LUKUVI ASIMAMISHA KAZI WATENDAJI, AMTAJA MMOJA KUWA MCHAWI

Пікірлер: 122

  • @fredymachumu1631
    @fredymachumu16315 жыл бұрын

    Yani kati ya mawaziri nnaowapenda kwenye serikali ya magufuli ni rukuvii ni muwazii hacheki na mtu mungu akubaliki na akupe maisha malefu u a my lowmode

  • @gililwise
    @gililwise5 жыл бұрын

    Mungu akupe nguvu na afya mheshimiwa wewe ni jembe la Magufuli kwa kazi nzuri.

  • @hechihechie5558
    @hechihechie55585 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana Mh Lukuvi..umekuwa faraja ya wengi walionyanyasika kwenye ardhi zao.mm nikiwa mmojawapo!!

  • @ramadhaniludege7368
    @ramadhaniludege73685 жыл бұрын

    Huyo ndo Mhe.William Vangimembe mwa Lukuvi.umenikosha hawajui huwa ubahatishi piga kazi baba .Isman Juu Kila la heri its perfect

  • @ibraimoissiaca6058
    @ibraimoissiaca60585 жыл бұрын

    Uyu Mzee bola ukutane na magu kuliko uyu mshua

  • @mosesmacha1080

    @mosesmacha1080

    4 жыл бұрын

    Ibraimo Issiaca yaaani chuma

  • @thelalas9204
    @thelalas92045 жыл бұрын

    Viongozi tunaomba mupitie mali za wawekezaji wote maana hali si shwari hawa jamaa wanakusanya mapesa na kuendeleza maisha yao ulaya.Ingilieni utalii madudu yapo pia.

  • @akimmbwego797
    @akimmbwego7975 жыл бұрын

    Dawa ya miungu watu ni LUKUVI WAPO WENGI SANA WASHENZI KAMA HAO NA WAMETUSUMBUA SANA WATU HAO NA NDIO WAMETUCHELEWESHA KUENDELEZA MIJI YETU KWA UNYANG'ANYI WAO

  • @samwellwiza5339
    @samwellwiza53395 жыл бұрын

    LUKUVU UMEHUBIRI LEO....MUNGU AKUBARIKI SANA..COZ HAWA JAMAA WASIPOOKOKA HAWATAWEZA KUSHINDA DHAMBI YAO..

  • @japhetmombia
    @japhetmombia5 жыл бұрын

    Kama unaamini huyu ndiye prezidaa 2025 gonga like twend zetu

  • @burnmotto1876
    @burnmotto18764 жыл бұрын

    Tunakupenda raisi wetu ujae mungu awe nawe

  • @bahishaalexander3641
    @bahishaalexander36415 жыл бұрын

    SHIKAMOO MZEE LUKUVI

  • @linkreuben5804
    @linkreuben58045 жыл бұрын

    Chapa kazi mkuu Wachawi tuachie sisi, tutawakata kwa Jina la Yesu!! Tunataka nchi hii isonge mbele. Wahuni wameturudisha nyuma sana!!

  • @henrymasomi831
    @henrymasomi8315 жыл бұрын

    Baada ya magufuri anafuata lukuvi

  • @mossyfimbo3577
    @mossyfimbo35773 жыл бұрын

    Shikamoo Shemeji yetu tunamshukuru Mwenyeezimungu kwa ajili yako Mwenyeezimungu azidi kukutunza pamoja na Familia yako.

  • @sixsule9721
    @sixsule97215 жыл бұрын

    kama kaharibu na bado yuko kazini jua huo ni mfumo lazima ufumuliwe maana hao waliomhamisha ndio walimkingia kifua. angalia kuanzia wizarani mheshimiwa. pigeni kazi.

  • @saimonmanyerezi7169

    @saimonmanyerezi7169

    5 жыл бұрын

    Aisee umesema kweli walipaswa wachunguzwe wanaowahamisha hao wanaoharibu inawezekana wanahusika. Hilo nakubaliana ndugu. Hii mifumo inatakiwa kufumuliwa kwa mtindo huu.

  • @subiramohd885
    @subiramohd8855 жыл бұрын

    Nakupenda sana Rukuvi Mungu Akufanyie Wepes nakaz zako pia Akulinde na Mabalaa ya Binaadam.Unafanya kaz sana

  • @Chemba67
    @Chemba675 жыл бұрын

    Bongo tuna options nyingi tu.......kuna Lukuvi, Majaliwa ambao mpaka sasa wanaweza vaa viatu vya Magufuli 2025

  • @errydeo8865

    @errydeo8865

    5 жыл бұрын

    saaaaaana tu

  • @saimonmanyerezi7169

    @saimonmanyerezi7169

    5 жыл бұрын

    Kweli naanza kumkubali Lukuvi.

  • @happymsaki1720

    @happymsaki1720

    5 жыл бұрын

    Viva LUKUVII CCM OYEEEEEEE

  • @happymsaki1720

    @happymsaki1720

    5 жыл бұрын

    Baba huyo nae atolewee ndio wanaosababisha Migogoro ya Ardhiii isiyokwisha,baba hufukwizwiii tunakuombea

  • @happymsaki1720

    @happymsaki1720

    5 жыл бұрын

    Vijana wapo hawana ajira hao wakapumzike waonje joto ya JIWE

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule53124 жыл бұрын

    Mkuu safi sana kwa msmamo wako itafikia tutakutafuta familia yetu tunamengi yanayo tusbu

  • @jahabdallah1829
    @jahabdallah18295 жыл бұрын

    Lukuvi ni mtanzania original yahani hanawajuwa watanzania very well yahani uyu kama makufuli hakimariza miaka yake bora uyu ndiye haendeleze kurudumu la mahendele uyu kiboko hadanganyiki sisi tunataka watu kama hawa hawamu ya 6 jamani msichanguwe dini wekeni mtu hanayo ipenda Tanzania naomba makufuli hakimarisa miaka yake 10 mpeni uyu lukuvi sisi tume mkubali huku south Africa hanaweza Hakahendeleza inchi m south Africa jah

  • @kiptookomen4127
    @kiptookomen41274 жыл бұрын

    Waziri Mzee Lukuvi 👍👍 Fyeka Yote. 🙌🙌🙌🙌 Wizara ya Ardhi ndiyo yenye nafasi ya utapeli. Uwazi na Ukweli Dawa yake. 👍👍

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha11185 жыл бұрын

    Good job lukuvi tumbua hadi kieleweke.

  • @saimonmanyerezi7169

    @saimonmanyerezi7169

    5 жыл бұрын

    Mm naona tuende kwa staili hii mpaka kieleweke, waliosoma wapo nje ya system wanahitaji hizo position Hakuna sababu ya kubembelezana.

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi40823 жыл бұрын

    Bwana John Pombe,tafadhali huyu waziri wako usimuondoe kwenye wizara hii. Mtendaji mzuri Kama itatokea huko mbeleni kuteleza kikazi fumba jicho moja. Muwache aendelee na kazi.

  • @jacobmakono389
    @jacobmakono3895 жыл бұрын

    safi sana!si mchezo awamu hii!

  • @rossemsuya2698

    @rossemsuya2698

    5 жыл бұрын

    Safii tuhongise Saana mvaha

  • @paulsimbeye7216
    @paulsimbeye72165 жыл бұрын

    Kiongozi Mungu awabariki Sana kwa kujali wanyonge.

  • @amtawakal
    @amtawakal5 жыл бұрын

    Hongera baba. I like your style. Natamani uendelee na utendaji na uendeleze uwazi na ukweli.

  • @yusuphmkapa5302
    @yusuphmkapa53024 жыл бұрын

    Ulongire wunofu be sana inguruvi yihutangage gendelage uludodi ulukafu lwidenyeha

  • @thomasnyarusanda2608
    @thomasnyarusanda26085 жыл бұрын

    Lukuvi wewe ni baaabu kubwa,hongera sana. Dhuluma nyingi sana kuhusu ardhi. Watendaji wachafu. Wanabadili michoro.

  • @jeremiahmollel5583
    @jeremiahmollel55835 жыл бұрын

    Ndugu mkuu nimekupenda sana kwa swala hili.huku Arumeru wapima ardhi wanapita kuradhimisha ardhi bila muhusika yeyote kutoka kwenye idara ya ardhi je nisawa

  • @mwadawalucianpetri1663
    @mwadawalucianpetri16635 жыл бұрын

    Safi sana kiongozi. hatua hizo zinahitajika ili kurekebisha utendaji. Vibaka ktk huduma za umma serikalini ni wengi hao wa ardhi komesha vinara wa uovu. Wanapata hela kwa kuonea wengine kisha wanawahonga wakuu wao ndio maana wanadumu ktk uovu na viongozi wapo wanawaona na kuwaachia waendelee!

  • @kassimramadhani7903
    @kassimramadhani79034 жыл бұрын

    Kigoma mbona huji mh lukuvi baraza la ardhi kigoma ni hatari watu wanadhulumiwa sana tena sana njoo fasta uyaone kuna mtu anaitwa MTEWELE anadhulum wananchi huku

  • @amanimtasha9168
    @amanimtasha91684 жыл бұрын

    Mwenye namba ya Mh Lukuvi anisaidie kuna majipu huku yamewiva yanahitaji kutumbuliwa 😫😫

  • @noelmassam2086
    @noelmassam20865 жыл бұрын

    Nakukubali sana, kiongozi Wangu

  • @kibilawazebanga7455
    @kibilawazebanga74555 жыл бұрын

    Kazi sasa naona umeianza vizuri Rukuvi, ukiendelea hivi utarithi kiti cha jpm, hiyo wizara ilikuwa imeshaoza, mhe rais alikuamini akakupa wizara hiyo safisha kabisa, uwezo unao. Tamisemi imeanza kunyooka, nyosha na wewe ardhi na ujenzi

  • @elizabethmganule6929

    @elizabethmganule6929

    5 жыл бұрын

    Uko vzr boss kuna madudu mengi ngaz za chini ata mwanza ikikupendeza upite

  • @saeedqaseem3172
    @saeedqaseem31724 жыл бұрын

    Daaaaaah iki chuma sio cha kispoti spoti.... Bora ukutane ma magu kuliko huu mwamba😂😂😂 Ukiskia anakuja km wewe ni ofisa wa ardhi tembea tu na drip yako

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi43853 жыл бұрын

    HAHAHHA HHH HAPA SAFI SANAAAA SAANAAAA HIII MUHIMU KWA MASLAHI YA NCHI

  • @lugendopius1231
    @lugendopius12313 жыл бұрын

    Kweri huyu yupo vizuri sana.

  • @josephatkipege4291
    @josephatkipege42913 жыл бұрын

    Jamani mh. Waziri uje na makambako basi watu wanagawana aridhi utazani yao.

  • @sebaharrison1385
    @sebaharrison13854 жыл бұрын

    Mheshimiwa njoo huku wanakijiji Wa msitu Wa mbogo wanateseka na iyo Tanganyika plantation Muro atusaidii,njoo bb

  • @sagengemakwanan3595
    @sagengemakwanan35955 жыл бұрын

    Mzee Shikamoo !

  • @zefamange7281
    @zefamange72815 жыл бұрын

    NYOOSHA NCHI BABA, MSAIDIE RAISI MAGUFURI. WALIZOEA UTAWALA WA KIKWEKWE

  • @japhetisraelsmafie997
    @japhetisraelsmafie9974 жыл бұрын

    Huyu apewe nchi maana hana upendeleo..na anafanya kile tu kilicho sahihi

  • @mwitajackson1157
    @mwitajackson11573 жыл бұрын

    Lukuvi plz maguful akimalza madalaka yake naomba ufuate ww

  • @mwengwamwengwa2633
    @mwengwamwengwa26334 жыл бұрын

    Mhe kwanza hongera sana kwa maamzi mangum nikuombeni watu wote mlio pewa dhamana ya kumsaidia mhe rais msione haya kucgukua maamzi mangimu kwani wengine ni watoto wa vigogo ndoo maana wanahamishwa kukwepa mkono wako

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi43853 жыл бұрын

    Ila tu ,,sikufarahi pale kwa ZANZIBAR

  • @mamymamiza2924
    @mamymamiza29245 жыл бұрын

    Saluti kwako waziri lukuvi

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme84555 жыл бұрын

    mh.lukuvi real nakupenda unatenda kama Mh.Magufuli alipokua wazir CCM huyu awe mridhi wa Magufuli yupo vzr Sana huyu jamaa

  • @jaffaryhassany9832
    @jaffaryhassany98325 жыл бұрын

    Kwakwel huu uongoz ni MUNGU tu ametupatia, nakumbuka kanisa tulifunga tukaomba MUNGU atupe RAIS alie mkusudia kwakwel sikufunga bure kwel amejibu naskia faraja sana kwel MUNGU amejibu maombi waz waz

  • @danielx8
    @danielx85 жыл бұрын

    Kazi nzuri mzee

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga83345 жыл бұрын

    Tutaishi hivi mpaka lini.....tuendelee kulinda Utanzania na uzalendo

  • @saidpara7494
    @saidpara74944 жыл бұрын

    Msimamo wake sio wakuiga kama wale wale wanaotaka sifa.

  • @shomarymussa6970
    @shomarymussa69705 жыл бұрын

    Tanzania ilikuwa shamba la bibi ndio maana wamezoea rushwa

  • @aminanzeyimana3676
    @aminanzeyimana36765 жыл бұрын

    mh unatufaa sana ardhi ni jipu kubwa sana wanyooshe wote asante kwa weledi wako

  • @melkiadmigetta3870
    @melkiadmigetta38705 жыл бұрын

    Good

  • @judithsamson7286
    @judithsamson72864 жыл бұрын

    Mheshimiwa naomba chondechonde njoo mkoa wapwani hususani kibaha mjini kunamadudu hapa njoobaba

  • @M7-Band
    @M7-Band5 жыл бұрын

    Hehehe Lukuvi hatari sana,jampa jampa iyo

  • @errydeo8865
    @errydeo88654 жыл бұрын

    wat a dude.... kiboko

  • @saidpara7494
    @saidpara74944 жыл бұрын

    Tunawatambua wenyewe viongozi wenye mioyo ya dhat kwa wananch wake😄😄 kamua kamua baba tutakulinda wananch wako.

  • @bensonkaile9606
    @bensonkaile96063 жыл бұрын

    Aisee!

  • @immamlowe7151
    @immamlowe71515 жыл бұрын

    Safi sana lukuvi wenye haki wabaki

  • @antonyvallerian1718
    @antonyvallerian17184 жыл бұрын

    Migororo ya wakulima na wafugaji imeisha vip

  • @jumaigoti8676
    @jumaigoti86764 жыл бұрын

    Uko sawa

  • @fabianmilanga4980
    @fabianmilanga49805 жыл бұрын

    Kweli tumeibiwa kha!

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz78505 жыл бұрын

    Safi lukuvi

  • @jeremiahmollel5583
    @jeremiahmollel55835 жыл бұрын

    Muheshimiwa njoo ARUSHA NAKUOMBA ARUSHA DC.MJI MDOGO WA NGARAMTONI.MONDULI. NAOMBA CHUNGUZA BABA

  • @zuuothman9170
    @zuuothman91704 жыл бұрын

    Yani waungwana nisaidieni kumpata hyu mzee

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu104 жыл бұрын

    JAMA LUKUVI NI RAISI AJAE ,, YAAN UYU JAMAA ANAJUA TENA ANAUCHUNGU NA NCHI ILE MBAYAAAA SOLUTE KWAKO KAKA

  • @rosehaule220
    @rosehaule2205 жыл бұрын

    Mungu skutunzee babaa

  • @geraldpaul460
    @geraldpaul4605 жыл бұрын

    Mweshimiwa kuna mwenyekiti wa kijiji cha mleni jiji la tanga yuko kama huyo uliye mtumbua tena huyo ni zaidi maana aridhi ya mleni nikama yake anauza mashamba na anagawa mashamba kwa vigogo ili alindwe hakuna anae muweza huyo njoo tanga mleni vilio vyao watu wa mleni nikama kilio cha samaki

  • @barakanitwa8433
    @barakanitwa84335 жыл бұрын

    Mkuu dirisha la usajili bado halijafungwa hivyo usiogope kutumbua coz uwezo wakusajili wengine bado tunao! Hao sio wakusimamishwa ni kufukuza kazi wakalime tembere pumbavu zao!!

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi43853 жыл бұрын

    HHHHH HHHHH HAPA KAZI TU

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey36855 жыл бұрын

    #MhLukuvi bado na NHC watu wanaomiliki vyumba vya biashara au nyumba za makazi sio wanaoishi ndani ya nyumba izo hii inaturudisha nyuma kama nchi.

  • @johnmbugani6532
    @johnmbugani65325 жыл бұрын

    Namuomba mh. Rais kwanza amuongezee ulinzi ndg Lukuvi na kisha kwa kutumia watu wa intelijinsia kuwakamata wote waliofanya madudu haya, kuwafukuza kazi na kuwafikisha mahakamani ili wajue kuwa ajira ni dhamana na wala si mali binafsi

  • @hamiskanama1945
    @hamiskanama19455 жыл бұрын

    Nahuku kwenye wilaya zetu wapo njo lukuvi watu tunazulumiwa sana njo igunga nasie tuneemeke

  • @Papa2thaE
    @Papa2thaE4 жыл бұрын

    Kusimamisha? Wafungulieni mashishtaka pia

  • @simonringo4701
    @simonringo47014 жыл бұрын

    Amesimamia haki

  • @tonysolomon2841
    @tonysolomon28415 жыл бұрын

    Huyu roho mbaya na mbaguzi hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi

  • @dennisngonyani8594
    @dennisngonyani85944 жыл бұрын

    Kamua na ongeza speed na waungame kweli

  • @zephaniamayeye4902
    @zephaniamayeye49025 жыл бұрын

    😷😷😷😷😷😷😷😷😷napita tu

  • @petermwanyondo6459
    @petermwanyondo64595 жыл бұрын

    Duu huyu mzee unafanya xana kazi asiondke hapo hadi astafu mwenyewe

  • @lucassabida5471
    @lucassabida54715 жыл бұрын

    Huyu meheshimiwa anatakiwa kulindwa sana

  • @jestymoresimon7576
    @jestymoresimon75764 жыл бұрын

    hatari fire

  • @sundaymwangwe5362
    @sundaymwangwe53624 жыл бұрын

    Wabaya watengwe tu hamna namna

  • @keshukakurubay1273
    @keshukakurubay12735 жыл бұрын

    Shikomoo!!!

  • @hamadalesry3587
    @hamadalesry35875 жыл бұрын

    Amaakweli bongo baati mbaya

  • @ahmadmasunda8198
    @ahmadmasunda81985 жыл бұрын

    KUMBE HII NCHI ILIOZA KUPITA MAELEZO !! HAO FUKUZA WAKIBAINIKA WANATUHUMA ZA UBADHILIFU NA KUPOKEA RUSHWA PELEKA MAHAKAMANI, MUKIWAACHIA HIVI HIVI WANAENDA WAO MAHAMANI WANASHINDA KESI WANARUDI TENA KAZINI KUENDELEZA UHAFIZINA WAO

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat76374 жыл бұрын

    Tupe email yako

  • @alexchungu9505
    @alexchungu95055 жыл бұрын

    Huyu ni rahisi ajae

  • @farajisureman9925
    @farajisureman99255 жыл бұрын

    Ebwana!

  • @amchannel2485
    @amchannel24855 жыл бұрын

    Kama alikukimbia mara mbili je makatibu watamuwezaje?

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi12235 жыл бұрын

    Saaafi saana Waziri Wababaishaji ni wengi saana pambana Mkuu

  • @mamymamiza2924
    @mamymamiza29245 жыл бұрын

    Nyoosha waziri tunakukubali

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa24065 жыл бұрын

    Huyo jamaa atakuwa mchaga bila shaka.

  • @mbarikiwambarikiwa3988

    @mbarikiwambarikiwa3988

    4 жыл бұрын

    Thubutu, mchaga anapenda pesa hyu siyo mchaga

  • @joesmike2369
    @joesmike23695 жыл бұрын

    Hahaa aa

  • @klkkklkk1369

    @klkkklkk1369

    4 жыл бұрын

    wapiga sana watumbue

  • @mukhtarmohamed6696
    @mukhtarmohamed66965 жыл бұрын

    kweli kabisa

  • @anthonypaulo1593

    @anthonypaulo1593

    5 жыл бұрын

    Kati ya mawaziri nawakubali hyu namba moja

  • @eliasdaniel4562

    @eliasdaniel4562

    5 жыл бұрын

    n kweli anaweza huyu mzee!

  • @saidasimba9979
    @saidasimba99795 жыл бұрын

    Vzr sana

  • @bensongeorgesadock1254

    @bensongeorgesadock1254

    5 жыл бұрын

    Ange kuja nakasulu tunge pona wengi

  • @braysonmfyate4189

    @braysonmfyate4189

    5 жыл бұрын

    You are strong and powerful man hon minister W lukuvi, mchango wako ktk kujenga taifa hili ukumbukwe daima. Inguluvi yikukwamilage mbepali, Amen!

  • @jakobokajanja6983

    @jakobokajanja6983

    4 жыл бұрын

    goooooood prisedent 2025

  • @athanaskipeto572
    @athanaskipeto5724 жыл бұрын

    Uwazi na uwajibikaji👏👏👏

  • @publicrelations4600
    @publicrelations46005 жыл бұрын

    Namuona mbadala wa magufuli 2025

  • @seifrengwe2542
    @seifrengwe25424 жыл бұрын

    Watanzani, Tunaomba Serikali ya TZ kubadilisha katiba ili kuwawezesha watanzania wanaoishi nje ya inchi kuwa ta Uraia mbili. haya mawazo yatokana kwa ukweli kwamba wa TZ wengi waishio ulaya na Amerika ,wamesoma na wameendelea, wenigi bado wana Passport za TZ lakini hawawezi kuendeleza maendeleo ya TZ sababu wanaogopa rudi TZ. tunaomba Bunge lifikirie hayo ili kuwezesha wa TZ wa nje ya inchi kuwa na uraia mbili.

  • @japhetmombia
    @japhetmombia5 жыл бұрын

    Kama unaamini huyu ndiye prezidaa 2025 gonga like twend zetu

  • @immamlowe7151
    @immamlowe71515 жыл бұрын

    Ndio maana sisikii tena migogoro ya wakulima na wafugaji . Kumbe serikali ya awam ya tano imekula na dawa ya magonjwa yote

Келесі