🔴Live: ZITTO KABWE KWENYE MKUTANO MKUU wa ACT - WAZALENDO - WANACHAMA - VIONGOZI WAFUNGUKA MAZITO...

🔴Live: ZITTO KABWE KWENYE MKUTANO MKUU wa ACT - WAZALENDO - WANACHAMA - VIONGOZI WAFUNGUKA MAZITO...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 26

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani72444 ай бұрын

    We will miss Zitto..mwanasiasa kwa kweli mwenye maono sio wale jamaa kelele na matusi!

  • @salimsaid8348
    @salimsaid83484 ай бұрын

    Hiki ndicho chama kikubwa cha Upinzani chenye maono chanya cha kuleta Maendeleo ktk Nchi yetu hii.

  • @DIO-jd8xs

    @DIO-jd8xs

    4 ай бұрын

    Uongo

  • @nassorseif7907
    @nassorseif79074 ай бұрын

    Chama cha act kimeokua baada ya maalim kuingia act km si maalim hakijui mtu

  • @salyali7807
    @salyali78074 ай бұрын

    Mbona Babu Duni hakutayarishiwa zawadi maalum

  • @user-jn9gc8ru6v
    @user-jn9gc8ru6v4 ай бұрын

    Kweli hiki ndoo chama chenye hoja kama za ccm

  • @revocatusvedastus8893
    @revocatusvedastus88934 ай бұрын

    ccm 2019 hamukushinda uchaguzi Bali mlivuruga mshinde Mungu atawahukumu ,

  • @abujamalaalghammawiy7470
    @abujamalaalghammawiy74704 ай бұрын

    Ahsanteni ACT, hakika hiki ni Chama Kiongozi kwa sasa Tanzania

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    4 ай бұрын

    Hahahaha,,,,babu duni asingejitoa

  • @abujamalaalghammawiy7470

    @abujamalaalghammawiy7470

    4 ай бұрын

    @@jumakapilima7295 Kwani katoka nje ya chama, au umemsikia amesemaje yeye mwenyewe?

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    4 ай бұрын

    @@abujamalaalghammawiy7470 hahahaha,,,,siasa za nchi hii tunazijua

  • @jafarmlawa9627
    @jafarmlawa96274 ай бұрын

    Kama hujaelewa kinacho ongelewa,,,kichwa chako box bs kaa kimyaa usitulishe matango poliii hapa!!

  • @nassorseif7907
    @nassorseif79074 ай бұрын

    Ndio nyinyi ccm hamna sheria wa dhamira Zanzibar hamjafanya lolote wakati mulitoa ahadi kua mutatekeleza makubaliano

  • @jacobnorbertchenga9465
    @jacobnorbertchenga94654 ай бұрын

    hii mikoa mbona SIIONI KWENYE RAMANI

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani8074 ай бұрын

    Chama hakina wanachama bdo msiseme ni chama kikubwa

  • @sam-py2ty
    @sam-py2ty4 ай бұрын

    Sheikh Ponda kapiga ndipo

  • @danielmpanguko759
    @danielmpanguko7594 ай бұрын

    Unafiki tu mwingi unaongelewa hapa. Mama Karua ndo unaongea point za kueleweka wengine ni utopolo tu wanaongea.

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani8074 ай бұрын

    Ss mnakuaje tayar wakat mnajua tume sio huru asee, simuongelee kwanza ishu ya katiba mpya

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima72954 ай бұрын

    Unatangaza kama umekula cassette

  • @nassorseif7907
    @nassorseif79074 ай бұрын

    Hayo yalotokea 19 20 kayafanya nani?mbona mulikua hamumwambii kitu mwenda zake wapinzani walipokua wakisema mulikua munawasema kua wanavunja amani na umoja wa Watanzania

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn4 ай бұрын

    Hiki ndio chama tunachokitegemea kwasasa hakina vurugu Wala kutukana viongizi kinahoja nzuri sana hiki ndio chama mbadala kabisa kwasasa

  • @DIO-jd8xs

    @DIO-jd8xs

    4 ай бұрын

    Shida hapa katiba

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    4 ай бұрын

    ​@@DIO-jd8xs Imefanyaje Katiba?

  • @revocatusvedastus8893
    @revocatusvedastus88934 ай бұрын

    Ado uko vema

  • @nassorseif7907
    @nassorseif79074 ай бұрын

    Wewe msaidizi msajili mnafiki sana hueleweki hata wakati wa magufuli ulitwambia uhuru wa democracy upo saiv unaonesha kua mafufuli alikua anaikandamiza democracy

  • @nshoyachacha3497
    @nshoyachacha34974 ай бұрын

    Wabunge wengi wa upinzani 2015 waliingia bungeni sio kwa sababu ya sheria ya uchaguzi au dhamira ya rais wa wakati huo. Wabunge wa upinzani zaidi asilimia 90 walibebwa na Lowasa. Kinana usidanganye kuwa uchaguzi wa 2020 wabunge wa upinzani walibwagwa kwa kuwa dhamira ya Rais wa wakati huo ilikuwa mbaya. Hapana Utendaji wa Magufuli ulikuwa wa viwango vya juu ndicho chanzo upinzani kubwagwa.

Келесі