Highlights: Yanga na Simba wapiga soka la kiume na kutoka sare ya 1-1 (VPL 07/11/2020)
Спорт
YANGA 1-1 SIMBA: Watani wa Jadi katika soka la Tanzania, Yanga na Simba leo wametoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara (VPL) uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Magoli yamefungwa na Michael Sarpong na Joash Onyango.
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Пікірлер: 906
Like za Simba Wekeni hapa wote tuseme This is Simba
@Wataniwajaditv39
3 жыл бұрын
Like mnyamaaaaaaaaaaa
@KichejAbigl
Жыл бұрын
This is simba
Best East African derby....much love from🇰🇪 #Yanga#Simba
@hamisitz4796
3 жыл бұрын
👏👏👏
@Wataniwajaditv39
3 жыл бұрын
Up to do
Nani anaangalia hii kabla ya derby ya tarehe 8 may 2021
@johanessabai6286
3 жыл бұрын
Mimi hapa
@trisamilob3652
3 жыл бұрын
Nipo hapa najalibu kuvuta picha itavyokuwa
@christerlaurent8580
3 жыл бұрын
Me apa
@faridikatumbili4611
3 жыл бұрын
mimi nipo hapa
@yonajuma6896
3 жыл бұрын
Bupina
Safi nimekua wakwanza simba mmenifurahisha naomba like jaman
@dickikahese9681
Жыл бұрын
Mnyama atabaki kuwa mnyama tu siku zote
It's amazing how Tanzanians love their home team ,Football is not just a game
Nawapongeza @AZAMTV kwa uwezo wao mkubwa wa kuwa na kamera za HD Kama nawewe unawakual @AZAMTV gonga like
Kama umemuona zimbwe nkama kawambia njoeni haraka tutapata goal lingine wakati wakishangilia pale na onyango gonga like bc jmn🤔🤔
Mashabiki wa simba tujuane
@barenakirahuri5441
Жыл бұрын
Dam dam scc
@khadijahali4837
Жыл бұрын
@@barenakirahuri5441 😁😁
Mzee Onyango anafunga gori,wachezaji wote 11 wa Yanga wapo gorini,walipaki basi
Simba goli 1 Yanga 0 Refa 1 Mungu kawaumbua utopolo kwa dhurumaaa mxiuuuuuuuuuuuuu asante sana simbaaa👌👌👌👌
@onesmojustice2348
3 жыл бұрын
Unajaribu kutulizA maumivu ulionayo
@rayfaakim1920
3 жыл бұрын
@@onesmojustice2348 mm na nyinyi nanii ana maumivu nyinyi si mlijua mmeshinda kwa kupewa penat sisi tumechomoa tena bao la haliri kabisaaaaaa
@onesmojustice2348
3 жыл бұрын
@@rayfaakim1920 Leo mmebaki sharubu tu uwanjani
@mtatiromgeka7270
3 жыл бұрын
Yani refa nyongo kweli kwa simba asnt... Siiiiimbaaaaaa oyeeeeee
@rayfaakim1920
3 жыл бұрын
@@onesmojustice2348 we unachekesha wewe wakati nyinyi ndio Mme umbuka 😂😂😂😂😂 yaniii mlikua mmejua mmesha chukua point 3 ndio mjue kwamba Leo tumewakatisha ndoto zenu za kulipiza kisasi 😂😂😂😂😂😂 kiboko yenu onyango tu mbereko nyinyi mnabebwa mpakaa basiiiiii daaah
Baracka mpenja alikuleta Tanzania moja kwa moja mbingun bro Najua kucheza na maic 🎤🎤🎤
Asante Sanaa chama langu la SIMBA 🙏 kwetu soka kwao majungu 😂😂😂
zimbwe man of the mechi
@stumkemandanje4779
3 жыл бұрын
Àq1
Mwanaume atachelew kula lkn c kulala na njaa this is cmbaaaaa
Moja kati ya Darby tamu imewahi kupigwa na hizi miamba miwili hii game ni fire 🔥🔥🔥
Kama unamini yanga watakufa like comment hii
Sifa za mashabiki wa bongo 1.kuingia na motokeo 2.kila mtu kocha
@NR-ll4sr
3 жыл бұрын
Hahahahaha true
@priscatwaha6982
3 жыл бұрын
Hahaaaa umeonaeee
@kassimngohengo117
3 жыл бұрын
Ni kwel utasikia kocha huyu hana plan B kwann asibdilishe mfumo aaah uyo anaesema hvy ajui chcht ukimuuliza nan alibd atoke anaemtaja unbk mdomo wazi
@guccijackson3055
3 жыл бұрын
@@priscatwaha6982 ndio mrembo
Tuachane utani, overall Yanga waliingia kiume sana kwenye mechi hii....high pressing, high intensity, high speed!! Ukiacha porojo za unazi bado ilikuwa mechi ngumu sana kwa Simba... A wake up call kwa mechi za kiume za Champions League.
@emmanueljoseph2576
3 жыл бұрын
Ila kubali kwenye penalty refa kawabeba
Man wa mechi aristaria mwamedi huseni uyo mwingine Mme mpata tu
Hizi timu mbili zapendwa sana Tz.
@donaldmwahalende4841
3 жыл бұрын
Ndio uko wap
Kama unaungana na mie kuwa onyango alistahil umeme na yanga kunyimwa penalty kpnd cha kwanza kwa kumchezea gwarde sapoooo na refa akaamru kona gonga like
@saidibwanga1448
3 жыл бұрын
Umeme gani yondani mbona hakupewa umeme alivyomshika kagere
Yan hii iko namba 5 on trending ni nomaa
🤣🤣🤣🤣🤣kwenye penaty nimesogeza mbele jamani leo mpaka nimeumwa na kutapika juu Simba baba lao
The commentator is the man of the match. Just Wow!!!
Duhh kwa marefa hawa tanzania ye2 itabaki nyuma kisoka
Waliokuja kucheki hii game baada ya #MapinduziCup tujuane 😋
@neylathmtendanga8930
3 жыл бұрын
Me pia 🤣🤣🤣
SIMBA sports club big Team Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mpenja upo vizuri sana
Goli la Yanga limetengenezwa maabara refa ni yanga halafu pia sisi simba huyu kocha ana uwezo mdogo sana huyu sven
Bodi ya ligi hata muweke waamuzi 10 bado uwezo wawamuzi wetu ni mdogo mno baadhi ya hukumu wanazotoa sio sahihi mchezaji kafanyiwa faulu nje ya 18 lakini mkwaju wa penati unatengwa waongeze umakini
@hashimsaid5546
3 жыл бұрын
Kama Ile ya kagere na yondani siku ile watoka 2-2 alishikwa nje akaangukia ndani jonisia rukya akatoa penalty yanga hawakusema kitu wakarudisha magoli yote na tangu siku ile Simba haijaifunga Tena yanga kwenye ligi ni droo au kufungwa Simba na Morrison
@hashimsaid5546
3 жыл бұрын
Kama Ile ya kagere na yondani siku ile watoka 2-2 alishikwa nje akaangukia ndani jonisia rukya akatoa penalty yanga hawakusema kitu wakarudisha magoli yote na tangu siku ile Simba haijaifunga Tena yanga kwenye ligi ni droo au kufungwa Simba na Morrison
Fantastic
Naipenda Sana yanga
Asante yanga
Uyu chama anastahiki kucheza ulaya s. Tanzania. Simba oyeee onyangoooo
@nyamuraomary9939
3 жыл бұрын
Kwakipi alichokifanya
@aishamohammed5347
3 жыл бұрын
@@nyamuraomary9939 sio lazim afunge kila siku lakin anajua kuuchezea mpira 💯
@gracesiwale7066
3 жыл бұрын
Chama Jana alikuwa bado anaumwa maana jumatano alianguka
Mshukuru kuumia beki
Mpenja uko vizuri kaka.
Yaani huyu ni fala sijawahi kuona.
I don’t understand what the commentator is saying but I love it. Love from Somalia 🇸🇴🙌🏽
@oslowikedzi9112
3 жыл бұрын
Speaking kiswahili language
@thomasmichaeldadi
3 жыл бұрын
You love simba 😀 we love you from somalia🇸🇴
@stephenziro8530
3 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
Asante sanaaaa yanga
Simba Ni fire🔥🦁❤️✨
Yanga tamu
Wana inci ni amani form Rwanda not bad
I really felt for the referee here. Both sets of players feigning injury from the first whistle really. A shame.
Big up
Atimae babu kawafunga wajukuu zakee😆😆😆
@seleseleli6239
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@NR-ll4sr
3 жыл бұрын
Hahahahaha
Marefa wa Tanzania mungu anawaona nikweli Onyango amemfanyia faul lkn ilikua nnje ya box marefa kueni makini
Was nice game
Super mpenja
daah nikiitazama hii mechi simba ingekula 3-0 kama wachezaji wayanga wangekuwa bora kati ka ufungaji
Team 254 but yanga mmecheza Chelsea yanga ni 🔥
@jumanente4200
3 жыл бұрын
Kwasu kwasu fc tz
I love you, ssc
Duh siamini mikia wametokaje next game mutalokota ku nyavu 🔰💪🏿💨
Ww chama biriyan ikowap😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣
Man of the match ni refa hiii leo simba oyeee Tanzania hatuna marefa kabisa
@augustinewilliam8281
3 жыл бұрын
Nakubali mwanangu
Asanteee Sanaa chama langu la SIMBA 🙏 kwetu soka kwao majungu 😂😂😂
Usije na clips kwenye mpira😂😂baraka shikamo💪🔴
Kwahiyo Jimmy Kindoki ameiweka wapi button ya Babu Onyango? Yanga mnafungwa na beki wakati kikosi chote kimerudi kulinda goli...
@ikouwasi7644
3 жыл бұрын
Nyie wenye washambuliaji mbona hakuna aliyefunga
@adearsalum9932
3 жыл бұрын
Aliekwambia beki hawez kufunga nani?
Hakika Mungu umeonyesha kwamba wewe ni mkuu Sanaa. Kulikoni hao nyau🙏🙏🙏 Yanga oyeee .
@smartboy-cd3qn
3 жыл бұрын
Yang ipi
@lovenesskalenge2683
3 жыл бұрын
@@smartboy-cd3qn smba ipi
It is best daby ever
Venance Chapaulinge.Arusha City.@azamtv Ninaomba mechi kubwa kama hii muwe mnaongeza muda wa highlights iwe japo dk 30 ili turudie kuona mchezo kwa upana kidogo.Asanteni sana kwa burudani mnayotupatia cc tulio mbali na Dar.
Pila birian naona mmeliona watu wamepigiwa mbungi la hatariii This is Simba
Sura znawashukaa wananchii jasho linawatokaaa😀😀😀😀
@mariammmuni8765
2 жыл бұрын
😆😆😆😆
Mmeongea sana kwa kuumia beki yetu tulieni mtaona around ya2
Good game
💥💥💥💥
@ratifasalumu4021
3 жыл бұрын
Penat mumewa kuongeza goli lingine mmeshndwa mnatakaje
Man of the mech huseni zibwe
Like za Simba na yanga
❤🎉 wewe utaniuwa
Simba wameujaza uwanja
No penalty ile n nje ya box ...........
Mchezo mtamu kweli kweli love you from Kenya
@abbyadams8691
3 жыл бұрын
Vp huwa mnaweza kutazama derby ya Simba na Yanga mkiwa Kenya?
@y.n.wsalim8253
3 жыл бұрын
@@abbyadams8691 Highlights za Azam sports
Safi
CHAMA where is biriani CHAMA 😅😅😅 hahaha
@happyjohn5882
3 жыл бұрын
Nadhani walimtoa mchezonii
Marefa wanazingua sana niupuuz mtupu mpira mkar ila marefa washenzi kabisa sijui mwalimu wao nani
@ignaskifunda8847
3 жыл бұрын
Kaxomee ww
Hatari sana
Aseeh zibwe junior siyo mchezo,
Napenda tuu kuona hapo chama anavoingia😋😋😋😅😂😂cjutii kuipenda simba yanguu
@gracesiwale7066
3 жыл бұрын
Simba baba lao wakiwai sisi tunachomoa eti sura zime watoka
@wisleynzogela2270
3 жыл бұрын
Chama kamzid kisinda paref
@dechaggagirl1614
3 жыл бұрын
@@gracesiwale7066 ni fayaa tuwaombee huko nigeria kutoka na ushindi🦁🦁🦁🔥💪💪
@onesmojustice2348
3 жыл бұрын
Mechi hii tk alikuwa vizr kuliko chama wenu huyo
@shabanisaid7888
3 жыл бұрын
@@onesmojustice2348 chama ni mwalimu wa soka
naanza na azam tv lazima mjifinze kuwa wakweli referee blunder ndio imeipa yanga goli yanga leo soo many controversial decision zimewa beba yanga. ki kweli leo referee kaharibu pambano lwa kiwango kikubwa. Finally simba juu ya kua na too many injuries wameonesha ubora wa hali ya juu
Noma Sana simba
Safi sanaaaa
Kudadeki kumbe simba ndio wame jaza uwanja kisha kunakuja kunguni mmoja ana sema yanga wana jaza uwanja pumbavu na nusu 🤣🤣tena mshukuru refa
@adearsalum9932
3 жыл бұрын
Sasa Ndugu yangu ivyo ndio Simba wamejaza uwanja? Mmh mapenzi kweli yananguvu
@shamilabakari6420
3 жыл бұрын
@@adearsalum9932 yaani nusu na robo ni mashabuki wa simba tena cjui marefa kwa nn awakomi kuwapa matokeo utopolo
@kacherosimba5762
3 жыл бұрын
@@adearsalum9932 naile sehemu yenu tunge ijaza nikwavile mechi hii sisi ndio wageni
Hao ndio yanga jamani
@aminata3702
2 жыл бұрын
🤡
Sema yanga bora iliaza kuonekana hapa
Baraka Edson mpenja n bonge la mtangazaj for real
@haroldshangali1486
Жыл бұрын
Msim a che kisinda
Faridi faridi dah!
@athunaathuman3968
3 жыл бұрын
Yangu vs Simba 2017
💛💚💛💚💚💚💚💚💪💪
Azam pls Tuwekeeni FULL MATCH
Ni moto
Washukulu mungu hao mijusi
Onde esta Carlinhos
@mwinyiherymohamed5308
3 жыл бұрын
He is sick
Mungu ibariki Dar YANGA African Oyeeeeeeee
@furahnfrenkjozyjolpn9539
3 жыл бұрын
Smb mtanteseka san
@luumartin296
3 жыл бұрын
Mungu silinde yanga
Yes
Refa kajitahidi Sana kuumudu mchezo . Anastahili pongezi . Nyie mnaomkosoa nendeni ninyi uwanjani mkawe waamuzi ndo muone mziki wake.
@msyanituntufye3441
3 жыл бұрын
Mmh wewe ni utopolo @ nyani fc na goli la kupewa waj...nga sana nyie
@alphonceassenga4596
3 жыл бұрын
@@msyanituntufye3441 Akili yako ndogo sana.
Eti ndevu za further
Young African
Tunaoirudia leo sku ya simba day 2023 tujuane kwa like 👍
Simba 1;yanga 0; refa 1
@collinskinyamagoha4781
3 жыл бұрын
Nyani haoni kundule kumbee.....ile y kagere ckuile ilkuwaje
@goodvibetvbk7703
3 жыл бұрын
😁😁😁 sahh kak
Yaani katika wachezaji ambao hawana faida yanga farid
@abdulkheri7322
3 жыл бұрын
Onesmo bro pinga kauli yko
@ommyakili552
3 жыл бұрын
Nitakutukana ujue
Keeptap
Tuacheni utani Onyango ni shida