Mafundi Rangi Mwanza wakutanishwa na Magic Builders International Ltd, Washinda Pikipiki

Kampuni ya Magic Builders International Ltd, kama kawaida jana waliandaa Semina ya Mafundi Ujenzi Jijini Mwanza iliyofanyika katika ukumbi wa Kwa Tunza na Mafundi Takriban 15000 walihudhuria katika Semina hiyo. Mbunge wa jimbo la Ilemela Mhe. Angeline Mabula ndiye alikuwa Mgeni rasmi na alitoa vyeti vya semina hiyo kwa Mafundi pamoja na kugawa zawadi za Simu kwa Mafundi walijibu kwa ufasaha maswali ya Bidhaa zinazozalishwa na Magic Builders International Ltd na Pikiki kwa mafundi walioshida kwa kupakua coupon nyingi zaidi zinazopatikana kwenye kila mfuko wa whiteskim wallputty.
Share, Support, Subscribe!!!
Twitter: / vimbamedia
Facebook: / vimbamedia
Instagram: / vimbamediatz
#HZBMedia #ActiveMedia #VimbaMedia

Пікірлер