MAKOSA TUYATENDAYO WAKATI WA KUKOGA JOSHO KUBWA / JANABA / HEDHI / NIFAAS

#RiyadhTvZnz #Zanzibar #JifunzeUislamwako

Пікірлер: 336

  • @msafirlaizer2368
    @msafirlaizer23684 жыл бұрын

    Mimi ni Mkristo lakini napenda sanaa mafundisho ya Kiislam. Asante sanaa Sheikh 🙏😍

  • @fisadikiwembe9787

    @fisadikiwembe9787

    4 жыл бұрын

    Karibu uslimu 🙏

  • @zulfahhussein505

    @zulfahhussein505

    4 жыл бұрын

    Wakaribishwa sanaa

  • @hssandogoli8446

    @hssandogoli8446

    4 жыл бұрын

    Karibu ndani ya Uislam

  • @raheemdaru

    @raheemdaru

    4 жыл бұрын

    Njoo katika Kheri

  • @hajramiraji4678

    @hajramiraji4678

    4 жыл бұрын

    Allah akuongoze katika uislam

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf95665 жыл бұрын

    SHUKRAN sana Allah awajalieni kwawote MASHEIKH WETU umri wenye afya njema mzidi kutuelimisha

  • @muhamaddjuma9133
    @muhamaddjuma91334 жыл бұрын

    Namuomba Allaah alietukuka mola wa arshi tukufu amridhie sheikh wetu Khamis gharib na amsamehe yeye na wazazi wake na anufaishe uislam kupitia yeye na waislam wote

  • @dogolipalamba9973

    @dogolipalamba9973

    4 жыл бұрын

    Amin

  • @faudhiaally1386

    @faudhiaally1386

    4 жыл бұрын

    Amyna

  • @jasminjuma6390

    @jasminjuma6390

    3 жыл бұрын

    Amiin

  • @rahimahaji4813
    @rahimahaji48134 жыл бұрын

    Asante shekh kwa mafundisho mazur, maana wengi wetu waislam hatujui haya mambo na wazito kufatilia, Allah azilainishe nyoyo zetu ili tuisome dini yetu

  • @bayaanhumud4328
    @bayaanhumud43284 жыл бұрын

    Maashaallah Msafir raizel Allah akujaalie iman zaid uingie katika dini ya hakki ili ukastarehe katika maisha ya milele aaammmmiiin Yaa rabby

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein26354 жыл бұрын

    Shukran Sheik Hamisi, nimepata ufumuzi sahihi hapo maji wanapo rudi ndani ya ndoo.ALLAH akupe umri🤲🤲🤲🇰🇪

  • @Salama-iv4bl
    @Salama-iv4bl5 жыл бұрын

    Jazakallah'shekh Allah akulinde

  • @kidotikidoti157
    @kidotikidoti1574 жыл бұрын

    Jazakallah kher shekh nimefaham meng wallah🙏

  • @nassramohammed5374
    @nassramohammed53744 жыл бұрын

    Shukrani shekhee🙏

  • @chunaamina8719
    @chunaamina87194 жыл бұрын

    Mashaallah nmejifunza mengi, Allahu abariq

  • @rehematuga9906
    @rehematuga99064 жыл бұрын

    Shukran Shekhe,nmejifunza mambo kadhaa niliyokuwa siyafahamu.Allah akuepushe na Shari Insha Allah

  • @hamisijuma7378
    @hamisijuma73784 жыл бұрын

    Naam asante sana mafundisho safi kabisa

  • @mussaally5423
    @mussaally54234 жыл бұрын

    Shukran Yaa Shekhe Jazakallahu kheir

  • @asiaa6573
    @asiaa6573 Жыл бұрын

    Shukran sheikh wetu kwa kutuelikisha Allah akupe kheri

  • @isihackismail726
    @isihackismail7264 жыл бұрын

    Nimekuelewa vzur Shekh mambo meng watu wanayafanya kuwa magum kumbe ni rahsi tu mungu akujarie shekh

  • @jujuomega1506
    @jujuomega15064 жыл бұрын

    jazaakallahu khair yaa shekh jamiiir jamiir jiddan watuwengi huwawanatembea najanaba zidisha kutoa darsahizi nimuhimu sana wengi hawaendi vyuoni

  • @akidasalim3859
    @akidasalim38594 жыл бұрын

    Alhamdulillahi nimejifunza.Allah akubarik

  • @sakinat2527
    @sakinat25273 жыл бұрын

    Maa shaa Allah shukran sheikh jazakallah khayra

  • @muhammadahmedaliyyu3854
    @muhammadahmedaliyyu38545 жыл бұрын

    Shukran Jazeelan jazak Allah khayri mengi nilikuwa siyafahamu kamwe nime ya fahamu ALHAMDULILLAHI RabilaAlamina 🙏

  • @mbaroukabdalla3967

    @mbaroukabdalla3967

    4 жыл бұрын

    Jaazaaka Allah khyr

  • @user-rw2oo3mk7j

    @user-rw2oo3mk7j

    4 жыл бұрын

    Shukrani jazaka llahu khayran Allah atupe mwisho mwemaa

  • @rashidhusain2958
    @rashidhusain29585 жыл бұрын

    Shuqran jazakkallahu alfu khairrat!

  • @faju4real800
    @faju4real8004 жыл бұрын

    Shukran shekh Alalh akulinde

  • @abutalibomar6182
    @abutalibomar61824 жыл бұрын

    Asante Sana shkh Khamis Kharib... nakukumbuka sana Masjid Sunnah Rahaleo...

  • @omarbokoko624
    @omarbokoko6244 жыл бұрын

    Shukran sheikh jazakallahu kheir

  • @nasranasra7241
    @nasranasra72414 жыл бұрын

    Shukran chehe Allah akupe kila la heri

  • @jafaringogomela1658
    @jafaringogomela16584 жыл бұрын

    JazakaAllah khair

  • @qurankareem582
    @qurankareem5824 жыл бұрын

    shukran, amiiin

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi98463 жыл бұрын

    Shukrani sheikh kwa mafundisho mazuri Allah akulipe kheri

  • @nesmaakhy2778
    @nesmaakhy27784 жыл бұрын

    Mashaallah Allah ibarik 💆

  • @sultansaleh6333
    @sultansaleh63334 жыл бұрын

    Mashallaa hakika shke unatoa elimu mungu akueke malipokwake aminn

  • @athumansingitu2723
    @athumansingitu27235 жыл бұрын

    shukran.

  • @kwastembayetu7649
    @kwastembayetu76494 жыл бұрын

    برك الله فيك

  • @saadaabdullah9981
    @saadaabdullah99814 жыл бұрын

    Mashallah jazakha llah

  • @fatmaa.mohammed6027
    @fatmaa.mohammed60273 жыл бұрын

    Sheikh Allah akupe kheri na barka. Mm mengi nimejuaa nilokua siyajui.

  • @zainabrashid769
    @zainabrashid7694 жыл бұрын

    Mashaallha

  • @othmanshaib9089
    @othmanshaib90894 жыл бұрын

    Ahsante shekh mashaallah

  • @hakikaothman3498
    @hakikaothman34984 жыл бұрын

    mashaAllah

  • @shixeoshxs7276
    @shixeoshxs72763 жыл бұрын

    Shukran shekhe jazaka llahu kheri inshaallah

  • @faidhahury4879
    @faidhahury48794 жыл бұрын

    Shukran

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын

    Waalleykum Salaam Warhamathullah wabarakaatuuh,Aamiin. Shukran Sana Sheikh. Nimejifunza.

  • @HalfaniRashid

    @HalfaniRashid

    4 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @mwanahalimamwachili9679

    @mwanahalimamwachili9679

    4 жыл бұрын

    @@HalfaniRashid Shukran sana.

  • @aliommy6396
    @aliommy63964 жыл бұрын

    MashaAllah, mafundisho mazuri sana

  • @mohammedmbarouk8426
    @mohammedmbarouk84265 жыл бұрын

    Shukraan yaa shekh

  • @hajiissa9200
    @hajiissa92004 жыл бұрын

    Ma sha allah

  • @omanseeb8609
    @omanseeb86095 жыл бұрын

    Shukran shekh kwa dars nzur

  • @fatumashabanfatumawawapimy1157
    @fatumashabanfatumawawapimy11574 жыл бұрын

    Inshallah allahm

  • @chuserkibavu2215
    @chuserkibavu22154 жыл бұрын

    inshallah shekhee

  • @raomy82
    @raomy823 жыл бұрын

    Shukran jazakallh lkheyr🙏

  • @maimunaathman4664
    @maimunaathman46644 жыл бұрын

    Shukran sheikh

  • @jamilaiddy3478
    @jamilaiddy34784 жыл бұрын

    Shukrn shekh

  • @athumanmashanga304
    @athumanmashanga3044 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @hadijaseif329
    @hadijaseif3294 жыл бұрын

    Asante sheikh

  • @rehemambogo2685
    @rehemambogo26854 жыл бұрын

    Maashaallah

  • @zawadsaidy8558
    @zawadsaidy85585 жыл бұрын

    Shukrani shekhe wetu.

  • @mariamaaa4949
    @mariamaaa49494 жыл бұрын

    Shukran saaaana sheh

  • @fatmaismail13
    @fatmaismail134 жыл бұрын

    shukran sana

  • @rashidahmed8071
    @rashidahmed80714 жыл бұрын

    Dini yetu ya kiislam nyepesi shukrani shekh

  • @faridabakari4376
    @faridabakari43764 жыл бұрын

    Shukran Shekhe nifaidika sana kwa darasa lako👏

  • @khadijaally3681
    @khadijaally36814 жыл бұрын

    Shukrani shekhe Leo nimeelewa vizuri sana

  • @hashimsalum338
    @hashimsalum3384 жыл бұрын

    Allah akulipe heri insha allah

  • @halimakoi6262
    @halimakoi62624 жыл бұрын

    Shukran kathir

  • @aishaissa2691
    @aishaissa26912 жыл бұрын

    Naam shukran wajakumullahu kheir

  • @waidaabduly6230
    @waidaabduly62304 жыл бұрын

    Mashallah

  • @aminasaidi773
    @aminasaidi7734 жыл бұрын

    Shukran sana sheikh nimejifunza mengi sana

  • @sabrycdy3214
    @sabrycdy32145 жыл бұрын

    Shukran sana shekh wetu umenipa mwangaza zaid kwa elmu hii inshaallah shukran

  • @halimamvuoni5340

    @halimamvuoni5340

    4 жыл бұрын

    Shukran shekhe kwatujuza mungu akulipe mema yadunia na akhera

  • @mwantumseleman6068

    @mwantumseleman6068

    4 жыл бұрын

    Mashaallah

  • @rilkabuya6519
    @rilkabuya65194 жыл бұрын

    Mashaallah tabarak allah kweli kabisa shekh wangu mungu akupe kila la wema

  • @asiaissa976
    @asiaissa9764 жыл бұрын

    Waalaykumu ssalam warahmatullahi wabarakatuh

  • @fatmamohamed6908
    @fatmamohamed69084 жыл бұрын

    Shukrn Shekhe kwa darsa ,,mashallah Allah akuzidishe inshaa'allah

  • @HalfaniRashid

    @HalfaniRashid

    4 жыл бұрын

    Aaamiin mashaallah

  • @ahmedabry3508
    @ahmedabry35083 жыл бұрын

    Mashallah dini ya uislamu ni dini ya haki raha Sana mafunzo yake

  • @shabaninanyata4824
    @shabaninanyata48244 жыл бұрын

    Allah akujaalie afya sheh uweze kutufundsha masomo Kama aya

  • @hassanally8107

    @hassanally8107

    4 жыл бұрын

    Amin

  • @asiaissa976
    @asiaissa9764 жыл бұрын

    Swallallahu alayhi wasallam

  • @babytii8808
    @babytii88084 жыл бұрын

    Shkran kwa kutujuza Allah akujalie heri

  • @zaynabkalombi1579
    @zaynabkalombi15794 жыл бұрын

    Ma sha lla h shekh

  • @ladyfiretz7149
    @ladyfiretz71494 жыл бұрын

    .mashallah

  • @haidaromar2079
    @haidaromar20794 жыл бұрын

    Shuqran laak mungu akubarik san ustadh

  • @laylatali9203
    @laylatali92034 жыл бұрын

    Ameen

  • @ghaniyajaffar9587
    @ghaniyajaffar95874 жыл бұрын

    shukran, Allah atakulipa kwa kutufundisha.

  • @ashurarugarabamu5214
    @ashurarugarabamu52144 жыл бұрын

    Maashallah, shukran kwa elimu nzr

  • @muhidinmbwana9327
    @muhidinmbwana93274 жыл бұрын

    Allah akulipe

  • @salummkwepu5940
    @salummkwepu59404 жыл бұрын

    Shukrani sheikh kwa mawaidha

  • @kidotikidoti157
    @kidotikidoti1574 жыл бұрын

    👌swadakta shkh hapo ndio nilikuwa nataka kufaham asa kumbe maji yakirud kwenye ndoo ayachafuki🤔wallah miye nilikuwa najuwa ukae mbali asa mana yakirud mule kila kitu cha haribika

  • @mtumwahaji5971

    @mtumwahaji5971

    4 жыл бұрын

    Tusome dini yetu iko waz tusifuate mikumbo

  • @shifaaabdulla6703

    @shifaaabdulla6703

    4 жыл бұрын

    Ata mm nlijua kua yanakua mustaamal yaani yaliotumika

  • @muniruselemani4026

    @muniruselemani4026

    4 жыл бұрын

    Kher shekhe

  • @2mbatutv.698

    @2mbatutv.698

    4 жыл бұрын

    @@shifaaabdulla6703 jaman ndug zang tusome dini tuach Kufatilia Dini kiujanja ujanja. Tafuta kitabu kimeandikwa TWAHARA, AU JANABA. Utaelew kwa nin nakwambien hivy

  • @2mbatutv.698

    @2mbatutv.698

    4 жыл бұрын

    @@shifaaabdulla6703 maji ambay hayatok twahar ni maji ya mito ziwa ma way, sofa yawe mfano huo wa wingi hayawez chafuk Ila katk ndoo shekh, ? Tumia akil kifog tu kwa nin maji ya udhu hun ruhus ya kutia Mkon mpak unawe? Tusom dini

  • @aishaissa6028
    @aishaissa60284 жыл бұрын

    Shukrani sana shekhe nimejifunza mengi

  • @Mondoonegeneraltreders
    @Mondoonegeneraltreders4 жыл бұрын

    Assalam alaykum! Naomba kuuliza baada ya kukoga janaba ni lazima kutia udhu na km ni lazma inakuwaje kwa yule anaetia udhu akiwa anakogea choon!! Naomba kujibiwa

  • @alizahranmohd4095

    @alizahranmohd4095

    4 жыл бұрын

    choon unawez kutia udhu.ila choon ni makruhu

  • @mtumwahaji5971

    @mtumwahaji5971

    4 жыл бұрын

    Hutakiwi kutamkaa neno LA Allah tu Ila udhu unatiy

  • @omarsalaah4611

    @omarsalaah4611

    4 жыл бұрын

    Mtume (saw) amesema Allah haukubali udhu ambso mtu hakusema bismillah.. Kwaiyo Ni lazima kusema bismillah unapoanza kutia udhu lkn ukiwa choon ndani usisome bismillah coz hairuhusiwi kutajwa jina la Allah choon so utasema bismillah nje kabla ya kuingia choon ndani

  • @mohamediismail8477

    @mohamediismail8477

    4 жыл бұрын

    Chooni unatia udhu na unafaa pia kwajili ya kwenda kufanya ibada

  • @salehamour5981
    @salehamour59815 жыл бұрын

    Asant xna sheikh wetu

  • @sifatmashaka6752
    @sifatmashaka67524 жыл бұрын

    Mashaalkah shekhe , ni halal kusema nawaitutwaharat minnal janab au hedh kwa kila kopo unalojimwagia ???

  • @RiyadhTvOnlineZnz

    @RiyadhTvOnlineZnz

    4 жыл бұрын

    Hapana sin lazima

  • @jamilamunisi1480
    @jamilamunisi14804 жыл бұрын

    Shukrani sana

  • @fatmaharr3183
    @fatmaharr31832 жыл бұрын

    Amin amin

  • @muhammadahmedaliyyu3854
    @muhammadahmedaliyyu38545 жыл бұрын

    Walaikum salam warahmatullah wabarakatuh

  • @mayahhajih2636

    @mayahhajih2636

    4 жыл бұрын

    Maiti mtarajiwa 🙄🤝

  • @veetwiga5861
    @veetwiga58614 жыл бұрын

    Nimejifunza kitu kikubwa sana leo.Allah akuzidishie kheri

  • @mbudemalouda6407
    @mbudemalouda64074 жыл бұрын

    Asaa kheir

  • @binsururu
    @binsururu4 жыл бұрын

    Allah akubark kwa maelezo yenye manufaa

  • @bicheatijafaqui6817
    @bicheatijafaqui68174 жыл бұрын

    Muito obrigado pela mensagem

  • @ibrahimhassan5141
    @ibrahimhassan51413 жыл бұрын

    Natasha allows hats Mimi nimejifunza mengi

  • @shemsakhamis3755
    @shemsakhamis37554 жыл бұрын

    Shukran shehe kwa mafundisho Allah akubarikiiiiii

  • @mohamedally8663
    @mohamedally86634 жыл бұрын

    Mashaallah shekh khamic kwa kutupa darsa tamtam zenye manufaa kwetu

  • @zuberihamidu1544

    @zuberihamidu1544

    4 жыл бұрын

    Mashallah

  • @abdallahiddi2151
    @abdallahiddi21514 жыл бұрын

    manshaallah shekh nimekuelewa

  • @shabaninanyata4824
    @shabaninanyata48244 жыл бұрын

    Alhamdullah sheikh nmejifunza jambo apo jazakaallah kher n mambo muhmu Sana Katka dini

  • @shamimunkungunkungu5144
    @shamimunkungunkungu51444 жыл бұрын

    Nice message

  • @iyadaud1033
    @iyadaud10334 жыл бұрын

    Hv shekhe kwa wale waliooa na waliolewa inajuzu kufanya tendo la jimai baada ya funga (usiku) swali langu je unaweza kukoga janaba asubuhi ya siku ya pili baada ya tendo au huwezi

  • @WadahKalumna-gs2kd
    @WadahKalumna-gs2kd7 ай бұрын

    Amiiin...

  • @rmdn9879
    @rmdn98794 жыл бұрын

    Shukrani sana.

  • @bintimohammed9486
    @bintimohammed94865 жыл бұрын

    Shuqran