Maarifa - Sio Mjadala (UnOfficial Audio) 2017

Музыка

#Siomjadala #Maarifa
Maarifa - Sio Mjadala (UnOfficial Audio)

Пікірлер: 52

  • @Ciphalee
    @Ciphalee3 жыл бұрын

    sasa nisipo like nifanyaje au ni comment

  • @shabanjohn5081
    @shabanjohn50815 жыл бұрын

    Maarifa bro m nimeanza kukufatilia kitamb n kil ngom lzm ni download bless 🙏 unajua yan hip hop yako n ya kinyamwez

  • @abdultabris3441
    @abdultabris34412 жыл бұрын

    Wewe nilapa moja kwa mapenzi yamgu

  • @karatatv5327
    @karatatv53273 жыл бұрын

    Marifa ni rap mkubwa hapa tz anamashairi mazito mno

  • @izvibez6823
    @izvibez68235 жыл бұрын

    nanyoosha mkono muone jua mnatazama mkono wangu (shortsightedness)... 👊😎

  • @jamesmaramoko1259
    @jamesmaramoko12595 жыл бұрын

    Yani wewe nibonge la star unajua ?

  • @alisonbeati7990
    @alisonbeati79905 жыл бұрын

    Unajua mpaka una boa bro

  • @leunammeleunamme6019
    @leunammeleunamme60195 жыл бұрын

    We jamaaa unajua sana mistari yako naikubali sana

  • @joycesalum1497
    @joycesalum14975 жыл бұрын

    Hatariiii hiii....yan syo mjadala yaan

  • @eudaudingadu2509
    @eudaudingadu25094 жыл бұрын

    Huyu MTU jamen....sijui kwanin mechelewa kumjua aseee.....fundiiiiii saaaana

  • @captenndunga2102
    @captenndunga21024 жыл бұрын

    Big think nakuelewa sana buda.. komaa hiyo heshima uliyonayo kwa kuheshimu wakubwa uliowakuta kwenye hiyo sanaa usiipoteze ndo inayofanya watu kama kina mwana fa wapo vilevile miaka yote..

  • @raphaellameck6580
    @raphaellameck65805 жыл бұрын

    Nakukubli bro toka dk za maangamizi na siku 10 za maangamizi ntakusapoti bro.. kipaji chako hakijifichi endelea kukaza my best rapper wa Tanzania wengine wanazingua.. keep it up #Tupac ndo wewe ... unasimamia misingi...

  • @Maarifaa

    @Maarifaa

    5 жыл бұрын

    mzukaaa

  • @shedyplatinumz4853
    @shedyplatinumz48533 жыл бұрын

    Kumpata mke sio kazi kazi kumpata mkeo noma Sana 😁😁🔥

  • @musakhamisi1692
    @musakhamisi1692 Жыл бұрын

    Jamaa vizuri

  • @rashidzahaze4917
    @rashidzahaze49175 жыл бұрын

    Nakubali Sana mwamba,,,, kilichobaki ni colavo tyu blood angu

  • @abdulmutwi
    @abdulmutwi6 ай бұрын

    we accepting you marifa continue doing what you're doing collabo remove one song with kg2🎉🎉🎉

  • @KuppeBurrows
    @KuppeBurrows5 жыл бұрын

    Maarifa kibaha fainess

  • @ibrahimedmund2690
    @ibrahimedmund26905 жыл бұрын

    qali kichiz kamaa unakubali hili gonga like

  • @shabaniibadi4578

    @shabaniibadi4578

    4 жыл бұрын

    Maarifa ni balaaa

  • @kingbcm9408
    @kingbcm94085 жыл бұрын

    wanatazama mkono haahhah unajaua

  • @reubzdullahboymusic685
    @reubzdullahboymusic6855 жыл бұрын

    Hu sio mjadala maarifa flow kali

  • @mussarwambo8463
    @mussarwambo84633 жыл бұрын

    Fundiiiiiii maarifa mtoto wa baba

  • @EddieNabil250
    @EddieNabil2505 жыл бұрын

    Blessings

  • @MARY-bt1zm
    @MARY-bt1zm4 жыл бұрын

    Hapa hamna mjadala maana sio mjadala... mistari kali🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @eliaernesty8084
    @eliaernesty80845 жыл бұрын

    Nomaaaaa

  • @deniyotv202
    @deniyotv2025 жыл бұрын

    mariifa

  • @mkali4real112
    @mkali4real1124 жыл бұрын

    Hakuna mjadala ww ndo kichwa cha Hip Hop

  • @edwardrichard9611
    @edwardrichard96115 жыл бұрын

    Utaimba sana hvyo unavyoimba

  • @yessecharles7196
    @yessecharles71964 жыл бұрын

    daaah aisee uyu jamaa ni nouma sana big up

  • @mwetamweta8433
    @mwetamweta84335 жыл бұрын

    huyu jamaaaa namuelewa Sana

  • @exaveryallen6617
    @exaveryallen66172 жыл бұрын

    Htr 🔥

  • @tadashaclassic7766
    @tadashaclassic77665 жыл бұрын

    Nomaaaaaa

  • @tariqkideu7368
    @tariqkideu73685 жыл бұрын

    Unaweza ukasema jema laia wakaomba ukatike ulimi

  • @Maarifaa

    @Maarifaa

    5 жыл бұрын

    pamoja sanaaa

  • @Maarifaa

    @Maarifaa

    5 жыл бұрын

    kabisa

  • @MrusiMweusi
    @MrusiMweusi Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ramadabasi1700
    @ramadabasi17004 жыл бұрын

    Huu sio mjadala nakuelewa sana mdg wng

  • @mudyklg6238
    @mudyklg62385 жыл бұрын

    mtu na fkra zake

  • @directorjp5783
    @directorjp57835 жыл бұрын

    🔥

  • @halifasaid8343
    @halifasaid83435 жыл бұрын

    Sawa fundi tenzi

  • @yaxcowiz2873
    @yaxcowiz28735 жыл бұрын

    Xkupingi mtoto wa baba

  • @kidafrica_25
    @kidafrica_255 жыл бұрын

    unamistari mikali sana lakini style ambayo unafanya nikimaanisha flow yako niyakizamani sana that ma opnion

  • @mikidadichisala6136

    @mikidadichisala6136

    5 жыл бұрын

    Rap haina uzamani wala usasa...

  • @kidafrica_25

    @kidafrica_25

    5 жыл бұрын

    Sijaitaji mtu aniambie lolote i just said that ma opinion

  • @mikidadichisala6136

    @mikidadichisala6136

    5 жыл бұрын

    @@kidafrica_25 Hii comment ungeibandika katika kuta za gheto lako..

  • @kidafrica_25

    @kidafrica_25

    5 жыл бұрын

    Tufanye ivi ,maarifa ni msanii mkali wa hip hop hana kasoro yoyote poa?

  • @mikidadichisala6136

    @mikidadichisala6136

    5 жыл бұрын

    @@kidafrica_25 Vunga Officer...

  • @Richbwaxs
    @Richbwaxs4 жыл бұрын

    🔥

Келесі