🔴
Ойын-сауық
🔴#LIVE: WAZAZI HAWATAKI ANIOE, KISA DINI ZETU NI TOFAUTI, NIFANYEJE? | HARD TALK..
Dada Lillian, naomba unisaidie kutatua hiki kitendawili maana NIMECHANGANYIKIWA....
"Nimependana na mtu dini tafauti na mimi.Tunataka kufunga ndoa lakini wazazi wanatukatalia sababu ya imani zetu..HII NI SAWA?"
This is HARD TALK with Lillian Mwasha@lillianmwasha_
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 55
Lilian weka utulivu vizur unahoji watu wa viwango vya juu sana kwahiyo unahitaji utulivu katika kuelewa
Ili mtu kuelewa hapa inahitaji kuweka kando ubinafsi na udini
@babyhamisi1437
2 жыл бұрын
Upo sahihi
@timothmwakakusyu4563
2 жыл бұрын
Sahihi
@eddyhongeramaalimseifulipo6612
2 жыл бұрын
umliona hilo broo
@georginakabanga1762
Жыл бұрын
Kabisaaaaa☑
Hili Swali kwa Kifupi ni rahisi, mfano mimi siwezi kumlazimisha mtu abadilishe dini yake kwa ajili yangu ivyo ivyo pia sitaki kulazimishwa na mtu kubadilisha Imani yangu
Daah shule ya nguvu hii mbalkiwe sana Dr na Lilian ni tunu za maalfa Mungu aendelee kuwatunza coz mnafungua fikra mgando
Huu mtego umetutesa sana tunashindwa kuoa tunaoendana kutokana na dini
Hongera Doc 🙏🙏🙏🙏🙏nashukuran Mwansha kwa kipidi hichi 🙏
YAANI LILIAN...THIS DR IS SUPER TEACHER. NIMEPATA KUELEWA IN THE DEEPEST. I LOOOVE THIS HARDTOK. I REAAAALLY HOPE WATU WAFUNGUKE KWA KISHINDOOO!! THRU THE HOLYSPIRIT WA MUNGU FROM DR. GOD BLESS U DR. KEEP PREACHING. MUNGU AKUPE MORE OF HIS WONDERFUL KNOWLEDE. AMEN. MUCH LV N BLESSINGS TO YOU. RITTA
Swali langu ni kuhus watoto sasa wakishazaliwa....inakuwaje kwa mzazi hususan mama ambaye ni mlezi anafanyaje..??
N a Mnukuu Dr.""Kwamba utajua ukienda kumroga""🤣🤣🤣🤣🤣🤣.But Dr.yupo intelligent.
Madam Lilian yaan huwa napenda unapotengeneza mjadala wa maswali unavyoo uliza hakika unatusaidia sisi tulio wabishii kubadilika❤
Libarikiwe tumbo lililokuzaa
Hongera sana Dr na Lily Kwa somo zuri. Hizo layers 7 Kwa wale watu wa Imani maana yake ni zile anga saba za kiimani.
Dr vipindi vyako vinanijenga SANA. Ahsante SANA Lilian
This man his amazing thank you doc
Dini ni kitu muhimu sana kwasababu unaweza kuow au kuolewa na mtu na akakupoteza kwaajili unampenda
@georginakabanga1762
Жыл бұрын
Huwez kupotea kama unajitambua.
Shukrani saana Dr. You're so blessed. Izo layer's ni zipi Dr plz?
Lilian ameshindwa kuelewa tofauti ya dini ya kiafrica na uchawi
Nakupenda sana dada,napenda sana vipindi vyako vinatugusa
Dr 👏👏👏
I love u lilly nimebarikiwa SANA yn elimu hii nzitooooo mnoooo u made my day 🌼❤️
Wow somo zur sana
this is hard talk
Omg! Lilian come down!
Hata mm nachangamoto Hiyo mm msabato mwanaume mlomani hpo inakuwaje
👌
Interview ina akili Nyingiiii sanaa hiii.🙌
Intellectual material 🇬🇧
Naomba namba yako ya simu nataka kuja kanisani kwako
Mi nina swali na je mkioana mkipata mtoto au watoto wtakua upande gani
Ww up dini na mwezio
😀😀😀😀Hii lecture ya bure kabisa 😅😅😅
Dk nakuombea Kila siku
Asee nimeelewa hili somo mno
Kumwelewa huyu Dr unaitaj akili iliyotulia
Wewe kama ni Muislam hupaswi kuolewa na huyo mpaka asilim ila kama wewe ni mkristo silim uolewe na haupaswi kuingia dini yoyote nje ya uislamu hilo hapana
@alhamdulillah5796
2 жыл бұрын
Wameeka mbele duniani na kumsahau Mungu mpaka hawajali kizazi kitakachopatikana kitakuaje???
@hajihassan5433
2 жыл бұрын
Kama Mungu angekuwa na Makamo basi angekuwa mzazi, kama humsikilizi mzazi kwa yale yasiyokinyume na Mungu basi Mungu hana shida na ibada yako. Mtii Mungu, Wazazi na Wenyewe mamlaka juu yako (Serikali) hapo utauona Ufalme wa Mungu.
@salehemayunga971
2 жыл бұрын
Mtii mwenyezimungu mtii mtume na wenye mamlaka miongoni mwenu sasa hapo unatakiwa ukasome mamlaka inayozungumzwa hapo ni ile inayo mtii Allah na Mtume wake
@justineemanuel127
2 жыл бұрын
Mungu hana dini isipokua kuwa msaada chanya kwa wengine unaweza kua na dini na ukawa mkatili unaweza usiwe na dini ukawa mwema vile vile.. Dini ni jia tu za kumrudia Mungua zilizowekwa na wanadamu.
@salehemayunga971
2 жыл бұрын
@@justineemanuel127 maneno unayoyasema unarudia yale ya wazee wenu walipopotea kuufuata ukweli nao ndiyo DINI HII YA KIISLAM ndipo wakaanza utetezi kama huo wako na mpaka leo hamjapata ukweli wa hayo mliyojishikiza nayo cha msingi tafakari vizuri utapata jibu sahihi
Hakuna elimu bora duniani kama kitabu cha Quran.msomi yoyote akiongea unajua tuu, tena kwa haraka kwanba huyu anapotosha ukweli.nyie munaojiita ma Dr, professor muislam aliyesoma siyo level yenu hata kama ukamuona anayumba ukweli anaujua.