MAISHA NA MUZIKI S01 EP01 - ZACHARIA GERALD LYIMO, MTUNZI NA MTIRIBU KWAYA YA MT KIZITO MAKUBURI
Karibu tena Mtazamaji wa JUGO MEDIA katika kipindi hiki kipya kabisa , kipindi cha MAISHA NA MUZIKI, kipindi ambacho kitakupa historia ya wanamuziki mbalimbali hasa wa Muziki Mtakatifu wa Kanisa Katoliki la Mitume. Tutakuletea hiztoria za Watunzi, Wapiga Ala, Watiribu, Waimbaji Binafsi na wadau wengine wa Muziki. Leo tupo na ZACHARIA GERALD LYIMO ambaye ni mtuzi wa nyimbo, mtiribu na Mwalimu kiongozi kutoka Kwaya ya Mtakatifu Kizito Parokia ya Mwenyeheri annuarite Makuburi Jijini Dar es Salaam. Safiri nami uweze kusikia mambo mbalimbali ya kusisimua katika safari yake nzima ya muziki kuanzia anazaliwa mpaka leo hii. Karibu.
Tafadhari Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
Jumuika nasi katika mitandao mingine ya Kijamii:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
Mawasiliano:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa
Пікірлер: 33
Naipenda sana unavoidable conduct natamani namimi niwe km wewe barikiwa sana
Hongera sana Zacharia kitunze na endelea kutumia kipaji hicho alichokupa Mungu.
Naupenda sana wimbo wa Zacharia ; TUFUFUKE NA KRISTO 👍👍
Safi sana jugo media tuletee na mwalimu ALOYCE GOLDEN jamaa ana nyimbo nyingi alafu zina imbwa na wakristo takribani wote taanzania tunapenda kujua ili nasisi walimu wachanga tupate kukuza vipaji
@JugoMedia
3 жыл бұрын
Amina, tutamtafuta
Congratulations Mwalimu Zachary maisha yako yatia moyo na mungu atakuinua hadi peo za juu sana tunakuombea. Asante kwa kumpa Mtoto Vincent Makori nafasi ya kupiga kinanda ukiwa una conduct kwa Nairobi Gala Queen of Apostles Ruaraka. Ubarikiwe sana Mwalimu
Zidi kusimama katika kristo kama kioo kwa wengi
Congrats brother
Naomba Namba Ya Simu Ya Bw Zacharia...
@zachariagerald
3 жыл бұрын
0756748597
@aidanwealthclub6288
3 жыл бұрын
@@zachariagerald Pokea Simu mkuu!
@zachariagerald
3 жыл бұрын
@@aidanwealthclub6288 plz naomba utume text, nina changamoto ya kiafya mkuu
@elizabethemmanuel8031
2 жыл бұрын
Mungu akupe marefu na yenye baraka tele Bwana kaka Zakaria🙏
Hongera Sana MKUU WANGU
Zachariah nakupenda Sana unavyoconduct I love how you does n u also conduct like myself cousin n I love kmk with my whole heart be blessed n I always says that I would like to meet you in person so that u can tell us more about music u really inspires me as a choir member from Kenya
@zachariagerald
2 жыл бұрын
I am in Kenya, lets meet up
Mungu akubariki sana
Ningeshangaa sana kama usingeuliza kuhusu kuconduct. To me that is the part he does the best
Nice Interview jugo media i appreciate you hongera sana Lymo anatuinspire sana kwenye kwaya
Zacharia you are the best
@emanuelmatinya1110
2 жыл бұрын
You're very potential..... MUNGU ukuinue zaidi na zaidi
Wouh! Your CV is rich.No wonder your sense of music coordination & composition is very high.Cudos👍👍
@zachariagerald
3 жыл бұрын
Praise be to God bro
Nakubali kazi zako mwalimu, kiukweli na natamani uje Kenya siku moja parokia ya assumption of merry parish Umoja Nairobi, uwakute wanakwaya wetu na ututie moyo pia kiuimbaji. Ningependa au ningefurahi sana nipate contact zako mwalimu. Mungu akulinde na akuongoze kwa kila ufanyalo.
MUNGU akubariki Sana mchaga wetu wimbo mzuri Sana na pia utume wako Ni mzuri Sana sio wote wenye mafanikio ya kimaisha wanaofanikiwa kiutume pia
Wow I love how you conduct music 😎
Asante sana mh. Huu wimbo wa Mukasa "Nawakaribisha viumbe wa dunia" nimeuimba sana wakati nikiwa Ndanda high school kule Masasi-Mtwara..... Na wito ukaanzia hapo hapo
Mungu akupe maisha marefu kaka Zacharia
safi mangi
@elizabethemmanuel8031
2 жыл бұрын
Hongera sana kaka Zakaria kwa chako👍
@elizabethemmanuel8031
2 жыл бұрын
Wimbo wa sifa na utukufu nakupenda ubarikwe saana kaka zacharia
Nice Interview... Nimevutiwa sana
Congratulations Mwalimu Zachary maisha yako yatia moyo na mungu atakuinua hadi peo za juu sana tunakuombea. Asante kwa kumpa Mtoto Vincent Makori nafasi ya kupiga kinanda ukiwa una conduct kwa Nairobi Gala Queen of Apostles Ruaraka. Ubarikiwe sana Mwalimu