MAKONDA HUYU MKUU wa WILAYA ni MUONGO "Mtoto Amelawitiwa na Kesi Haijaenda Mahakamani"
Жүктеу.....
Пікірлер: 8
@ernestaassenga96468 күн бұрын
Makonda unauweza uongozi kabisa,kwa namna unavosaidia watu bila kubagua .Hongera sana
@frankwarembosaloon531612 күн бұрын
MIMI MUNGU I wangu akupe uraisi mankonda
@MagrethMallya-we8ui12 күн бұрын
Tukubaliane tuuu, hii nchi rushwa ni kubwa sana, bora tukubaliane takukuru haijulikani inafanya kazi gani. Bora mkuu wa mkoa una huruma, wengi wakishapewa hela maskini hanaga haki.
@KimanguShemwaliko-ht2jr12 күн бұрын
Wanajuana wote ndio maana hakuna majibu sahihi,nchi ngumu sana hii,tutafika pale tu tutakapojitambua
@BedaKunguluche14 күн бұрын
Makonda,mimi nakosaga cha kuongea kwako.Kwa jinsi unavyojali Haki za wanyonge🙏
@petromahenge437714 күн бұрын
Kha hatari uongozi huu khaa
@user-wi8og3sv4j10 күн бұрын
Sliyeaminiwa na rais mwenyewe anakuwa mlaghai wa uhai wa mtu tupo salama kweli?
@user-wi8og3sv4j10 күн бұрын
Ukiona mkuu anatetea ushetani kama huuo ujue dini yao ni moja nae hufanya hivyo maana majambazi hupendana wap kwa wao! Kongole makonda
Пікірлер: 8
Makonda unauweza uongozi kabisa,kwa namna unavosaidia watu bila kubagua .Hongera sana
MIMI MUNGU I wangu akupe uraisi mankonda
Tukubaliane tuuu, hii nchi rushwa ni kubwa sana, bora tukubaliane takukuru haijulikani inafanya kazi gani. Bora mkuu wa mkoa una huruma, wengi wakishapewa hela maskini hanaga haki.
Wanajuana wote ndio maana hakuna majibu sahihi,nchi ngumu sana hii,tutafika pale tu tutakapojitambua
Makonda,mimi nakosaga cha kuongea kwako.Kwa jinsi unavyojali Haki za wanyonge🙏
Kha hatari uongozi huu khaa
Sliyeaminiwa na rais mwenyewe anakuwa mlaghai wa uhai wa mtu tupo salama kweli?
Ukiona mkuu anatetea ushetani kama huuo ujue dini yao ni moja nae hufanya hivyo maana majambazi hupendana wap kwa wao! Kongole makonda