MAJIBU YA SONIA FORM SIX | SIPENDI KUSEMWA | MAMA MKALI | MAMBO YANGU HUWA NAMALIZA MWENYEWE
#LIFESTYLE #MAISHA #KIPAJI
Жүктеу.....
Пікірлер: 407
@zawaddavety29903 жыл бұрын
Mona nampa hongera mwanao mwambie asiache elimu iende zake wanaodanga waendelee kudanga ndiyo maisha waliyojichagulia
@mariahkivuyo5521
3 жыл бұрын
Uy ndio mama bora kwa mwanae
@jacksonlaurentfrancis884
2 жыл бұрын
Duuh kuna mtu umemlenga apo
@amaniomballa18553 жыл бұрын
Nimependa huyu binti Alivyo mcheshii anazungumza vizurii..dat is nice'
@cristaofficialtv3502 жыл бұрын
Nakupenda dada Monalisa....uko hamble..wewe ni mzuri, unahofu ya mungu.....Mungu akulinde
@lucasrisper65842 жыл бұрын
Hongera Sana Monalisa umeweza kumlea binti yako ki star and still displine woman.. I love you so much Sonia... MUNGU akukuze vyema
@georginajohn84563 жыл бұрын
Asante sana Monalisa kwa Malezi bora mpumbavu Kajala anadanga na Mwanae Mama bora Mama wa Mfano katika wasanii Mumuige Monalisa anajua kusimama katika nafasi yake kama Mama Sonia hongera sana kwa kufaulu vizuri tunazidi kukuombea big up Monalisa 💪💪 tunawakupenda woote Natasha Monalisa na Sonia❤
@samiramawby12573 жыл бұрын
Jamani Dk kumbuka kumbe uchungaji unauweza....hongera sana Sonia I swear Mona umejua kulea
@yasodishonest97923 жыл бұрын
Chuki binafsi izo achananao Monalisa.naipenda sana hii familia 😍😍
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
MashaAllah kabint kazuri Mungu akulindie jaman, ma anajua kujibu
@tinawajjoseph57773 жыл бұрын
HONGERA SANA SONIA MONA MUNGU AZIDI KUKUINUA MAANA UNAHOFU YA MUNGU NA UNAHESHIMA NDO MAANA MUNGU ANAKUINUA
@baimarrajahbuayan62373 жыл бұрын
Napenda hii Familia, saf kabisa. Hongera bib, hongera mama big up bint songa mbele
@kilunjupolinah3433 жыл бұрын
Hongera na Pongezi zako Sonia. Jamani ila dr. Kumbuka ungekua jirani yangu mbona ningekoma😂😂
@arthurcyril51772 жыл бұрын
Jamani sonia hongera sana Mungu akufikishe mbali Zaidi mwanangu
@sarahjuma81543 жыл бұрын
Love this family Mungu akutunze Sonia napenda music wako
@zou74703 жыл бұрын
Ila nyie wa kaka vica kwakwel 🤣🤣🤣but allah azidi kukuongoza mtoto wetu👏👏👏
@floraundisa36883 жыл бұрын
Hongera Sonia, God continue blessing u from all the way from +254
@amratkombo69553 жыл бұрын
Binadamu bwana hawapendi maendeleo ya watu acha nao hao, hawajuwi ugumu wa kusoma aooo wangejua wasingeongeaaa kupasiii rahaa bwan asikwambie mtuuu endelea kumsimamia mwanao mama nawapenda ❤
@robertjoshua30943 жыл бұрын
Utadhani mapacha jmn wamefanana❣️❣️❣️
@salamakaliasi93582 жыл бұрын
Hahahaaa haooo kina swebe wanachekeshaaa, hongeraaa soniaaa na team nzimaa ya efm
@icecream26843 жыл бұрын
She is brave ma shaa Allah more blessings to you sonia
@jaliaotien.o69953 жыл бұрын
Bora mama we unasoma jitaidi dada soma we Bado no mdogo kwaiyo soma usiwe kama paula
@rosekhalid29533 жыл бұрын
Sonia .. My dear hongera sana .. Follow ur steps.. Don't let any one destroy ur dreams😚
@magejose13862 жыл бұрын
WAOOOOOO.....WAMPE TU HAYO MACHO 3 SHE DESERVES KWA JUHUDI ZA KUSOMA
@maggyadhis17883 жыл бұрын
Luos are clever.and she is one.congrats our girl.
@grace-zj6sq2 жыл бұрын
Sonia hapatakua na mtu yeyote atakayeweza kusimama mbele yako sikuzote za maisha yako
@sheckycobb5240
2 жыл бұрын
Amen Amen
@believeroppah7443 жыл бұрын
Mona fanya kile unachoona kinakupa furaha tu . watu waache na fitina zao. hongera mjukuu wetu kwa kufauru
@lucyjohnkachele74493 жыл бұрын
Sema peny ukweli watu umia sanaa 😘🔥👌
@deograciakashaigili59732 жыл бұрын
Pokea yote hayo katika jina la YESU binti Mzuri!!
@mudimjuni20733 жыл бұрын
Mona hengera kwa kuzaa kizaz chema mana mwanao ndonamjua leo ila kule upande wa pili kajala anadanga yeye nà mtoto
@ummyshabani41583 жыл бұрын
Mm nakupongeza mtoto mzr nampongeza mama aliyekuzaa Sonia jipe moyo utafika mbali myoto mzr
@mmn74803 жыл бұрын
nampenda mama Sonia na rangi yke
@mabinzagombanila53523 жыл бұрын
Hongera Mona Mungu amsimamie binti 🙏
@marrypatrick32763 жыл бұрын
Mungu aendelee kukubaliki sonia Dada monalisa wanadam ndivyo tulivyo usiumizwe na coment zao
@ashaomary57453 жыл бұрын
Daaah kumbuka nishida wallah nimecheka mia
@annaonesmo15673 жыл бұрын
Hongera mtt mzuri Sonia love you
@dottohamisi98443 жыл бұрын
Hongera sana Sonia mashaallah 😘
@dorisiruben8816
2 жыл бұрын
We o
@dorisiruben8816
2 жыл бұрын
We o
@naomimwahosi81772 жыл бұрын
SIKU ZOTE MTOTO AKIWA NA TABIA NZURI KILA MTU ANAMFURAHIA , MUNGU ATUSAIDIE TULEE WATOTO WETU KWA HOFU YA MUNGU.
@violethombeni1932 жыл бұрын
Mimi naona wewe jishauwe usiogope hata leba ulikuwa pekee yako enjoy hurem ♥️♥️♥️♥️
@laylatmlacha47293 жыл бұрын
Hongera sana Sonia hakika ujalewa umaarufu mungu azidi kukusimamia
@azathabduli84532 жыл бұрын
Sonia uko vizuri sana mungu akutangiliee bibi na mm hongereni sana kumtunza sonia kwa na elim bora mashaalah
@Neyller9962 жыл бұрын
My sweety interview ninavyoipenda hii FAM jmn😪😪one day yesu natamn nije kuonana na madam mona na sonia nimpe hongera yake 😍😍😍
@fatmasaid70933 жыл бұрын
MashaAllah mabruk bby sinia Allah protect you and your family 💋💋💋😍😍
@Zawadi-12 жыл бұрын
Nimependa hii interview kweli, nawapenda mona, mama mona na soni🥰🥰🥰❤
@margrethsalvatory13592 жыл бұрын
Sema Monalisa mwepesi kupanick, Sonia unasauti nzito kama yangu 😂😂😂 Bibi napenda unavyoo ongea jaman huchoshi. Sonia viva baby girl duniani kugumu.
@dayana5513story3 жыл бұрын
Mungu ni mwema siku zote
@alicenice17113 жыл бұрын
Wajomba kiboko jamani😂😂😂
@sophiasophia69453 жыл бұрын
Majizooooooo njoo huku studio imegeuzwa kanisa
@sifatiiman
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Drkumbuka 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@secytete5828
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤸
@bjchamba64523 жыл бұрын
Baraka juu ya baraka,hongereni wanafamilia jamani,Ila hao wenye maombi jamani
@elbertmutungi7876
3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@twalebleboss96873 жыл бұрын
TALENTED SONIA....LV U DAUGHTER....
@revinastephen33653 жыл бұрын
Bora umelisema leo angalau nimesuuzika sana pole kwanza ,hawana watoto hao wanawatupa kwenye pipa ya taka ,Furahi sana mtoto wako kufahuru ,Asante maana lingelukaba ,waja hawakosi la kusema ,ila maisha lazima yaendelee,Dr kumbuka wambieeee
@victoriadaizy52773 жыл бұрын
Congratulations Monalisa.
@hadassahmakuna79542 жыл бұрын
Hongera Sana mtoto mzuri Mungu azidi kukutangulia Ktk safari ya maisha yako yoote kikubwa mkabidhi Mungu maisha yako yoote.
@prudencehighness4773 жыл бұрын
Dina nakupenda mdogo angu!
@yvetteuwase27403 жыл бұрын
Mungu aendeleye kukuleleya maman Mona 🤲🤲🤲🤲🤲🤲😍🤲😍💯
@sirielsheiza6168
2 жыл бұрын
Wasikusumbue my dada zidi kumlea Sonia ktk maadili mazuri Sonia atakua ushuhuda ktk familly yenu naikubali hiyo familly cpendi hata kuona watu wanakukera my dada
@mwajumakweli67743 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kumbuka nyoko jamani yan nimecheka mwa sauti dh
@makulaikuku6909
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@_blessedann
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mwajumakweli6774
2 жыл бұрын
@@_blessedann wallah nilikuwa chumbani mwenyewe mimi km mimi nilikitowa kicheko cha nguvu
@joycemmbai15472 жыл бұрын
Nakupa asilimia mia za kuwa mama bora umejua kutumia nafasi yako hongera sana mama
@mariacassian85483 жыл бұрын
Hongera Mona kwa malezi ya mwanao Sonia hayo maneno ya waja chukulia kama changamoto songa mbele nyuma yako wapo wanao kufatilia katika kila jema ukiharibu ujue wako watakao haribikiwa maana rolmodelwao ni wewe wapoutakao haribikiwa nifuraha yao sasa usiwape nafasi hao
@rosejulius19162 жыл бұрын
Hongera best yangu umejjtengenezea sifa njema kweny jamii achana na hao watafuta Kiki za kudanga wavune mabua,,,big up
Hongera sonia mungu akufanyie wepesi mbele uendako
@matayongwallo22703 жыл бұрын
ONGERA SAAAANA MONA MUNGU AKUZIDISHIE UWE MAMA WA FAMILIA BORA PAMOJA NA BIBI. MTOTO SOMA ELIMU YAKO NDO ULISI NA NDO NJIA YA KWENDA MBALI.
@theblessedone75263 жыл бұрын
Bibi hazeeki MaashA'llah kapendeza kweli
@MishiPapalan3 жыл бұрын
Wewe dada mtagazaji nakupenda mzuli sana ila unajialibu kwenye nyuwele tuu
@ashurahaji9115
3 жыл бұрын
Mbona anapendeza tu
@abdulqareemabdallah25792 жыл бұрын
Nawapenda sana hapo studio wajomba kiboko aleluya jaman monalic achana nao kikubwa pamban na maisha yako wache wazid kusem mtandaotuh
@aishaabdallah89633 жыл бұрын
Ongera mona munguamjarie achananao wanaosema watoto awajui thamani yamtoto
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Motoo😂😂😂 Hongera dogo lngu😘😘
@chrisantaurio1165
3 жыл бұрын
Hongera mtoto mzur👏👏👏
@mwajomaessa75133 жыл бұрын
Masha Allah nawapend sana
@cheiknamouna20583 жыл бұрын
Aliyefaulu yuko hapa anafanyiwa intervew Aliyedanga yuko pale anafanyiwa birhday kama umenielewa gonga like tuendelee kupata udaku
@khdigahk4246
3 жыл бұрын
Hohoho muhahooooo
@matildaandrew5290
3 жыл бұрын
WaTz shikamoon🙌🙌🙌🙌
@cheiknamouna2058
3 жыл бұрын
@@khdigahk4246 Haki tuna haha si bure🤣🤣🤣
@georginajohn8456
3 жыл бұрын
Hilo nalo neno👌 Hahahaaaaa Kajala na Paula Mpooooo
@jacklinehamad7916
3 жыл бұрын
Hahahahahahahahahah
@Gift-cx1uo3 жыл бұрын
Mashallah mama Sonia hongereni sana
@khadijahali48373 жыл бұрын
Sonia hapo kwenye kuchapwa 🤣🤣 umenikumbusha hd mm huwa nasema kwnn watoto wa mwisho mwisho hawachapwi lkn wa mwanz😫😫 mie mwnyw huwa na mwambia mama kwnn huwapigi
@mumspencernleah80373 жыл бұрын
Congratulations 👏👏gal
@munirashughuli72243 жыл бұрын
Mashaa Allah🤲
@malandomusa66532 жыл бұрын
💝 hongera mdogo angu Mungu wetu azidi kukutunza
@khairatnabeel74773 жыл бұрын
Jamani Kumbuka Ati Mashavu yamefura km Paka wa Muhimbili😂😂😂😂
@wemakalamu3538
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@joniajohn4716
2 жыл бұрын
😆😆😆
@tivochannel57832 жыл бұрын
Safi sana Sonia, Mama Sonia na bibi Sonia. Mungu azidi kuwa nanyi.
@didaamohsin65943 жыл бұрын
CONGRATULATIONS SONIA...KEEP IT UP...MAY GOD CONTINUE BLESS YOU
@felistarmwakapalila68012 жыл бұрын
Da Mona kama anavosema dina lengo la haters nikukunyima amani na furaha so wanapo kuatak Tabasam tu wapuuzie Ukikasirika unakua unbatimiza lengo lao dada...Mungu yupo Muachie tu
@azathabduli84532 жыл бұрын
Penda sana mona na mama nona watu msokuaga na makuu ❤❤❤😘
@axa292 жыл бұрын
Mashaa’Allah😍
@alhumohamed56183 жыл бұрын
Mashaallaah
@aishajeanine35523 жыл бұрын
Masha'Allah 🥰
@glorianikiza923 жыл бұрын
Ongera Mona kwa malezi mazuri kwa mwanao👏👏
@janejohn4257
3 жыл бұрын
Hakika yeye nimama bora, mungu akulindie bint yako akue vema
@gracengunga3483 ай бұрын
Kuwa mama raha sana ❤
@lovenessfelix58412 жыл бұрын
We doctor kumbuka weeeeeeh!sio kwa kelele hizo🤣!hiv mmechanja kweli?Kama chanjo bado hapo Coro inawahusu😂
@faridaessa78443 жыл бұрын
Hongera Sana Sonia
@magrethndambo76843 жыл бұрын
Mungu akisema ndio hakuna wakupinga
@kwinikajila75163 жыл бұрын
congratulation daughter.
@mgurefanuel55812 жыл бұрын
Yan Jaman Dr. KUMBUKA jaman jaman🤔🤔
@twalebleboss96873 жыл бұрын
BLESSING TO THE WHOLE FAMILY....LOVE YOU GUYZ....
@hasinaali47613 жыл бұрын
Mashaallah sonia
@marythomas7873 Жыл бұрын
Teh sema swebe na kumbuka safi sana muishi tuu
@seciliaseverian68132 жыл бұрын
Jaman kumbuka dah unachekesha honger sonia
@happybakari6432 жыл бұрын
Furah mama wabaya wapo ungewaona ingetokea mwanao kafel ungesemwa sana, tena mtafutie zawad nzur mpongeze mana kakuvusha nguo mama hiyo ni furaha ya kila mazaz na mwanae, tena huyo ndo atakae wasaidia hao wasio furah mafanikio yake ndo yetu mana akiwa na kazi atasaidia wot monalisa hongera mungu akulele
@elizabethjoseph88872 жыл бұрын
Congratulate cute sonia
@munahjira82363 жыл бұрын
MaashaAllah nmeipenda hio
@oman9880
3 жыл бұрын
Hongera Sana dada Mona najikuta najifunza kitu kama mama ❤️😘
Пікірлер: 407
Mona nampa hongera mwanao mwambie asiache elimu iende zake wanaodanga waendelee kudanga ndiyo maisha waliyojichagulia
@mariahkivuyo5521
3 жыл бұрын
Uy ndio mama bora kwa mwanae
@jacksonlaurentfrancis884
2 жыл бұрын
Duuh kuna mtu umemlenga apo
Nimependa huyu binti Alivyo mcheshii anazungumza vizurii..dat is nice'
Nakupenda dada Monalisa....uko hamble..wewe ni mzuri, unahofu ya mungu.....Mungu akulinde
Hongera Sana Monalisa umeweza kumlea binti yako ki star and still displine woman.. I love you so much Sonia... MUNGU akukuze vyema
Asante sana Monalisa kwa Malezi bora mpumbavu Kajala anadanga na Mwanae Mama bora Mama wa Mfano katika wasanii Mumuige Monalisa anajua kusimama katika nafasi yake kama Mama Sonia hongera sana kwa kufaulu vizuri tunazidi kukuombea big up Monalisa 💪💪 tunawakupenda woote Natasha Monalisa na Sonia❤
Jamani Dk kumbuka kumbe uchungaji unauweza....hongera sana Sonia I swear Mona umejua kulea
Chuki binafsi izo achananao Monalisa.naipenda sana hii familia 😍😍
MashaAllah kabint kazuri Mungu akulindie jaman, ma anajua kujibu
HONGERA SANA SONIA MONA MUNGU AZIDI KUKUINUA MAANA UNAHOFU YA MUNGU NA UNAHESHIMA NDO MAANA MUNGU ANAKUINUA
Napenda hii Familia, saf kabisa. Hongera bib, hongera mama big up bint songa mbele
Hongera na Pongezi zako Sonia. Jamani ila dr. Kumbuka ungekua jirani yangu mbona ningekoma😂😂
Jamani sonia hongera sana Mungu akufikishe mbali Zaidi mwanangu
Love this family Mungu akutunze Sonia napenda music wako
Ila nyie wa kaka vica kwakwel 🤣🤣🤣but allah azidi kukuongoza mtoto wetu👏👏👏
Hongera Sonia, God continue blessing u from all the way from +254
Binadamu bwana hawapendi maendeleo ya watu acha nao hao, hawajuwi ugumu wa kusoma aooo wangejua wasingeongeaaa kupasiii rahaa bwan asikwambie mtuuu endelea kumsimamia mwanao mama nawapenda ❤
Utadhani mapacha jmn wamefanana❣️❣️❣️
Hahahaaa haooo kina swebe wanachekeshaaa, hongeraaa soniaaa na team nzimaa ya efm
She is brave ma shaa Allah more blessings to you sonia
Bora mama we unasoma jitaidi dada soma we Bado no mdogo kwaiyo soma usiwe kama paula
Sonia .. My dear hongera sana .. Follow ur steps.. Don't let any one destroy ur dreams😚
WAOOOOOO.....WAMPE TU HAYO MACHO 3 SHE DESERVES KWA JUHUDI ZA KUSOMA
Luos are clever.and she is one.congrats our girl.
Sonia hapatakua na mtu yeyote atakayeweza kusimama mbele yako sikuzote za maisha yako
@sheckycobb5240
2 жыл бұрын
Amen Amen
Mona fanya kile unachoona kinakupa furaha tu . watu waache na fitina zao. hongera mjukuu wetu kwa kufauru
Sema peny ukweli watu umia sanaa 😘🔥👌
Pokea yote hayo katika jina la YESU binti Mzuri!!
Mona hengera kwa kuzaa kizaz chema mana mwanao ndonamjua leo ila kule upande wa pili kajala anadanga yeye nà mtoto
Mm nakupongeza mtoto mzr nampongeza mama aliyekuzaa Sonia jipe moyo utafika mbali myoto mzr
nampenda mama Sonia na rangi yke
Hongera Mona Mungu amsimamie binti 🙏
Mungu aendelee kukubaliki sonia Dada monalisa wanadam ndivyo tulivyo usiumizwe na coment zao
Daaah kumbuka nishida wallah nimecheka mia
Hongera mtt mzuri Sonia love you
Hongera sana Sonia mashaallah 😘
@dorisiruben8816
2 жыл бұрын
We o
@dorisiruben8816
2 жыл бұрын
We o
SIKU ZOTE MTOTO AKIWA NA TABIA NZURI KILA MTU ANAMFURAHIA , MUNGU ATUSAIDIE TULEE WATOTO WETU KWA HOFU YA MUNGU.
Mimi naona wewe jishauwe usiogope hata leba ulikuwa pekee yako enjoy hurem ♥️♥️♥️♥️
Hongera sana Sonia hakika ujalewa umaarufu mungu azidi kukusimamia
Sonia uko vizuri sana mungu akutangiliee bibi na mm hongereni sana kumtunza sonia kwa na elim bora mashaalah
My sweety interview ninavyoipenda hii FAM jmn😪😪one day yesu natamn nije kuonana na madam mona na sonia nimpe hongera yake 😍😍😍
MashaAllah mabruk bby sinia Allah protect you and your family 💋💋💋😍😍
Nimependa hii interview kweli, nawapenda mona, mama mona na soni🥰🥰🥰❤
Sema Monalisa mwepesi kupanick, Sonia unasauti nzito kama yangu 😂😂😂 Bibi napenda unavyoo ongea jaman huchoshi. Sonia viva baby girl duniani kugumu.
Mungu ni mwema siku zote
Wajomba kiboko jamani😂😂😂
Majizooooooo njoo huku studio imegeuzwa kanisa
@sifatiiman
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Drkumbuka 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@secytete5828
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤸
Baraka juu ya baraka,hongereni wanafamilia jamani,Ila hao wenye maombi jamani
@elbertmutungi7876
3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
TALENTED SONIA....LV U DAUGHTER....
Bora umelisema leo angalau nimesuuzika sana pole kwanza ,hawana watoto hao wanawatupa kwenye pipa ya taka ,Furahi sana mtoto wako kufahuru ,Asante maana lingelukaba ,waja hawakosi la kusema ,ila maisha lazima yaendelee,Dr kumbuka wambieeee
Congratulations Monalisa.
Hongera Sana mtoto mzuri Mungu azidi kukutangulia Ktk safari ya maisha yako yoote kikubwa mkabidhi Mungu maisha yako yoote.
Dina nakupenda mdogo angu!
Mungu aendeleye kukuleleya maman Mona 🤲🤲🤲🤲🤲🤲😍🤲😍💯
@sirielsheiza6168
2 жыл бұрын
Wasikusumbue my dada zidi kumlea Sonia ktk maadili mazuri Sonia atakua ushuhuda ktk familly yenu naikubali hiyo familly cpendi hata kuona watu wanakukera my dada
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kumbuka nyoko jamani yan nimecheka mwa sauti dh
@makulaikuku6909
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@_blessedann
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mwajumakweli6774
2 жыл бұрын
@@_blessedann wallah nilikuwa chumbani mwenyewe mimi km mimi nilikitowa kicheko cha nguvu
Nakupa asilimia mia za kuwa mama bora umejua kutumia nafasi yako hongera sana mama
Hongera Mona kwa malezi ya mwanao Sonia hayo maneno ya waja chukulia kama changamoto songa mbele nyuma yako wapo wanao kufatilia katika kila jema ukiharibu ujue wako watakao haribikiwa maana rolmodelwao ni wewe wapoutakao haribikiwa nifuraha yao sasa usiwape nafasi hao
Hongera best yangu umejjtengenezea sifa njema kweny jamii achana na hao watafuta Kiki za kudanga wavune mabua,,,big up
What a introooooo 😂😂😂😂dah kumbuka
Hongera Sonia umezidishi kumnga'arisha mama yk .....🥰👌 Tamba Mona bwana wkt wako
Hongera sonia mungu akufanyie wepesi mbele uendako
ONGERA SAAAANA MONA MUNGU AKUZIDISHIE UWE MAMA WA FAMILIA BORA PAMOJA NA BIBI. MTOTO SOMA ELIMU YAKO NDO ULISI NA NDO NJIA YA KWENDA MBALI.
Bibi hazeeki MaashA'llah kapendeza kweli
Wewe dada mtagazaji nakupenda mzuli sana ila unajialibu kwenye nyuwele tuu
@ashurahaji9115
3 жыл бұрын
Mbona anapendeza tu
Nawapenda sana hapo studio wajomba kiboko aleluya jaman monalic achana nao kikubwa pamban na maisha yako wache wazid kusem mtandaotuh
Ongera mona munguamjarie achananao wanaosema watoto awajui thamani yamtoto
Motoo😂😂😂 Hongera dogo lngu😘😘
@chrisantaurio1165
3 жыл бұрын
Hongera mtoto mzur👏👏👏
Masha Allah nawapend sana
Aliyefaulu yuko hapa anafanyiwa intervew Aliyedanga yuko pale anafanyiwa birhday kama umenielewa gonga like tuendelee kupata udaku
@khdigahk4246
3 жыл бұрын
Hohoho muhahooooo
@matildaandrew5290
3 жыл бұрын
WaTz shikamoon🙌🙌🙌🙌
@cheiknamouna2058
3 жыл бұрын
@@khdigahk4246 Haki tuna haha si bure🤣🤣🤣
@georginajohn8456
3 жыл бұрын
Hilo nalo neno👌 Hahahaaaaa Kajala na Paula Mpooooo
@jacklinehamad7916
3 жыл бұрын
Hahahahahahahahahah
Mashallah mama Sonia hongereni sana
Sonia hapo kwenye kuchapwa 🤣🤣 umenikumbusha hd mm huwa nasema kwnn watoto wa mwisho mwisho hawachapwi lkn wa mwanz😫😫 mie mwnyw huwa na mwambia mama kwnn huwapigi
Congratulations 👏👏gal
Mashaa Allah🤲
💝 hongera mdogo angu Mungu wetu azidi kukutunza
Jamani Kumbuka Ati Mashavu yamefura km Paka wa Muhimbili😂😂😂😂
@wemakalamu3538
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@joniajohn4716
2 жыл бұрын
😆😆😆
Safi sana Sonia, Mama Sonia na bibi Sonia. Mungu azidi kuwa nanyi.
CONGRATULATIONS SONIA...KEEP IT UP...MAY GOD CONTINUE BLESS YOU
Da Mona kama anavosema dina lengo la haters nikukunyima amani na furaha so wanapo kuatak Tabasam tu wapuuzie Ukikasirika unakua unbatimiza lengo lao dada...Mungu yupo Muachie tu
Penda sana mona na mama nona watu msokuaga na makuu ❤❤❤😘
Mashaa’Allah😍
Mashaallaah
Masha'Allah 🥰
Ongera Mona kwa malezi mazuri kwa mwanao👏👏
@janejohn4257
3 жыл бұрын
Hakika yeye nimama bora, mungu akulindie bint yako akue vema
Kuwa mama raha sana ❤
We doctor kumbuka weeeeeeh!sio kwa kelele hizo🤣!hiv mmechanja kweli?Kama chanjo bado hapo Coro inawahusu😂
Hongera Sana Sonia
Mungu akisema ndio hakuna wakupinga
congratulation daughter.
Yan Jaman Dr. KUMBUKA jaman jaman🤔🤔
BLESSING TO THE WHOLE FAMILY....LOVE YOU GUYZ....
Mashaallah sonia
Teh sema swebe na kumbuka safi sana muishi tuu
Jaman kumbuka dah unachekesha honger sonia
Furah mama wabaya wapo ungewaona ingetokea mwanao kafel ungesemwa sana, tena mtafutie zawad nzur mpongeze mana kakuvusha nguo mama hiyo ni furaha ya kila mazaz na mwanae, tena huyo ndo atakae wasaidia hao wasio furah mafanikio yake ndo yetu mana akiwa na kazi atasaidia wot monalisa hongera mungu akulele
Congratulate cute sonia
MaashaAllah nmeipenda hio
@oman9880
3 жыл бұрын
Hongera Sana dada Mona najikuta najifunza kitu kama mama ❤️😘
Hongeraa mnooo mdogo angu Sonia
Dina una vidole vizuriiiiiiiii🥰
Hawa watu wawili noma sanaaa 😀😀😀😀
Mashaallah
Wow,Naipenda hii familia