Usiache kufatilia darsa hizi kupitia Zanzibar cable Tv,Assalam Tv,Assalam Fm na Hits Fm kila siku kuanzia saa 8:00 mchana hadi saa9:45 Jioni
Жүктеу.....
Пікірлер: 6
@omarmwabege3 жыл бұрын
ماشاءالله بارك الله فيك اخي في الاسلام
@IbrahimIdrisa-tl6wm Жыл бұрын
Wallahi Allah atuhifazi na zinaa sababu watu wengi Sana wamekimbia kucomment hii video kwasababu wengi wetu Ni wazinifu. Allah tuhifazi
@SophiaKassim-pn9wb3 ай бұрын
Huyu sheh anaitwa nani nataka kumjua mtandaoni
@salumkarim695 жыл бұрын
Snte mkurugenzi ..ila sema tu kiongoz. Upo vrry slw kupost tutaisahau channel yko ujue...by mwansho
@IbrahimIdrisa-tl6wm Жыл бұрын
Pia nnaswali sheikh wangu. Hv ikiwa mwanaume anafanya zinaa na mwanamke mmoja tu na mwanamke anafanya zinaa na mwanaume mmoja tu. hii Hali itatokea kwa huyo mwanamke ilihali virus ni waaina moja tu. Naomba jibu sheikh.
@swahibually8349
10 ай бұрын
Hata ukiwa unazini na mwanamke mmoja tuu, Bado ni tatizo kwa sababu,huyo mwanamke atakapoolewa, tayari madhara yatapatikana kwa kua virus waliopo kwa mwanamke watamdhuru yule Mume halali lakini pia watamdhuru na huyo MKE, Mtume amesema;Ukitaka kufanya Jambo lolote:Lifikirie kwanza Mwisho wake,ukiuona huo Mwisho ni mzuri,lifanye na ukiuona ni Mbaya,liache.Kwahiyo hapa tunaona Mwisho wa zinaa ni Mbaya kwa namna yoyote ile.
Пікірлер: 6
ماشاءالله بارك الله فيك اخي في الاسلام
Wallahi Allah atuhifazi na zinaa sababu watu wengi Sana wamekimbia kucomment hii video kwasababu wengi wetu Ni wazinifu. Allah tuhifazi
Huyu sheh anaitwa nani nataka kumjua mtandaoni
Snte mkurugenzi ..ila sema tu kiongoz. Upo vrry slw kupost tutaisahau channel yko ujue...by mwansho
Pia nnaswali sheikh wangu. Hv ikiwa mwanaume anafanya zinaa na mwanamke mmoja tu na mwanamke anafanya zinaa na mwanaume mmoja tu. hii Hali itatokea kwa huyo mwanamke ilihali virus ni waaina moja tu. Naomba jibu sheikh.
@swahibually8349
10 ай бұрын
Hata ukiwa unazini na mwanamke mmoja tuu, Bado ni tatizo kwa sababu,huyo mwanamke atakapoolewa, tayari madhara yatapatikana kwa kua virus waliopo kwa mwanamke watamdhuru yule Mume halali lakini pia watamdhuru na huyo MKE, Mtume amesema;Ukitaka kufanya Jambo lolote:Lifikirie kwanza Mwisho wake,ukiuona huo Mwisho ni mzuri,lifanye na ukiuona ni Mbaya,liache.Kwahiyo hapa tunaona Mwisho wa zinaa ni Mbaya kwa namna yoyote ile.