MAAJABU HOTELI ya MILIONI 80 ya MBWA, WANALISHWA KUKU, WANAOGESHWA, INAMILIKIWA na KIJANA wa ARUSHA

MAAJABU HOTELI ya MILIONI 80 ya MBWA, WANALISHWA KUKU, WANAOGESHWA, INAMILIKIWA NA KIJANA WA ARUSHA...
Moja kati ya fursa kubwa zilizopo katika ufugaji ni ufugaji wa mbwa ambayo fursa hiyo imetumiwa vizuri na kijana Nondo kutokea Arusha alie amua kuja na mpango wa kuanzisha Nyumba maalumu kwaajili ya Kuhifadhia Mbwa....
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 12

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Жыл бұрын

    Hongera sana kaka Neno la Mungu kwenye Mithali 12:10 linasema; "Mtu mwenye haki hujali mahitaji ya mnyama wake, bali matendo ya huruma ya mwovu ni ukatili"

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Жыл бұрын

    Hapo sawa kuna watu wakisafiri wakirudi wanakuta mifugo yao inateseka njaa ongezeni na sehem ya ngombe na mbuzi🙈🙌

  • @kanaelikanuya7919
    @kanaelikanuya7919 Жыл бұрын

    Arusha mambo kama ulayaulaya hongera sana

  • @globaltv_online
    @globaltv_online Жыл бұрын

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Жыл бұрын

    hii ni kukufuru tu kwa mungu watu wanakosa mlo watu wanalisha mbwa hata kuku. Mungu wangu

  • @elsonkibasindila7526

    @elsonkibasindila7526

    Жыл бұрын

    Shida zako usiziweke kwa watu kaka...

  • @Chaggarlicious
    @Chaggarlicious Жыл бұрын

    Hapo vp mtu analipia kwanza au? analipia akimfata maana hapo mtu anaweza mtelekeza

  • @jumamnambangule1957
    @jumamnambangule1957 Жыл бұрын

    Macho yak yanaona kam yangu..😂😃😂

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Жыл бұрын

    Subuhanallah. Inalillahi wainailahi rajuun

  • @emmanuelpaul8637
    @emmanuelpaul8637 Жыл бұрын

    Dunia Ina mambo&

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Жыл бұрын

    Basi huna mapenzi na mbwa kwa nini hunachagua mbwa wa kukaa apo wakati wewe hunataka kulipwa koko utaki basi hutaki pesa wala huna mapenzi🐕🐕🐕

  • @philemonmagesa5548

    @philemonmagesa5548

    Жыл бұрын

    Anabagua mbwa alafu anadai anamapenzi ya mbwa hakubali mbwa wakawaida wampelekee

Келесі