🔴

Ойын-сауық

🔴#LIVE​​​​​​​​​​: WAZAZI HAWATAKI ANIOE, KISA DINI ZETU NI TOFAUTI, NIFANYEJE? | HARD TALK..
Dada Lillian, naomba unisaidie kutatua hiki kitendawili maana NIMECHANGANYIKIWA....
"Nimependana na mtu dini tafauti na mimi.Tunataka kufunga ndoa lakini wazazi wanatukatalia sababu ya imani zetu..HII NI SAWA?"
This is HARD TALK with Lillian Mwasha@lillianmwasha_
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 55

  • @mekumeku2484
    @mekumeku24842 жыл бұрын

    Lilian weka utulivu vizur unahoji watu wa viwango vya juu sana kwahiyo unahitaji utulivu katika kuelewa

  • @abelalpha441
    @abelalpha4412 жыл бұрын

    Ili mtu kuelewa hapa inahitaji kuweka kando ubinafsi na udini

  • @babyhamisi1437

    @babyhamisi1437

    2 жыл бұрын

    Upo sahihi

  • @timothmwakakusyu4563

    @timothmwakakusyu4563

    2 жыл бұрын

    Sahihi

  • @eddyhongeramaalimseifulipo6612

    @eddyhongeramaalimseifulipo6612

    2 жыл бұрын

    umliona hilo broo

  • @georginakabanga1762

    @georginakabanga1762

    Жыл бұрын

    Kabisaaaaa☑

  • @ericalexandre2166
    @ericalexandre2166 Жыл бұрын

    Hili Swali kwa Kifupi ni rahisi, mfano mimi siwezi kumlazimisha mtu abadilishe dini yake kwa ajili yangu ivyo ivyo pia sitaki kulazimishwa na mtu kubadilisha Imani yangu

  • @magangamathew9226
    @magangamathew92262 жыл бұрын

    Daah shule ya nguvu hii mbalkiwe sana Dr na Lilian ni tunu za maalfa Mungu aendelee kuwatunza coz mnafungua fikra mgando

  • @mekumeku2484
    @mekumeku24842 жыл бұрын

    Huu mtego umetutesa sana tunashindwa kuoa tunaoendana kutokana na dini

  • @aishavogelmann5021
    @aishavogelmann50212 жыл бұрын

    Hongera Doc 🙏🙏🙏🙏🙏nashukuran Mwansha kwa kipidi hichi 🙏

  • @rittaaziz4470
    @rittaaziz4470 Жыл бұрын

    YAANI LILIAN...THIS DR IS SUPER TEACHER. NIMEPATA KUELEWA IN THE DEEPEST. I LOOOVE THIS HARDTOK. I REAAAALLY HOPE WATU WAFUNGUKE KWA KISHINDOOO!! THRU THE HOLYSPIRIT WA MUNGU FROM DR. GOD BLESS U DR. KEEP PREACHING. MUNGU AKUPE MORE OF HIS WONDERFUL KNOWLEDE. AMEN. MUCH LV N BLESSINGS TO YOU. RITTA

  • @namrylukenga343
    @namrylukenga3432 жыл бұрын

    Swali langu ni kuhus watoto sasa wakishazaliwa....inakuwaje kwa mzazi hususan mama ambaye ni mlezi anafanyaje..??

  • @momoyusufu3424
    @momoyusufu34242 жыл бұрын

    N a Mnukuu Dr.""Kwamba utajua ukienda kumroga""🤣🤣🤣🤣🤣🤣.But Dr.yupo intelligent.

  • @bensonsalum6297
    @bensonsalum62979 ай бұрын

    Madam Lilian yaan huwa napenda unapotengeneza mjadala wa maswali unavyoo uliza hakika unatusaidia sisi tulio wabishii kubadilika❤

  • @immajuzo2440
    @immajuzo24402 жыл бұрын

    Libarikiwe tumbo lililokuzaa

  • @paulndosa2649
    @paulndosa26492 жыл бұрын

    Hongera sana Dr na Lily Kwa somo zuri. Hizo layers 7 Kwa wale watu wa Imani maana yake ni zile anga saba za kiimani.

  • @janesemngindo4878
    @janesemngindo48782 жыл бұрын

    Dr vipindi vyako vinanijenga SANA. Ahsante SANA Lilian

  • @maryschroeder521
    @maryschroeder5212 жыл бұрын

    This man his amazing thank you doc

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi14372 жыл бұрын

    Dini ni kitu muhimu sana kwasababu unaweza kuow au kuolewa na mtu na akakupoteza kwaajili unampenda

  • @georginakabanga1762

    @georginakabanga1762

    Жыл бұрын

    Huwez kupotea kama unajitambua.

  • @yuathmtenzi2114
    @yuathmtenzi21142 жыл бұрын

    Shukrani saana Dr. You're so blessed. Izo layer's ni zipi Dr plz?

  • @mekumeku2484
    @mekumeku24842 жыл бұрын

    Lilian ameshindwa kuelewa tofauti ya dini ya kiafrica na uchawi

  • @user-mg9yn3yt2c
    @user-mg9yn3yt2c9 ай бұрын

    Nakupenda sana dada,napenda sana vipindi vyako vinatugusa

  • @mussakasela1937
    @mussakasela19372 жыл бұрын

    Dr 👏👏👏

  • @subirabororo8433
    @subirabororo8433 Жыл бұрын

    I love u lilly nimebarikiwa SANA yn elimu hii nzitooooo mnoooo u made my day 🌼❤️

  • @neemamassawe8091
    @neemamassawe8091 Жыл бұрын

    Wow somo zur sana

  • @muhammadkiyanga3499
    @muhammadkiyanga34992 жыл бұрын

    this is hard talk

  • @pearl3696
    @pearl36962 жыл бұрын

    Omg! Lilian come down!

  • @mwashirichard5889
    @mwashirichard5889 Жыл бұрын

    Hata mm nachangamoto Hiyo mm msabato mwanaume mlomani hpo inakuwaje

  • @bahatidan4751
    @bahatidan47512 жыл бұрын

    👌

  • @bensonjr4879
    @bensonjr4879 Жыл бұрын

    Interview ina akili Nyingiiii sanaa hiii.🙌

  • @silverman6930
    @silverman69302 жыл бұрын

    Intellectual material 🇬🇧

  • @hedaruone1779
    @hedaruone17792 жыл бұрын

    Naomba namba yako ya simu nataka kuja kanisani kwako

  • @gracesam7061
    @gracesam70612 жыл бұрын

    Mi nina swali na je mkioana mkipata mtoto au watoto wtakua upande gani

  • @jambianieyetu889
    @jambianieyetu8892 жыл бұрын

    Ww up dini na mwezio

  • @sundaymushi9640
    @sundaymushi96402 ай бұрын

    😀😀😀😀Hii lecture ya bure kabisa 😅😅😅

  • @user-zx9te2hu5e
    @user-zx9te2hu5e8 ай бұрын

    Dk nakuombea Kila siku

  • @mekumeku2484
    @mekumeku24842 жыл бұрын

    Asee nimeelewa hili somo mno

  • @barakaephraimu7503
    @barakaephraimu75032 жыл бұрын

    Kumwelewa huyu Dr unaitaj akili iliyotulia

  • @salehemayunga971
    @salehemayunga9712 жыл бұрын

    Wewe kama ni Muislam hupaswi kuolewa na huyo mpaka asilim ila kama wewe ni mkristo silim uolewe na haupaswi kuingia dini yoyote nje ya uislamu hilo hapana

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    2 жыл бұрын

    Wameeka mbele duniani na kumsahau Mungu mpaka hawajali kizazi kitakachopatikana kitakuaje???

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    2 жыл бұрын

    Kama Mungu angekuwa na Makamo basi angekuwa mzazi, kama humsikilizi mzazi kwa yale yasiyokinyume na Mungu basi Mungu hana shida na ibada yako. Mtii Mungu, Wazazi na Wenyewe mamlaka juu yako (Serikali) hapo utauona Ufalme wa Mungu.

  • @salehemayunga971

    @salehemayunga971

    2 жыл бұрын

    Mtii mwenyezimungu mtii mtume na wenye mamlaka miongoni mwenu sasa hapo unatakiwa ukasome mamlaka inayozungumzwa hapo ni ile inayo mtii Allah na Mtume wake

  • @justineemanuel127

    @justineemanuel127

    2 жыл бұрын

    Mungu hana dini isipokua kuwa msaada chanya kwa wengine unaweza kua na dini na ukawa mkatili unaweza usiwe na dini ukawa mwema vile vile.. Dini ni jia tu za kumrudia Mungua zilizowekwa na wanadamu.

  • @salehemayunga971

    @salehemayunga971

    2 жыл бұрын

    @@justineemanuel127 maneno unayoyasema unarudia yale ya wazee wenu walipopotea kuufuata ukweli nao ndiyo DINI HII YA KIISLAM ndipo wakaanza utetezi kama huo wako na mpaka leo hamjapata ukweli wa hayo mliyojishikiza nayo cha msingi tafakari vizuri utapata jibu sahihi

  • @tibambinga1303
    @tibambinga1303 Жыл бұрын

    Hakuna elimu bora duniani kama kitabu cha Quran.msomi yoyote akiongea unajua tuu, tena kwa haraka kwanba huyu anapotosha ukweli.nyie munaojiita ma Dr, professor muislam aliyesoma siyo level yenu hata kama ukamuona anayumba ukweli anaujua.

Келесі