#Maarifa #Achaiwe #Mmb Producers: Pwizle & Rashdon Studio: Active Records & Suprise Maarifa is hiphop artist from Tanzania signed under music label named MMB { Manzese Music Baby }
Жүктеу.....
Пікірлер: 489
@salomecomedyofficial4 жыл бұрын
Bona maarifa Mkali na hajatokea,, ama washirikina wamembania nyota, , Huyu jamaa hatari,,support yangu kwa Maarifa kutoka 254, nakukubali sana
@paulmbonika24593 жыл бұрын
Maarifa, new Suma Mnazaleti, Satule kwako Broda... Fan wa Bongo HipHop niko nyuma yako. Piga kazi mkuu.
@pnstudiostz.5 жыл бұрын
Hilo jina Maarifa umelitendea haki nmependa sana stile yako ya kurap mzee
@clarahcut3michael321
4 жыл бұрын
Kacopy na kupaste nyimbo ya sarkodie ft kk fosu tizama link ya nyimbo hii kzread.info/dash/bejne/p4yj0NqSntiTito.html
@briankiwelu29795 жыл бұрын
Mwanangu wa kibaha,chemba la kwa mathias,MAARIFA big up sana bro.Peperusha bendera ya kibaha wanao wa kwa mathias tupo nyuma yako.Be blessed
@jeremiadalali6845
5 жыл бұрын
Aminia sana
@obadiakapinga53155 жыл бұрын
Tulioletwa na FA tujuane, chupa yangu ya mwez hii
@johnsonbichira13592 жыл бұрын
Oyaee maarifa umeua hakuna rap kamaww wengine wote bad wanaiga nawambie wasiige wataumiaaaa!!!!!
@mudystarog13815 жыл бұрын
Nimekubali sana maarifa umetisha sana unyama kama wote yaani full shangwe ngoma iko poa kabisa nimeipenda
@g5tvkabocho1905 жыл бұрын
Hakuna watu wanafiki kama watanzania hata kama kitu nikizuri wao wana dislike tuuu ..pendeni vya kwenu #MARIFA #DOGOJANJA
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
@AyubuNkilaka9 күн бұрын
Unajua sana mwane tu sema ni malakumi ungekua unatoa kopi
@veryinterestingriddles5 жыл бұрын
Hii ngoma ukiachana na maarifa DOGO JANJA KAIPENDEZESHA SANA 🔥🔥🔥
@bboy93215 жыл бұрын
maarifa your so dope....kwanza unastairi yako yakipekee sana uko vzur big up
@user-ru5vo4sh9n11 ай бұрын
Ooy nyie madogo mnaweza
@michaeljeremiah6345 жыл бұрын
Mpinzani halisi wa young killar...wampe muda mwngi wa kutoa madude nmemsikia #block89 nmekuja mwenyew kutafuta ngoma zake ana*ipaji kikubwa sanaaa big up..
@hassanyghaly8812
5 жыл бұрын
Nyimbo yenyew ni maarifa inajitafsiri
@clarahcut3michael321
4 жыл бұрын
MWIZI MWIZI MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII YAN MMESHINDWA KUTUNGA NYIMBO MPAKA MKAIGA NYIMBO NZIMA YA SIRKODIE FT KK FOSU?!!!!!! LOH, LINK YA ORIGINAL SONG INAITWA WORRIER MLIOCOPY NA KUPASTE NA KUIEKEA LOGO NI kzread.info/dash/bejne/p4yj0NqSntiTito.html. kzread.info/dash/bejne/p4yj0NqSntiTito.html kzread.info/dash/bejne/p4yj0NqSntiTito.html
@michaeljeremiah634
4 жыл бұрын
@@clarahcut3michael321 dah..kwel mzeee ila usimuite mwizi...bana uwez fanya kitu cha pekee yko dunia hii kila kitu kilishwa fanywa mzee....maarifa atabaki kuwa maarifa,uyo mwamba atabaki kuwa uyo tunaheshimu kile alichofanya,salute kwakee
@clarahcut3michael321
4 жыл бұрын
@@michaeljeremiah634 hamna sheria inayosema kumiliki nyimbo ya Mtu bila ruhusa. Ingekuwa ni refix or cover ya nyimbo kweli inakubalika ila kuchukua nyimbo ya Mtu kuiga (copy &paste) afu unaekea logo kama yako then watu wakusifie NO NO NI WIZIIIIIIIIIIII angepay homage kwa the artist mwenye wimbo amae ni sarkodie na kk fosu,
@razackfadhil10305 жыл бұрын
Ngoma Kali mwanaa #achaiwe kwenye trending
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
@vanessafrancis62162 жыл бұрын
Hii ngoma ni kali maarifa endelea kutoa mangoma kali maarifa😀😀😀
@emmanuelkaitabatz5565 жыл бұрын
Kali nilikuwa naisikia tu wasafi FM nikasema huyu ni nani sasa umepata shabiki mpya Mimi hapa
@ridhiwanladdah67995 жыл бұрын
Dude kali la mwaka kwa mataifa yote na sayari zngne......haa haa haa! shout out to Maarifa BigThinker!
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
@allychaye29253 жыл бұрын
Jamaa anaweza sanaa maarifa
@sir.dejemantatz62615 жыл бұрын
Oi, @maarifa thebigthinker, sikia hii ni ngoma kubwa sana amini, acha iwe!! Alipofia ndege hapakoswi manyoya ,nami nikwambie umefia penyewe..👊💙
@Maarifaa
5 жыл бұрын
noma kabisaa
@abdulmohd68805 жыл бұрын
Nishanyimwa nauli na walosema maisha safari, mamae uyu nd Rashid maarifa mtoto wa mama penya iyoooo...
@genesbkimariokimario73575 жыл бұрын
Kama unaamini janjaro kauwa kwenye coras twende sawa ni like hizo
@grasianzabron10625 жыл бұрын
Eyoooomaarifa dah mpaka Keri wadau ngoma hii ya kwenda fanyeni support ya nguvu acha ngoma iende
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
@ivannywizzy51665 жыл бұрын
haaaa dogo janja ww noma hio voice sio poa big up sana
@shairanadam1443
5 жыл бұрын
Ivanny Wizzy mamaeee njaa kauaa na voice mzeee sio poaaa ase
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
@saidimaundi45205 жыл бұрын
Umetisha Mwanangu MAARIFA. Kichupa kimetulia... GO BLESS💣💣💣💣💥💥💥🙏🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥💣💣💣💣💣 #ACHAIWE #Ashukuriwemadee
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
@davisamark85155 жыл бұрын
Daaah rap ya huyu jamaa nimeipenda sana kwa kweli style moja kali sana asee...big up Maarifa
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
@Maarifaa
5 жыл бұрын
shukrani
@kisenaeliasi75815 жыл бұрын
Maarifa hapa utafika mbari
@sephjuma42945 жыл бұрын
"Ubora wa mfuko hutegemea uzito wa Mzigo" ....MAARIFA
@Maarifaa
5 жыл бұрын
kabisaaa
@makangeomary8052
5 жыл бұрын
Sure mzee,
@fristonactary13715 жыл бұрын
Dah iih ngoma ilibidi umuweke @Gazza kichupa kingezid Kunoga ila RESPECT SANA Maarifa 👏👏👏👍
@allykabelwa27694 жыл бұрын
Aliyebadili jalala wakafikiri kapona kichaa
@lazaronkanga20855 жыл бұрын
Alibadili jalala wakazani kapona kichaa...💥💥💥💥 Hizi lyrics Unaeza peleka Egypt na tukashangilia nazo
@Maarifaa
5 жыл бұрын
noma kabisaaa
@austinekabisama5895
5 жыл бұрын
Safiiiii Mdogo wangu
@japhetbarton82685 жыл бұрын
Maarifa kwel umefanana na jina lako Full maunjanja
@samlove18975 жыл бұрын
Umeuwa mwanangu mtaa tusha kiwasha #achaiwe.
@dalechill58215 жыл бұрын
Itakua poa kama na janja nae angechana kama bato fla hv coz janja nae anaweza kutwist ...so far so good ila sio ngoma ya sokoni kwa sasa kwenda international tunahtaji zaid ya hapo.. Fikiria zaidi jinsi ya kupenya sio tuckilize wana gheto.. Madee endelea kimnoa kijana..
Mwanangu janjaroóooo uwiiiiiii sauti ya zege latoko nyumaaa huko,full mzukaa
@elvinsanga87864 жыл бұрын
Makin mzee baba
@baizoboy17195 жыл бұрын
NANI KAJA HAPA KUJITULIZA NA KICHUPA BAADA YA TANZANIA 🇹🇿 KULIWA NA KENYA KENYA huko Egypt 🇪🇬??
@saadyhassany23994 жыл бұрын
Ashukuliwe madee noma sana hyo baba
@tomplexbrigedier22825 жыл бұрын
Tomplex na Maarifa Big Thinker Unaambiwa #ACHAIWE
@TheBraouz4 жыл бұрын
Ii ngoma ingepata melodie nzuri ya chorus, ningekuwa Maarifa ningempa chorus Jux ama Belle 9 afu Janja angechana tu,
@eunicejoseph38705 жыл бұрын
Ni sisi tunaoelewa nn maana ya mziki mzur ndio tunapata raha kuskilza ngoma tamu kama hii
@amarmohd90035 жыл бұрын
Kazaaa mjomba madee nimekubali tunda jipya hilo
@nzenjesmartyboy56715 жыл бұрын
Gd mzee nikuelewaa. Kusingekuwa nanjaa nan angeusamin msosi
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
@juniorjoel3564 Жыл бұрын
Maarifa ya maarifa
@romanusfikiri31944 жыл бұрын
Uyu jamaa balaa lake sio la kitoto,anaflow moja ya ukwel sana.
@hildebrandmsambichaka44825 жыл бұрын
kaz nzuri aseeee,flow zimekaaa mahal lake,
@dogowamwaza851910 ай бұрын
❤❤maarifa ya maarifa❤❤❤❤kibaa kwa Mathias hip hop❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉boom❤❤❤🎉🎉🎉
@ummutaymiyyah67745 жыл бұрын
Fayaaaaa #achaiwe
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
@odaxshombe81385 жыл бұрын
Hii maaarifa ume tisha ,,,,wimbo ni mzuri sanaaaa ila sema nn acha iwe
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
@kelvinmartin62963 жыл бұрын
Ngoma yangu ya kuitia simu hiii
@pierrepaul23094 жыл бұрын
Hiyo style ya rap ni nooooma mzeya
@superwhitetz32585 жыл бұрын
Uwezo mkaliiii Uwezo mkubwa 🔥🔥🔥
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
@donprinceabselhalims74215 жыл бұрын
Kazi nzuri saaaanaaaa Acha Iweeee Home Benga Maarifa
@hamiduwamu83555 жыл бұрын
ashukuliwe madee 🔥🔥
@kidagalagm12955 жыл бұрын
Aaah jamaa anajua mno,maarifa umetisha mbaba
@kiddmokerog32613 жыл бұрын
Mtoto baba ✌✌
@ommybiggie48255 жыл бұрын
uko juu maarifa ila unanyamaza sana ..big up from +254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@clarahcut3michael321
4 жыл бұрын
MWIZI MWIZI MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII YAN MMESHINDWA KUTUNGA NYIMBO MPAKA MKAIGA NYIMBO NZIMA YA SIRKODIE FT KK FOSU?!!!!!! LOH, LINK YA ORIGINAL SONG INAITWA WORRIER MLIOCOPY NA KUPASTE NA KUIEKEA LOGO NI kzread.info/dash/bejne/p4yj0NqSntiTito.html. kzread.info/dash/bejne/p4yj0NqSntiTito.html kzread.info/dash/bejne/p4yj0NqSntiTito.html
@keydeemasinga69863 жыл бұрын
Nimetokea kkkubal mkali. Uko gud can.
@Elimunamalezi5 жыл бұрын
Yaani nilivyosikia sauti la njanjaro safi saana yaani bonge la korasi njanjarooo
@alimasoud48565 жыл бұрын
Saluti kwa janjaroooo mwenye ngoma haonekani kwa kufunikwa duuh kaza sana dogo maarifa ukitaka kutoa ngoma na janjaro unaona ulivyofunikwa kwa korass tu hhhhahha well don janjaro unanifanya nizidi kukuamini
@samidusulemani5371
5 жыл бұрын
We muongo ajamfunika mbona wivu Tu maarifu juiii
@shabbyofficial_
5 жыл бұрын
Acha umama amefunika wapi na wakati haja chana wewe kama unampenda janjaro sawa ila sio kuongea upumbu
@giftkiladay5 жыл бұрын
Kaka hii ya kwenda kabisa mkuu,,
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
@luckmusic8104 жыл бұрын
Yaani noumaaa sana
@tinopaul76035 жыл бұрын
Acha iwe tu ndo nishaaangalia
@pouldominick32034 жыл бұрын
Moja kati ya wasanii ambao cwaelewagi
@MtuSafi5 жыл бұрын
👊nimeielewa kazi. Mimi na Manzese📼 Damdam.Ila naomba uswitch kidogo na soko kijana wangu.Dogo janja alikuwa kama wewe ila kaswitch So keep my advice. Go..go..go.🙏✔
@mwalimubofu4520
5 жыл бұрын
Nakubal sana maarifa uko vizur
@clarahcut3michael321
4 жыл бұрын
Kacopy na kupaste nyimbo ya sarkodie ft kk fosu tizama link ya nyimbo hii kzread.info/dash/bejne/p4yj0NqSntiTito.html
@cdeegwau5513 жыл бұрын
The big thinker...
@juvenalymnyama7355 жыл бұрын
Maarifa anakipaji maalumu namuona mbali sana uyu jamaa akati tamaa Safi sana wana
@taitambat.k60145 жыл бұрын
Jamaa anaflow kinoma sana...... Utaenda mbali bro
@Maarifaa
5 жыл бұрын
InShaAllah
@roobenmwakitalu41335 жыл бұрын
umetisha mzazi
@tariqkideu73685 жыл бұрын
Kichupa kimekaa maarapake 🔥🔥🔥🔥
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
@robertdaudi6462
5 жыл бұрын
Ngoma kali
@comrademlewaisavile3365 жыл бұрын
Kaza Buti maarifa
@yaxcowiz28735 жыл бұрын
Naelewa kazi zako mtoto wa baba
@saadyhassany23994 жыл бұрын
Jmn na me naomben like zenu hp
@seleasama52355 жыл бұрын
Club Banger Hili Big Up Sana Homie
@ismailsuma58585 жыл бұрын
Rrrraaa noma sana 🙌🙌🔥
@acramrich8902
4 жыл бұрын
Mm
@muaribifu_tz65724 жыл бұрын
Chaliangu ii ngoma ni kwre
@nasryshabany72045 жыл бұрын
janjaro umetisha
@IYANIZZO5 жыл бұрын
Genius Si Jini 🔥🔥🔥🏁
@damianmachilutv11672 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua sana ila simskii kupigwa club
@emmajoshtanzania17905 жыл бұрын
Qubaaaaabaqe hiiiiiiiiit🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@michaelpaulo9298
5 жыл бұрын
Kaza buti 😂😂ila dogo janja amekuskot sana kwenye koras
@kaimukomba2392
5 жыл бұрын
maarifa umeuwa kwanza umechana kitofaut ila viwak hawata elewa ila ukweli ngoma nikali sana
@kawimmullah5 жыл бұрын
Nakuaminia maarifa...mtu na fikra zakee..Dogo pia hataree..#wacha_iwe_hit 😂😂
@jamesmushy48122 жыл бұрын
Naakubali broo
@remit57bahati484 жыл бұрын
Nakubal san mwana
@rashidimanga61115 жыл бұрын
Bigthinker
@kingandreemmanuel79085 жыл бұрын
Mmmh MARIFA daaah nimekuelewaa......kanyaga#$$$$
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
@khalidikibakuli1325 жыл бұрын
ngomaa kaliiiiiiiii
@nizarrama2254 жыл бұрын
hawajui ugonjwa ukikubali ni ngumu kuikataa dawa! #Maarifa conscious
@kelvodewriter3 жыл бұрын
bado yadunda kama hivi imetokea leo
@albefapapapy833 Жыл бұрын
Mi ndo baba kwetu😂😂😂😂🙅🔥🔥🔥🔥🔥🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 mtoto wa baba.
@bujiiclassic19644 жыл бұрын
Ila kiukwer dg janja kaua Sana
@dionistindwa74295 жыл бұрын
big up maarifa....💪💪💪
@ahmadimbega61865 жыл бұрын
Iko poa sana mwanangu
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
@mcdericktv72985 жыл бұрын
Maarifa tangu nimekujua sijawahi kuichukia Hip Hop na bongo fleva...hii ni kituuuu🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Пікірлер: 489
Bona maarifa Mkali na hajatokea,, ama washirikina wamembania nyota, , Huyu jamaa hatari,,support yangu kwa Maarifa kutoka 254, nakukubali sana
Maarifa, new Suma Mnazaleti, Satule kwako Broda... Fan wa Bongo HipHop niko nyuma yako. Piga kazi mkuu.
Hilo jina Maarifa umelitendea haki nmependa sana stile yako ya kurap mzee
@clarahcut3michael321
4 жыл бұрын
Kacopy na kupaste nyimbo ya sarkodie ft kk fosu tizama link ya nyimbo hii kzread.info/dash/bejne/p4yj0NqSntiTito.html
Mwanangu wa kibaha,chemba la kwa mathias,MAARIFA big up sana bro.Peperusha bendera ya kibaha wanao wa kwa mathias tupo nyuma yako.Be blessed
@jeremiadalali6845
5 жыл бұрын
Aminia sana
Tulioletwa na FA tujuane, chupa yangu ya mwez hii
Oyaee maarifa umeua hakuna rap kamaww wengine wote bad wanaiga nawambie wasiige wataumiaaaa!!!!!
Nimekubali sana maarifa umetisha sana unyama kama wote yaani full shangwe ngoma iko poa kabisa nimeipenda
Hakuna watu wanafiki kama watanzania hata kama kitu nikizuri wao wana dislike tuuu ..pendeni vya kwenu #MARIFA #DOGOJANJA
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
Unajua sana mwane tu sema ni malakumi ungekua unatoa kopi
Hii ngoma ukiachana na maarifa DOGO JANJA KAIPENDEZESHA SANA 🔥🔥🔥
maarifa your so dope....kwanza unastairi yako yakipekee sana uko vzur big up
Ooy nyie madogo mnaweza
Mpinzani halisi wa young killar...wampe muda mwngi wa kutoa madude nmemsikia #block89 nmekuja mwenyew kutafuta ngoma zake ana*ipaji kikubwa sanaaa big up..
@hassanyghaly8812
5 жыл бұрын
Nyimbo yenyew ni maarifa inajitafsiri
@clarahcut3michael321
4 жыл бұрын
MWIZI MWIZI MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII YAN MMESHINDWA KUTUNGA NYIMBO MPAKA MKAIGA NYIMBO NZIMA YA SIRKODIE FT KK FOSU?!!!!!! LOH, LINK YA ORIGINAL SONG INAITWA WORRIER MLIOCOPY NA KUPASTE NA KUIEKEA LOGO NI kzread.info/dash/bejne/p4yj0NqSntiTito.html. kzread.info/dash/bejne/p4yj0NqSntiTito.html kzread.info/dash/bejne/p4yj0NqSntiTito.html
@michaeljeremiah634
4 жыл бұрын
@@clarahcut3michael321 dah..kwel mzeee ila usimuite mwizi...bana uwez fanya kitu cha pekee yko dunia hii kila kitu kilishwa fanywa mzee....maarifa atabaki kuwa maarifa,uyo mwamba atabaki kuwa uyo tunaheshimu kile alichofanya,salute kwakee
@clarahcut3michael321
4 жыл бұрын
@@michaeljeremiah634 hamna sheria inayosema kumiliki nyimbo ya Mtu bila ruhusa. Ingekuwa ni refix or cover ya nyimbo kweli inakubalika ila kuchukua nyimbo ya Mtu kuiga (copy &paste) afu unaekea logo kama yako then watu wakusifie NO NO NI WIZIIIIIIIIIIII angepay homage kwa the artist mwenye wimbo amae ni sarkodie na kk fosu,
Ngoma Kali mwanaa #achaiwe kwenye trending
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
Hii ngoma ni kali maarifa endelea kutoa mangoma kali maarifa😀😀😀
Kali nilikuwa naisikia tu wasafi FM nikasema huyu ni nani sasa umepata shabiki mpya Mimi hapa
Dude kali la mwaka kwa mataifa yote na sayari zngne......haa haa haa! shout out to Maarifa BigThinker!
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
Jamaa anaweza sanaa maarifa
Oi, @maarifa thebigthinker, sikia hii ni ngoma kubwa sana amini, acha iwe!! Alipofia ndege hapakoswi manyoya ,nami nikwambie umefia penyewe..👊💙
@Maarifaa
5 жыл бұрын
noma kabisaa
Nishanyimwa nauli na walosema maisha safari, mamae uyu nd Rashid maarifa mtoto wa mama penya iyoooo...
Kama unaamini janjaro kauwa kwenye coras twende sawa ni like hizo
Eyoooomaarifa dah mpaka Keri wadau ngoma hii ya kwenda fanyeni support ya nguvu acha ngoma iende
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
haaaa dogo janja ww noma hio voice sio poa big up sana
@shairanadam1443
5 жыл бұрын
Ivanny Wizzy mamaeee njaa kauaa na voice mzeee sio poaaa ase
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
Umetisha Mwanangu MAARIFA. Kichupa kimetulia... GO BLESS💣💣💣💣💥💥💥🙏🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥💣💣💣💣💣 #ACHAIWE #Ashukuriwemadee
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
Daaah rap ya huyu jamaa nimeipenda sana kwa kweli style moja kali sana asee...big up Maarifa
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
@Maarifaa
5 жыл бұрын
shukrani
Maarifa hapa utafika mbari
"Ubora wa mfuko hutegemea uzito wa Mzigo" ....MAARIFA
@Maarifaa
5 жыл бұрын
kabisaaa
@makangeomary8052
5 жыл бұрын
Sure mzee,
Dah iih ngoma ilibidi umuweke @Gazza kichupa kingezid Kunoga ila RESPECT SANA Maarifa 👏👏👏👍
Aliyebadili jalala wakafikiri kapona kichaa
Alibadili jalala wakazani kapona kichaa...💥💥💥💥 Hizi lyrics Unaeza peleka Egypt na tukashangilia nazo
@Maarifaa
5 жыл бұрын
noma kabisaaa
@austinekabisama5895
5 жыл бұрын
Safiiiii Mdogo wangu
Maarifa kwel umefanana na jina lako Full maunjanja
Umeuwa mwanangu mtaa tusha kiwasha #achaiwe.
Itakua poa kama na janja nae angechana kama bato fla hv coz janja nae anaweza kutwist ...so far so good ila sio ngoma ya sokoni kwa sasa kwenda international tunahtaji zaid ya hapo.. Fikiria zaidi jinsi ya kupenya sio tuckilize wana gheto.. Madee endelea kimnoa kijana..
@Maarifaa
5 жыл бұрын
InShAllah
@dbaymailing1661
5 жыл бұрын
daaaaaah: Dogo janja ampa povu UWOYA TENA, TIZAMA HAPO: kzread.info/dash/bejne/hGub2dB_npyofbA.html
@juvenalymnyama735
5 жыл бұрын
Janja ni mkal sana kwenye kuchana
@clarahcut3michael321
4 жыл бұрын
International kwa nyimbo ya wizi?!!copy &paste?!!😂😂😂😂😂
@clarahcut3michael321
4 жыл бұрын
Kacopy na kupaste nyimbo ya sarkodie ft kk fosu tizama link ya nyimbo hii kzread.info/dash/bejne/p4yj0NqSntiTito.html
Kama unaamini Planet Bongo ni Pindi la dunia gonga like wajanja Wameelewa Nyeupeeeee
Ashukuliwe madee✅
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
Maarifa uko vyema endelea kuiwakilisha kbh good brother.
Erooooo!!! ACHA IWE ...big up dingiii
Ngoma Kali BT ingekua noma sana janjaro ungechana 254 representing
Tshaaa mwambaaa
Janjaro kaingia kubwa sana yani
Shabiki makini wa Maarifa toka maarifa ya Maarifa🙏🏿 Chupa ni kwikwi
@tariqkideu7368
5 жыл бұрын
#Achaiwe
@tariqkideu7368
5 жыл бұрын
Sambaz link #Achaiwe
@dbaymailing1661
5 жыл бұрын
daaaaaah: Dogo janja ampa povu UWOYA TENA, TIZAMA HAPO: kzread.info/dash/bejne/hGub2dB_npyofbA.html
@wamatesosalange5340
5 жыл бұрын
Wametisha
@maxmilianmariceli6708
5 жыл бұрын
Tariq Kideu mapema sana imeshasambaa
Mwanangu janjaroóooo uwiiiiiii sauti ya zege latoko nyumaaa huko,full mzukaa
Makin mzee baba
NANI KAJA HAPA KUJITULIZA NA KICHUPA BAADA YA TANZANIA 🇹🇿 KULIWA NA KENYA KENYA huko Egypt 🇪🇬??
Ashukuliwe madee noma sana hyo baba
Tomplex na Maarifa Big Thinker Unaambiwa #ACHAIWE
Ii ngoma ingepata melodie nzuri ya chorus, ningekuwa Maarifa ningempa chorus Jux ama Belle 9 afu Janja angechana tu,
Ni sisi tunaoelewa nn maana ya mziki mzur ndio tunapata raha kuskilza ngoma tamu kama hii
Kazaaa mjomba madee nimekubali tunda jipya hilo
Gd mzee nikuelewaa. Kusingekuwa nanjaa nan angeusamin msosi
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
Maarifa ya maarifa
Uyu jamaa balaa lake sio la kitoto,anaflow moja ya ukwel sana.
kaz nzuri aseeee,flow zimekaaa mahal lake,
❤❤maarifa ya maarifa❤❤❤❤kibaa kwa Mathias hip hop❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉boom❤❤❤🎉🎉🎉
Fayaaaaa #achaiwe
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
Hii maaarifa ume tisha ,,,,wimbo ni mzuri sanaaaa ila sema nn acha iwe
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
Ngoma yangu ya kuitia simu hiii
Hiyo style ya rap ni nooooma mzeya
Uwezo mkaliiii Uwezo mkubwa 🔥🔥🔥
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
Kazi nzuri saaaanaaaa Acha Iweeee Home Benga Maarifa
ashukuliwe madee 🔥🔥
Aaah jamaa anajua mno,maarifa umetisha mbaba
Mtoto baba ✌✌
uko juu maarifa ila unanyamaza sana ..big up from +254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@clarahcut3michael321
4 жыл бұрын
MWIZI MWIZI MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII MWIZIIII YAN MMESHINDWA KUTUNGA NYIMBO MPAKA MKAIGA NYIMBO NZIMA YA SIRKODIE FT KK FOSU?!!!!!! LOH, LINK YA ORIGINAL SONG INAITWA WORRIER MLIOCOPY NA KUPASTE NA KUIEKEA LOGO NI kzread.info/dash/bejne/p4yj0NqSntiTito.html. kzread.info/dash/bejne/p4yj0NqSntiTito.html kzread.info/dash/bejne/p4yj0NqSntiTito.html
Nimetokea kkkubal mkali. Uko gud can.
Yaani nilivyosikia sauti la njanjaro safi saana yaani bonge la korasi njanjarooo
Saluti kwa janjaroooo mwenye ngoma haonekani kwa kufunikwa duuh kaza sana dogo maarifa ukitaka kutoa ngoma na janjaro unaona ulivyofunikwa kwa korass tu hhhhahha well don janjaro unanifanya nizidi kukuamini
@samidusulemani5371
5 жыл бұрын
We muongo ajamfunika mbona wivu Tu maarifu juiii
@shabbyofficial_
5 жыл бұрын
Acha umama amefunika wapi na wakati haja chana wewe kama unampenda janjaro sawa ila sio kuongea upumbu
Kaka hii ya kwenda kabisa mkuu,,
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
Yaani noumaaa sana
Acha iwe tu ndo nishaaangalia
Moja kati ya wasanii ambao cwaelewagi
👊nimeielewa kazi. Mimi na Manzese📼 Damdam.Ila naomba uswitch kidogo na soko kijana wangu.Dogo janja alikuwa kama wewe ila kaswitch So keep my advice. Go..go..go.🙏✔
@mwalimubofu4520
5 жыл бұрын
Nakubal sana maarifa uko vizur
@clarahcut3michael321
4 жыл бұрын
Kacopy na kupaste nyimbo ya sarkodie ft kk fosu tizama link ya nyimbo hii kzread.info/dash/bejne/p4yj0NqSntiTito.html
The big thinker...
Maarifa anakipaji maalumu namuona mbali sana uyu jamaa akati tamaa Safi sana wana
Jamaa anaflow kinoma sana...... Utaenda mbali bro
@Maarifaa
5 жыл бұрын
InShaAllah
umetisha mzazi
Kichupa kimekaa maarapake 🔥🔥🔥🔥
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
@robertdaudi6462
5 жыл бұрын
Ngoma kali
Kaza Buti maarifa
Naelewa kazi zako mtoto wa baba
Jmn na me naomben like zenu hp
Club Banger Hili Big Up Sana Homie
Rrrraaa noma sana 🙌🙌🔥
@acramrich8902
4 жыл бұрын
Mm
Chaliangu ii ngoma ni kwre
janjaro umetisha
Genius Si Jini 🔥🔥🔥🏁
Huyu jamaa anajua sana ila simskii kupigwa club
Qubaaaaabaqe hiiiiiiiiit🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@michaelpaulo9298
5 жыл бұрын
Kaza buti 😂😂ila dogo janja amekuskot sana kwenye koras
@kaimukomba2392
5 жыл бұрын
maarifa umeuwa kwanza umechana kitofaut ila viwak hawata elewa ila ukweli ngoma nikali sana
Nakuaminia maarifa...mtu na fikra zakee..Dogo pia hataree..#wacha_iwe_hit 😂😂
Naakubali broo
Nakubal san mwana
Bigthinker
Mmmh MARIFA daaah nimekuelewaa......kanyaga#$$$$
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
ngomaa kaliiiiiiiii
hawajui ugonjwa ukikubali ni ngumu kuikataa dawa! #Maarifa conscious
bado yadunda kama hivi imetokea leo
Mi ndo baba kwetu😂😂😂😂🙅🔥🔥🔥🔥🔥🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 mtoto wa baba.
Ila kiukwer dg janja kaua Sana
big up maarifa....💪💪💪
Iko poa sana mwanangu
@Maarifaa
5 жыл бұрын
#Achaiwe
Maarifa tangu nimekujua sijawahi kuichukia Hip Hop na bongo fleva...hii ni kituuuu🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@dbaymailing1661
5 жыл бұрын
daaaaaah: Dogo janja ampa povu UWOYA TENA, TIZAMA HAPO: kzread.info/dash/bejne/hGub2dB_npyofbA.html