Maajabu ya SENSEMA ya RAYVANNY na HARMONIZE,yapiga views milioni moja kwa siku moja,ni namba moja..
Ойын-сауық
Please subscribe now on our KZread channel to be the first to hear about latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#rayvanny
Пікірлер: 37
Kwakweli ngoma ni atariii sana 🔥 iyi akuna ata ubishi ngoma niatari ata uku Congo 🇨🇩 ina pingwa kweli kweli 🙌🙌🙌🔥
it's good news...kwa pamoja tunaweza🎉
Uyoo ana itwa bwana Harmonize Tembo ❤❤❤
Views sio sababu ya mziki kuwa nzuri, ila hata watu WENGI Wana angalia Hawa waliokuwa maadui wameimba nini? Ndo maana views zinakuwa nyingi
@AsimweBuberwa
Ай бұрын
Umeongea point sana, hata mimi nilienda kuangalia kwasababu nilikuwa nataka kujua wameimba nini😂😂😂
@ramamohamed492
Ай бұрын
Hata mm pia nimeenda kuangalia kilichoimbwa
@Hamisi8465
Ай бұрын
Kumbe tupo wengi😂😂😂
Wa kwanza❤
Ngoma kali sana 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Hijawai tokea tanzani wavunja rekidi hao❤❤❤ safisana nani audio tu
Hakuna mmakonde mshamba,,, namkubali sana harmonize ❤
Legends
Atari sana bro
Harmonize sio msanii wa mchezo 🙌🔥
Brothers wanaweza
Good job
Mbaya sana
Good
🔥🔥🔥
Chui ft tembo Nani anabisha❤❤❤
Ravnyn x harmonze ❤🎉
1❤❤❤
Hii ni maajabu bwana middle simba
❤❤❤❤
Tunasubiri video yake ❤❤❤❤❤
Mbaya
Vani boy toka atoke wasaf ajawai shika namba moja ajue konde mwamba
@ramamohamed492
Ай бұрын
Wechoko kwel Rudi shule mziki hujui
Minaona wasani Watanzania 🎉 waachabifu washirikiane wote muziki Utafika mbatisn
Hakun nyimbo hpo
Wazee wakukop na kupest😂
Itanasa tu, watu walichokuw walikuw wana view kutaka kujua wameimba nn, lkn haiwez kwenda popote kimataifa
Uyo bwana wako mondi hafanyi ibo
hiii nyimbo ni mbaya midle simba usitete nyimbo mbaya hiii
Ravy ametisha xana
Nazani hapo wanakuziba mdomo, Boss wako mondi kazimwa
Wasukuma wameipa mkono sana..walijua nguvu ya hilo neno😂