Bod ya sukari mnafel wap.kuna kapun serkal kuna ubia halafu hawakuchukua vibali na selkal mmo. Hamuon kama hata kampun zingine zitaona ni hiar ama zisichukue kabisa. Chukuen hatua kama Sheria za kuajibisha.
@Mima-cl2im16 күн бұрын
Amani haichungiki bila ya haki. Nchi nyingi za kiafrika zinakosa amani kwaajiri ya dhuluma za wengi. Wabunge wa Tanzania badała ya kutetea haki ya waliowaweka bungeni wanatetea interests za wachache wanao wadhulumu wengi. Usiposema ndiyo bungeni unakuwa Aduwi wa serikali na unashutumiwa na wote. Ukweli unakuwa uwongo. Demokrasia gani hii? Mbunge ana haki ya kutetea wananchi na sio kuiunga mkono serikali na sifa nyingi kwa Rais bila ya kuwajali wananchi. Tanzania ni masikini kwa wizi na ufisadi wa watu wachache kujilimbikizia mali za watanzania. Hawakamatwi, wala kusemwa. Ukiwasema bungeni yanakupata yaliyompata Mpina
@pueblo14816 күн бұрын
Nawasililiza vizuri nikiwa Simiyu nataka kuelewa vizuri tatizo liko wapi?
@SaimoniAnatory-zk8eo16 күн бұрын
Hata kapun za serikari hawakuchukuwa kibari ,hauoni kuwa kunatatizo
@Mima-cl2im16 күн бұрын
ACHENI kudanganya wananchi kwa kuwafanya wajinga. Muuza mobile anawezaje kupewa tenda ya kuingiza sukari za mabilioni? Viongozi karibu wote mumekuwa machawa.
@charlesmwambinga435516 күн бұрын
Wananchii Tushaelewa Mbivu na Mbichi hukuna haja ya kulizungumzia ...Pia Sukali Ishuke Bei ndo hayo yatakua Na Tija.
Пікірлер: 9
Sukari Bado Bei kubwa mzee Mangy baba tunakukumbuka sana ila ulisema
Makampuni hambayo yarishindwa kuchukua vibali mliwachukulia hatua Gani na makampuni yalioshindwa kuagiza sukuri mliwachukulia hatua Gani
Bod ya sukari mnafel wap.kuna kapun serkal kuna ubia halafu hawakuchukua vibali na selkal mmo. Hamuon kama hata kampun zingine zitaona ni hiar ama zisichukue kabisa. Chukuen hatua kama Sheria za kuajibisha.
Amani haichungiki bila ya haki. Nchi nyingi za kiafrika zinakosa amani kwaajiri ya dhuluma za wengi. Wabunge wa Tanzania badała ya kutetea haki ya waliowaweka bungeni wanatetea interests za wachache wanao wadhulumu wengi. Usiposema ndiyo bungeni unakuwa Aduwi wa serikali na unashutumiwa na wote. Ukweli unakuwa uwongo. Demokrasia gani hii? Mbunge ana haki ya kutetea wananchi na sio kuiunga mkono serikali na sifa nyingi kwa Rais bila ya kuwajali wananchi. Tanzania ni masikini kwa wizi na ufisadi wa watu wachache kujilimbikizia mali za watanzania. Hawakamatwi, wala kusemwa. Ukiwasema bungeni yanakupata yaliyompata Mpina
Nawasililiza vizuri nikiwa Simiyu nataka kuelewa vizuri tatizo liko wapi?
Hata kapun za serikari hawakuchukuwa kibari ,hauoni kuwa kunatatizo
ACHENI kudanganya wananchi kwa kuwafanya wajinga. Muuza mobile anawezaje kupewa tenda ya kuingiza sukari za mabilioni? Viongozi karibu wote mumekuwa machawa.
Wananchii Tushaelewa Mbivu na Mbichi hukuna haja ya kulizungumzia ...Pia Sukali Ishuke Bei ndo hayo yatakua Na Tija.