Highlights: Yanga na Simba wapiga soka la kiume na kutoka sare ya 1-1 (VPL 07/11/2020)

Спорт

YANGA 1-1 SIMBA: Watani wa Jadi katika soka la Tanzania, Yanga na Simba leo wametoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara (VPL) uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Magoli yamefungwa na Michael Sarpong na Joash Onyango.
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Пікірлер: 906

  • @richardjuma7708
    @richardjuma77083 жыл бұрын

    Like za Simba Wekeni hapa wote tuseme This is Simba

  • @Wataniwajaditv39

    @Wataniwajaditv39

    3 жыл бұрын

    Like mnyamaaaaaaaaaaa

  • @KichejAbigl

    @KichejAbigl

    Жыл бұрын

    This is simba

  • @joekathembe6021
    @joekathembe60213 жыл бұрын

    Best East African derby....much love from🇰🇪 #Yanga#Simba

  • @hamisitz4796

    @hamisitz4796

    3 жыл бұрын

    👏👏👏

  • @Wataniwajaditv39

    @Wataniwajaditv39

    3 жыл бұрын

    Up to do

  • @tizerkindamba3834
    @tizerkindamba38343 жыл бұрын

    Nani anaangalia hii kabla ya derby ya tarehe 8 may 2021

  • @johanessabai6286

    @johanessabai6286

    3 жыл бұрын

    Mimi hapa

  • @trisamilob3652

    @trisamilob3652

    3 жыл бұрын

    Nipo hapa najalibu kuvuta picha itavyokuwa

  • @christerlaurent8580

    @christerlaurent8580

    3 жыл бұрын

    Me apa

  • @faridikatumbili4611

    @faridikatumbili4611

    3 жыл бұрын

    mimi nipo hapa

  • @yonajuma6896

    @yonajuma6896

    3 жыл бұрын

    Bupina

  • @nickrayjackson9753
    @nickrayjackson97533 жыл бұрын

    Safi nimekua wakwanza simba mmenifurahisha naomba like jaman

  • @dickikahese9681

    @dickikahese9681

    Жыл бұрын

    Mnyama atabaki kuwa mnyama tu siku zote

  • @josephngugi9893
    @josephngugi98933 жыл бұрын

    It's amazing how Tanzanians love their home team ,Football is not just a game

  • @mbarakaabdulrahmanipacha18
    @mbarakaabdulrahmanipacha183 жыл бұрын

    Nawapongeza @AZAMTV kwa uwezo wao mkubwa wa kuwa na kamera za HD Kama nawewe unawakual @AZAMTV gonga like

  • @dechaggagirl1614
    @dechaggagirl16143 жыл бұрын

    Kama umemuona zimbwe nkama kawambia njoeni haraka tutapata goal lingine wakati wakishangilia pale na onyango gonga like bc jmn🤔🤔

  • @khadijahali4837
    @khadijahali48373 жыл бұрын

    Mashabiki wa simba tujuane

  • @barenakirahuri5441

    @barenakirahuri5441

    Жыл бұрын

    Dam dam scc

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    Жыл бұрын

    @@barenakirahuri5441 😁😁

  • @samwelmerikiolmpila2330
    @samwelmerikiolmpila23303 жыл бұрын

    Mzee Onyango anafunga gori,wachezaji wote 11 wa Yanga wapo gorini,walipaki basi

  • @rayfaakim1920
    @rayfaakim19203 жыл бұрын

    Simba goli 1 Yanga 0 Refa 1 Mungu kawaumbua utopolo kwa dhurumaaa mxiuuuuuuuuuuuuu asante sana simbaaa👌👌👌👌

  • @onesmojustice2348

    @onesmojustice2348

    3 жыл бұрын

    Unajaribu kutulizA maumivu ulionayo

  • @rayfaakim1920

    @rayfaakim1920

    3 жыл бұрын

    @@onesmojustice2348 mm na nyinyi nanii ana maumivu nyinyi si mlijua mmeshinda kwa kupewa penat sisi tumechomoa tena bao la haliri kabisaaaaaa

  • @onesmojustice2348

    @onesmojustice2348

    3 жыл бұрын

    @@rayfaakim1920 Leo mmebaki sharubu tu uwanjani

  • @mtatiromgeka7270

    @mtatiromgeka7270

    3 жыл бұрын

    Yani refa nyongo kweli kwa simba asnt... Siiiiimbaaaaaa oyeeeeee

  • @rayfaakim1920

    @rayfaakim1920

    3 жыл бұрын

    @@onesmojustice2348 we unachekesha wewe wakati nyinyi ndio Mme umbuka 😂😂😂😂😂 yaniii mlikua mmejua mmesha chukua point 3 ndio mjue kwamba Leo tumewakatisha ndoto zenu za kulipiza kisasi 😂😂😂😂😂😂 kiboko yenu onyango tu mbereko nyinyi mnabebwa mpakaa basiiiiii daaah

  • @kazimilistephano8588
    @kazimilistephano85883 жыл бұрын

    Baracka mpenja alikuleta Tanzania moja kwa moja mbingun bro Najua kucheza na maic 🎤🎤🎤

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud47413 жыл бұрын

    Asante Sanaa chama langu la SIMBA 🙏 kwetu soka kwao majungu 😂😂😂

  • @givenrich5961
    @givenrich59613 жыл бұрын

    zimbwe man of the mechi

  • @stumkemandanje4779

    @stumkemandanje4779

    3 жыл бұрын

    Àq1

  • @nuhusalehe9995
    @nuhusalehe99953 жыл бұрын

    Mwanaume atachelew kula lkn c kulala na njaa this is cmbaaaaa

  • @emanueljosphart4626
    @emanueljosphart4626Ай бұрын

    Moja kati ya Darby tamu imewahi kupigwa na hizi miamba miwili hii game ni fire 🔥🔥🔥

  • @obytobe8783
    @obytobe87833 жыл бұрын

    Kama unamini yanga watakufa like comment hii

  • @guccijackson3055
    @guccijackson30553 жыл бұрын

    Sifa za mashabiki wa bongo 1.kuingia na motokeo 2.kila mtu kocha

  • @NR-ll4sr

    @NR-ll4sr

    3 жыл бұрын

    Hahahahaha true

  • @priscatwaha6982

    @priscatwaha6982

    3 жыл бұрын

    Hahaaaa umeonaeee

  • @kassimngohengo117

    @kassimngohengo117

    3 жыл бұрын

    Ni kwel utasikia kocha huyu hana plan B kwann asibdilishe mfumo aaah uyo anaesema hvy ajui chcht ukimuuliza nan alibd atoke anaemtaja unbk mdomo wazi

  • @guccijackson3055

    @guccijackson3055

    3 жыл бұрын

    @@priscatwaha6982 ndio mrembo

  • @AllyASalum
    @AllyASalum3 жыл бұрын

    Tuachane utani, overall Yanga waliingia kiume sana kwenye mechi hii....high pressing, high intensity, high speed!! Ukiacha porojo za unazi bado ilikuwa mechi ngumu sana kwa Simba... A wake up call kwa mechi za kiume za Champions League.

  • @emmanueljoseph2576

    @emmanueljoseph2576

    3 жыл бұрын

    Ila kubali kwenye penalty refa kawabeba

  • @mohamedjumanne9218
    @mohamedjumanne92183 жыл бұрын

    Man wa mechi aristaria mwamedi huseni uyo mwingine Mme mpata tu

  • @wilsonmukuna3692
    @wilsonmukuna36923 жыл бұрын

    Hizi timu mbili zapendwa sana Tz.

  • @donaldmwahalende4841

    @donaldmwahalende4841

    3 жыл бұрын

    Ndio uko wap

  • @gitressngaga4414
    @gitressngaga44143 жыл бұрын

    Kama unaungana na mie kuwa onyango alistahil umeme na yanga kunyimwa penalty kpnd cha kwanza kwa kumchezea gwarde sapoooo na refa akaamru kona gonga like

  • @saidibwanga1448

    @saidibwanga1448

    3 жыл бұрын

    Umeme gani yondani mbona hakupewa umeme alivyomshika kagere

  • @pendomfinanga283
    @pendomfinanga2833 жыл бұрын

    Yan hii iko namba 5 on trending ni nomaa

  • @isunga1964
    @isunga19643 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣kwenye penaty nimesogeza mbele jamani leo mpaka nimeumwa na kutapika juu Simba baba lao

  • @andrewmwera5879
    @andrewmwera58797 ай бұрын

    The commentator is the man of the match. Just Wow!!!

  • @salumuali8525
    @salumuali85253 жыл бұрын

    Duhh kwa marefa hawa tanzania ye2 itabaki nyuma kisoka

  • @alickomsyani3900
    @alickomsyani39003 жыл бұрын

    Waliokuja kucheki hii game baada ya #MapinduziCup tujuane 😋

  • @neylathmtendanga8930

    @neylathmtendanga8930

    3 жыл бұрын

    Me pia 🤣🤣🤣

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud47413 жыл бұрын

    SIMBA sports club big Team Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @isayasway6867
    @isayasway68673 жыл бұрын

    Mpenja upo vizuri sana

  • @isaackaitira7654
    @isaackaitira76543 жыл бұрын

    Goli la Yanga limetengenezwa maabara refa ni yanga halafu pia sisi simba huyu kocha ana uwezo mdogo sana huyu sven

  • @amirimwanday9814
    @amirimwanday98143 жыл бұрын

    Bodi ya ligi hata muweke waamuzi 10 bado uwezo wawamuzi wetu ni mdogo mno baadhi ya hukumu wanazotoa sio sahihi mchezaji kafanyiwa faulu nje ya 18 lakini mkwaju wa penati unatengwa waongeze umakini

  • @hashimsaid5546

    @hashimsaid5546

    3 жыл бұрын

    Kama Ile ya kagere na yondani siku ile watoka 2-2 alishikwa nje akaangukia ndani jonisia rukya akatoa penalty yanga hawakusema kitu wakarudisha magoli yote na tangu siku ile Simba haijaifunga Tena yanga kwenye ligi ni droo au kufungwa Simba na Morrison

  • @hashimsaid5546

    @hashimsaid5546

    3 жыл бұрын

    Kama Ile ya kagere na yondani siku ile watoka 2-2 alishikwa nje akaangukia ndani jonisia rukya akatoa penalty yanga hawakusema kitu wakarudisha magoli yote na tangu siku ile Simba haijaifunga Tena yanga kwenye ligi ni droo au kufungwa Simba na Morrison

  • @fyekarashid3005
    @fyekarashid30053 жыл бұрын

    Fantastic

  • @Zenajumanne-b3b
    @Zenajumanne-b3b3 жыл бұрын

    Naipenda Sana yanga

  • @omarymaweda4692
    @omarymaweda46922 жыл бұрын

    Asante yanga

  • @muhammedsalim8077
    @muhammedsalim80773 жыл бұрын

    Uyu chama anastahiki kucheza ulaya s. Tanzania. Simba oyeee onyangoooo

  • @nyamuraomary9939

    @nyamuraomary9939

    3 жыл бұрын

    Kwakipi alichokifanya

  • @aishamohammed5347

    @aishamohammed5347

    3 жыл бұрын

    @@nyamuraomary9939 sio lazim afunge kila siku lakin anajua kuuchezea mpira 💯

  • @gracesiwale7066

    @gracesiwale7066

    3 жыл бұрын

    Chama Jana alikuwa bado anaumwa maana jumatano alianguka

  • @athumaniddi5736
    @athumaniddi57363 жыл бұрын

    Mshukuru kuumia beki

  • @chipembelesaid
    @chipembelesaid3 жыл бұрын

    Mpenja uko vizuri kaka.

  • @atupelemsyani7411
    @atupelemsyani74112 жыл бұрын

    Yaani huyu ni fala sijawahi kuona.

  • @ubaaxibrahim896
    @ubaaxibrahim8963 жыл бұрын

    I don’t understand what the commentator is saying but I love it. Love from Somalia 🇸🇴🙌🏽

  • @oslowikedzi9112

    @oslowikedzi9112

    3 жыл бұрын

    Speaking kiswahili language

  • @thomasmichaeldadi

    @thomasmichaeldadi

    3 жыл бұрын

    You love simba 😀 we love you from somalia🇸🇴

  • @stephenziro8530

    @stephenziro8530

    3 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁

  • @yonabenjamini1275
    @yonabenjamini12753 жыл бұрын

    Asante sanaaaa yanga

  • @farfatdemure2784
    @farfatdemure27843 жыл бұрын

    Simba Ni fire🔥🦁❤️✨

  • @allyking0755
    @allyking07552 жыл бұрын

    Yanga tamu

  • @amanirugamba5935
    @amanirugamba59353 жыл бұрын

    Wana inci ni amani form Rwanda not bad

  • @Murtini2023
    @Murtini20233 жыл бұрын

    I really felt for the referee here. Both sets of players feigning injury from the first whistle really. A shame.

  • @mayungalukas1374
    @mayungalukas13743 жыл бұрын

    Big up

  • @aishaabdallah6232
    @aishaabdallah62323 жыл бұрын

    Atimae babu kawafunga wajukuu zakee😆😆😆

  • @seleseleli6239

    @seleseleli6239

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @NR-ll4sr

    @NR-ll4sr

    3 жыл бұрын

    Hahahahaha

  • @omarikombo1410
    @omarikombo14103 жыл бұрын

    Marefa wa Tanzania mungu anawaona nikweli Onyango amemfanyia faul lkn ilikua nnje ya box marefa kueni makini

  • @twalibassaaassaa3525
    @twalibassaaassaa35253 жыл бұрын

    Was nice game

  • @frankmaresa1075
    @frankmaresa10753 жыл бұрын

    Super mpenja

  • @imagethecreator6001
    @imagethecreator60013 жыл бұрын

    daah nikiitazama hii mechi simba ingekula 3-0 kama wachezaji wayanga wangekuwa bora kati ka ufungaji

  • @reymondkelvin2341
    @reymondkelvin23413 жыл бұрын

    Team 254 but yanga mmecheza Chelsea yanga ni 🔥

  • @jumanente4200

    @jumanente4200

    3 жыл бұрын

    Kwasu kwasu fc tz

  • @mudriksalum4895
    @mudriksalum48952 жыл бұрын

    I love you, ssc

  • @yankienoah290
    @yankienoah2903 жыл бұрын

    Duh siamini mikia wametokaje next game mutalokota ku nyavu 🔰💪🏿💨

  • @busnaoman9981
    @busnaoman99813 жыл бұрын

    Ww chama biriyan ikowap😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nassibuboniphace4081
    @nassibuboniphace40813 жыл бұрын

    Man of the match ni refa hiii leo simba oyeee Tanzania hatuna marefa kabisa

  • @augustinewilliam8281

    @augustinewilliam8281

    3 жыл бұрын

    Nakubali mwanangu

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud47413 жыл бұрын

    Asanteee Sanaa chama langu la SIMBA 🙏 kwetu soka kwao majungu 😂😂😂

  • @deejrteamsimba6671
    @deejrteamsimba66713 жыл бұрын

    Usije na clips kwenye mpira😂😂baraka shikamo💪🔴

  • @chiyughajr.9968
    @chiyughajr.99683 жыл бұрын

    Kwahiyo Jimmy Kindoki ameiweka wapi button ya Babu Onyango? Yanga mnafungwa na beki wakati kikosi chote kimerudi kulinda goli...

  • @ikouwasi7644

    @ikouwasi7644

    3 жыл бұрын

    Nyie wenye washambuliaji mbona hakuna aliyefunga

  • @adearsalum9932

    @adearsalum9932

    3 жыл бұрын

    Aliekwambia beki hawez kufunga nani?

  • @lovenesskalenge2683
    @lovenesskalenge26833 жыл бұрын

    Hakika Mungu umeonyesha kwamba wewe ni mkuu Sanaa. Kulikoni hao nyau🙏🙏🙏 Yanga oyeee .

  • @smartboy-cd3qn

    @smartboy-cd3qn

    3 жыл бұрын

    Yang ipi

  • @lovenesskalenge2683

    @lovenesskalenge2683

    3 жыл бұрын

    @@smartboy-cd3qn smba ipi

  • @asikurodgers8524
    @asikurodgers85243 жыл бұрын

    It is best daby ever

  • @chapaulingeproduction4768
    @chapaulingeproduction47683 жыл бұрын

    Venance Chapaulinge.Arusha City.@azamtv Ninaomba mechi kubwa kama hii muwe mnaongeza muda wa highlights iwe japo dk 30 ili turudie kuona mchezo kwa upana kidogo.Asanteni sana kwa burudani mnayotupatia cc tulio mbali na Dar.

  • @richardjuma7708
    @richardjuma77083 жыл бұрын

    Pila birian naona mmeliona watu wamepigiwa mbungi la hatariii This is Simba

  • @hassanmohamedi7585
    @hassanmohamedi75853 жыл бұрын

    Sura znawashukaa wananchii jasho linawatokaaa😀😀😀😀

  • @mariammmuni8765

    @mariammmuni8765

    2 жыл бұрын

    😆😆😆😆

  • @athumaniddi5736
    @athumaniddi57363 жыл бұрын

    Mmeongea sana kwa kuumia beki yetu tulieni mtaona around ya2

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr3 жыл бұрын

    Good game

  • @issadigo4776
    @issadigo47763 жыл бұрын

    💥💥💥💥

  • @ratifasalumu4021

    @ratifasalumu4021

    3 жыл бұрын

    Penat mumewa kuongeza goli lingine mmeshndwa mnatakaje

  • @mohamedjumanne9218
    @mohamedjumanne92183 жыл бұрын

    Man of the mech huseni zibwe

  • @djbensntz7981
    @djbensntz79813 жыл бұрын

    Like za Simba na yanga

  • @HilarioCosta-up6kc
    @HilarioCosta-up6kcАй бұрын

    ❤🎉 wewe utaniuwa

  • @evamariadaudi5038
    @evamariadaudi50383 жыл бұрын

    Simba wameujaza uwanja

  • @jihanytours3556
    @jihanytours35563 жыл бұрын

    No penalty ile n nje ya box ...........

  • @y.n.wsalim8253
    @y.n.wsalim82533 жыл бұрын

    Mchezo mtamu kweli kweli love you from Kenya

  • @abbyadams8691

    @abbyadams8691

    3 жыл бұрын

    Vp huwa mnaweza kutazama derby ya Simba na Yanga mkiwa Kenya?

  • @y.n.wsalim8253

    @y.n.wsalim8253

    3 жыл бұрын

    @@abbyadams8691 Highlights za Azam sports

  • @nicksonluoga2972
    @nicksonluoga29723 жыл бұрын

    Safi

  • @franciskavyega280
    @franciskavyega2803 жыл бұрын

    CHAMA where is biriani CHAMA 😅😅😅 hahaha

  • @happyjohn5882

    @happyjohn5882

    3 жыл бұрын

    Nadhani walimtoa mchezonii

  • @nasibujanga8194
    @nasibujanga81943 жыл бұрын

    Marefa wanazingua sana niupuuz mtupu mpira mkar ila marefa washenzi kabisa sijui mwalimu wao nani

  • @ignaskifunda8847

    @ignaskifunda8847

    3 жыл бұрын

    Kaxomee ww

  • @emanuelnyanja7558
    @emanuelnyanja75583 жыл бұрын

    Hatari sana

  • @aibanijr65
    @aibanijr653 жыл бұрын

    Aseeh zibwe junior siyo mchezo,

  • @dechaggagirl1614
    @dechaggagirl16143 жыл бұрын

    Napenda tuu kuona hapo chama anavoingia😋😋😋😅😂😂cjutii kuipenda simba yanguu

  • @gracesiwale7066

    @gracesiwale7066

    3 жыл бұрын

    Simba baba lao wakiwai sisi tunachomoa eti sura zime watoka

  • @wisleynzogela2270

    @wisleynzogela2270

    3 жыл бұрын

    Chama kamzid kisinda paref

  • @dechaggagirl1614

    @dechaggagirl1614

    3 жыл бұрын

    @@gracesiwale7066 ni fayaa tuwaombee huko nigeria kutoka na ushindi🦁🦁🦁🔥💪💪

  • @onesmojustice2348

    @onesmojustice2348

    3 жыл бұрын

    Mechi hii tk alikuwa vizr kuliko chama wenu huyo

  • @shabanisaid7888

    @shabanisaid7888

    3 жыл бұрын

    @@onesmojustice2348 chama ni mwalimu wa soka

  • @dabimha8866
    @dabimha88663 жыл бұрын

    naanza na azam tv lazima mjifinze kuwa wakweli referee blunder ndio imeipa yanga goli yanga leo soo many controversial decision zimewa beba yanga. ki kweli leo referee kaharibu pambano lwa kiwango kikubwa. Finally simba juu ya kua na too many injuries wameonesha ubora wa hali ya juu

  • @jameswitandala845
    @jameswitandala8453 жыл бұрын

    Noma Sana simba

  • @shabanisoya0795
    @shabanisoya07953 жыл бұрын

    Safi sanaaaa

  • @kacherosimba5762
    @kacherosimba57623 жыл бұрын

    Kudadeki kumbe simba ndio wame jaza uwanja kisha kunakuja kunguni mmoja ana sema yanga wana jaza uwanja pumbavu na nusu 🤣🤣tena mshukuru refa

  • @adearsalum9932

    @adearsalum9932

    3 жыл бұрын

    Sasa Ndugu yangu ivyo ndio Simba wamejaza uwanja? Mmh mapenzi kweli yananguvu

  • @shamilabakari6420

    @shamilabakari6420

    3 жыл бұрын

    @@adearsalum9932 yaani nusu na robo ni mashabuki wa simba tena cjui marefa kwa nn awakomi kuwapa matokeo utopolo

  • @kacherosimba5762

    @kacherosimba5762

    3 жыл бұрын

    @@adearsalum9932 naile sehemu yenu tunge ijaza nikwavile mechi hii sisi ndio wageni

  • @senduyejeremiah8931
    @senduyejeremiah89313 жыл бұрын

    Hao ndio yanga jamani

  • @aminata3702

    @aminata3702

    2 жыл бұрын

    🤡

  • @storytime1204
    @storytime120413 күн бұрын

    Sema yanga bora iliaza kuonekana hapa

  • @saidimsangi7250
    @saidimsangi72502 жыл бұрын

    Baraka Edson mpenja n bonge la mtangazaj for real

  • @haroldshangali1486

    @haroldshangali1486

    Жыл бұрын

    Msim a che kisinda

  • @davidchalambo2373
    @davidchalambo23733 жыл бұрын

    Faridi faridi dah!

  • @athunaathuman3968

    @athunaathuman3968

    3 жыл бұрын

    Yangu vs Simba 2017

  • @fabiandanielkatikiro1478
    @fabiandanielkatikiro14782 жыл бұрын

    💛💚💛💚💚💚💚💚💪💪

  • @iqramkimji726
    @iqramkimji7263 жыл бұрын

    Azam pls Tuwekeeni FULL MATCH

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela75413 жыл бұрын

    Ni moto

  • @peterngatunga2153
    @peterngatunga21533 жыл бұрын

    Washukulu mungu hao mijusi

  • @cardosozacarias8582
    @cardosozacarias85823 жыл бұрын

    Onde esta Carlinhos

  • @mwinyiherymohamed5308

    @mwinyiherymohamed5308

    3 жыл бұрын

    He is sick

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad50433 жыл бұрын

    Mungu ibariki Dar YANGA African Oyeeeeeeee

  • @furahnfrenkjozyjolpn9539

    @furahnfrenkjozyjolpn9539

    3 жыл бұрын

    Smb mtanteseka san

  • @luumartin296

    @luumartin296

    3 жыл бұрын

    Mungu silinde yanga

  • @shidandekela4348
    @shidandekela43483 жыл бұрын

    Yes

  • @alphonceassenga4596
    @alphonceassenga45963 жыл бұрын

    Refa kajitahidi Sana kuumudu mchezo . Anastahili pongezi . Nyie mnaomkosoa nendeni ninyi uwanjani mkawe waamuzi ndo muone mziki wake.

  • @msyanituntufye3441

    @msyanituntufye3441

    3 жыл бұрын

    Mmh wewe ni utopolo @ nyani fc na goli la kupewa waj...nga sana nyie

  • @alphonceassenga4596

    @alphonceassenga4596

    3 жыл бұрын

    @@msyanituntufye3441 Akili yako ndogo sana.

  • @alliykhamis5601
    @alliykhamis56013 жыл бұрын

    Eti ndevu za further

  • @seurisilanga1997
    @seurisilanga19973 жыл бұрын

    Young African

  • @abdulkhashim5089
    @abdulkhashim5089 Жыл бұрын

    Tunaoirudia leo sku ya simba day 2023 tujuane kwa like 👍

  • @johnnyarara2711
    @johnnyarara27113 жыл бұрын

    Simba 1;yanga 0; refa 1

  • @collinskinyamagoha4781

    @collinskinyamagoha4781

    3 жыл бұрын

    Nyani haoni kundule kumbee.....ile y kagere ckuile ilkuwaje

  • @goodvibetvbk7703

    @goodvibetvbk7703

    3 жыл бұрын

    😁😁😁 sahh kak

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice23483 жыл бұрын

    Yaani katika wachezaji ambao hawana faida yanga farid

  • @abdulkheri7322

    @abdulkheri7322

    3 жыл бұрын

    Onesmo bro pinga kauli yko

  • @ommyakili552

    @ommyakili552

    3 жыл бұрын

    Nitakutukana ujue

  • @granuskazimoto225
    @granuskazimoto2252 жыл бұрын

    Keeptap

  • @marcsthinker3882
    @marcsthinker38823 жыл бұрын

    Tuacheni utani Onyango ni shida

Келесі