🔴
Ойын-сауық
🔴#LIVE: THE SWITCH NDANI YA WASAFI FM | 11/07/2023
DSTV - 296 |ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FSA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2022 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 458
Young lunya big up from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
From kenya Malindi....Lunya Mwamba mzee....hii hapa ni next level....session si dakika 2 kwani ni chorus....killer kama anajiamini piga dakika saba mchano....lunya on bars💥💥💥
sanaa lunya big up we learn the game mbuzi BAMBURI KENYA .....place to be est zuu 💯
Ni corra apa kutoka kenya/mombasa mwamba anajuwa sana young lunya ni mnyama. Achana na young killer mshikaji kwnye dakika kumi za maangamizi alishindwa na beat anachagua midundo
Sio kila Young ni killer Uwezo unajieleza Saruuuut kwa Young Killer mwanza mwanza 💥💥
Wote ni wakali mana ni wetu hapa hapa bongo tujisifie kuwa na marapa wakali bongo sio kumpandisha 1 mwingne ashuke 🔥🔥
Huyu Mbuzi ni noma shida young killer ni wa kitambo, lunya ndo rapper wa kizaz kimpya , nachonga njia ili rappers wengine wawahi masomo lunya Ni noma
Brother komaaa sana music wako naukubali sana hakuna kinacho shindikana chini ya jua naamin one day kila mtu ata appreciate kazi zako jah bless u per many blessing ✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾
I Love All Bongo Hip Hop Songs But Young Killer Is The Killer In This Generation
Lunya kwa sasa yuko moto sanaa coz anajituma sanaa anastaili kua best rapper kwa sasa
Lunya 🔥❤️🐐
Lunya kaka unajua sana god bless you
This man is 🔥🔥🔥
Killer❤
The guy is so talented
@worldofgames6249
Жыл бұрын
Talented ever
Big diamond in tz love from ke
Big Mr mbuzi 🦌 toi are the best bro 🔥🔥🔥🔥
Semaa Game ya HipHop inatakiwa iwe ivy ilikua imepoaaa kinom BigUp kwa Y Killer&Lunya......
Young ni mmoja tu naye ni killer 🔥🔥🔥
Tofauti ya lunya n killer ni kwamba Lunya tatizo anajisfia sanaa aseeh kweny nyimbo zake hasa za nyumaa... Ila Killer anajua sana hasa vitu vingii anaimba kuhus hits songs zimejaa sanaa
@bennylove6021
Жыл бұрын
Ndo Hip Hop
@grgthedon9926
Жыл бұрын
Usikue fala bro .. rap music is all about kujisifu na kujigamba... Jua hip hop Acha ufala .
@maesryclassic456
Жыл бұрын
@@bennylove6021 😂 Maoni ya kwangu mwenyew na ufala juu naitwa 😂😂😂😂
@maesryclassic456
Жыл бұрын
@@grgthedon9926 Hivii Fareed sijuii Mwana FA wanajisifia kila kweny nyimbo zao? Ni lini Roma akaimba nyimbo nzima anajisifia yeye? Rap ni kuhus kurudisha kwa Jamii kuiongelea jamii.. Ukiachana na I am ya Stamina ni nyimbo umemsikia akiimba akijisifia mwanzo mwisho? Niambie nyimbo ambayo Joh Makini kaimba anasifia tu all the time😂 Inachekesha sana na Fala juu nimeitwa etii kujigamba Msanii gani wa Hiphop mkubwa hapa Tz anaimba tu mipasho na kujisifia all the time kweny nyimbo zake 🤣😂😂😂
@jacotv4563
Жыл бұрын
@@grgthedon9926Bora umemjibu fala huyo mziki lazima ujigambe 😅😅😅😅
Realest🐐
Mziki vi vibe...na wewe unazo 💥💯🙌🙌
Session 5 to the world 🌍 🔥🔥🔥🐐🐐🐐
Msodokiiii na omba like zake
@ShadrackShiluwa
11 ай бұрын
Lunya hafanan na mtu yyote, ukkfananisha na killer Ni kmkosea heshima..
@user-hl1bv3oo8e
8 ай бұрын
Killer ndo mkali🎉
Msodoki ni babu yako kimziki yuko kwenye game long time
Until hii mike itupwe hakuna mwenye ataspit on it like this🔥🔥🔥🔥 unyama ni mwingi sana
Naflah xana kuona comments ya kwanza inamgwaya huyu mr msifa hii nyimbo nisawa na mstal1 wa msodok mstal1 mstal1 huu wimbo naulnganisha na mstal1 kwenye nyimbo ya msodok
Lunya wewe ni king.from kenya
This guy trings🎉🎉
KILLER MSODOKI MWANZA MWANZA NI KING WA MA YOUNG WOTE
@lazaromaria5334
Жыл бұрын
Even if you are good rappers, remember this is David's city
@niffonlinetz7214
Жыл бұрын
@@lazaromaria5334 who's David???
Lunya Una Matambo Tim Killer Sis Sio Wew Sinchi
@MrTop-wj7no
Жыл бұрын
Kwani unataka je? 😂😂😂😂 Hiyo ndo RAP ulitaka aimbe ya kanisani?? Huyo ana RAP haongei kama huyo boya wenu
@merckmdamu2942
Жыл бұрын
@@MrTop-wj7no Matakowewe hujielewi
Sio kila young ni killer killer ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Lunya ni rapa mzur kias ila MSODOKI ni bora zaid gonga like nying kwa MSODOKIII
@nicholausmbilinyi3587
Жыл бұрын
Mwambieni killer afanyie kazi flow...lunya ana flow kali sana.huo ndio ukweli na ndio kinachomfelisha killer kwa sasa
@hassanbakari4525
Жыл бұрын
MZE LILI HAWEZ KUKAA KWENYE KITI.KWA HALI HIYO.
@mejjaaokonko
Жыл бұрын
Wewe si unaijuwa hip hop
@mejjaaokonko
Жыл бұрын
@@nicholausmbilinyi3587 wewe si unaijuwa hip hop
@MrTop-wj7no
Жыл бұрын
@@mejjaaokonkoLUNYA mpeni maua yake mnabisha nini?
Even if you are good rappers, remember this is David's city
Number 1 2 3 nanjo mwisho 🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️
Young kill best rap
Young Killer mwambie matuc tu na kufugwa na mzungu, mwenzie hana mwanamke anaemtegemea na anapasua, TEAM LUNYALILE like hapa 😁😁😁😁😁😁
Huna jipya wew Msodoki tunamjua since day uno so bado humuwezi chalii🔥🔥🔥
Sema MBUZIII...🐐🐐🐐🐐🐐🐐🔥🔥🔥🔥
Lunya kama unasoma comment Utaacha kumdiss young killer ! Raia wamekukataa broo😂
@VictoriaKarindo-hg8sv
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
Young killer is the best🎉🎉
Ukweli Usiopinginga comment nyingi ni za kumkubali killer inaonesha jinsi gani killer ni hatar
Lunya got swaggs 🔥🙌
@nuhumohamedi
Жыл бұрын
True say
Siri ya killer kwanza weka young Kisha killer. Killer ni muuwaji ila Sina maana hiyo ni ya driller.....
Jana ni Noma Sana
Lunyaaa🔥🔥🔥
Lunya ninoma😍😍
Lunya mnyama. Sana msukuma akachunge ngo,mbe
Tanzania tuna Mbuzi mmoja tu,Fid Q.period
Lili ommy nimeipenda hiyoo 🤣🤣 ya mzee wa Banda amevyoo vyaa kihip papu
Young lunya anajiheleza vizuri nampenda hana ubaya
Killer ndo star long time Linya nimzuri bt haezi killer
Noma sana
Wazaraaaaaaam🎉🎉🎉🎉
So nice big up for young lunya
No one like lunya kweny mayoung wote 🔥
mbuzi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 br
Lunya ni munoma sana tatzo flowi ni moja tu habadiliki ani...msikilize killer kwenye Leo msikilize killer kwenye exclusive interview amefamya zaidi ya unavofanya kwenye izo Flow bro..So Final killer is the best
@jaybee3429
Жыл бұрын
aaaah killer kapoa sana dg katake over
@bennylove6021
Жыл бұрын
Anafosi kurud kwa nguvu
@MrTop-wj7no
Жыл бұрын
@@bennylove6021umeona EEE? 😂😂
@ellygach6515
Жыл бұрын
@@jaybee3429 killer mnoma
Fire 🔥 🔥 🔥 🔥 blessed u
Duh kumbe umeisikiza kweli killer ni balaa 😂😂
Young Lunya utaimba freestyle zote lakini kumfikia Young Killer bado sanaa afu mbona kama umepanic
@Oldskulgemini9991
Жыл бұрын
Apanic kwa msanii ambae mara ya mwisho anaachia hit song sijui ilikuwa mwaka Gani?😂 Lunya kaziteka new generation unaona wazi kabisa wakitoa wengine hakuna anaestuka akitoa Lunya watu wote wanastuka cha mwisho anachukiwa Sana hiyo ni sababu Moja wapo ya kuwa yeye yupo juu kwa sasa
@mejjaaokonko
Жыл бұрын
Bora ata umemwambiya
@mejjaaokonko
Жыл бұрын
@@Oldskulgemini9991 ki ukweri hakuna hip hop apo mkuu
@MrTop-wj7no
Жыл бұрын
@@mejjaaokonkofwatilia Hipop za kina The OG na kina SARKODIE ndo ujuwa kwamba hii ndo RAP
😮 you ung lunya nimmoja Kati ya marapa wazuri. kabisa.walo nachuki tu ilani rapa mmoja peke huyu mpuzi omay. nirapa mzuri na sijaona Young Kila cha kumtambia. Young lunya .kwasabau haenkezi bifu ila anaimba na nweza 💪
Hamna kitu kama "kinda legend" haya maneno ya kinge mnapenda kuyatumia ila hata maana yake hamuajui maskini. You're either legend or not, nothing in between. Kumuita mtoto kama Killer Legend ni kuitukanisha hiohop ya bongo.
dogo mna mnyanyua sanaaaaaaa killer anajitegemea
Kuna ujumbe wako huku kutoka mwanza njoo ujibu bro
Mammammamaaaaeeee mbuzziiii jinnnnnnni
NOW LUNYA IS THE BEST RAPPER IN EAST AFRICA 🌍🦅🔥 KAMA UNABISHA NIKUTE HUKU BURUNDI 🇧🇮 NIKUCHANE FREESTYLE 3
@ellygach6515
Жыл бұрын
Tutolee ushamba wako wa Burundi haujui mzikwa TZ kaa kimya kilaza wewe
Masnich kaww nang'oa puwaa 😂😅 Nan anajua hio punch line😂❤ young------
Watu wa killer tujuane apa ✌🏾maana huyu dogo me simuelew
@brightonnjau4774
Жыл бұрын
Utajuw soon tuliza komwe msikiliz mnyawez😅
@RichardCharo-zx3sy
Жыл бұрын
Killer mkali wao
@barikiemanuelbariki-lf5zw
11 ай бұрын
yey mwenyewe akuelewi
Lunya ni mnyama🍁🔥
Mbuzii
Semaa Killer mkaliii san New Generation 2019's wasijisahauuu...
Lunyà ndio you're big rap but kwa killer anakukalisha chini
Msodoki ❤🎉 Lunya uwezi😅
Mtampiga sana promo lakn bad hatomfikia msodoki
Dah kila comments ni killer haha 😄
Tuliaa mzee msodokii ni motoooo😂😂😂
Msodokiii humuwezi kaa kimya young killer ni mto wa kuotea mbali xnaaaaaa
@DanielmashaGona
Жыл бұрын
Mwambie😂......killer....nuks.....mwamber
@youngchuda1568
Жыл бұрын
Killer ninoma amuulize young d na janjaro amuulizie nay utakalishwa
@mohdloushmoney9994
Жыл бұрын
@@youngchuda1568bifu limewashinda
Si tuna session 6 mwanza
Young killer mnyama mamaeeee😊😊😅😅😅
Kwan mkisema session 5 ni kali kuna ubaya??? Iko on fire aisee Y’ Lunya mkali
Lunya anajua sana
@jacotv4563
Жыл бұрын
Lunya ni Nembo ya taifa kwa sasa 😢
Kuna vitu ving vya kuandika kuhusu maisha as the real meaning of Hip hop hakuna ngoma umendika hayo madini so acha kukataa
Lunya anajua ndio ila killer ndio mwisho yaan funga break 🖐🖐
Young lunya🔥
Lunya ni lunya pia kila ni kila ..wote wakali tofauti kwa sasa kwa hii gemu kila ni mwenyeji lunya ni mgeni na siku zote mgeni akienda sehemu lazm awe na bidii nyingi mda mwingine humpta hata aliye kua mwenyeji..NAHISI mmenielewa.
Tunamwomba killer hapa wasaf pls
Oee uko juu lunya nakukubali sana
Da jamaa mbaya yasa lunya tupe laha wakati wako ndo huu wewe ni mnyama hahahahaha👍👍❤️❤️❤️
Lunya wew unaimba kelele tukwambie tu ukweli ujue , msodoki ni package Yani kile ni kichwa kaka Yan msodoki kwa kizazi hiki ni sawa na Fid Q wenu I'm out
Lunya🙏⚽
Lunya big up . Ww ni noma
🔥🔥🔥🙌🙌
Lunya to the world
Lunya damu damu
Anajua lakini siwezi nikamlinganisha naa killer alifanya poaa naa badoo anafanya paaa , it means that killer nii mmojaa tuuu
Lunya🔥🔥🔥🔥🔥
Huna jipya dogo humuwezi Killer achana na msodoki 💪🏽🙏
Then huo sio unyama ni uoga,Unadiss watu inaonekana then unakuja kukataa huo ni ushoga.
runyaaaaaaaaaaaa🎉🎉🎉