MANABI WA UOGO BY NDACHA (KASARANI DAY 5)

WARNING OF LAST DAYS, ni channel ya kujulisha watu ukweli na kitabu cha mwenyezi mungu,nakutagaza ujumbe wa malaika wa tatu(ufunuo 14:6-5)_lego letu nikutetea Neno la MUNGU yaani bibilia , ili tuweke wazi Imani ya kweli,pia kuwajulisha kabila zote na jamaa na dunia zima ujumbe wa malaika wa tatu yaani ujumbe wa mwisho

Пікірлер: 31

  • @gekongachacha
    @gekongachacha20 күн бұрын

    Mwenye kusikia na asikie, maana neno ndio taa ya njia yangu wala sio manabii. Eee Yesu Kristo nitongoze katika Imani na sio kuona kwa macho yapendayo miujiza. 😢

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yqАй бұрын

    Ndacha huko sahihi

  • @cyrusmutsami1195
    @cyrusmutsami11954 ай бұрын

    I repent for being look warm Christian. May God forgive me. I cried ooh Lord forgive me. I repent for being a sleeping Christian.

  • @user-to8on2pj9x
    @user-to8on2pj9x17 күн бұрын

    Ndacha yuko sahihi anafata biblia inavyosema

  • @simionkimani7669
    @simionkimani76693 ай бұрын

    Mungu akubariki Mtumishi

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro65335 ай бұрын

    Amen sana watumishi

  • @user-xr5iw8wr6o
    @user-xr5iw8wr6o4 ай бұрын

    Barikiwa myumishi welcome to lolgorian

  • @furahag3098
    @furahag30985 ай бұрын

    Barikiweni sana watumishi wa mungu kwa mafundisho ya uzima nawapenda sana 🥰🥰🥰🙏🙏

  • @johnkimani-vm8vn
    @johnkimani-vm8vn4 ай бұрын

    Asante sana Ndacha na karibu hapa olkalou

  • @chancekambale3498
    @chancekambale3498Ай бұрын

    24:11 matayo 24:24 7:15 matayo 14:14 yeremia 8:20 isaya 13:17 waebrania 18:20 kumbukumbu latorati 😂😂😂😂😂😂😂

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro65335 ай бұрын

    Amen sana

  • @user-rq6wb8eo2g
    @user-rq6wb8eo2g4 ай бұрын

    Be blessed to all

  • @johnwoshi3459
    @johnwoshi34594 ай бұрын

    Jinga Sana Wewe hujitambui

  • @tutukagara9452

    @tutukagara9452

    4 ай бұрын

    Can you preach what you want to listen, 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @JamesMoses-jd1yq

    @JamesMoses-jd1yq

    Ай бұрын

    Una laana

  • @user-os3tg5bo6v
    @user-os3tg5bo6v4 ай бұрын

    Okoka,kuhubiri bila wokovu hupitani na wanaokmbea wafu. 2kor 6:2,Yoh 4:20-24, Gal3':15-23-24-29,Rum 8:1-9. Hapo hapo ni nabii wa uongo wewe,1kor 12:1-3. Amen

  • @hassanadam3007
    @hassanadam30075 ай бұрын

    Wewe kafiri hauna lolote hata haujui mama yako

  • @warningoflastdays254

    @warningoflastdays254

    5 ай бұрын

    MUNGU hakusamehe

  • @user-rq6wb8eo2g

    @user-rq6wb8eo2g

    4 ай бұрын

    Mungu akusamehe

  • @simionkimani7669

    @simionkimani7669

    3 ай бұрын

    Utafrahia siku utajua ukweli. Wewe umepotea

  • @SamsonHumbe
    @SamsonHumbe2 ай бұрын

    Duuuhh wewe kazi yako ni kushambulia makanisa tu. Unataka wakristo wote wawe wasabato?, aaah maajabu kwelikweli.

  • @felixmuasya6601

    @felixmuasya6601

    Ай бұрын

    kanisa la Mungu ni moja.... imani moja.... roho moja... kristo mmoja na Mungu mmoja. 😊

  • @felixmuasya6601

    @felixmuasya6601

    Ай бұрын

    according to you makanisa magapi yatakuwa mbinguni.

  • @felixmuasya6601

    @felixmuasya6601

    Ай бұрын

    adi mbingu mmpya kutakuwa na sabato.

  • @johnwoshi3459
    @johnwoshi34594 ай бұрын

    Hellen g white ndio Mungu wenu we mnafiki acha kudharau wachristo wenzio yesu anafaa ahubiriwe siku yeyote usabato ulishatoweka

  • @jaysonnyabicha1266

    @jaysonnyabicha1266

    4 ай бұрын

    Hebu nifundishe mahali usabato Ulienda

  • @samkabayiza6212

    @samkabayiza6212

    4 ай бұрын

    Toa mandiko kbla ya kutukana eti Ellen G White ni Mungu wetu? Sapin Pastor kamusema huo G White?

  • @vincentkemei2522

    @vincentkemei2522

    4 ай бұрын

    Ole wako ndugu, soma biblia uwelewe

  • @FrankKarithi

    @FrankKarithi

    3 ай бұрын

    Repent, repent

  • @felixmuasya6601

    @felixmuasya6601

    Ай бұрын

    toa quote sabato ilitoweka....

Келесі