MANABI WA UOGO BY NDACHA (KASARANI DAY 5)
WARNING OF LAST DAYS, ni channel ya kujulisha watu ukweli na kitabu cha mwenyezi mungu,nakutagaza ujumbe wa malaika wa tatu(ufunuo 14:6-5)_lego letu nikutetea Neno la MUNGU yaani bibilia , ili tuweke wazi Imani ya kweli,pia kuwajulisha kabila zote na jamaa na dunia zima ujumbe wa malaika wa tatu yaani ujumbe wa mwisho
Пікірлер: 31
Mwenye kusikia na asikie, maana neno ndio taa ya njia yangu wala sio manabii. Eee Yesu Kristo nitongoze katika Imani na sio kuona kwa macho yapendayo miujiza. 😢
Ndacha huko sahihi
I repent for being look warm Christian. May God forgive me. I cried ooh Lord forgive me. I repent for being a sleeping Christian.
Ndacha yuko sahihi anafata biblia inavyosema
Mungu akubariki Mtumishi
Amen sana watumishi
Barikiwa myumishi welcome to lolgorian
Barikiweni sana watumishi wa mungu kwa mafundisho ya uzima nawapenda sana 🥰🥰🥰🙏🙏
Asante sana Ndacha na karibu hapa olkalou
24:11 matayo 24:24 7:15 matayo 14:14 yeremia 8:20 isaya 13:17 waebrania 18:20 kumbukumbu latorati 😂😂😂😂😂😂😂
Amen sana
Be blessed to all
Jinga Sana Wewe hujitambui
@tutukagara9452
4 ай бұрын
Can you preach what you want to listen, 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@JamesMoses-jd1yq
Ай бұрын
Una laana
Okoka,kuhubiri bila wokovu hupitani na wanaokmbea wafu. 2kor 6:2,Yoh 4:20-24, Gal3':15-23-24-29,Rum 8:1-9. Hapo hapo ni nabii wa uongo wewe,1kor 12:1-3. Amen
Wewe kafiri hauna lolote hata haujui mama yako
@warningoflastdays254
5 ай бұрын
MUNGU hakusamehe
@user-rq6wb8eo2g
4 ай бұрын
Mungu akusamehe
@simionkimani7669
3 ай бұрын
Utafrahia siku utajua ukweli. Wewe umepotea
Duuuhh wewe kazi yako ni kushambulia makanisa tu. Unataka wakristo wote wawe wasabato?, aaah maajabu kwelikweli.
@felixmuasya6601
Ай бұрын
kanisa la Mungu ni moja.... imani moja.... roho moja... kristo mmoja na Mungu mmoja. 😊
@felixmuasya6601
Ай бұрын
according to you makanisa magapi yatakuwa mbinguni.
@felixmuasya6601
Ай бұрын
adi mbingu mmpya kutakuwa na sabato.
Hellen g white ndio Mungu wenu we mnafiki acha kudharau wachristo wenzio yesu anafaa ahubiriwe siku yeyote usabato ulishatoweka
@jaysonnyabicha1266
4 ай бұрын
Hebu nifundishe mahali usabato Ulienda
@samkabayiza6212
4 ай бұрын
Toa mandiko kbla ya kutukana eti Ellen G White ni Mungu wetu? Sapin Pastor kamusema huo G White?
@vincentkemei2522
4 ай бұрын
Ole wako ndugu, soma biblia uwelewe
@FrankKarithi
3 ай бұрын
Repent, repent
@felixmuasya6601
Ай бұрын
toa quote sabato ilitoweka....