Magoli | KMC 1-4 Simba | NBC Premier League 24/12/2021
Спорт
Kibu Denis amefunga magoli mawili wakati mabingwa watetezi wa #NBCPremierLeague Simba SC wakiitandika KMC mabao 4-1, kwenye Dimba la Ali Hassan Mwinyi, Tabora.
Katika mchezo huo ambao KMC walikuwa wenyeji na kuuchagua uwanja huo, goli lao pekee limefungwa na Abdul Hillary dakika ya 41 huku Mohamed Hussein Zimbwe Jr na Joash Onyango wakiwa wa kwanza kufunga magoli mawili ya Simba
Пікірлер: 387
I love Simba, thanks playerz, thanks KibuD.,
Hii itakuwa Zaid ya Barca mwkani yaani Kuna chemistry yenye strong bond ambyo kuivunga itabidi ucheze Zaid ya dk 145 Sasa jiulize itakuwa je Merry Christmas to all Simba fans
Kibu Denis umempagawisha Mtangazaji amelia mamaaa weeee😂🤣😂🤣
Simba kikubwa Ni muda TU Mara 5 mfululizo na hawata amini😂😂💞💞💞💞 nembo yenye thamani kubwa Soka la Tanzania
@zalhathasaid2060
2 жыл бұрын
haipingwi
Yule mgambo atakuwa ni Utopolo, sio kwa mitama ile
Fantastic goal from KIBU DENIS
Jifunze quran kusoma kuandik gusa pich yangu hapo kama hautojli
Jaman xikuwah kuangalia live iyo ndo simba dadekiiiiiiiii 🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
Kibu anajitahid mashaallah Simba mkiwapeleka viwanja vibovu wanafanyanga vzur zaid 😘😘😘😜😜
Kuna jamaa amekula mitama hapo🤣🤣
Comment na like nyingi kwangu
@mamavai5469
2 жыл бұрын
MAMAaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Nitamu
Huyo afande anayepiga mshabiki achukuliwe hatua stahikinkwa mujibu wa sheria anatuaibisha Simba ni timu kubwa inatazamwa Africa na ktk mabara mengine haiwezekani anafanya mambo hayo mbele ya camera bila hofu yoyote sio sawa ni aibu kwa taifa achukuliwe hatua
Siiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiimba 🦁🇹🇿
matola amemkosea sana Pablo hakupaswa kufanya sabu bila ya kumshauri kocha mkuu
Wahoooo simba yangu jmn dah raha sana mwendo wa nne sisi hatutaki utani
@mnzavachris5423
2 жыл бұрын
au co
Simba simba simba simba love you
Kuna mwamba kaumaliza mwaka vibaya 🤣🤣 sio kwa mitama hio
@shabanimuya1878
2 жыл бұрын
Bongo nyoso ulaya hawapgi vle
@jacksonyohana248
2 жыл бұрын
Duuuh! jamaa kama anafyeka nyasi vile
@ahz6907
2 жыл бұрын
mtama wa roho mbaya kabisa.huyo askari atakuwa yanga huyo😀
Naipenda sana timuyangu yasimba nguvumoja
Simba mnaruhusiwa kucomment ili tuwe na nguvu moja
Nahisi hapo KMC tatizo ni FAROOQ SHIKALU. HAMNAPO KIPA HAPO
6:35 - 6:47 hiyo mitama kwa shabiki sio poa 😂😂😂😂 “anaua mtu” 😂😂😂😂😂
God bless Simba 🙏🏾 kibu Denis Simba 🦁💪🏻
Naona misukule inateseka sana ipo simba imebebwa mtateseka sana msimu huu Simba nguvu moja
Leo tar 16 aprl kafunga tena km a hlo bna
Ilove simba, napenda mnachokifanya, ila matola baba umekosea sana
Kesho mapeeema naenda nbc na mgoli wa kibu kuchukua mkopo wangu...
Kibu mpira ukikaa mguuni khatar, hongera yke.
Timu gan mabek ndoo wanaanz kufunga tofaut na simba
One team one dream ❣️❣️
Asante sana timu yangu pendwa nguvu 1
Naipenda sana hii channel ya azam huwa inatoa hints za maana sana kwenye mpira.Channel zingne unakuta wao ndio wanasimulia badala ya kuweka video husika.Mnafanya vizuri sana Azam
@josewillson1813
2 жыл бұрын
Hujui kuwa Hawa ndo wamepewa dhamana ya kuonyesha michezo yote kwhy camera zao ni kubwa na nyingi ndomaana clip zao nzur lkn Wangn hawana hizo camera wanapiga picha au kurekod kama unavorekod na Simu yako Sasa unategemea utapata video nzur?
Huyo askari aliyempiga mitama shabiki ....aangaliwe.
Mpenja Wewe ni noma nembo tamu kolea
Uyu mgambo achunguzwe! Bila shaka atakuwa Yanga uyu!
Power Driven shot it doesn't need slow motion yaan unaharibu ladha yake 🙌🙌🙌
Ila nyie Suma nyie Asa mtu kaenda kumsika mtu kutokana na kazi nzuri Ya kufunga goli we unampiga mabuti wapi uliona.! Haitakiwi shabiki kufanya vile lakini sio umpige unampiga vile mwisho mje mkutane maeneo uchezee kichapo mwenzenu yalimkuta kwa uchebe alikula kichwa mpaka balet ikamvuka Asa nyie kuvaa hizo yuniform mnajikuta mmemaliza sijui mpoje migambo nyie Dah
Matola ni msege sana anafanya sabu wawa timu Haijazidiwa/Mtangazaji mpenja Amelia EeeeeeEeee mamaaamaaamaaaaa na utamu umekuingia wote Kule nje watu wanakula buti mashuti 🤣🤣🤣🤣👉🤳
Kibuuuuuuuuuuuuu mamaa mamaweeee 🤣🤣
Hili Goli la nne tulikuwa hapa kibanda umiza mpaka mashabiki wa Utopolo walilishangilia
@fatumasophu5855
2 жыл бұрын
Haaaaah haaaaah jamaniiii
@aronpaul2331
2 жыл бұрын
Wataelewa tuuu kidimbwii kuwq simba another level tm 🤣
@zakiahamisi9840
2 жыл бұрын
Weeee kweli!???
@jovovichmedia9424
2 жыл бұрын
@@zakiahamisi9840 kweli kabisa
@zakiahamisi9840
2 жыл бұрын
@@jovovichmedia9424 wataelewa tu na bado
Kibu tumemuharibu wenyewe kwa kumsemasema akakosa kujiamini.
Kibu ni 🔥🔥
Baraka mpenja inanikosha
Perfect excution
Kibu Denis ndo ameanza mtakubali tu
Hao mgambo ni wametumia nguvu kubwa kupita kiasi. Itakuwa ni mashabiki wa yanga
Mitama ya mgambo
NO BODY CAN STOP REGAE, BECAUSE REGAE IS STRONG, NO BODY CAN STOP KIBUUU, BECAUSE KIBU IS STRONG 🤣🤣🤣 MUNGU ASANTESANA KWA USHINDI HUU
Mgambooo matumizi yanguvuu yaniniiii jamanii kwa mtihuyuu hatujapendaa bwanaa
#Shikhalo kipa mzuri lakin anapaswa kujitasmin magor Mengi anayofungwa yanakaribia kufanana nazan pia ndio chanzo Cha kuachwa na yanga
@octaneallybonge2075
2 жыл бұрын
We sio kwa mashuti hayooo n piaaa ulinz wake n mdgo Wa mabeki
Kmc Fanyeni Mpango wa Kusajili kipa Mwingne Huyo Shikalo Hamna Kitu Hapo
Mpenja kwenye hili goal la 4 la kibu ni kama alipagawa kabisa.
Viva Simba #zawadi tamu ya x-mass 😍🙌💥
Mnyamaa oyeee 🦁
Baraka mpenja unankosha
Huuuuu Mgol wa 4 wa #Kibudenis waweza ukaendanalo uchagan ukapewa mke pasipo kutoa maar hata Mia🤣🤣🤣
Huyu kibu ni Miquissone mtupu
@fatumasophu5855
2 жыл бұрын
Nini eti
Tff, katazeni hawa Suma jkt kupiga watu, hii haipo kabisa na haitakiwi kabisa, askari Kama hawa wavunja Sheria hawaruhisiwi kwenye michezo, mkiwaleta viwanjani wapeni mafunzo kabla, Hongera Simba sports club, hongera wanasimba woteee 🇵🇪🇵🇪🇵🇪🇵🇪🇵🇪🇵🇪🇵🇪🇵🇪🇵🇪🇵🇪🇵🇪🇵🇪, nguvu Moja
@JIWEtv6484
2 жыл бұрын
Hao walinzi ni mashabiki wa yanga
@thabitbakari6733
2 жыл бұрын
@@JIWEtv6484 kukataza kwa kwa kauli njema mtu anaelewa vyema, kuliko kutumia kipigo mtu hajifunzi na ataweka chuki kubwa Sana, na kesho anaweza kua mwenye dharau na hao Suma wote, alafu Suma wanapenda Sana kupiga watu, mbona askari polisi wameacha hayo?
Big up simba ndo maana ya team kubwa
Waoooo Simba yetu 🙏🦁🦁🦁🦁🦁🙏🙏🙏🦁🦁🙏🙏🙏
Hongera sana tim yng
Noma sana simba hii
I love you simbaaa..
Ilove u simbaaaa
Mamamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa weeeeeeeeweeeeeeeeeeee
Hongera sana mnyamaaa
Jamani huyu mgambo ni yanga utopolo huyu 😀
Amani sana. .Amen.
6:33 😂😂😂😂 Kuna mwana anatembezewa kichapo
Sasa hapo huyo shabiki aliyevuka ukuta na kwenda sehem ambayo si kwa ajili yake halafu angemdhuru mchezaji hapo haijalishi awe wa tim gani ndo ungeona tofauti ya kutumia nguvu ambayo kiukweli ndo huonyesha tofauti kati ya raia na Askari na kumchekea na kumuacha eti kisa ana mihemko ya furaha ya ya tim yake kushinda,aisee bora ya nusu shali kuliko shali kamili,binafsi nampa kongore Askari kwa kulinda makubaliano tumekula kiapo mjue namsituzoee
KIBU on fire
Baracka Mpenja aiseeee....simba nguvu moja
Good- SimbAaaa sc🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍
Kibu is the next magician striker, Bocco apumzike tu
@mnzavachris5423
2 жыл бұрын
dirisha la usajili bado halijaisha
@mahengomwenyewe4204
2 жыл бұрын
Leo limekaa shati kibu anaonekana mfungaji magoli yenyewe shikalo alikua anaukwepa mpira kibu bado chizi tu
This is simba
I love you simbaaaa
This is simbaaaa💪💪💪
Raha sana Kwa Simba hii jaman SIMBA NGUVU MOJA 💪💪💪💪💪💪💪
Eh! yule mgambo kamkata funua shabiki alievamia uwanjani 🤣🤣
Askari unapo wekwa sehem ama Pahala bc jua umeaminiwa kutunza amani kwann wacnge acha wawe mashabiki na wachezaj kisha wacwepo askari ....nijambo sahihi kwa nafc yake
KIBUUU
Uyo shabiki wa kolo goli la nne ayo mashuti alopewa🤣🤣🤣🤣
Acha inyeshe tuone panapovuja💪💪💪😝😀😀😀😀
Weeeee👏👏👏👏👏
Hongeren Wana simbanz
Ili kapombe linaniuzi kukwepa mipira ya kichwa sijui lina nini kichwani ??
💪 one Love simba
Simba ni💥💥
Raha sana
Big it
Power power
Magoli Bora ya N B C
Dah ila huo mtama atakuwa shabiki wa utopolo huyo Afande
Wow
Achana na gori la nne kwa mbali kuna mitama inaendelea mshabiki na askari 😄🤣😂
Simba noma😙😙😙😙😙
Nakukubali kibu
Kwanini Wawa na Pablo wasikae chini wakamaliza tofauti zao
KMC Mnafungwa na wagonjwaa,
Likuruka linazuga tu lakini linaogopa kichwa chake kupiga mpira sijui kichwa kinamajipu kuna kapombe na wawa vichwa vyao sijui vina nini ??
Ongereni