIPENDA, KWANINI NIMKATALIE"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 80
Tuliorudi kuangalia hii video baada ya ndoa ya jana tujuane😂😂
@rahmambonde2389
Жыл бұрын
Tupooo
@hamidayanga8224
Жыл бұрын
@@rahmambonde2389 🤣🤣
😊😊😊❤
Noma sana🤣🤣
One of the things or one thing
Wanaume waongo jamani duuuuuu eti msaidizi wangu duuuuuuu
Miaka 23 kkkkk like seriously 🙄 😒 Manara acha hizo huyo Dada nimkubwa more than 30 years old
@eladiuspeter586
Жыл бұрын
Duh!!Hata kama ni chuki sio hvyo. Mbona anaonekana Mdogo tu
@annajohn2488
Жыл бұрын
Umejuaje umri wake why wabongo mnaumia na umri wa watu
@habibamaguru2722
Жыл бұрын
Shavu limejikata hivyo miaka 23
Huyu jamaa anajua jmn sikutegemea km anabadilika ivo sio yule anayeongeaga kwa sauti kali kwny mpira leo kashuka ivi
I would be a last person to agree with him!
This person he is a player
Huyu muhaya mbwembwe nyiiiingi na kiingereza cha chooni
@zakiamseka9698
Жыл бұрын
Ongea wewe tusikie chako
@jeckajustinianjoyce7998
Жыл бұрын
Acha kutukana makabila ya watu kwa vitu visivyo na maana
Mmh tusubiri baada ya miezi 3 au 5 hv ndo tutajua msaidizi auuuuu🤣🤣🤣🤣maana we mwanangu kibokoooo
@mariasalomemelchiorkaigaru1974
Жыл бұрын
keshaoa ulimpa muda mrefu sana
@christinamsuya5492
Жыл бұрын
@@mariasalomemelchiorkaigaru1974 hahahaha kwa kwel leo yametimia
@atamotivetv8104
Жыл бұрын
Ulisema leo yametokea🤣🤣🤣
Mm kumbe nawewe ulimletamzungu
Hata wema sepetu tukae kwakutulia huyu Bora umpe pesa itafika kuliko kumuweka karibu na unashindana naulipo toka unaakili ww🤣🤣🤣🤣
Haikuwa zambi uyu mzee bhana we unakaa na mtu ambaye unaweza kumuowa ukaribu kama ule alafu una mke anayumba kiimani uyu mzee alafu ana miaka 40 bado anataka ujana ivi mwanawe atajifunza nn au ndio maisha ya kizungu
@johnkiimbila6799
Жыл бұрын
Miaka 40 sio mzee , huyo bado.
@saadmbaraqa5272
Жыл бұрын
@@johnkiimbila6799 kwa cici waislam ujana hayupo tena ukifika arubain unatakiwa uwachane na mambo ya ujana kabisa kwa mtu mwenye kujielewa kakini urudi kwa mungu
@husna34562
Жыл бұрын
@@saadmbaraqa5272 45
Diva na miwani yake kama wale wazee wa kuchinja nyani
Kwanini nyinyi watangazaji hamuongei kiswahili lazima mtiye luga si yakwenu huoni urimbukeni kuwa unajuwa kizungu ni ushamba wewe si mzungu
Hiyo why not kama mm ndo nimeisema kwa diva vileeee😊😊
@hamidayanga8224
Жыл бұрын
Yamekuaaa😂
@kefamkv3743
Жыл бұрын
@@hamidayanga8224 ndo mana nilisema hile why not haikuwa bure 😁😁
@hamidayanga8224
Жыл бұрын
@@kefamkv3743 😂
Haji Kama haji unimalizag KBS
@salomewandya7257
Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
Haji muongo jamanii mchepuko eti watoto yeye mh mchepuko niwale wazee ambao wakezao halafu na mwengine pembeni (mchepuko ) uyo jamani
Uko mongo ule anazidi 23, iko mu ma 30 mpaka ata 36, naanamzidi ata zuchu ukubwa,ata dira yake inaonekana tu kama mkubwa,amekoma na sura
Mke wa pili atajua hajui🤣🤣🤣🤣 Alifurahia mwazo.sasa zamu yke.
@rosejerry3294
Жыл бұрын
Umeona
Hii interview ingekuwa poa kama huyo personal assistant angekuwepo hapo ili naye apigwe maswali ..mbivu na mbichi zingejulikana
Jamaa kumbe anaringa
sasa aina mbili au aina tatu, uzuzu ni shida
Nimchepuko😂😂😂
Manara wacha uongo huna miaka 40 tumesoma wote tena darasa moja shule ya mnazi moja. Wewe ulikua darasa moja na mimi na ndugu yako hamida huna miaka 40 wewe miaka yako 48 wacha kusema uongo looh umekua jiwe wewe hukuwi 😅
@ramadhanabas4455
Жыл бұрын
Hata yeye hakusema ana miaka 40 kamili, kasema ana miaka 40 plus.
NA WEWE MASWALI GANI HAYO?
😳😳💰💰💰 tuzipongeze, without 💰 zeruzeru ni kichefuchefu.
Angejijua alivyo
Manara ni m1 tu bongo
@allymtungunyu2425
Жыл бұрын
Kwanini songea nguruwe anaitwa manara?
@avitusmichael5
Жыл бұрын
@@allymtungunyu2425 muulize mamako uliyemtomba msenge ww
Unapendwa ww zinapendwa pesa acha ujinga
very boring interview and interviewer. Why focus on the assistant? isn't that invasion of privacy?
🤣🤣🤣
Mchipuko kwa kweli kumbe kweli
Manara kaongea kwa upole xn kisa babra kupaa kimataifa
Kwendraaaaaa muhuni tuu wewe hujiheshimu. Personal assistant too young what she knows in terms of experiance
@lastsimbatv1497
Жыл бұрын
Always young are so experience than old trust me haji was right
😆😆😆😆
yuda asistensi kwenye nini
Diva iyo miwani na ilo wigi 😄😄😄😄
Wee Bwana una offisi gani na wp wakati unatumwa Tu na Gsm
@sultanisaidi9701
Жыл бұрын
iv hujui kma manara ana kampuni zake binafsi duh pole
@avitusmichael5
Жыл бұрын
@@sultanisaidi9701 achana nae fala huyo hajui chochote
@masakamgalla9273
Жыл бұрын
Unaumwa aisee
Wanawake njaaa ivi uyu haji unalala nae vp
@missclementsemizigimisscle7458
Жыл бұрын
Kwanini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@happynjukiz6495
Жыл бұрын
Kwani wewe unanini cha kujifanya umbague Haji Manara
@rizikiabdalla2501
Жыл бұрын
Eeeeee acha kukufuruuuu haman na yy ni kiumbe cha mungu usikufuruuuuu
Kudadeki nabadilisha dini nikale bikra 70 kudadeki
@alexandrucarmen3185
Жыл бұрын
Pole yako ndugu siku hizi hakuna bikra walienda na vita ya eid amin dada🤣🤣🤣🤣
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
@@alexandrucarmen3185 tena hakuna kabisaaaa
@lastsimbatv1497
Жыл бұрын
So cryz boy
@omaryhajji1393
Жыл бұрын
@@alexandrucarmen3185 me mwenyewe nashangaa sijui walio na bikrah huwa wanaenda wap???
Zungu Pori katika ubora wake
Malaya mkubwa ww