MAMLAKA NA KAZI ZA NABII KWA NJIA YA MATAMKO NA VITENDO - GeorDavie TV
SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Пікірлер: 84
No matter what, I will keep my focus in Jesus Christ . Amen 🙏🙏🔥🔥🔥💕
Man of GOD nakuelewa sana japo ss wapentecost tunapotoshwa juu ya huduma ya kinabii na utume ndiyo maana tumerudi kuwa dini kama zile za kale ilove you prophet
Wewe ni nabii wa Mungu. Manabii wengine wamefanya karama zao kuwa dill la kujipatia pesa kwa watu bila huruma. Mungu akupe maisha marefu baba yangu nabii mkuu azidi kukupa mafunuo makubwa namaono makubwa zaidi.Ameen.
Baba nabii nakuelewa sana kwenye neno na unabii napokea amani ya moyo,Mungu akutunze nambii usie zurura unatulia madhabahuni kwa muda pamoja na kwamba tunakuhitaji uje na kwetu
Tunaruhusiwa ku mwamini Mungu pekeeyake na sio binadamu, na upako unatoka kwa Mungu
Powerful Song and message
Naamini unabii wako na wewe ni baba yangu kuanzia Sasa najiungamanisha na wewe nabii wa Mungu
namini nitafanikiwa kwa damu ya yesu
Nimependa sana unavyohubiri Baba Niko Kigari
Amen amen haya sasa ndiyo mafundisho ya kinabii haswa
Ninabarikiwa sana na Baba, kwa mafundisho ya viwango wa juu kinabii.
Amen amen napokea baraka baba
Amen 🙏 amen 🙏 amen 🙏
Amina baba yangu wakiroho
Nabii anapoitwa na Mungu, kazi yake kubwa ni kufungua watu. Nabii ameitiwa lile kusudi la kufunguka kwa jina la Yesu. Nyakati 2:20:20
Amen 🙏🙏🙏🙏 baba
Amen mtumishi
Amina kubwaa mtumishi 🙏
Amen amen
Barikiwa babayetu tunabarikiwa
Nimebalikiwa na kazi ya huduma yako mungu alikuleta kwa kusudi la kutuokoa lkn umekuwa na moyo wa pekee sana wa kusaidia watu mungu wa mbinguni akupe miaka mingi ya kuishi hapa duniani ili tuendelee kuiona huduma yako ikiokoa watu ambawo hawamjui mungu nimetamani ningekuwa naishi dar ningependa kusali sehem hiyo kwani inamafundisho mazuli na yenye kujenga natokea mkoa wa songwe wilaya ya momba tunduma mpakani mwa Zambia mungu tunaomba endelea kuwalinda manabii km Hawa waendelee kuishi milele daima ameniiiiiii
Ubarikiwe sana baba
Ameeeeeeen
Aminaaaa sanaaa
Amen
Amen baba angu nitakaza kumtafuta Mungu,,,,I love you
Mungu nibaba yetu mungu natujali Amina.
NICE DAY UKO WAPI JUU MM NIKO KENYA
Na akikujalia milion10 siutakanyaga kila mtu🙏
Amen baba
Amen Amen
Mungu akubariki Sana Niko mwanza kisesa mwandulu
Amen Amen ahsante baba kwa mfundisho mazuri ya kuongesa imani yangu iwe dhabidi.
Thank you Jesus
Yeeeeeeeeeees
Hallelujahhhhhhhhh
Naomba nguvu zaidi baba toka hapa rdc
Wachawi wanateza kweli but they are defeated in name of Jesus.
Hii ndo nguvu ya Mungu iliyo kuu sana ,
Asante nabii
Hallelujah
Nakuamini nakupenda wewe ni Baba yangu kiroho
@leahmerilainen1955
2 жыл бұрын
🙏🙏🙏Amina nafanikiwa kwa kulifutili neno lako kwa you tule Mungu akupa maissa marefu
Amen 💖💖💞💞
Voice of god 🔥🔥🔥🔥
@hesbonnyandika2198
2 жыл бұрын
Number
Napenda mawasiliyano na wewe man of God niko USA baba
Eeemen,naamini kwa matamko
❤️❤️
Kweli kabisa baba
Shalom baba naomba unifungue Mimi na kampuni yangu Kuna wateja 2 wanahitaji kununua vitalu vyangu ila imekuwa mwezi Sasa bado hawajapata pesa zao.hivyo naomba wafunguliwe na waweze kufanya biashara nami
Nisaidie nabii niko mwanza natamni nionane na ww
Kweli
Niko sawa
@mbabaziviviane3084
2 жыл бұрын
Na namuomba Mugu aniwezeshe nifike huko uniombee
Nimepokea
Shalom mwana wa mungu nabii..mim nmekuwa nikisumbuliwa na maradhi muda mrefu mwili wangu wote unauma nmezunguka kwingi cjapata tiba at kazi zangu nying zimekufa naitaji neno lako la uponyaji ili nipate uponyaji kwani nateseka sana nitakupataje ww ili nije uko Arusha
Nabii Elijah alifanya kazi kwa matamko na vitendo kwa mfano mvua isinyeshe na haikunyesha, mvua inyeshe na inyeshe.
🙏🙏🙏❤❤❤❤👏👏
Kweli kabisa
Yaani nabarikiwa utafikiri nipo hapo hemani
nimejiungamanisha na ibadai kilavifungo vyagiza vitekete nakila kituchangu kilichoibiwa kirudishwe
Natamani siku moja nifike
😀😀😀🙏🙏🙏
Mtumixhi wa mungu ubarikiwe Sana unapatikana wapi?
@mwalongojulius1755
2 жыл бұрын
Arusha
Nabii unapatikana wapi?
Nabii naweza pata mawasiliano
Wapi hiyo number ya kutuma sadaka ili kujiunganisha na madhabahu???
Uuuiuuuu
Nguvu zamungu ziwenawew
Tuna towa jambo kwa wakristo wote, mimi na zani kwamba kwa akili ambayo Mungu ametuumba nayo na neno lake ambalo ni biblia, linasema aminiaye mwanadamu haalaniweee, sasa anaambia watu wa mwamini yeye ni Mungu au ?
Ndio kabisa Mhe Nabii Mkuu GeorDavie
Ameeeeeen
Amen
Amen amen napokea baraka baba
kwamaombi jini anaenisumbua atoke naasiruditena na nikainuke kiuchuni
Amen
Amen
Amen
Amen
@felisteralias4405
Жыл бұрын
asante sana baba tumepata neema
@felisteralias4405
Жыл бұрын
amina