Келесі
- 16:38
- 242 М.
- 16:25
- 127 М.
- 00:54
- 16 МЛН
- 13 күн бұрын
- 00:18
- 23 МЛН
- 24 күн бұрын
- 00:14
- 7 МЛН
- 7 күн бұрын
- 00:10
- 5 МЛН
- 6 күн бұрын
- 13:29
- 933 М.
- 8:00
- 10 М.
- 11:47
- 1,1 МЛН
- 20:04
- 2,4 МЛН
- 8:11
- 2,3 МЛН
- 1:18:38
- 20 М.
- 17:20
- 102 М.
- 00:54
- 16 МЛН
- 13 күн бұрын
Пікірлер: 68
Samahani kuna tatizo limetokea kidogo sema sasa tumelitatua ep ijayo itaruka baada ya siku 3 Asante team Judy mtusaheme😂
@Olebee
9 ай бұрын
hilo limeisha mkubwa🔥🔥👊
@NajlaaAlly-zm6uc
9 ай бұрын
Hiyo imeenda😂😂
@user-xk4rb5lu7u
9 ай бұрын
Aaaaah navenye nimesubiri qwa masaa hadi nikapitiliza JAMANI naiona usiku sasa Ila nawapenda sana Judy wewe❤❤❤❤
Judith apo umeweza mamaa congratulations
Sitakagi kukoment ila leo nacomment kwa sababu ya huyu happy amepooza mnoo anaharibu movie inakua yakishambaaa aaàh tangu mwanzon nikajua atabadilika lakn wp😢😢😢😢😢😢
Japo wamwisho jamani from 🇴🇲 naombeni like zangu
Wakwanz jmn munipe izoo laik zangu muvii nzur tuendeelee kuiyon
@Olebee
9 ай бұрын
👊🔥
Huyo happy hajuwi ata kidgo anaongea Kama hana meno jaman
@melvadola2303
8 ай бұрын
Hana ata confidence mbwembwe nying ata ameahindwa na judy😅😅
@jemestumainichangawa386
Ай бұрын
Anatoa movie utamu
Hongera baba Judith
Duuuuuh Judy ushakuwa mfanyikaz sasa sio mwenye nyumba tena😂😂😂
Kazi ft san nawapend from kenya
Judi kapatukana
Happy jamn ulisemea wap kuringa dadaaa
Hii muvi imebebwa sana na mtoto
@RahimShaban-lz7cb
9 ай бұрын
Yah muvi mbovu mtoto yente
Hapy ujui kabsa kuigiza
Uyu happy anaharbu hii movie labsa kuongea n kama analazimishwa na kuringisha macho ata kwa mtoto arekebishe movie anaiboesha....
Duu huy mtyotyo au mbn ana maamuz hivy
Huyu happy hajui kuigiza kbs
@Zuhairakhatib
9 ай бұрын
Kweli kabisa
Jamn nzur san❤
Mmesameheka daima mbere nyuma mwiko
Mtoto kiboko yao😂😂😂 twendenalo nko hapa Kenya 🇰🇪 mie
Nijikute kambo wangu alijua rangi zangu siku moja alipogusa dadangu pasipo kosa aweee
Happy han kaziii hap
Hyu happy hta hajui kuigiza kama mama wakambo juu ,heri hyu mtoto angechukua part ya happy
Kajama Judi kwenye hii move amezidi kunikelaa et
Huyu mtt yuko vizur kweli
So fantastic one
😂😂😂😂😂😂Judy ananivunja mbavuu mm jaman 😂😂😂yani kama wakeweza vile
Ujarogwa Judy
Wakwanza mm hapa nipeni likes zangu😂😂😂
Tuliisubiri kwa hamu kweli 😊 aya tunaisubiri ya tano
Kazi zuri sana
Mateso yashaanza ss kwa judi
Movie zenu ziko sawa
Wa pili leo nipeni like zangu jamani
Happy hajuh na hajuh tenaaa😢😢
Muongozaji anazinguwa mbn mapicha picha😅
Masha Allah 🎉🎉
Kwi
❤❤❤❤
Kazi nzur
Happy ndo ajuwi kabisa
Judy
👌👌👌👌👌🏾👌🏾👌🏾👌🏾👌🏾👌🏾👌👌👌👌👌👌👌👌👌🏾
Judith lakini 😂😂😂😂😂😂
Jaman naomba part 5 ishushwr leo
Hii movie sio mzuri hakuna mtoto atakaefanya hivi kwenye jamii watu wakamiangalia t hyu mtoto Hana anachokijuwa
@Olebee
9 ай бұрын
We we nembu acha ujinga baada ya kutoa bgup kwa kazi nzuri unaazna kukatisha tamaa achavtabia mabaya au wewe ni mchawi wa kazi za watu kama wewe hufanyiwi hivyo wapo wanao fanyiwa kunguru mweusi wewe
@rqgabalr7937
9 ай бұрын
Mm siwez kubishana na ww ila nikulze ktu ww kma mwaname umejifunza ktu gan kupitia hii movie au KAZI yako ni kuangalia t sio kujifunza
@Olebee
9 ай бұрын
@@rqgabalr7937 nimejifunza vitu vingi kama vile yule mtoto anavyo mnyanyasa mama yake wa kambo kisa anajua siri yake na mama kumnyanya mtoto kisa sio mtoto wake na vingine vingi tu
@salmambeyu5046
9 ай бұрын
Hujalazimishwa kuangalia .....kama kwako sio nzuri tuachie sisi team Judy❤❤
@nurafedrick378
9 ай бұрын
Huyu naye VIP hii move inafunzo nakama huna chakucoment kaa kimyaa tuu
❤❤
😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
Kumbau TV nawaomba mutupe episode ya tano Bilal kuchelewa kwani tunahamu kuona huyo mama wa kambo atafanwa ni na Baba judith
@kumbautv6926
9 ай бұрын
Sawa tuombe Mungu juma 3 asubuh itakuwa hewani 👏👊
Na hakuna mama WA kambo anaekubali kufanyiwa ujinga Kama huu
@Olebee
9 ай бұрын
Nembu nyie wachawi acheni kuwakatisha watu tamaa ukiona huwezi kuandika chochote kinachotia moyo acha usikoment🤕🤒👊
@rqgabalr7937
9 ай бұрын
Ww ndio umjinga Kwa sababu mm nimekoment ukwel msanii ni kioo cha jamii ila hpo tumeangalia utoto t sio kujifunza
@Olebee
9 ай бұрын
@@rqgabalr7937 kama ni ijinga au ni utoto mbona alie sema mabaya ni wewe pekeyako ujioni wewe ni mchawi wa kazi za watu punguzeni uchawi kwa kazi za watu hauna ukweli uliokoment ila wewe ndio umekoment uchawi
@user-ps7wk8fw5n
9 ай бұрын
Tengeneza yako nzuri mchawu
@HabeebAlkiyumi-oz1eo
9 ай бұрын
Kweli