MAKONDA HUYU MKUU wa WILAYA ni MUONGO "Mtoto Amelawitiwa na Kesi Haijaenda Mahakamani"

Пікірлер: 8

  • @ernestaassenga9646
    @ernestaassenga96468 күн бұрын

    Makonda unauweza uongozi kabisa,kwa namna unavosaidia watu bila kubagua .Hongera sana

  • @frankwarembosaloon5316
    @frankwarembosaloon531612 күн бұрын

    MIMI MUNGU I wangu akupe uraisi mankonda

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui12 күн бұрын

    Tukubaliane tuuu, hii nchi rushwa ni kubwa sana, bora tukubaliane takukuru haijulikani inafanya kazi gani. Bora mkuu wa mkoa una huruma, wengi wakishapewa hela maskini hanaga haki.

  • @KimanguShemwaliko-ht2jr
    @KimanguShemwaliko-ht2jr12 күн бұрын

    Wanajuana wote ndio maana hakuna majibu sahihi,nchi ngumu sana hii,tutafika pale tu tutakapojitambua

  • @BedaKunguluche
    @BedaKunguluche14 күн бұрын

    Makonda,mimi nakosaga cha kuongea kwako.Kwa jinsi unavyojali Haki za wanyonge🙏

  • @petromahenge4377
    @petromahenge437714 күн бұрын

    Kha hatari uongozi huu khaa

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j10 күн бұрын

    Sliyeaminiwa na rais mwenyewe anakuwa mlaghai wa uhai wa mtu tupo salama kweli?

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j10 күн бұрын

    Ukiona mkuu anatetea ushetani kama huuo ujue dini yao ni moja nae hufanya hivyo maana majambazi hupendana wap kwa wao! Kongole makonda

Келесі