LUKUVI ASIMAMISHA KAZI WATENDAJI, AMTAJA MMOJA KUWA MCHAWI
Жүктеу.....
Пікірлер: 122
@fredymachumu16315 жыл бұрын
Yani kati ya mawaziri nnaowapenda kwenye serikali ya magufuli ni rukuvii ni muwazii hacheki na mtu mungu akubaliki na akupe maisha malefu u a my lowmode
@gililwise5 жыл бұрын
Mungu akupe nguvu na afya mheshimiwa wewe ni jembe la Magufuli kwa kazi nzuri.
@hechihechie55585 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mh Lukuvi..umekuwa faraja ya wengi walionyanyasika kwenye ardhi zao.mm nikiwa mmojawapo!!
@ramadhaniludege73685 жыл бұрын
Huyo ndo Mhe.William Vangimembe mwa Lukuvi.umenikosha hawajui huwa ubahatishi piga kazi baba .Isman Juu Kila la heri its perfect
@ibraimoissiaca60585 жыл бұрын
Uyu Mzee bola ukutane na magu kuliko uyu mshua
@mosesmacha1080
4 жыл бұрын
Ibraimo Issiaca yaaani chuma
@thelalas92045 жыл бұрын
Viongozi tunaomba mupitie mali za wawekezaji wote maana hali si shwari hawa jamaa wanakusanya mapesa na kuendeleza maisha yao ulaya.Ingilieni utalii madudu yapo pia.
@akimmbwego7975 жыл бұрын
Dawa ya miungu watu ni LUKUVI WAPO WENGI SANA WASHENZI KAMA HAO NA WAMETUSUMBUA SANA WATU HAO NA NDIO WAMETUCHELEWESHA KUENDELEZA MIJI YETU KWA UNYANG'ANYI WAO
Kama unaamini huyu ndiye prezidaa 2025 gonga like twend zetu
@burnmotto18764 жыл бұрын
Tunakupenda raisi wetu ujae mungu awe nawe
@bahishaalexander36415 жыл бұрын
SHIKAMOO MZEE LUKUVI
@linkreuben58045 жыл бұрын
Chapa kazi mkuu Wachawi tuachie sisi, tutawakata kwa Jina la Yesu!! Tunataka nchi hii isonge mbele. Wahuni wameturudisha nyuma sana!!
@henrymasomi8315 жыл бұрын
Baada ya magufuri anafuata lukuvi
@mossyfimbo35773 жыл бұрын
Shikamoo Shemeji yetu tunamshukuru Mwenyeezimungu kwa ajili yako Mwenyeezimungu azidi kukutunza pamoja na Familia yako.
@sixsule97215 жыл бұрын
kama kaharibu na bado yuko kazini jua huo ni mfumo lazima ufumuliwe maana hao waliomhamisha ndio walimkingia kifua. angalia kuanzia wizarani mheshimiwa. pigeni kazi.
@saimonmanyerezi7169
5 жыл бұрын
Aisee umesema kweli walipaswa wachunguzwe wanaowahamisha hao wanaoharibu inawezekana wanahusika. Hilo nakubaliana ndugu. Hii mifumo inatakiwa kufumuliwa kwa mtindo huu.
@subiramohd8855 жыл бұрын
Nakupenda sana Rukuvi Mungu Akufanyie Wepes nakaz zako pia Akulinde na Mabalaa ya Binaadam.Unafanya kaz sana
@Chemba675 жыл бұрын
Bongo tuna options nyingi tu.......kuna Lukuvi, Majaliwa ambao mpaka sasa wanaweza vaa viatu vya Magufuli 2025
@errydeo8865
5 жыл бұрын
saaaaaana tu
@saimonmanyerezi7169
5 жыл бұрын
Kweli naanza kumkubali Lukuvi.
@happymsaki1720
5 жыл бұрын
Viva LUKUVII CCM OYEEEEEEE
@happymsaki1720
5 жыл бұрын
Baba huyo nae atolewee ndio wanaosababisha Migogoro ya Ardhiii isiyokwisha,baba hufukwizwiii tunakuombea
@happymsaki1720
5 жыл бұрын
Vijana wapo hawana ajira hao wakapumzike waonje joto ya JIWE
@jumakalukule53124 жыл бұрын
Mkuu safi sana kwa msmamo wako itafikia tutakutafuta familia yetu tunamengi yanayo tusbu
@jahabdallah18295 жыл бұрын
Lukuvi ni mtanzania original yahani hanawajuwa watanzania very well yahani uyu kama makufuli hakimariza miaka yake bora uyu ndiye haendeleze kurudumu la mahendele uyu kiboko hadanganyiki sisi tunataka watu kama hawa hawamu ya 6 jamani msichanguwe dini wekeni mtu hanayo ipenda Tanzania naomba makufuli hakimarisa miaka yake 10 mpeni uyu lukuvi sisi tume mkubali huku south Africa hanaweza Hakahendeleza inchi m south Africa jah
@kiptookomen41274 жыл бұрын
Waziri Mzee Lukuvi 👍👍 Fyeka Yote. 🙌🙌🙌🙌 Wizara ya Ardhi ndiyo yenye nafasi ya utapeli. Uwazi na Ukweli Dawa yake. 👍👍
@tinyaanosiatha11185 жыл бұрын
Good job lukuvi tumbua hadi kieleweke.
@saimonmanyerezi7169
5 жыл бұрын
Mm naona tuende kwa staili hii mpaka kieleweke, waliosoma wapo nje ya system wanahitaji hizo position Hakuna sababu ya kubembelezana.
@haarunsaidabdillahi40823 жыл бұрын
Bwana John Pombe,tafadhali huyu waziri wako usimuondoe kwenye wizara hii. Mtendaji mzuri Kama itatokea huko mbeleni kuteleza kikazi fumba jicho moja. Muwache aendelee na kazi.
@jacobmakono3895 жыл бұрын
safi sana!si mchezo awamu hii!
@rossemsuya2698
5 жыл бұрын
Safii tuhongise Saana mvaha
@paulsimbeye72165 жыл бұрын
Kiongozi Mungu awabariki Sana kwa kujali wanyonge.
@amtawakal5 жыл бұрын
Hongera baba. I like your style. Natamani uendelee na utendaji na uendeleze uwazi na ukweli.
@yusuphmkapa53024 жыл бұрын
Ulongire wunofu be sana inguruvi yihutangage gendelage uludodi ulukafu lwidenyeha
@thomasnyarusanda26085 жыл бұрын
Lukuvi wewe ni baaabu kubwa,hongera sana. Dhuluma nyingi sana kuhusu ardhi. Watendaji wachafu. Wanabadili michoro.
@jeremiahmollel55835 жыл бұрын
Ndugu mkuu nimekupenda sana kwa swala hili.huku Arumeru wapima ardhi wanapita kuradhimisha ardhi bila muhusika yeyote kutoka kwenye idara ya ardhi je nisawa
@mwadawalucianpetri16635 жыл бұрын
Safi sana kiongozi. hatua hizo zinahitajika ili kurekebisha utendaji. Vibaka ktk huduma za umma serikalini ni wengi hao wa ardhi komesha vinara wa uovu. Wanapata hela kwa kuonea wengine kisha wanawahonga wakuu wao ndio maana wanadumu ktk uovu na viongozi wapo wanawaona na kuwaachia waendelee!
@kassimramadhani79034 жыл бұрын
Kigoma mbona huji mh lukuvi baraza la ardhi kigoma ni hatari watu wanadhulumiwa sana tena sana njoo fasta uyaone kuna mtu anaitwa MTEWELE anadhulum wananchi huku
@amanimtasha91684 жыл бұрын
Mwenye namba ya Mh Lukuvi anisaidie kuna majipu huku yamewiva yanahitaji kutumbuliwa 😫😫
@noelmassam20865 жыл бұрын
Nakukubali sana, kiongozi Wangu
@kibilawazebanga74555 жыл бұрын
Kazi sasa naona umeianza vizuri Rukuvi, ukiendelea hivi utarithi kiti cha jpm, hiyo wizara ilikuwa imeshaoza, mhe rais alikuamini akakupa wizara hiyo safisha kabisa, uwezo unao. Tamisemi imeanza kunyooka, nyosha na wewe ardhi na ujenzi
@elizabethmganule6929
5 жыл бұрын
Uko vzr boss kuna madudu mengi ngaz za chini ata mwanza ikikupendeza upite
@saeedqaseem31724 жыл бұрын
Daaaaaah iki chuma sio cha kispoti spoti.... Bora ukutane ma magu kuliko huu mwamba😂😂😂 Ukiskia anakuja km wewe ni ofisa wa ardhi tembea tu na drip yako
@fakihdarusi43853 жыл бұрын
HAHAHHA HHH HAPA SAFI SANAAAA SAANAAAA HIII MUHIMU KWA MASLAHI YA NCHI
@lugendopius12313 жыл бұрын
Kweri huyu yupo vizuri sana.
@josephatkipege42913 жыл бұрын
Jamani mh. Waziri uje na makambako basi watu wanagawana aridhi utazani yao.
@sebaharrison13854 жыл бұрын
Mheshimiwa njoo huku wanakijiji Wa msitu Wa mbogo wanateseka na iyo Tanganyika plantation Muro atusaidii,njoo bb
@sagengemakwanan35955 жыл бұрын
Mzee Shikamoo !
@zefamange72815 жыл бұрын
NYOOSHA NCHI BABA, MSAIDIE RAISI MAGUFURI. WALIZOEA UTAWALA WA KIKWEKWE
@japhetisraelsmafie9974 жыл бұрын
Huyu apewe nchi maana hana upendeleo..na anafanya kile tu kilicho sahihi
@mwitajackson11573 жыл бұрын
Lukuvi plz maguful akimalza madalaka yake naomba ufuate ww
@mwengwamwengwa26334 жыл бұрын
Mhe kwanza hongera sana kwa maamzi mangum nikuombeni watu wote mlio pewa dhamana ya kumsaidia mhe rais msione haya kucgukua maamzi mangimu kwani wengine ni watoto wa vigogo ndoo maana wanahamishwa kukwepa mkono wako
@fakihdarusi43853 жыл бұрын
Ila tu ,,sikufarahi pale kwa ZANZIBAR
@mamymamiza29245 жыл бұрын
Saluti kwako waziri lukuvi
@stanslausmteme84555 жыл бұрын
mh.lukuvi real nakupenda unatenda kama Mh.Magufuli alipokua wazir CCM huyu awe mridhi wa Magufuli yupo vzr Sana huyu jamaa
@jaffaryhassany98325 жыл бұрын
Kwakwel huu uongoz ni MUNGU tu ametupatia, nakumbuka kanisa tulifunga tukaomba MUNGU atupe RAIS alie mkusudia kwakwel sikufunga bure kwel amejibu naskia faraja sana kwel MUNGU amejibu maombi waz waz
@danielx85 жыл бұрын
Kazi nzuri mzee
@raymondkaswaga83345 жыл бұрын
Tutaishi hivi mpaka lini.....tuendelee kulinda Utanzania na uzalendo
@saidpara74944 жыл бұрын
Msimamo wake sio wakuiga kama wale wale wanaotaka sifa.
@shomarymussa69705 жыл бұрын
Tanzania ilikuwa shamba la bibi ndio maana wamezoea rushwa
@aminanzeyimana36765 жыл бұрын
mh unatufaa sana ardhi ni jipu kubwa sana wanyooshe wote asante kwa weledi wako
@melkiadmigetta38705 жыл бұрын
Good
@judithsamson72864 жыл бұрын
Mheshimiwa naomba chondechonde njoo mkoa wapwani hususani kibaha mjini kunamadudu hapa njoobaba
@M7-Band5 жыл бұрын
Hehehe Lukuvi hatari sana,jampa jampa iyo
@errydeo88654 жыл бұрын
wat a dude.... kiboko
@saidpara74944 жыл бұрын
Tunawatambua wenyewe viongozi wenye mioyo ya dhat kwa wananch wake😄😄 kamua kamua baba tutakulinda wananch wako.
@bensonkaile96063 жыл бұрын
Aisee!
@immamlowe71515 жыл бұрын
Safi sana lukuvi wenye haki wabaki
@antonyvallerian17184 жыл бұрын
Migororo ya wakulima na wafugaji imeisha vip
@jumaigoti86764 жыл бұрын
Uko sawa
@fabianmilanga49805 жыл бұрын
Kweli tumeibiwa kha!
@kenybenjiz78505 жыл бұрын
Safi lukuvi
@jeremiahmollel55835 жыл бұрын
Muheshimiwa njoo ARUSHA NAKUOMBA ARUSHA DC.MJI MDOGO WA NGARAMTONI.MONDULI. NAOMBA CHUNGUZA BABA
@zuuothman91704 жыл бұрын
Yani waungwana nisaidieni kumpata hyu mzee
@hisanmwakijungu104 жыл бұрын
JAMA LUKUVI NI RAISI AJAE ,, YAAN UYU JAMAA ANAJUA TENA ANAUCHUNGU NA NCHI ILE MBAYAAAA SOLUTE KWAKO KAKA
@rosehaule2205 жыл бұрын
Mungu skutunzee babaa
@geraldpaul4605 жыл бұрын
Mweshimiwa kuna mwenyekiti wa kijiji cha mleni jiji la tanga yuko kama huyo uliye mtumbua tena huyo ni zaidi maana aridhi ya mleni nikama yake anauza mashamba na anagawa mashamba kwa vigogo ili alindwe hakuna anae muweza huyo njoo tanga mleni vilio vyao watu wa mleni nikama kilio cha samaki
@barakanitwa84335 жыл бұрын
Mkuu dirisha la usajili bado halijafungwa hivyo usiogope kutumbua coz uwezo wakusajili wengine bado tunao! Hao sio wakusimamishwa ni kufukuza kazi wakalime tembere pumbavu zao!!
@fakihdarusi43853 жыл бұрын
HHHHH HHHHH HAPA KAZI TU
@rugijofrey36855 жыл бұрын
#MhLukuvi bado na NHC watu wanaomiliki vyumba vya biashara au nyumba za makazi sio wanaoishi ndani ya nyumba izo hii inaturudisha nyuma kama nchi.
@johnmbugani65325 жыл бұрын
Namuomba mh. Rais kwanza amuongezee ulinzi ndg Lukuvi na kisha kwa kutumia watu wa intelijinsia kuwakamata wote waliofanya madudu haya, kuwafukuza kazi na kuwafikisha mahakamani ili wajue kuwa ajira ni dhamana na wala si mali binafsi
@hamiskanama19455 жыл бұрын
Nahuku kwenye wilaya zetu wapo njo lukuvi watu tunazulumiwa sana njo igunga nasie tuneemeke
@Papa2thaE4 жыл бұрын
Kusimamisha? Wafungulieni mashishtaka pia
@simonringo47014 жыл бұрын
Amesimamia haki
@tonysolomon28415 жыл бұрын
Huyu roho mbaya na mbaguzi hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi
@dennisngonyani85944 жыл бұрын
Kamua na ongeza speed na waungame kweli
@zephaniamayeye49025 жыл бұрын
😷😷😷😷😷😷😷😷😷napita tu
@petermwanyondo64595 жыл бұрын
Duu huyu mzee unafanya xana kazi asiondke hapo hadi astafu mwenyewe
@lucassabida54715 жыл бұрын
Huyu meheshimiwa anatakiwa kulindwa sana
@jestymoresimon75764 жыл бұрын
hatari fire
@sundaymwangwe53624 жыл бұрын
Wabaya watengwe tu hamna namna
@keshukakurubay12735 жыл бұрын
Shikomoo!!!
@hamadalesry35875 жыл бұрын
Amaakweli bongo baati mbaya
@ahmadmasunda81985 жыл бұрын
KUMBE HII NCHI ILIOZA KUPITA MAELEZO !! HAO FUKUZA WAKIBAINIKA WANATUHUMA ZA UBADHILIFU NA KUPOKEA RUSHWA PELEKA MAHAKAMANI, MUKIWAACHIA HIVI HIVI WANAENDA WAO MAHAMANI WANASHINDA KESI WANARUDI TENA KAZINI KUENDELEZA UHAFIZINA WAO
@shamimhayat76374 жыл бұрын
Tupe email yako
@alexchungu95055 жыл бұрын
Huyu ni rahisi ajae
@farajisureman99255 жыл бұрын
Ebwana!
@amchannel24855 жыл бұрын
Kama alikukimbia mara mbili je makatibu watamuwezaje?
@sadikidaudi12235 жыл бұрын
Saaafi saana Waziri Wababaishaji ni wengi saana pambana Mkuu
@mamymamiza29245 жыл бұрын
Nyoosha waziri tunakukubali
@uledimtumwa24065 жыл бұрын
Huyo jamaa atakuwa mchaga bila shaka.
@mbarikiwambarikiwa3988
4 жыл бұрын
Thubutu, mchaga anapenda pesa hyu siyo mchaga
@joesmike23695 жыл бұрын
Hahaa aa
@klkkklkk1369
4 жыл бұрын
wapiga sana watumbue
@mukhtarmohamed66965 жыл бұрын
kweli kabisa
@anthonypaulo1593
5 жыл бұрын
Kati ya mawaziri nawakubali hyu namba moja
@eliasdaniel4562
5 жыл бұрын
n kweli anaweza huyu mzee!
@saidasimba99795 жыл бұрын
Vzr sana
@bensongeorgesadock1254
5 жыл бұрын
Ange kuja nakasulu tunge pona wengi
@braysonmfyate4189
5 жыл бұрын
You are strong and powerful man hon minister W lukuvi, mchango wako ktk kujenga taifa hili ukumbukwe daima. Inguluvi yikukwamilage mbepali, Amen!
@jakobokajanja6983
4 жыл бұрын
goooooood prisedent 2025
@athanaskipeto5724 жыл бұрын
Uwazi na uwajibikaji👏👏👏
@publicrelations46005 жыл бұрын
Namuona mbadala wa magufuli 2025
@seifrengwe25424 жыл бұрын
Watanzani, Tunaomba Serikali ya TZ kubadilisha katiba ili kuwawezesha watanzania wanaoishi nje ya inchi kuwa ta Uraia mbili. haya mawazo yatokana kwa ukweli kwamba wa TZ wengi waishio ulaya na Amerika ,wamesoma na wameendelea, wenigi bado wana Passport za TZ lakini hawawezi kuendeleza maendeleo ya TZ sababu wanaogopa rudi TZ. tunaomba Bunge lifikirie hayo ili kuwezesha wa TZ wa nje ya inchi kuwa na uraia mbili.
@japhetmombia5 жыл бұрын
Kama unaamini huyu ndiye prezidaa 2025 gonga like twend zetu
@immamlowe71515 жыл бұрын
Ndio maana sisikii tena migogoro ya wakulima na wafugaji . Kumbe serikali ya awam ya tano imekula na dawa ya magonjwa yote
Пікірлер: 122
Yani kati ya mawaziri nnaowapenda kwenye serikali ya magufuli ni rukuvii ni muwazii hacheki na mtu mungu akubaliki na akupe maisha malefu u a my lowmode
Mungu akupe nguvu na afya mheshimiwa wewe ni jembe la Magufuli kwa kazi nzuri.
Mungu akubariki sana Mh Lukuvi..umekuwa faraja ya wengi walionyanyasika kwenye ardhi zao.mm nikiwa mmojawapo!!
Huyo ndo Mhe.William Vangimembe mwa Lukuvi.umenikosha hawajui huwa ubahatishi piga kazi baba .Isman Juu Kila la heri its perfect
Uyu Mzee bola ukutane na magu kuliko uyu mshua
@mosesmacha1080
4 жыл бұрын
Ibraimo Issiaca yaaani chuma
Viongozi tunaomba mupitie mali za wawekezaji wote maana hali si shwari hawa jamaa wanakusanya mapesa na kuendeleza maisha yao ulaya.Ingilieni utalii madudu yapo pia.
Dawa ya miungu watu ni LUKUVI WAPO WENGI SANA WASHENZI KAMA HAO NA WAMETUSUMBUA SANA WATU HAO NA NDIO WAMETUCHELEWESHA KUENDELEZA MIJI YETU KWA UNYANG'ANYI WAO
LUKUVU UMEHUBIRI LEO....MUNGU AKUBARIKI SANA..COZ HAWA JAMAA WASIPOOKOKA HAWATAWEZA KUSHINDA DHAMBI YAO..
Kama unaamini huyu ndiye prezidaa 2025 gonga like twend zetu
Tunakupenda raisi wetu ujae mungu awe nawe
SHIKAMOO MZEE LUKUVI
Chapa kazi mkuu Wachawi tuachie sisi, tutawakata kwa Jina la Yesu!! Tunataka nchi hii isonge mbele. Wahuni wameturudisha nyuma sana!!
Baada ya magufuri anafuata lukuvi
Shikamoo Shemeji yetu tunamshukuru Mwenyeezimungu kwa ajili yako Mwenyeezimungu azidi kukutunza pamoja na Familia yako.
kama kaharibu na bado yuko kazini jua huo ni mfumo lazima ufumuliwe maana hao waliomhamisha ndio walimkingia kifua. angalia kuanzia wizarani mheshimiwa. pigeni kazi.
@saimonmanyerezi7169
5 жыл бұрын
Aisee umesema kweli walipaswa wachunguzwe wanaowahamisha hao wanaoharibu inawezekana wanahusika. Hilo nakubaliana ndugu. Hii mifumo inatakiwa kufumuliwa kwa mtindo huu.
Nakupenda sana Rukuvi Mungu Akufanyie Wepes nakaz zako pia Akulinde na Mabalaa ya Binaadam.Unafanya kaz sana
Bongo tuna options nyingi tu.......kuna Lukuvi, Majaliwa ambao mpaka sasa wanaweza vaa viatu vya Magufuli 2025
@errydeo8865
5 жыл бұрын
saaaaaana tu
@saimonmanyerezi7169
5 жыл бұрын
Kweli naanza kumkubali Lukuvi.
@happymsaki1720
5 жыл бұрын
Viva LUKUVII CCM OYEEEEEEE
@happymsaki1720
5 жыл бұрын
Baba huyo nae atolewee ndio wanaosababisha Migogoro ya Ardhiii isiyokwisha,baba hufukwizwiii tunakuombea
@happymsaki1720
5 жыл бұрын
Vijana wapo hawana ajira hao wakapumzike waonje joto ya JIWE
Mkuu safi sana kwa msmamo wako itafikia tutakutafuta familia yetu tunamengi yanayo tusbu
Lukuvi ni mtanzania original yahani hanawajuwa watanzania very well yahani uyu kama makufuli hakimariza miaka yake bora uyu ndiye haendeleze kurudumu la mahendele uyu kiboko hadanganyiki sisi tunataka watu kama hawa hawamu ya 6 jamani msichanguwe dini wekeni mtu hanayo ipenda Tanzania naomba makufuli hakimarisa miaka yake 10 mpeni uyu lukuvi sisi tume mkubali huku south Africa hanaweza Hakahendeleza inchi m south Africa jah
Waziri Mzee Lukuvi 👍👍 Fyeka Yote. 🙌🙌🙌🙌 Wizara ya Ardhi ndiyo yenye nafasi ya utapeli. Uwazi na Ukweli Dawa yake. 👍👍
Good job lukuvi tumbua hadi kieleweke.
@saimonmanyerezi7169
5 жыл бұрын
Mm naona tuende kwa staili hii mpaka kieleweke, waliosoma wapo nje ya system wanahitaji hizo position Hakuna sababu ya kubembelezana.
Bwana John Pombe,tafadhali huyu waziri wako usimuondoe kwenye wizara hii. Mtendaji mzuri Kama itatokea huko mbeleni kuteleza kikazi fumba jicho moja. Muwache aendelee na kazi.
safi sana!si mchezo awamu hii!
@rossemsuya2698
5 жыл бұрын
Safii tuhongise Saana mvaha
Kiongozi Mungu awabariki Sana kwa kujali wanyonge.
Hongera baba. I like your style. Natamani uendelee na utendaji na uendeleze uwazi na ukweli.
Ulongire wunofu be sana inguruvi yihutangage gendelage uludodi ulukafu lwidenyeha
Lukuvi wewe ni baaabu kubwa,hongera sana. Dhuluma nyingi sana kuhusu ardhi. Watendaji wachafu. Wanabadili michoro.
Ndugu mkuu nimekupenda sana kwa swala hili.huku Arumeru wapima ardhi wanapita kuradhimisha ardhi bila muhusika yeyote kutoka kwenye idara ya ardhi je nisawa
Safi sana kiongozi. hatua hizo zinahitajika ili kurekebisha utendaji. Vibaka ktk huduma za umma serikalini ni wengi hao wa ardhi komesha vinara wa uovu. Wanapata hela kwa kuonea wengine kisha wanawahonga wakuu wao ndio maana wanadumu ktk uovu na viongozi wapo wanawaona na kuwaachia waendelee!
Kigoma mbona huji mh lukuvi baraza la ardhi kigoma ni hatari watu wanadhulumiwa sana tena sana njoo fasta uyaone kuna mtu anaitwa MTEWELE anadhulum wananchi huku
Mwenye namba ya Mh Lukuvi anisaidie kuna majipu huku yamewiva yanahitaji kutumbuliwa 😫😫
Nakukubali sana, kiongozi Wangu
Kazi sasa naona umeianza vizuri Rukuvi, ukiendelea hivi utarithi kiti cha jpm, hiyo wizara ilikuwa imeshaoza, mhe rais alikuamini akakupa wizara hiyo safisha kabisa, uwezo unao. Tamisemi imeanza kunyooka, nyosha na wewe ardhi na ujenzi
@elizabethmganule6929
5 жыл бұрын
Uko vzr boss kuna madudu mengi ngaz za chini ata mwanza ikikupendeza upite
Daaaaaah iki chuma sio cha kispoti spoti.... Bora ukutane ma magu kuliko huu mwamba😂😂😂 Ukiskia anakuja km wewe ni ofisa wa ardhi tembea tu na drip yako
HAHAHHA HHH HAPA SAFI SANAAAA SAANAAAA HIII MUHIMU KWA MASLAHI YA NCHI
Kweri huyu yupo vizuri sana.
Jamani mh. Waziri uje na makambako basi watu wanagawana aridhi utazani yao.
Mheshimiwa njoo huku wanakijiji Wa msitu Wa mbogo wanateseka na iyo Tanganyika plantation Muro atusaidii,njoo bb
Mzee Shikamoo !
NYOOSHA NCHI BABA, MSAIDIE RAISI MAGUFURI. WALIZOEA UTAWALA WA KIKWEKWE
Huyu apewe nchi maana hana upendeleo..na anafanya kile tu kilicho sahihi
Lukuvi plz maguful akimalza madalaka yake naomba ufuate ww
Mhe kwanza hongera sana kwa maamzi mangum nikuombeni watu wote mlio pewa dhamana ya kumsaidia mhe rais msione haya kucgukua maamzi mangimu kwani wengine ni watoto wa vigogo ndoo maana wanahamishwa kukwepa mkono wako
Ila tu ,,sikufarahi pale kwa ZANZIBAR
Saluti kwako waziri lukuvi
mh.lukuvi real nakupenda unatenda kama Mh.Magufuli alipokua wazir CCM huyu awe mridhi wa Magufuli yupo vzr Sana huyu jamaa
Kwakwel huu uongoz ni MUNGU tu ametupatia, nakumbuka kanisa tulifunga tukaomba MUNGU atupe RAIS alie mkusudia kwakwel sikufunga bure kwel amejibu naskia faraja sana kwel MUNGU amejibu maombi waz waz
Kazi nzuri mzee
Tutaishi hivi mpaka lini.....tuendelee kulinda Utanzania na uzalendo
Msimamo wake sio wakuiga kama wale wale wanaotaka sifa.
Tanzania ilikuwa shamba la bibi ndio maana wamezoea rushwa
mh unatufaa sana ardhi ni jipu kubwa sana wanyooshe wote asante kwa weledi wako
Good
Mheshimiwa naomba chondechonde njoo mkoa wapwani hususani kibaha mjini kunamadudu hapa njoobaba
Hehehe Lukuvi hatari sana,jampa jampa iyo
wat a dude.... kiboko
Tunawatambua wenyewe viongozi wenye mioyo ya dhat kwa wananch wake😄😄 kamua kamua baba tutakulinda wananch wako.
Aisee!
Safi sana lukuvi wenye haki wabaki
Migororo ya wakulima na wafugaji imeisha vip
Uko sawa
Kweli tumeibiwa kha!
Safi lukuvi
Muheshimiwa njoo ARUSHA NAKUOMBA ARUSHA DC.MJI MDOGO WA NGARAMTONI.MONDULI. NAOMBA CHUNGUZA BABA
Yani waungwana nisaidieni kumpata hyu mzee
JAMA LUKUVI NI RAISI AJAE ,, YAAN UYU JAMAA ANAJUA TENA ANAUCHUNGU NA NCHI ILE MBAYAAAA SOLUTE KWAKO KAKA
Mungu skutunzee babaa
Mweshimiwa kuna mwenyekiti wa kijiji cha mleni jiji la tanga yuko kama huyo uliye mtumbua tena huyo ni zaidi maana aridhi ya mleni nikama yake anauza mashamba na anagawa mashamba kwa vigogo ili alindwe hakuna anae muweza huyo njoo tanga mleni vilio vyao watu wa mleni nikama kilio cha samaki
Mkuu dirisha la usajili bado halijafungwa hivyo usiogope kutumbua coz uwezo wakusajili wengine bado tunao! Hao sio wakusimamishwa ni kufukuza kazi wakalime tembere pumbavu zao!!
HHHHH HHHHH HAPA KAZI TU
#MhLukuvi bado na NHC watu wanaomiliki vyumba vya biashara au nyumba za makazi sio wanaoishi ndani ya nyumba izo hii inaturudisha nyuma kama nchi.
Namuomba mh. Rais kwanza amuongezee ulinzi ndg Lukuvi na kisha kwa kutumia watu wa intelijinsia kuwakamata wote waliofanya madudu haya, kuwafukuza kazi na kuwafikisha mahakamani ili wajue kuwa ajira ni dhamana na wala si mali binafsi
Nahuku kwenye wilaya zetu wapo njo lukuvi watu tunazulumiwa sana njo igunga nasie tuneemeke
Kusimamisha? Wafungulieni mashishtaka pia
Amesimamia haki
Huyu roho mbaya na mbaguzi hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi
Kamua na ongeza speed na waungame kweli
😷😷😷😷😷😷😷😷😷napita tu
Duu huyu mzee unafanya xana kazi asiondke hapo hadi astafu mwenyewe
Huyu meheshimiwa anatakiwa kulindwa sana
hatari fire
Wabaya watengwe tu hamna namna
Shikomoo!!!
Amaakweli bongo baati mbaya
KUMBE HII NCHI ILIOZA KUPITA MAELEZO !! HAO FUKUZA WAKIBAINIKA WANATUHUMA ZA UBADHILIFU NA KUPOKEA RUSHWA PELEKA MAHAKAMANI, MUKIWAACHIA HIVI HIVI WANAENDA WAO MAHAMANI WANASHINDA KESI WANARUDI TENA KAZINI KUENDELEZA UHAFIZINA WAO
Tupe email yako
Huyu ni rahisi ajae
Ebwana!
Kama alikukimbia mara mbili je makatibu watamuwezaje?
Saaafi saana Waziri Wababaishaji ni wengi saana pambana Mkuu
Nyoosha waziri tunakukubali
Huyo jamaa atakuwa mchaga bila shaka.
@mbarikiwambarikiwa3988
4 жыл бұрын
Thubutu, mchaga anapenda pesa hyu siyo mchaga
Hahaa aa
@klkkklkk1369
4 жыл бұрын
wapiga sana watumbue
kweli kabisa
@anthonypaulo1593
5 жыл бұрын
Kati ya mawaziri nawakubali hyu namba moja
@eliasdaniel4562
5 жыл бұрын
n kweli anaweza huyu mzee!
Vzr sana
@bensongeorgesadock1254
5 жыл бұрын
Ange kuja nakasulu tunge pona wengi
@braysonmfyate4189
5 жыл бұрын
You are strong and powerful man hon minister W lukuvi, mchango wako ktk kujenga taifa hili ukumbukwe daima. Inguluvi yikukwamilage mbepali, Amen!
@jakobokajanja6983
4 жыл бұрын
goooooood prisedent 2025
Uwazi na uwajibikaji👏👏👏
Namuona mbadala wa magufuli 2025
Watanzani, Tunaomba Serikali ya TZ kubadilisha katiba ili kuwawezesha watanzania wanaoishi nje ya inchi kuwa ta Uraia mbili. haya mawazo yatokana kwa ukweli kwamba wa TZ wengi waishio ulaya na Amerika ,wamesoma na wameendelea, wenigi bado wana Passport za TZ lakini hawawezi kuendeleza maendeleo ya TZ sababu wanaogopa rudi TZ. tunaomba Bunge lifikirie hayo ili kuwezesha wa TZ wa nje ya inchi kuwa na uraia mbili.
Kama unaamini huyu ndiye prezidaa 2025 gonga like twend zetu
Ndio maana sisikii tena migogoro ya wakulima na wafugaji . Kumbe serikali ya awam ya tano imekula na dawa ya magonjwa yote