Magoli | Yanga 2-1 Simba | Ngao ya Jamii 13/08/2022
Спорт
KARIAKOO DERBY: Yanga wametwaa #NgaoYajamii kwa mara ya pili mfululizo wakiwafunga Simba kwenye #KariakooDerby iliyopigwa leo Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Magoli yote mawili ya Yanga yamefungwa na Fiston Mayele dakika ya 50 na 81 baada ya Simba kutangulia kwa goli la Pape Ousman Sakho.
Haya hapa magoli yote....
Пікірлер: 614
Tunaoiangalia ii game kila mara gonga like mwananchi👍👍👍🤜🤛
Nani anaangalia 2023🤔
@jeniphermassawe3037
Жыл бұрын
Ata aichoshi
@user-xy8kl9wd2i
Жыл бұрын
Mm hapa
@latifamohammed61
Жыл бұрын
Mimi hapa hii siku nililia sana kwa furaha yanga wanajuwa💛💚✅️
@mussamoshi3205
Жыл бұрын
Ni noma
@elizabethkujerwa
Жыл бұрын
Niko hapa😂❤
Nimeangalia leo tar 24_2_2024
@InnocentKisuge
5 ай бұрын
Bro mm Leo trh 27 mwezi wa 2 mwaka 2024 cwezi Chika kuangalia Goli la Sakho Alilofunga, Sakho anajua Zaidi ya kujua
Mayele anafunga magoli kama Kareem Benzema!! Haya magoli ni ya quality ya juu sana.
Wale wa kila siku tujuane 💚💛💚💛💛
@jeniphermassawe3037
Жыл бұрын
Tupo
Hongera Young African kwa kutuheshimisha hapa mjini Hongera benchi la ufundi Hongera management ya team Hongera saaana saaana wachezaji wetu Ila pongezi za kipekeee kabisa zimuendee PROF: N, Nabi Kiukweli nilivyoona kikosi kabla ya mechi sikuamini ….Nilipanik hasa sehem ya midfield.. Ila nimekubali kwa kusema TUHESHIMU TAALUMA YA WATU JAMANI Kipindi cha pili Kwa sub alizofanya mchezo ulibadilika kabisaaaa kabisaaa Sehemu ya kiungo ya Yanga ilitulia hasa baada ya feisal kushuka chini na Aziz Ki kucheza nyuma ya mayele Ukiniuliza man of the match Kiukweli Nitampa stephen Aziz Ki What a player Ila Kalala mayele anastahili pongezi zaidi Kudos wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@ismailmasoud6001
Жыл бұрын
...Sisi ndio YANGA, na yule ndio Prof NABI, sijaona Kocha wa KITAALAM mimi Toka nipate akili ya kujua Mpira Kwa kuelewa KOCHA anachokifanya uwanjani kama mambo anayoyafanya NABI..! Nilikua niktafsiri Kocha mzuri lkn Kwa matokeo ya kiujumla baada y mechi kikawaida tu...lkn Kwa kumjua Kocha na kuelewa ki tactical kabisa aloo huyu NABI ni Prof, yaani mshabiki kama upo darasani anakufundisha na unaelewa...yaani NABI anafundisha wachezaji mpk Mashabiki wote tunaelewa...!...pale UKOLONI wamepita MAKOCHA wengi lkn hawatamsahau NABI wa YANGA Mpk KIZAZI hiki kinapita..!
Nani anangalia 2024
October 2022 still watching this from Canada 🇨🇦
Hii YANGA ni Moto 🔥🔥💚💛💚💛💚💛💚💛
Yaan hata nikiachwa as long as hii mechi haifutwi u tube 😂 im happy😁😁😘
😂😂😂😂nani anaona hii baadha ya mnara kusimamishwa kwa lupaso
Game ilikuwa nzuri Yanga walileta raha mpk kapitiliza 💚💛
Double tetemaring....love u MAYELE good job.,..love AZIZ K master pass fundi wa mpira...❤️❤️🌹YANGA
Hakika katika kizazi changu ambacho mwenyez mungu atanijaaria. Kiukwel hapatokuwa na shabiki yoyote wa simba katika familia yangu
Naipenda san yanga From USA
Tume wapiga Madunduka goli tano ila hii mechi itabakia kua bora sanaa. Mayele aiwafunga mdomo, kwanza alianza na Enock Inonga then akamalizia na mdomo wa mashabiki. The King, the King, The King Fiston Kalala Mayele ni motoo.
Mayele ni mmoja tu Tanzania 💛💚 More fire🔥🔥🔥
Tanzanian football is such fire 🔥😍.. watching all the way from SA.. YOUR FANS ARE PASSIONATE WOW...
@mimiraia2531
Жыл бұрын
Simba versus Yanga, one of the top top derbies in African football
Karia nakutukana nifungie kuingia utube,hii ndo yanga hata kama huipendi ss tunaipenda na tutaipenda daima
Mayele what a Beast....Tanzanian teams have good scouts compared to south African teams.
Yanga tamu haija kosewa iyo nyimbo
Kocha wa Yanga ana akili ndefu sana, substitution mbili tu zikabadili kabisa Hali ya hewa. Gonga like kama mwana jangwani
Hongereni sana wananchi 💚💛💚💛💚
Dah brother unawatesa sana Hawa mapaka
Nimeangalia tena leo tar 12_9-2023
Simba walivyopata goli lao inaelekea KARIA alifurahi sana....!...ila baada ya dkk tisini alilala na VIATU..!
Hii mechi haipiti siku mbili sijaiangalia tulivyo wapiga Makolo hizo gori,,💛💛💛💛💚💚💚💚🏆🇹🇿
Mayele unajua kufunga naomba Allah uweze kuipeperusha Yanga yetu ndani na kimataifa EWE MUNGU WETU IWEZESHE YANGA AFRIKA ICHUKUE UBINGWA NBC LIGI NA KILAB BINGWA.🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@andreashayo6266
Жыл бұрын
Amina
@halimaathumani3435
Жыл бұрын
Ameen
Fiston mayele. I really enjoy the way he celebrates his goals.😅
anyone 2024??💥
dhuuuh mi yangaa kutoka congo👍👍🇹🇿🇨🇩
@mimiraia2531
Жыл бұрын
Karibu
Hii ndo game best all of the time mpk commentary nouma sanaaa
Respectful thanks to you Young African committee team🙏👏🎺🇹🇿🏆🏅
Nipo ndani ya taifa naishuudia ii game hakika sitoisahau ii siku nilifurahi Sana 🔥🔥🔥🔥🔥
Nimependa saana hii game ya Leo,ajengewe sanamu👏👏🙏
Gori la pili nimelielewa sana Mayeleeeeee
Hii mechi itabakia vichwani mwa Makolo kwa miaka mingi sanaa.
Kuwafunga hawa jamaa sasa hivi wala haina haja ya kushangilia. Hawatuwezi.
Kuna swali nilijiuliza sijapata majibu Lile cheko la Karia wakati anakabidhi Kombe Alimaaanisha au alikua anaumia?😃😃😃😃😃😃😃
@japhetadelard9465
Жыл бұрын
🤓Alikua anateseka na bado sana
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
@@japhetadelard9465 😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃👍
Wananchiiiiiiiiiiiii eeeeh 💚💛💪🏆📞🥂 kuna MAYELEEEEE Mmoja tuuu kaaaaka Tanzania hiii 💚💛💪🎖️🏅🏅✈️
Ila mayele anahitaji ulinzi mkubwa San hii week, Good job guys safiii San wangeongea San hawa makolo na coach wao wa ndondo yule anafany sub tatu kwa mkupuo alaf ndo aje atufunge sis
Hii game ilikua fire 🔥 sanaaa
I love you yanga
Yaani kushabikia yanga ni saw nakuwa mshabiki wa mungu
Mayele mayele mayeleeh haaaah ndio uyo uyo 💛💚
Azizi ki
It's him again🤣🤣🤣
Simba tuliwagonga vizuri
Hii video nitamu kuangalia sana,kuna mbwa zilikuja na picha ya mama yao uwanjani sijui walizificha wapi,kama na ww unaiangalia video hii mpaka leo basi like comment hii tujuane
@jeniphermassawe3037
Жыл бұрын
Tupo
Wale tunao angalia 2024 tujuane Kwa like
Asante sana fiston kalala mayele
Hawa Wacongo cjui Kama watarud kwao,,maana Pesa wanapata na Watz wanawasambazia upendo
Tusisahau ufundi wa Kocha. Yanga tuna kocha bora na Benchi bora sana la ufundi waanajua kuangalia mahitaji ya team kila wakati
Kila nikirudia kuangalia nakuta Bado Simba kadangwa 2-1...Viva Young Africans
@mariamsuku7021
Жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅🙌🙌🙌🙌
@tituselukumay6783
Жыл бұрын
simba
@amanichanzi4315
Жыл бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣
Asante sana broo FISTON KALALA ............LE
February 2023
Leo inonga hayupo shenzi huyu mayele. Yangaaaaa🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️😅🤸♀️😅😅🤸♀️😅🤸♀️
Mayele soka lake si la kiwango cha kuchezea bongo
Anajua mpaka anakera
Jamani wanayanga wenzangu, Jamani wanayanga wenzangu mnaonaje tukaikuza team yetu na kutengeneza historia nzuri na ya kipekee kwa kuunda makundi mawili
Oya hii mechi deile naichek
Magori ya mayele hadi raha
Proud with all yanga player
Nyie simba mkashabikie Simba queens tu ila huku kwa wakubwa, hamtuwezi.
Walijua wamemaliza gemu hi yanga bwana
Godbless Yanga
Good job mayele nakupenda sana
@kilimanjarobrothersclimbin7520
Жыл бұрын
Wahoo
SIMBA NI WATEJA WETU WA MAPARACHICHI TOKA KITAMBO SANA😁😄😄💛💚💚💚💚💚💚💚
eeh jana ilikuwa kali sana😀😀😀😀😀
walikufa vibaya mbwa hawa. 🤓
Mambo vp mm naitwa klan genius naombeni sapot yakuitazama nimbo yangu andika klan genius song sawa
Itoshe tu kusema hongera Mtani,umetumaliza😩
@judicalosika7642
Жыл бұрын
🇮🇱Hiyo ni HEKIMA iliyotukuka hongera ndg Mwang'onda
Daah wacha nimalize tu mb zangu kwa kumtazama huyu kiumbe jamani rahaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣
💪💚💛,that's Yanga
Hii haisauliki kaka ni ya juzi TU mpka ije Ngao nyengine
Kiukweli tuache ushabiki huyu Mayele ni hatari sana.
@slimmuhabesh2400
Жыл бұрын
Msimu uliopita alifanyiwa hujuma akakosa kiatu... Safari moto umezidi
Kila siku tunawapiga tu huu ni unyanyasaji uliokithiri.. 💪🟩🟨🟩🟨🟩🟨🏆🏆
Nimeipenda sana yanga
yanga oooh my Gadiiiiiiii
Yani hii mechi unaweza ukaitazama kila baada ya dk 5
Walijchanganya kweny mtumbwi wa vibwengo..!!
Asante saaana saaana,mmejua kutufurahisha jmn,tunatembea vifua mbeleeee
@chamgiwadu
Жыл бұрын
Fistooooooooooooooo Kalalaaaaaaaaaa Mayeleeeeeeee
How is that Possible 🙌🙌💚💛
Yani Young African Kings na young African queens yenye sports mbalimbali; I THINK IT WILL BECOME VERY MAVEROUS
President tunakuomba Mayele aendelee kuichezea yanga kwa miaka 50 ijao
Ifike sehemu Simba mkubali
Fantaaaaaaaaaaastiiiiiiiikkkkk
Naangalia tena leo 8.8.2023 Hanga inatisha
@BarakaMazengo
11 ай бұрын
Hahahahaha hahahahaaaa et hanga
Nani anaangali la 2024😂
@charitymkombozi5900
6 ай бұрын
Niko hapa
The king The king 👑
Yaan moloko bhana na hivyo vitu alivyobeba sijui alitoa wap😅😅😅😅
😂😂 nan kaja hk leo
@immacutemnanks283
Жыл бұрын
😂
@shazzo_2203
Жыл бұрын
Tarehe 11/4/23 naangalia tena 😂😂
@josephine6413
7 ай бұрын
Disemba 2023 niko hapa😂😂
Hata wakimzuia kisinda Bado tuna timu nzuri na ushindi ni lazima kwa jina la yesu
Hiii mechi ilikuwa tamu kwangu
Yanga 🙌🙌
Bao za yanga hazina utata wowote kabisa ila ile ya Simba ilikuwa bao kutoka ofisini.
@kalyowawilberforce228
Жыл бұрын
Lingekuwa la utata mngechukua ngao ya jamii
tuliwatanguliza kwa baiskel ya udongo kumbe mbele kuna mvua inanyesha 😃😃😃😃yule yule beki mshamba anaecheza na jukwaa kadharirishwa leo 🤣🤣🤣🤣🤣😃
@stewartsylvester2353
Жыл бұрын
Nimecheka sanaaaà aiseee daaaaaa hahahahahahhahahahahahahahahahahaahahahahaahhahaha
King mayeleeeeeee mwaash
Mayeleee,YANGAAAA.
Sisi ndo yanga💚💛💚💛💚💛💚💚💛💛💛
@jmclavery
Жыл бұрын
Simba vibonde tu mayere kawatungua ZOTE mheshimu tu si wa kubeza mamae kidogo jitu life na pumzi ya kokoto