MAKONDA AFANYA UKAGUZI WA JENGO LA HOSPITAL YA WLAYA KARATU NA KUSIKILIZA KERO

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 31

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6djАй бұрын

    Kama vile Arusha Haikuwahi Kujulikana sana kama sasa!😂😂MAKONDA WA Waaa waaaaah!❤

  • @jacksonvalerian
    @jacksonvalerian26 күн бұрын

    Makonda mungu akupe nguvu unapiga kazi sana

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6gАй бұрын

    Wakuu wa mikoa wote igeni mfano huu jamani kwa makonda msaidieni Rais Samia kazi mengine hayajui nyinyi viongozi Ndiy wa kumsaidia Rais Samia. Hongera sana Mh Makonda kazi nzuri Mungu akusimamie

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gwАй бұрын

    Hii arusha nilikua nasikia kwa waty kuwawa tu Lakini sasa mashall ah ❤❤❤❤

  • @alexpuwale9653
    @alexpuwale9653Ай бұрын

    Hii Nchi ina madudu mengi sana,ubinadamu umeisha sana,sijui kwanin watu tumekuwa katili sana Mpaka viongozi wafike wafike hivi ni nini???

  • @kikongajoel2693
    @kikongajoel2693Ай бұрын

    Makonda kazi nzuri

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677Ай бұрын

    Duh..! Makonda Barikiwa sana

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511Ай бұрын

    Mama Samia laisi wetu mungu alikuongoza kumuona makonda asante

  • @angellomarcel5677

    @angellomarcel5677

    Ай бұрын

    Kwa nnavyo wajua Wanasiasa Basi watamfiini MAKONDA hadi basi

  • @AgathaSahani
    @AgathaSahaniАй бұрын

    Ngoja niende mazingira bora nikamsikilize my brother ......

  • @barakamtotothomas4657

    @barakamtotothomas4657

    Ай бұрын

    Kweli makonda hama ulaya ya simanjiro

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7noАй бұрын

    Kwa matatizo na kero kama hizi kweli watu weusi tunamatatizo sana sasa mtu ukija saa moja kumuona mgonjwa shida iko wapi? Mambo mengine hayana mashiko kabisa

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2xАй бұрын

    Haipendezi madaktari kuwa hivyo ni aibu sana

  • @eliudgathuthi8601
    @eliudgathuthi8601Ай бұрын

    Shinda ya mwafrika ni mwafrika mwenyewe, maneno ya mwenda zake raise Moi. Yaani mwafrika mwenzako amesomeshwa na kodi unayolipa anakuwa daktari halafu anakuwa ndiyo anakuwa shinda kwa wanaichi. Roho ya utu ulienda wapi

  • @juliasmolellmolell4815
    @juliasmolellmolell4815Ай бұрын

    Arusha bana hospital hamunaga dawa

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7noАй бұрын

    Mike zenu muwe mnaweka karibu na Makonda tumsikie vizuri ndo tunataka kumsikia

  • @stephenmsanzu9850
    @stephenmsanzu9850Ай бұрын

    Bro kazi ya kupeana chakula ni kwa nasi.

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156Ай бұрын

    Safi makonda

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8uiАй бұрын

    Dawa mahospitalini hakuna.

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262Ай бұрын

    Ijengwe hospitali nyingine Endabash au karibu

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341Ай бұрын

    Kazi ya kulisha wagonjwa ni ya wauguzi ndugu wanachangua kuleta chakula. Iwapo ndugu wamechelewa, muuguzi anasimama badala yake

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1Ай бұрын

    Umeme unaakosaje ?

  • @maharagendondo
    @maharagendondoАй бұрын

    HONGERA, SS MASIKINI DAWA TUNANUNUA INCHI ZIMA

  • @theresiacostantine132
    @theresiacostantine13227 күн бұрын

    Hakika rais wa Arusha fanya kazi mioyo ya watu itulie

  • @JoramJoseph-im6qb
    @JoramJoseph-im6qbАй бұрын

    Tunahitaji rais kama makonda

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gwАй бұрын

    Camera zimuoneshe makonda tu 😂😂😂😂

  • @irenembise541

    @irenembise541

    Ай бұрын

    😄😄

  • @sangaweoswald6258
    @sangaweoswald6258Ай бұрын

    KAZI YA DAKITARI ISIINGILIWE KABISA

  • @Rahima-kv6mn

    @Rahima-kv6mn

    Ай бұрын

    🙄🙄🤔🤔🤔

  • @abdulshabani6663

    @abdulshabani6663

    Ай бұрын

    Makonda kipi kaingilia hapo? Yeye amesikiliza kero na ametoa ushauri wewe ndio hujui kitu kabisaaa kaa kimya

  • @FunnyHikingWaterfall-wv7dc

    @FunnyHikingWaterfall-wv7dc

    Ай бұрын

    Kwanini asingilie

Келесі