Majeruhi wa maandamano wahangaika katika hospitali ya Ongata Rongai
Wiki Moja Baada Ya Ghasia Kuzuka Mtaa Wa Rongai, Na Kusababisha Maafa Ya Maafisa Wa Polisi Pamoja Na Raia Wa Mtaa Huo, Majeruhi Bado Wanahangaika Katika Hospitali Ya Ongata Rongai Baada Ya Tetesi Za Waliojeruhiwa Kwa Kupigwa Risasi Kushurutishwa Kutia Saini Ya Hati Ya Makosa Ya Wizi
Пікірлер: 3
Kwa Nini selikali iwashigulikie
Now is the time those that are hailing the “ GZ” should flock in to support this families 😢otherwise you’ll end up crying for the same government that you stood against yo assist you 😢
Unge kaa nyumba haingekubata sorry bro