MAFUNDISHO: " SOKO LA PESA" - ⭐️⭐️⭐️⭐️⭐️ - PART 1 - GeorDavie TV
KINGDOM IDEAS FOR “MONEY MARKET/SOKO LA PESA” ⭐️⭐️⭐️⭐️⭐️
(AKILI YA UFALME KUHUSU “MKONDO/NJIA ZA PESA” MONEY TRAIL/PATH)
*****
DUNIA IMEFAULU KUCHUKUA PESA ZA WATU WA MUNGU KWA NJIA YA MANUNUZI
ILA WATU WA MUNGU HAWAJAFAULU KUCHUKUA PESA ZA WATU WA DUNIA KWA NJIA YA MAUZO *****
“Hakika kuna shimo wachimbako fedha, Na mahali wapatapo dhahabu waisafishayo.”
AYU. 28:1
LAKINI KWANZA NI LAZIMA UJUE JINSI YA KUIDHIBITI NAFSI YAKO
mwenye kudhibiti nafsi yake;”
TIT. 1:8
NDIO MAANA YESU ALISEMA MSIULIZE ULIZE KWA AJILI YA NAFSI
25. “Kila kitu kiuzwacho sokoni kuleni, bila kuuliza-uliza, kwa ajili ya dhamiri;
26. maana, Dunia ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo.”
1 KOR. 10:25-26
By The LandMark Senior Prophet of the Equator H.E Dr. GeorDavie
********
+255 784 31 51 91
gdm@geordavie.org
GeorDavie.org
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
Пікірлер: 18
WhatsApp/Piga namba: +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu. Kwa iPhone au Android Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Amina Kubwa nabii mkuu
Jamani hili kanisa lipo Arusha sehemu gani,, na ibada ni siku gani,, na muda ni saa ngapi,, nipo Nairobi
👏👏👏👏👏Saf sana hilisomo zurisana wakiristo wengi wamefungwa na udini bora MUNGU kamleta NABII wake atutoe Kwenye ujinga.
power power power
kweliii baba umenivushaaa sanaa
Nimebarikiwa sana na hili somo
Ameeen
Amen NABII MKUU
Baba mwenyezi MUNGU azidi kukupa afya hekima zako na UPAKO ziwe faraja na baraka kwetu
Namna ya kufika kanisani kwako
Kweli baba
Amen very fruitful lesson.
DAAAH !!,ACHA NIPAMBANE ,LAZIMA NIVUKE NIWE BILLIONAIRE!!!
@leonardkalowela5887
5 жыл бұрын
Nabii ubarikiwa sana mungu akupe miaka mingi
Asante mungu kwa maneno ya nabii wako leo
@dinnajumanne9717
5 жыл бұрын
Naomba namba zake
Fanuel mbona part2 hatuioni ?