MAMLAKA NA KAZI ZA NABII KWA NJIA YA MATAMKO NA VITENDO - GeorDavie TV

SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa

Пікірлер: 84

  • @marympemba6378
    @marympemba63782 жыл бұрын

    No matter what, I will keep my focus in Jesus Christ . Amen 🙏🙏🔥🔥🔥💕

  • @mwalongojulius1755
    @mwalongojulius17552 жыл бұрын

    Man of GOD nakuelewa sana japo ss wapentecost tunapotoshwa juu ya huduma ya kinabii na utume ndiyo maana tumerudi kuwa dini kama zile za kale ilove you prophet

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 Жыл бұрын

    Wewe ni nabii wa Mungu. Manabii wengine wamefanya karama zao kuwa dill la kujipatia pesa kwa watu bila huruma. Mungu akupe maisha marefu baba yangu nabii mkuu azidi kukupa mafunuo makubwa namaono makubwa zaidi.Ameen.

  • @anascholasticandagiwe6977
    @anascholasticandagiwe6977 Жыл бұрын

    Baba nabii nakuelewa sana kwenye neno na unabii napokea amani ya moyo,Mungu akutunze nambii usie zurura unatulia madhabahuni kwa muda pamoja na kwamba tunakuhitaji uje na kwetu

  • @user-hp3vp4yz6g
    @user-hp3vp4yz6g11 ай бұрын

    Tunaruhusiwa ku mwamini Mungu pekeeyake na sio binadamu, na upako unatoka kwa Mungu

  • @josephitangishaka960
    @josephitangishaka96011 ай бұрын

    Powerful Song and message

  • @shekinahrevivalinternation6614
    @shekinahrevivalinternation6614 Жыл бұрын

    Naamini unabii wako na wewe ni baba yangu kuanzia Sasa najiungamanisha na wewe nabii wa Mungu

  • @geraddavid7123
    @geraddavid7123 Жыл бұрын

    namini nitafanikiwa kwa damu ya yesu

  • @mbabaziviviane3084
    @mbabaziviviane30842 жыл бұрын

    Nimependa sana unavyohubiri Baba Niko Kigari

  • @prophetjohnmasso186
    @prophetjohnmasso186 Жыл бұрын

    Amen amen haya sasa ndiyo mafundisho ya kinabii haswa

  • @Pgm170
    @Pgm1702 жыл бұрын

    Ninabarikiwa sana na Baba, kwa mafundisho ya viwango wa juu kinabii.

  • @yothamtango9363
    @yothamtango9363 Жыл бұрын

    Amen amen napokea baraka baba

  • @princeyabili789
    @princeyabili7892 жыл бұрын

    Amen 🙏 amen 🙏 amen 🙏

  • @SamweliEzekiel-ks7sl
    @SamweliEzekiel-ks7sl Жыл бұрын

    Amina baba yangu wakiroho

  • @patricksylvester1928
    @patricksylvester1928 Жыл бұрын

    Nabii anapoitwa na Mungu, kazi yake kubwa ni kufungua watu. Nabii ameitiwa lile kusudi la kufunguka kwa jina la Yesu. Nyakati 2:20:20

  • @jelimoirene1662
    @jelimoirene1662 Жыл бұрын

    Amen 🙏🙏🙏🙏 baba

  • @paulinemwikali5077
    @paulinemwikali50772 жыл бұрын

    Amen mtumishi

  • @pastorsaraphina1232
    @pastorsaraphina12322 жыл бұрын

    Amina kubwaa mtumishi 🙏

  • @emmaculateadhiambo7011
    @emmaculateadhiambo70112 жыл бұрын

    Amen amen

  • @mchisraelimbarikiwanassari7579
    @mchisraelimbarikiwanassari7579 Жыл бұрын

    Barikiwa babayetu tunabarikiwa

  • @judidhkefance8806
    @judidhkefance88062 жыл бұрын

    Nimebalikiwa na kazi ya huduma yako mungu alikuleta kwa kusudi la kutuokoa lkn umekuwa na moyo wa pekee sana wa kusaidia watu mungu wa mbinguni akupe miaka mingi ya kuishi hapa duniani ili tuendelee kuiona huduma yako ikiokoa watu ambawo hawamjui mungu nimetamani ningekuwa naishi dar ningependa kusali sehem hiyo kwani inamafundisho mazuli na yenye kujenga natokea mkoa wa songwe wilaya ya momba tunduma mpakani mwa Zambia mungu tunaomba endelea kuwalinda manabii km Hawa waendelee kuishi milele daima ameniiiiiii

  • @ndayizigabienvenue137
    @ndayizigabienvenue137 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana baba

  • @paulinemwikali5077
    @paulinemwikali50772 жыл бұрын

    Ameeeeeeen

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 Жыл бұрын

    Aminaaaa sanaaa

  • @paulinemwikali5077
    @paulinemwikali50772 жыл бұрын

    Amen

  • @lissajosey1089
    @lissajosey10892 жыл бұрын

    Amen baba angu nitakaza kumtafuta Mungu,,,,I love you

  • @yawepetro2049
    @yawepetro20492 жыл бұрын

    Mungu nibaba yetu mungu natujali Amina.

  • @hesbonnyandika2198
    @hesbonnyandika21982 жыл бұрын

    NICE DAY UKO WAPI JUU MM NIKO KENYA

  • @asiri-romy-simba3671
    @asiri-romy-simba36712 жыл бұрын

    Na akikujalia milion10 siutakanyaga kila mtu🙏

  • @yasintamsuya5510
    @yasintamsuya55102 жыл бұрын

    Amen baba

  • @saldakltl7611
    @saldakltl76112 жыл бұрын

    Amen Amen

  • @timotheomahala373
    @timotheomahala3732 жыл бұрын

    Mungu akubariki Sana Niko mwanza kisesa mwandulu

  • @levinahmuspeka3227
    @levinahmuspeka32272 жыл бұрын

    Amen Amen ahsante baba kwa mfundisho mazuri ya kuongesa imani yangu iwe dhabidi.

  • @valettenzale452
    @valettenzale4522 жыл бұрын

    Thank you Jesus

  • @paulinemwikali5077
    @paulinemwikali50772 жыл бұрын

    Yeeeeeeeeeees

  • @paulinemwikali5077
    @paulinemwikali50772 жыл бұрын

    Hallelujahhhhhhhhh

  • @korintopaluku4713
    @korintopaluku4713 Жыл бұрын

    Naomba nguvu zaidi baba toka hapa rdc

  • @millicentochieng5740
    @millicentochieng57402 жыл бұрын

    Wachawi wanateza kweli but they are defeated in name of Jesus.

  • @fabiolamassawe6528
    @fabiolamassawe65282 жыл бұрын

    Hii ndo nguvu ya Mungu iliyo kuu sana ,

  • @zainayolamu6486
    @zainayolamu64862 жыл бұрын

    Asante nabii

  • @paulinemwikali5077
    @paulinemwikali50772 жыл бұрын

    Hallelujah

  • @leahmerilainen1955
    @leahmerilainen19552 жыл бұрын

    Nakuamini nakupenda wewe ni Baba yangu kiroho

  • @leahmerilainen1955

    @leahmerilainen1955

    2 жыл бұрын

    🙏🙏🙏Amina nafanikiwa kwa kulifutili neno lako kwa you tule Mungu akupa maissa marefu

  • @paulinemwikali5077
    @paulinemwikali50772 жыл бұрын

    Amen 💖💖💞💞

  • @paulekwamekwam3860
    @paulekwamekwam38602 жыл бұрын

    Voice of god 🔥🔥🔥🔥

  • @hesbonnyandika2198

    @hesbonnyandika2198

    2 жыл бұрын

    Number

  • @jeannekatembe6396
    @jeannekatembe63962 жыл бұрын

    Napenda mawasiliyano na wewe man of God niko USA baba

  • @janetkaingu7038
    @janetkaingu70382 жыл бұрын

    Eeemen,naamini kwa matamko

  • @princeraphael4356
    @princeraphael43562 жыл бұрын

    ❤️❤️

  • @yasintamsuya5510
    @yasintamsuya55102 жыл бұрын

    Kweli kabisa baba

  • @jenniferandmwakikono4960
    @jenniferandmwakikono4960 Жыл бұрын

    Shalom baba naomba unifungue Mimi na kampuni yangu Kuna wateja 2 wanahitaji kununua vitalu vyangu ila imekuwa mwezi Sasa bado hawajapata pesa zao.hivyo naomba wafunguliwe na waweze kufanya biashara nami

  • @zawadimkangala1268
    @zawadimkangala12682 жыл бұрын

    Nisaidie nabii niko mwanza natamni nionane na ww

  • @paulinemwikali5077
    @paulinemwikali50772 жыл бұрын

    Kweli

  • @hesbonnyandika2198
    @hesbonnyandika21982 жыл бұрын

    Niko sawa

  • @mbabaziviviane3084

    @mbabaziviviane3084

    2 жыл бұрын

    Na namuomba Mugu aniwezeshe nifike huko uniombee

  • @rojasaidi8113
    @rojasaidi81132 жыл бұрын

    Nimepokea

  • @zawadimkangala1268
    @zawadimkangala12682 жыл бұрын

    Shalom mwana wa mungu nabii..mim nmekuwa nikisumbuliwa na maradhi muda mrefu mwili wangu wote unauma nmezunguka kwingi cjapata tiba at kazi zangu nying zimekufa naitaji neno lako la uponyaji ili nipate uponyaji kwani nateseka sana nitakupataje ww ili nije uko Arusha

  • @patricksylvester1928
    @patricksylvester1928 Жыл бұрын

    Nabii Elijah alifanya kazi kwa matamko na vitendo kwa mfano mvua isinyeshe na haikunyesha, mvua inyeshe na inyeshe.

  • @saldakltl7611
    @saldakltl76112 жыл бұрын

    🙏🙏🙏❤❤❤❤👏👏

  • @paulinemwikali5077
    @paulinemwikali50772 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 Жыл бұрын

    Yaani nabarikiwa utafikiri nipo hapo hemani

  • @maryminja2013
    @maryminja2013 Жыл бұрын

    nimejiungamanisha na ibadai kilavifungo vyagiza vitekete nakila kituchangu kilichoibiwa kirudishwe

  • @sulleyjacksonjoseph3917
    @sulleyjacksonjoseph39172 жыл бұрын

    Natamani siku moja nifike

  • @leahmerilainen1955
    @leahmerilainen19552 жыл бұрын

    😀😀😀🙏🙏🙏

  • @aureliapaschal7172
    @aureliapaschal71722 жыл бұрын

    Mtumixhi wa mungu ubarikiwe Sana unapatikana wapi?

  • @mwalongojulius1755

    @mwalongojulius1755

    2 жыл бұрын

    Arusha

  • @edithadamiano5611
    @edithadamiano5611 Жыл бұрын

    Nabii unapatikana wapi?

  • @johnpetro9814
    @johnpetro98142 жыл бұрын

    Nabii naweza pata mawasiliano

  • @sanrashkahi3845
    @sanrashkahi38452 жыл бұрын

    Wapi hiyo number ya kutuma sadaka ili kujiunganisha na madhabahu???

  • @paulinemwikali5077
    @paulinemwikali50772 жыл бұрын

    Uuuiuuuu

  • @ndayizigabienvenue137
    @ndayizigabienvenue137 Жыл бұрын

    Nguvu zamungu ziwenawew

  • @user-hp3vp4yz6g
    @user-hp3vp4yz6g11 ай бұрын

    Tuna towa jambo kwa wakristo wote, mimi na zani kwamba kwa akili ambayo Mungu ametuumba nayo na neno lake ambalo ni biblia, linasema aminiaye mwanadamu haalaniweee, sasa anaambia watu wa mwamini yeye ni Mungu au ?

  • @josephitangishaka960
    @josephitangishaka96011 ай бұрын

    Ndio kabisa Mhe Nabii Mkuu GeorDavie

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 Жыл бұрын

    Ameeeeeen

  • @paulinemwikali5077
    @paulinemwikali50772 жыл бұрын

    Amen

  • @jeannekatembe6396
    @jeannekatembe63962 жыл бұрын

    Amen amen napokea baraka baba

  • @maryminja2013
    @maryminja2013 Жыл бұрын

    kwamaombi jini anaenisumbua atoke naasiruditena na nikainuke kiuchuni

  • @paulinemwikali5077
    @paulinemwikali50772 жыл бұрын

    Amen

  • @mushagalusakulimushiprince6878
    @mushagalusakulimushiprince68782 жыл бұрын

    Amen

  • @timotheomahala373
    @timotheomahala3732 жыл бұрын

    Amen

  • @paulinemwikali5077
    @paulinemwikali50772 жыл бұрын

    Amen

  • @felisteralias4405

    @felisteralias4405

    Жыл бұрын

    asante sana baba tumepata neema

  • @felisteralias4405

    @felisteralias4405

    Жыл бұрын

    amina