Tunaoangalia nyimbo hii baada ya kifo cha magu tujuanee😭😭😭
@jumaamfaume7905
3 жыл бұрын
Innalillah Wainnalillah Raji'un
@grorynoel9153
3 жыл бұрын
Mim wakwaza kwakweli hi nyimbo hitakua story milele
@gracekaaya4108
3 жыл бұрын
😭😭
@kelvinmartin6296
3 жыл бұрын
Daaaah yaan acha tu broh
@dismasvalerian6165
3 жыл бұрын
Niko
@chrissjoel77523 жыл бұрын
*Ziliimbwa nyingi kumsifia mwambaa 💪 ila hii nathubutu kusema ndio baba wa zoote nitasikiliza Leo mpaka keshokutwa 😢😢😢😢😢 RIP MAGUFULI*
@jamesmboya17623 жыл бұрын
Ni kama uliona mbali Madee, you praised his good deeds while he was alive....Salute sana! Naisikiliza hii ngoma kila nikipata muda.
@amourtemu3125
Жыл бұрын
Ngoma kali sanaa
@allymdoe734
Жыл бұрын
Ngoma kali sana
@kasimumughuna2013 жыл бұрын
Mliokuja hapa baada ya kifo Cha mwamba wetu JPM tugonge like za R.I.P
@Donrugi3 жыл бұрын
Wangapi tumekuja hapa baada ya msiba wa mh John pombe joseph magufuri 😭😭. PUMZIKA kwa Aman Rais wangu tutakukumbuka daima 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@hamissimonami25193 жыл бұрын
Guys lets make this song goes viral, seriously hii ndo nyimbo bora peke ya udhun na furaha dediket Mh rais john R,I,P
@nkomyajohn42713 жыл бұрын
Kama umegundua wimbo umetabili ya miaka ya mbele, ikiambatana na wafanya kaz Kama Rais magufuli, like plz
@kelvinmhanga30523 жыл бұрын
Ukisikia usanii ndo huu much respect bro you use big think to pruduct that(kelvin kibadango njombe boy ) gonga like twende mbele
@pendowanje87223 жыл бұрын
Madee kwani ulihisi mzee atatutoka,,,,,hii hadithi imekua kweli😭😭pumzika kwa amani Baba yetu Magufuli
@alanmateke56704 жыл бұрын
Kama unaupenda wimbo wa madee namuonekano wake mpya naomba like zenu👍
@charlesrichard7270
3 жыл бұрын
Iyo beat nyuma inaitwa lavie ne mente inahudhunisha sana 😌
@dirakidaramadhani369
3 жыл бұрын
K
@stanlee9541
3 жыл бұрын
D
@vailethfunga268
3 жыл бұрын
@@stanlee9541 tano kwa madee
@emanwelmwambyelaemanwelmwa8962
3 жыл бұрын
izo like mnapata ela au
@lucasmhagama81663 жыл бұрын
Nimerudi hapa kusikiliza hii hadithi baada ya baba yetu kuondoka Pumzika kwa amani Rais wetu😭😭😭😭🙏🙏🙏
@scoobydoo7844
3 жыл бұрын
Bye
@yohanabundala9162 Жыл бұрын
Huu wimbo nilikuaga sijausikiliza vizuri nitaendelea kusikiliza hadi 2100 big Up Madee kwa kutoa bonge la ngoma, R.I.P Magufuli tutakukumbuka daima
@hilamrelated94353 жыл бұрын
Nani kaja hapa baada ya kusikia raisi wetu Magufuli ametutoka🥺
@mussampalo9454
3 жыл бұрын
Mimi
@anzikisweta771
3 жыл бұрын
Mimi
@malayikanepo788
3 жыл бұрын
Tuko hapa
@rahmahassan7510
3 жыл бұрын
Tupo hapa
@simonsweka7305
3 жыл бұрын
2060... Hadithi imekuwa kweli17.3.2021
@saraphinamtagawa16723 жыл бұрын
Naiangalia saiz Mungu mpunguzie adhabu ya kaburi Rais wetu
@FrankMolle11 ай бұрын
2023 bado tunamkumbuka mwamba thank you my brother madii❤❤❤
@Recap123 жыл бұрын
Mzee alifanya mengi kweli daah 😭😭😭
@shamewakitaa67513 жыл бұрын
Rest in Peace Dr John Magufuli akika ulivyotuachia tunaviona Rais Wetu
@danfordmwingira85123 жыл бұрын
Madee tumerud kuhakikisha kama hii nyimbo bado ipo but thanks kwa kuwa na jicho la tatu 👏👏👏
@hassanbusara2773 жыл бұрын
Hii nyimbo Kali Sana ... So much CREATIVITY. respect MADEE
@baltzrluus32873 жыл бұрын
wengi wamemuimbia JPM kwa ajili ya kampeni, ila jamaa ameimba kwa ajili ya kumbukumbu ya kudumu. Nadhani hata wapinzani wamekapenda haka kawimbo sema wanasikilizia utamu kimoyomoyo.
@mobaisa1704
3 жыл бұрын
Iko kikampen hio,, Jiulize kwann wasanii wengi wameimba sifia kipind hik cha uchaguzi
@ahmedishabani9102
3 жыл бұрын
Atakama kikampeni ila jama kaimbasan
@shaabanramadhan6770
3 жыл бұрын
Jamaa m bunifu san
@shaabanramadhan6770
3 жыл бұрын
Hii itaishi san kutokana imemsifia kwa historia yaan nikutu ambacho kitaishi san tofauti na wale walio imba kitu ambacho kilichopo yeye kitu kilitokea kipindi cha ujana wake
@RazzoPopular
3 жыл бұрын
Kabisa yani
@lasconyundo78752 жыл бұрын
I usually listen this song with a lot of emotions till I can not hold my tears, some time many questions I ask myself but we cant rectify what happened. Kilicho baki tutende wema kama yeye kwa huu muda wa neema tuliopewa na Mungu.
@mbcgrams54153 жыл бұрын
Hii ni nyimbo bora sana Madee deserve a trophy for this🙏
@misapinamiswi57513 жыл бұрын
The only song that will always be remembered madee you did with your heart .... may GOD bless you Allah Allah zaidii
@wasaficomedytvamour59773 жыл бұрын
Daaah ngoma Kali Sana nime irudia mala nne na saivi kwenye kichwa changu namba 1 on trending
@kimpalambapj2 жыл бұрын
I don't know what can I comment here to mean my heartfelt appreciations since this is the heaviest creativity. Bravo!
@alinotilucamoris61893 жыл бұрын
Lala salama Magufuli, Mungu akuepushie adhabu za kaburini inshallah 🤲🏾 😭😭❤️
@mohamedmwinyi213
3 жыл бұрын
Kwer mungu ampumzishe uko aliko
@kudratkadawi6881
2 жыл бұрын
💕😭😭😭
@boazmwaipopo86
2 жыл бұрын
Baba umetuacha tunalia watoto wako mpaka wanatufuata masikini kwenye akauti za simu masikini cjui tutunze wapi ela
@keydeemasinga6986
2 жыл бұрын
Madee the legendary.!!!
@salomemlagila57573 жыл бұрын
U wimbo umeniumiza baada ya kifo chake , really story
@lameckgunze63763 жыл бұрын
Kweli "Dunia tunapita" mtu anaona nyumba ya Diamond tu kwene hii nyimbo na ukubwa wa msiba huu duuuh ! R.I.P Mr. PRESIDENT God is LOVE
@inversedelcruise6763 жыл бұрын
Hii ni Kali kuliko zote ulizowahi kusikia, like kama unatamani kufika 2060 in shaa Allah
@abubakaliyahaya2968
3 жыл бұрын
Inshaallah tutafika
@slimpirate60204 жыл бұрын
Huyu ni madee ama Lowasa🤔🤔🤦♂️🙏🙏😂 una shabiki mmoja kutoka 🇰🇪 kenya ❤️❤️🔥🔥🔥👏👏👏 🇹🇿
Kama unaskiliza wimbo huu kpnd hch mpendwa wetu Hayat magufuli ametutoka na kuhuzunika kama mm gonga like twende sawa...maana n wimbo mzuri wa kumuenzi tangia yuko hai mpaka daima na milele
@mahmoudaziz47173 жыл бұрын
Bonge la ngoma madee ally.big up bro saluti legend 🙏🙏💎🇹🇿🇹🇿.gonga like kwa legend never die.🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
@ourafricatv90083 жыл бұрын
😢😢😭😭😭😩😩🤯💔🕊️ nakupenda Magufuli Mungu akulinde huko peponi
@edwingwesso68183 жыл бұрын
Mm nlijua wengi wataipenda hii ngoma kwa siku ya Leo ila ina mda sana
@pamelamarck36233 жыл бұрын
Pumzika baba tulikupenda ila mungu kakupenda zaid daima utabak miyoyon mwetu rest in peace our father❤❤❤❤❤❤
@mohamedmwinyi2133 жыл бұрын
Mungu akuweke mahala Salama jpm umeacha pengo ambalo halito zibika
@yussuphabdul-rahman433 жыл бұрын
Hii ngoma ndio naielewa Leo dah
@feyzalyusuph143 жыл бұрын
Hii ngoma nuksi mzee wote wametoa ila hii kiboko🔥🔥
@Hanskapella3 жыл бұрын
Daaah itabaki kuwa hadithi kweli kwa kizazi kijacho.
@kareemmadusa4039 Жыл бұрын
2023 on air alioiangalia hii ngoma baada ya madee kuacha mziki gonga like hapa
@chimpaanamtemawingo63553 жыл бұрын
Medee umetisha ,nimependa kukuita medi Namaanisha ww Ni maji,umetisha ,bonge moja la song.Ww kweli MR MADEE.
@Anti-zionistboy43273 жыл бұрын
madee vp ulijua mzee wetu atatutoka ama? hii nyimbo pia inatuliza pale baba etu anapo ongelewa vbaya na mazuri mengi tunayaona kwa macho( hakika duniani tunapita tu)
@abubakaliyahaya2968
3 жыл бұрын
Yan m mpka huwa nalia kabisa
@victormarcel40403 жыл бұрын
Dah hii ngoma ndo bora kuliko,madee Msanii aliyeingia studio akasifu kaz ya rais akiwa hai..wasanii wengne unafiki na kufata mkumbo tu kujifanya kutunga nyimbo za sifa baada ya magu kufa..Hii ngoma itaishi..R.I.P MAGUFULI
@myfuraha9363 жыл бұрын
Hii nyimbo nimeijua baada ya msiba. Hakika imebaki hadithi daima tutamsimulia shujaa wetu. R.i.p baba yetu, mtetezi wa wanyonge, rais wetu kipenzi JP Magufuli.
@user-wi7nf2vy4c7 ай бұрын
Nimependa tazama this video kwasababu is like a story book. hakika itaishi .
@kymashatz90044 жыл бұрын
Kati ya walio mwimbia magu wewe umetisha👊 umefanya aidia ya kipekee🙏🙏💵💵💵
@enockyamadeo31004 жыл бұрын
Nani Kagundua Hapo ni Kwa Diamondplatnumz
@semenimtoka1121
3 жыл бұрын
Mm
@tabufredmakunga8436
3 жыл бұрын
Haihusu hiyo
@lulumhadisa7523
3 жыл бұрын
We noma
@yusuphpwagu9834
3 жыл бұрын
🖕🖕🖕🖕🖕👆👆👆
@mwinyimwinyi4763 жыл бұрын
Madee kama ulitabili kifo cha mzee wetu kwa hii ngoma yako lala salama Rais wetu mpendwa
@salumabdullah45623 жыл бұрын
Mwamba hapa umeimba mashairi yanayoishi duh nan karejea hapa 18/03/2021
@AliAbdallahSalim3 жыл бұрын
Lets join hands this hadithi amefariki😭😭😭😭
@marukizungu3 жыл бұрын
Ulikuwa Mbele Ya Muda Bro😭😭😭 R I P JOHN POMBE MAGUFULI
@emmanuelbuyamba853
3 жыл бұрын
Ndiyo maana halisi ya 2060. Hadithi za kale.
@chibuezechibike6696
3 жыл бұрын
Huyu mshikaji kiboko aliona mbali sn punzika kwa Amani RAIS WETU MANGU
@asharajabu4304
3 жыл бұрын
Yani aliona mbali sana, R.i.p kipenzi
@RazzoPopular3 жыл бұрын
Nyimboo Kali kinoma madee unajua Hadi unaboa sema tuu hip-hop bongo haina power hii inabidi iwe 1 trending
@khanboe4585 Жыл бұрын
Sema kaka madee uliimba wimbo mkubwa sana hii ni hadithi
@ampliatusrwegoshora49843 жыл бұрын
I couldn't hesitate tears 😭😭🇹🇿
@officialmrtop10183 жыл бұрын
Niko hapa baada ya interview yako on WASAFI daah heshima yako kabisa
@ampliatusrwegoshora49843 жыл бұрын
Huu wimbo inabidi ufikishe billion viewers kwakweli
@user-cc1lk8up8r4 ай бұрын
Big up Madee i live thes song mn
@onesmonyololo30503 жыл бұрын
Nimekuja kusikiliza kwa makini hadithi ilippotimia r.i.p John Pombe
@ancilangailo68873 жыл бұрын
R.I.P Rais magufuri kwa kweli tutasimulia hadithi sana
@almasially65093 жыл бұрын
Rest In Peace mpendwa wetu magufuli🙏 Mungu anajua jinsi gani watanzania tunavokuombea ulale mahala pema peponi
@koffianodichisesa238 Жыл бұрын
Goma kali sana 💥
@alphonceandrew4733 жыл бұрын
High creadit to this creativity with amazing video respect madee nipe like twende sawa
@masoudseif35153 жыл бұрын
Kama unaamini imebaki hadithi katika nchi yetu basi usiache kulike kwa kumuombea magufuli alale mahala pema Pepon🇹🇿
@muddyhamza96067 ай бұрын
Favorite song all Time🎉
@thadeusmahendeka44663 жыл бұрын
Madee Asante kwa Kumbukumbu nzur kwa Hayat Rais wetu. Hii nyimbo itaishi Milele. Hii ndio Nyimbo bora ya Hayat Rais Magufuli 🙌🏾. #2015 - 2021 was here!!
@adamabdallah60213 жыл бұрын
Huu ni ubunifu wa hali ya juu.... Kama unaamini kwa uwezo wa MWENYEZI MUNGU.. 2050 utakuwa HAI na kuiona tanzania mpya 2020-2050 LIKE NA COMMENT "AMEN"
@husseinally20223 жыл бұрын
Bonge la chupa ujumbe pia ndio nomaaaa kabisa umetisha mze bb
@nestor3843 жыл бұрын
Hongera na asante kwa hii gift baba chonge. Tutaidedicate kwa wajukuu wetu pia. RIP JPM
@vancemoprince4146 Жыл бұрын
Bado tunakukumbuka mzee wetu magufuli 😢😢
@mashudumufamadi42203 жыл бұрын
Rest in peace Magufuli all the way from southy Africa
@mudybestmusic38894 жыл бұрын
kama unaamini madee akizeeka atafanana na mh rowasa ganga like hapa
Baba we mkali hii ngoma itaishi Zaid ya miaka 1000 moyon mwa watanzania
@lisajema7433 жыл бұрын
Madee umetisha kaka hii nyimbo hatari
@mmangahaji79943 жыл бұрын
The story has come true Madee 😢😢😢😢. it pain when you listen the unpredicted thing appear like predicted one.
@salimomary62794 жыл бұрын
Lazima rais akuite ikulu kwa wimbo huu
@uwezoamani22363 жыл бұрын
Hii funga mwaka hii ngoma itaishi milele imeka kama kumbukumbu ya awamu ya tano itaishi sana zaidi ya umli wa madee ova
@daudikalolo75593 жыл бұрын
Hiiiii ndo ngoma kaliiiiii madeeeee we ni chifu💯💯💯💯💯💯
@gitiganiibrahimdanhi76924 жыл бұрын
Ubunifu wa hali ya juu sana hongera #Madee 🔥🔥🔥🔥
@sakinasaidi67433 жыл бұрын
Huyu baba kajua kutuumiza jman💔allah amsameh alipotelezaga
@JaxsonLukuwi-hi8prАй бұрын
2024 Kama unasikiliza gonga like
@lucasjames21023 жыл бұрын
Bonge LA ngoma ngoma Kali mno yan inamsisimuo franiiv inafaa san kusikiliz na kua kumbukumbu ktk maisha yote yenyemuonekano hai na usio kua hai
@simonsweka73053 жыл бұрын
Imekuwa hadith kwli
@ammaherman33912 жыл бұрын
This is a real masterpiece....Madee U kill it bro!!
@yohanamgeyekwa47833 жыл бұрын
Hii ndio tofaut ya wenu na wasanii wenye uwezo mdogo wa kufikiliaa. This is super creativity
@NasimaSaidi-zm4mi Жыл бұрын
Tunamkumbuka shujaa wetu daaah
@getrudabeatusi54414 жыл бұрын
Nyimbo nzuri plus ubunifu bhas ni 🔥🔥🔥
@fadhilifantastic50324 жыл бұрын
Utashangaa video haichezwi #CloudsTV kisa tu kuna nyumba ya #DiamondPlatnumz ndani.. Maisha hayaaa!!!
@donatimr656
3 жыл бұрын
NA WEWE DUME ZIMA KUCHUNGUZA NYUMBA ZA WANAUME WENZIO HUONI AIBU
@ourafricatv90083 жыл бұрын
Pumzika kwa amani Rais wetu Dr John Pombe Joseph Magufuli
@cdadysmart50353 жыл бұрын
Hivi mavocalist wanakwa wapi . Au watu was hiphop sana IQ kubwa ya kufikiria na kuandika bars za hatari..??kipindi cha corona vocalist wakapiga kelele with value less punchline.. TUCHATI YA ROSTAM IKAWA NGOMA ..Now election campaign waimbaji hawana ngoma zaidi ya kubadili melodies za hit zao..MTU MZIMA MADEE Kaonyesha hiphop INA mipango ..BEST ELECTION CAMPAIGN SINGLE AT ALL TIMES ..HOngera bro @madee ..gonga likes kama unaunga mkono hoja ..years teach a lot that days never knew I'm watching this song every now and then ...I'm in USA ..But I'm proud of my mother Country TANZANIA
@anyosisyemwangonji48713 жыл бұрын
Tulio angalia huu wimbo leo tujuane mana mh
@gracekaaya4108
3 жыл бұрын
Ndiyo kwanza nimeuona TBC mchana nikaja kuutafuta uku
@anyosisyemwangonji4871
3 жыл бұрын
Atari sana wenye mziki wao wanaujua
@Manjalino3 жыл бұрын
Huu wimbo sasa ndio naona alichomaanisha madee. R.i.p baba John pombe magufulii
@emmanuelbuyamba853
3 жыл бұрын
Nimeshangaa kuona ni wimbo wa miezi 7 iliyopita.Kweli hii ni 2060.
@saidmungulu70533 жыл бұрын
daaah huu wimbo unanitoa machoz kila nikiusikiliza.. kwel Dunia tunapita tu
@susanruo80874 жыл бұрын
Waow, huyu jamaa atakuwa genius
@valeriabomphe9014 жыл бұрын
ukiacha mazingira mazuri na mashairi yenye usanaa sanifu, ila kiukweli huyu Raisi kila sifa apewayo anastahili, piga makofi kwa Magu!
@allyisaya9106 Жыл бұрын
I'm still waiting this in 2023
@shabirseiph4 ай бұрын
R.I.P magufuli ndo raisi anae ishi katika moyo mpaka leo pumzika kwa amani huko ulipo
@andeboytv78393 жыл бұрын
Dah brother nyimbo ninzur inaladha nzur nimependa merod dah kila nikisikilizaga Vitu vizur kama hivi huwa napata muzuka wakukaa nakufikilia kuanda kitu kizur hakika unaweza father
Пікірлер: 912
Tunaoangalia nyimbo hii baada ya kifo cha magu tujuanee😭😭😭
@jumaamfaume7905
3 жыл бұрын
Innalillah Wainnalillah Raji'un
@grorynoel9153
3 жыл бұрын
Mim wakwaza kwakweli hi nyimbo hitakua story milele
@gracekaaya4108
3 жыл бұрын
😭😭
@kelvinmartin6296
3 жыл бұрын
Daaaah yaan acha tu broh
@dismasvalerian6165
3 жыл бұрын
Niko
*Ziliimbwa nyingi kumsifia mwambaa 💪 ila hii nathubutu kusema ndio baba wa zoote nitasikiliza Leo mpaka keshokutwa 😢😢😢😢😢 RIP MAGUFULI*
Ni kama uliona mbali Madee, you praised his good deeds while he was alive....Salute sana! Naisikiliza hii ngoma kila nikipata muda.
@amourtemu3125
Жыл бұрын
Ngoma kali sanaa
@allymdoe734
Жыл бұрын
Ngoma kali sana
Mliokuja hapa baada ya kifo Cha mwamba wetu JPM tugonge like za R.I.P
Wangapi tumekuja hapa baada ya msiba wa mh John pombe joseph magufuri 😭😭. PUMZIKA kwa Aman Rais wangu tutakukumbuka daima 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Guys lets make this song goes viral, seriously hii ndo nyimbo bora peke ya udhun na furaha dediket Mh rais john R,I,P
Kama umegundua wimbo umetabili ya miaka ya mbele, ikiambatana na wafanya kaz Kama Rais magufuli, like plz
Ukisikia usanii ndo huu much respect bro you use big think to pruduct that(kelvin kibadango njombe boy ) gonga like twende mbele
Madee kwani ulihisi mzee atatutoka,,,,,hii hadithi imekua kweli😭😭pumzika kwa amani Baba yetu Magufuli
Kama unaupenda wimbo wa madee namuonekano wake mpya naomba like zenu👍
@charlesrichard7270
3 жыл бұрын
Iyo beat nyuma inaitwa lavie ne mente inahudhunisha sana 😌
@dirakidaramadhani369
3 жыл бұрын
K
@stanlee9541
3 жыл бұрын
D
@vailethfunga268
3 жыл бұрын
@@stanlee9541 tano kwa madee
@emanwelmwambyelaemanwelmwa8962
3 жыл бұрын
izo like mnapata ela au
Nimerudi hapa kusikiliza hii hadithi baada ya baba yetu kuondoka Pumzika kwa amani Rais wetu😭😭😭😭🙏🙏🙏
@scoobydoo7844
3 жыл бұрын
Bye
Huu wimbo nilikuaga sijausikiliza vizuri nitaendelea kusikiliza hadi 2100 big Up Madee kwa kutoa bonge la ngoma, R.I.P Magufuli tutakukumbuka daima
Nani kaja hapa baada ya kusikia raisi wetu Magufuli ametutoka🥺
@mussampalo9454
3 жыл бұрын
Mimi
@anzikisweta771
3 жыл бұрын
Mimi
@malayikanepo788
3 жыл бұрын
Tuko hapa
@rahmahassan7510
3 жыл бұрын
Tupo hapa
@simonsweka7305
3 жыл бұрын
2060... Hadithi imekuwa kweli17.3.2021
Naiangalia saiz Mungu mpunguzie adhabu ya kaburi Rais wetu
2023 bado tunamkumbuka mwamba thank you my brother madii❤❤❤
Mzee alifanya mengi kweli daah 😭😭😭
Rest in Peace Dr John Magufuli akika ulivyotuachia tunaviona Rais Wetu
Madee tumerud kuhakikisha kama hii nyimbo bado ipo but thanks kwa kuwa na jicho la tatu 👏👏👏
Hii nyimbo Kali Sana ... So much CREATIVITY. respect MADEE
wengi wamemuimbia JPM kwa ajili ya kampeni, ila jamaa ameimba kwa ajili ya kumbukumbu ya kudumu. Nadhani hata wapinzani wamekapenda haka kawimbo sema wanasikilizia utamu kimoyomoyo.
@mobaisa1704
3 жыл бұрын
Iko kikampen hio,, Jiulize kwann wasanii wengi wameimba sifia kipind hik cha uchaguzi
@ahmedishabani9102
3 жыл бұрын
Atakama kikampeni ila jama kaimbasan
@shaabanramadhan6770
3 жыл бұрын
Jamaa m bunifu san
@shaabanramadhan6770
3 жыл бұрын
Hii itaishi san kutokana imemsifia kwa historia yaan nikutu ambacho kitaishi san tofauti na wale walio imba kitu ambacho kilichopo yeye kitu kilitokea kipindi cha ujana wake
@RazzoPopular
3 жыл бұрын
Kabisa yani
I usually listen this song with a lot of emotions till I can not hold my tears, some time many questions I ask myself but we cant rectify what happened. Kilicho baki tutende wema kama yeye kwa huu muda wa neema tuliopewa na Mungu.
Hii ni nyimbo bora sana Madee deserve a trophy for this🙏
The only song that will always be remembered madee you did with your heart .... may GOD bless you Allah Allah zaidii
Daaah ngoma Kali Sana nime irudia mala nne na saivi kwenye kichwa changu namba 1 on trending
I don't know what can I comment here to mean my heartfelt appreciations since this is the heaviest creativity. Bravo!
Lala salama Magufuli, Mungu akuepushie adhabu za kaburini inshallah 🤲🏾 😭😭❤️
@mohamedmwinyi213
3 жыл бұрын
Kwer mungu ampumzishe uko aliko
@kudratkadawi6881
2 жыл бұрын
💕😭😭😭
@boazmwaipopo86
2 жыл бұрын
Baba umetuacha tunalia watoto wako mpaka wanatufuata masikini kwenye akauti za simu masikini cjui tutunze wapi ela
@keydeemasinga6986
2 жыл бұрын
Madee the legendary.!!!
U wimbo umeniumiza baada ya kifo chake , really story
Kweli "Dunia tunapita" mtu anaona nyumba ya Diamond tu kwene hii nyimbo na ukubwa wa msiba huu duuuh ! R.I.P Mr. PRESIDENT God is LOVE
Hii ni Kali kuliko zote ulizowahi kusikia, like kama unatamani kufika 2060 in shaa Allah
@abubakaliyahaya2968
3 жыл бұрын
Inshaallah tutafika
Huyu ni madee ama Lowasa🤔🤔🤦♂️🙏🙏😂 una shabiki mmoja kutoka 🇰🇪 kenya ❤️❤️🔥🔥🔥👏👏👏 🇹🇿
@msaranga_
3 жыл бұрын
Tunaomba sapoti yako kzread.info/dash/bejne/pZqN2a17m6-Xo7g.html
@godfreykiumbe9675
2 жыл бұрын
😢😢
Nyimbo ni nzuri sana wazo ni kubwa mnooo hongera big thinker MADEEALI
Sema madeee nyimbo nlikua nawaza kwa nn uliipa jina la 2060...Leo nimeelewa pumzika kwa Aman anko magu
@schoolshamba
5 ай бұрын
Mpka nakufa kila nikimmisi magu ntakua nasikiliza. Na kujakukoment kwenye komenti yangu
Hadithi imetimia DAAA MADEE huzuni imetawala 😭😭😭😭😭
Kama unaskiliza wimbo huu kpnd hch mpendwa wetu Hayat magufuli ametutoka na kuhuzunika kama mm gonga like twende sawa...maana n wimbo mzuri wa kumuenzi tangia yuko hai mpaka daima na milele
Bonge la ngoma madee ally.big up bro saluti legend 🙏🙏💎🇹🇿🇹🇿.gonga like kwa legend never die.🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
😢😢😭😭😭😩😩🤯💔🕊️ nakupenda Magufuli Mungu akulinde huko peponi
Mm nlijua wengi wataipenda hii ngoma kwa siku ya Leo ila ina mda sana
Pumzika baba tulikupenda ila mungu kakupenda zaid daima utabak miyoyon mwetu rest in peace our father❤❤❤❤❤❤
Mungu akuweke mahala Salama jpm umeacha pengo ambalo halito zibika
Hii ngoma ndio naielewa Leo dah
Hii ngoma nuksi mzee wote wametoa ila hii kiboko🔥🔥
Daaah itabaki kuwa hadithi kweli kwa kizazi kijacho.
2023 on air alioiangalia hii ngoma baada ya madee kuacha mziki gonga like hapa
Medee umetisha ,nimependa kukuita medi Namaanisha ww Ni maji,umetisha ,bonge moja la song.Ww kweli MR MADEE.
madee vp ulijua mzee wetu atatutoka ama? hii nyimbo pia inatuliza pale baba etu anapo ongelewa vbaya na mazuri mengi tunayaona kwa macho( hakika duniani tunapita tu)
@abubakaliyahaya2968
3 жыл бұрын
Yan m mpka huwa nalia kabisa
Dah hii ngoma ndo bora kuliko,madee Msanii aliyeingia studio akasifu kaz ya rais akiwa hai..wasanii wengne unafiki na kufata mkumbo tu kujifanya kutunga nyimbo za sifa baada ya magu kufa..Hii ngoma itaishi..R.I.P MAGUFULI
Hii nyimbo nimeijua baada ya msiba. Hakika imebaki hadithi daima tutamsimulia shujaa wetu. R.i.p baba yetu, mtetezi wa wanyonge, rais wetu kipenzi JP Magufuli.
Nimependa tazama this video kwasababu is like a story book. hakika itaishi .
Kati ya walio mwimbia magu wewe umetisha👊 umefanya aidia ya kipekee🙏🙏💵💵💵
Nani Kagundua Hapo ni Kwa Diamondplatnumz
@semenimtoka1121
3 жыл бұрын
Mm
@tabufredmakunga8436
3 жыл бұрын
Haihusu hiyo
@lulumhadisa7523
3 жыл бұрын
We noma
@yusuphpwagu9834
3 жыл бұрын
🖕🖕🖕🖕🖕👆👆👆
Madee kama ulitabili kifo cha mzee wetu kwa hii ngoma yako lala salama Rais wetu mpendwa
Mwamba hapa umeimba mashairi yanayoishi duh nan karejea hapa 18/03/2021
Lets join hands this hadithi amefariki😭😭😭😭
Ulikuwa Mbele Ya Muda Bro😭😭😭 R I P JOHN POMBE MAGUFULI
@emmanuelbuyamba853
3 жыл бұрын
Ndiyo maana halisi ya 2060. Hadithi za kale.
@chibuezechibike6696
3 жыл бұрын
Huyu mshikaji kiboko aliona mbali sn punzika kwa Amani RAIS WETU MANGU
@asharajabu4304
3 жыл бұрын
Yani aliona mbali sana, R.i.p kipenzi
Nyimboo Kali kinoma madee unajua Hadi unaboa sema tuu hip-hop bongo haina power hii inabidi iwe 1 trending
Sema kaka madee uliimba wimbo mkubwa sana hii ni hadithi
I couldn't hesitate tears 😭😭🇹🇿
Niko hapa baada ya interview yako on WASAFI daah heshima yako kabisa
Huu wimbo inabidi ufikishe billion viewers kwakweli
Big up Madee i live thes song mn
Nimekuja kusikiliza kwa makini hadithi ilippotimia r.i.p John Pombe
R.I.P Rais magufuri kwa kweli tutasimulia hadithi sana
Rest In Peace mpendwa wetu magufuli🙏 Mungu anajua jinsi gani watanzania tunavokuombea ulale mahala pema peponi
Goma kali sana 💥
High creadit to this creativity with amazing video respect madee nipe like twende sawa
Kama unaamini imebaki hadithi katika nchi yetu basi usiache kulike kwa kumuombea magufuli alale mahala pema Pepon🇹🇿
Favorite song all Time🎉
Madee Asante kwa Kumbukumbu nzur kwa Hayat Rais wetu. Hii nyimbo itaishi Milele. Hii ndio Nyimbo bora ya Hayat Rais Magufuli 🙌🏾. #2015 - 2021 was here!!
Huu ni ubunifu wa hali ya juu.... Kama unaamini kwa uwezo wa MWENYEZI MUNGU.. 2050 utakuwa HAI na kuiona tanzania mpya 2020-2050 LIKE NA COMMENT "AMEN"
Bonge la chupa ujumbe pia ndio nomaaaa kabisa umetisha mze bb
Hongera na asante kwa hii gift baba chonge. Tutaidedicate kwa wajukuu wetu pia. RIP JPM
Bado tunakukumbuka mzee wetu magufuli 😢😢
Rest in peace Magufuli all the way from southy Africa
kama unaamini madee akizeeka atafanana na mh rowasa ganga like hapa
@msaranga_
3 жыл бұрын
Tunaomba sapoti kzread.info/dash/bejne/pZqN2a17m6-Xo7g.html
Baba we mkali hii ngoma itaishi Zaid ya miaka 1000 moyon mwa watanzania
Madee umetisha kaka hii nyimbo hatari
The story has come true Madee 😢😢😢😢. it pain when you listen the unpredicted thing appear like predicted one.
Lazima rais akuite ikulu kwa wimbo huu
Hii funga mwaka hii ngoma itaishi milele imeka kama kumbukumbu ya awamu ya tano itaishi sana zaidi ya umli wa madee ova
Hiiiii ndo ngoma kaliiiiii madeeeee we ni chifu💯💯💯💯💯💯
Ubunifu wa hali ya juu sana hongera #Madee 🔥🔥🔥🔥
Huyu baba kajua kutuumiza jman💔allah amsameh alipotelezaga
2024 Kama unasikiliza gonga like
Bonge LA ngoma ngoma Kali mno yan inamsisimuo franiiv inafaa san kusikiliz na kua kumbukumbu ktk maisha yote yenyemuonekano hai na usio kua hai
Imekuwa hadith kwli
This is a real masterpiece....Madee U kill it bro!!
Hii ndio tofaut ya wenu na wasanii wenye uwezo mdogo wa kufikiliaa. This is super creativity
Tunamkumbuka shujaa wetu daaah
Nyimbo nzuri plus ubunifu bhas ni 🔥🔥🔥
Utashangaa video haichezwi #CloudsTV kisa tu kuna nyumba ya #DiamondPlatnumz ndani.. Maisha hayaaa!!!
@donatimr656
3 жыл бұрын
NA WEWE DUME ZIMA KUCHUNGUZA NYUMBA ZA WANAUME WENZIO HUONI AIBU
Pumzika kwa amani Rais wetu Dr John Pombe Joseph Magufuli
Hivi mavocalist wanakwa wapi . Au watu was hiphop sana IQ kubwa ya kufikiria na kuandika bars za hatari..??kipindi cha corona vocalist wakapiga kelele with value less punchline.. TUCHATI YA ROSTAM IKAWA NGOMA ..Now election campaign waimbaji hawana ngoma zaidi ya kubadili melodies za hit zao..MTU MZIMA MADEE Kaonyesha hiphop INA mipango ..BEST ELECTION CAMPAIGN SINGLE AT ALL TIMES ..HOngera bro @madee ..gonga likes kama unaunga mkono hoja ..years teach a lot that days never knew I'm watching this song every now and then ...I'm in USA ..But I'm proud of my mother Country TANZANIA
Tulio angalia huu wimbo leo tujuane mana mh
@gracekaaya4108
3 жыл бұрын
Ndiyo kwanza nimeuona TBC mchana nikaja kuutafuta uku
@anyosisyemwangonji4871
3 жыл бұрын
Atari sana wenye mziki wao wanaujua
Huu wimbo sasa ndio naona alichomaanisha madee. R.i.p baba John pombe magufulii
@emmanuelbuyamba853
3 жыл бұрын
Nimeshangaa kuona ni wimbo wa miezi 7 iliyopita.Kweli hii ni 2060.
daaah huu wimbo unanitoa machoz kila nikiusikiliza.. kwel Dunia tunapita tu
Waow, huyu jamaa atakuwa genius
ukiacha mazingira mazuri na mashairi yenye usanaa sanifu, ila kiukweli huyu Raisi kila sifa apewayo anastahili, piga makofi kwa Magu!
I'm still waiting this in 2023
R.I.P magufuli ndo raisi anae ishi katika moyo mpaka leo pumzika kwa amani huko ulipo
Dah brother nyimbo ninzur inaladha nzur nimependa merod dah kila nikisikilizaga Vitu vizur kama hivi huwa napata muzuka wakukaa nakufikilia kuanda kitu kizur hakika unaweza father
@marnasaid7710
3 жыл бұрын
Ngoma iko vizur saana beat ndo usipimeee