Mungu Baba asante kunipenda kunirehemu na kunisamehe. Roho Mtakatifu unisaidie nisifanye yanayomchukiza Mungu Baba katika jina la Yesu Kristo Amina.
@jonaschediel1973 Жыл бұрын
SIJAWAH ONA PASTOR SMART KAMA HUYU, YUKO INFORMED SANA NA MAMBO YA KIROHO NA ULIMWENGU, MAHUBIRI YAKE YANANIBARIKI SANA.
@HappinessAhia-ey1lq24 күн бұрын
Kutoka USA hapa. Nakupata mbashara mtumishi wa Mungu Unanisaidia saaaana sana pastor
@dorcusamisi292610 ай бұрын
Hallelujah Hallelujah Hallelujah AMEN Utukuvu kwa yesu maana nimesaindika sana mungu akubariki sana pastor
@truth779610 ай бұрын
When you glorify God you add strength to angels and whe you murmur and complain you add strength to demons, This is a big revelation ❤
@HappinessAhia-ey1lq
24 күн бұрын
Yes it's
@janechilendu1438 Жыл бұрын
Aminà mchungaji.nashukuru sana unanitia moyo nina jeraha kubwa sana moyoni niko 🇴🇲 Oman nakupata vyema sana.natamani sana kuongea nawe binafsi kama nitapqta fursa hiyo.Mungu akubariki sana kwa kututuliza machungu ya dunia.Amina.
@ghatichacha837 Жыл бұрын
Mungu Akubariki Sana. Najiona ndani Ya Mambo Saba. Asante Yesu kwa Ajili yako Pr.Mbaga David.
@HappinessAhia-ey1lq24 күн бұрын
Asante Pastor umenifundisha kua positive ili nimfaidi Mungu.
@glorymuro75518 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu ni mara yangu ya kwanza kukusikiliza umenifunza yaani siwezi elezea hakika wewe ni chombo cha Bwana Mungu akutunze uendelee kufanya kazi yake
@Thomasomahe6 ай бұрын
Amina pst ila naomba kumbuka ndoa yangu Kwa maombi Ina migogoro mingi TU Kisha hakuna mafanikio pia nikipata pesa hazifanyi chochote hakuna plan inaefanyika mia na mikaka Niko palepale magonjwa Kwa ndoa yangu ya ajabu kila mwaka afu sitaki niende kanisani naeza Vaa niende mke wangu anajitahidi kunitayarisha lakini nikifika karibu na kanisa na toka naenda Kwa mambo mengine nisaidieni tuchumuike na familia yangu tumwombe mungu Amina 🙏
@halimaramadhani7049 Жыл бұрын
Pr Mungu akubariki sana mapito tunayopitia Mungu anakutumia kuwa faraja kwetu...
@genevieveemmanuel18049 ай бұрын
Nashukuru kupitia mafundisho yako pastor nami nimeokolewa nilikua na pepo la madeni nakopa huku nalipa huku nadaiwa kila mahali ila nilisiliza moja ya hubiri lako na leo natoa ushuhuda hii hali imekoma kabisa hakika mimi ndio nakopesha sasa jina la Yesu litukuzwe.
@lilianlima860910 ай бұрын
Halleluya to God be the glory that has given me the grace to hear these words, I have been blessed, blessings to you pastor, May our good Lord keep on using you for HIS ministry in Jesus name🙏🙏🙏
@mlishohadija69235 ай бұрын
Amen and Amen mungu akubariki ulipo mtumishi wa mungu kwa neno hili limenigusa sana naninaamini mungu ameyafuta makosa yangu in mighty name of Jesus christ 🙏🙏
@mbajawagome93610 ай бұрын
❤Aaaaaaaaamen my Pr David Mmbaga au Daudi Mmbaga
@jakee20419 ай бұрын
Ameeen. Ameeen. Pastor hizo zote 6 tuko hapo ndani kabisaa. Mungu anisamehe. Congratulations pastor.
@floragatwiri3063 Жыл бұрын
Jina la yesu lipewe sifa,pastor umenitoa mbali
@kilungumsabaha3891 Жыл бұрын
Somo la leo limenigusa sana Mwenyezi Mungu aendelee kukutunza Mchungaji unatubariki mnoo
@johnmahu5060 Жыл бұрын
Mtumish hakika Kuna jambo nilihisi nimeshindwa asnt Leo nashinda Kwa jina la yesu
@yobike96809 ай бұрын
Amina pastor.nyenye umeongea ni ya kwangu roho ya mandeni imeniandama nina watu karibu mimi wa kutuliza mandeni nisaindie kutuliza roho hii niko karibu kunyanganywa vitu za nyumbani
@user-xy6jr8ew5w7 ай бұрын
Huyu Mungu ni waajabu sana yani hili ni langu mimi leo nafunguliwa kwa jina Yesu.
@gaselochaula2692 Жыл бұрын
Amina, tunazidi kubarikiwa, ubarikiwe na Mungu aliye hai
@neemakidima2610
9 ай бұрын
Amina mpendwa Mungu ni mwema tudumu luutafuta uso wake
@dorcasrhobi8211 Жыл бұрын
Mungu atusaidie somo la leo Nilikua kunihusu mimi , asante pst
@johnmahu5060 Жыл бұрын
Hongera sana mtumish mungu akutumie unanibariki sana
@perisbosibori22498 ай бұрын
AWESOME! I've really learnt a lot from this wonderful teaching. GOD bless you abundantly Pastor, AMEN.
@florencenekesa8243 Жыл бұрын
Amen amen barikiwa sana mchungaji Kwa mafunzo mazuri sana nabarikiwa sana nikiwa huku Saudi Arabia 🙏🙏🙏
@Joycependopendo-dv2tb9 ай бұрын
Mungu akubariki pastor nimejifunza kitu
@ChristinaSanga-pl5jm9 ай бұрын
Asante nimejifunza jambo kubwa kwa nimepigwa kwenye upande wa maombi
@raelsarange638 Жыл бұрын
For sure pastor be blessed you have thought me a lot thank God for this connection yaani I used to ask alot of questions in my life since I met you mine ni kushukuru and have seen God upon my life glory be to our living God AMEN 🙏
@stephenmlelwa9210
Жыл бұрын
Hii
@donaldchacha30599 ай бұрын
Naomba Mungu anisamehe makosa yangu niliyotenda kwa kujua au kwa kutokujua
@lightsamweli82967 ай бұрын
Ubarikiw sana pastor David Mmbaga
@marcelineshanga98119 ай бұрын
Ubarikiwe..muchungaji.mungu akubariki sana.sana
@frankkalamji27459 ай бұрын
Glory to God, Neem ya Mungu ktk Kristo Yesu Izidi kwako Izidi kufanya Mapezi yake Kwa Waaminio
@user-dq3sy7yb9m9 ай бұрын
Mungu akujarie maisha marefu pastor unazidi kuwa faida kwetu kila kukicha
@tilaboymatata34118 ай бұрын
Usifiwe mungu wangu
@chugaboyfransis-qs8dj Жыл бұрын
ubarikiwe mtumishi mungu akupe maisha marefu
@mwambakibucheche11199 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana kwa neno zuri la Mungu.
@TeresaAnyona10 ай бұрын
Barikiwa sana pastor kwa mahubiri yeye baraka Mungu
@NaomiStephano-sq7lu7 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa mungu
@user-wd3yo1wr4b11 ай бұрын
May God bless you abundantly pastor, l have seen God's blessings Amen
@choralenyotayamashariki7600 Жыл бұрын
Mupakwa mafuta wa Mungu, Bwana n'a kujazieni Baraka tele , asanteni kutubariki na somo
@danielkisavi700110 ай бұрын
Amen.Nabarikiwa sana Mchungaji
@rahabmgess670011 ай бұрын
God bless you
@Rashid-qb8ey4 ай бұрын
Namuomba m/mungu anionye
@VeronicaKerubo-jq6bj9 ай бұрын
Hi pastor ni Veronica kutoka Kenya. Naomba oniombee Imani yangu imeanza kurudi jini. Mume wangu yuko Canada amerudi nyuma pia yeye haendi kanisa tena Sabato kila Mara excuses. Uniombee nilejeree hari yangu ya zamani. Asante
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Mungu akutendee muujiza wa kiroho
@lorainnelarryson3626 Жыл бұрын
Asante kwa somo zuri, ubarikiwe pastor 🙏🙏🙏
@elizabethbwire1480 Жыл бұрын
Mungu akubariki Sana mchungaji kweli hata Mimi hiyo roho ya madeni imenitesa Sana hata Sina amani katika moyo wangu nashindwa niyamalizaji lakini kwa SoMo la leo nimejifunza jinsi ya kuivunja hiyo roho ya madeni
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen
@ericngugi603 Жыл бұрын
Indeed blessed 🙌 God 🙌 bless you 🙏 pastor
@edinahmasea160310 ай бұрын
Asante sana pastor Amen Amen
@DIANAMAGEMBE-dy9um6 ай бұрын
🙏🙏 pastor
@lornakirui85449 ай бұрын
Mungu apewe sifa.
@subirajoshua75058 ай бұрын
When I heard about the eating part😂😂I lost it
@josephinesanita4904 Жыл бұрын
Mungu atukuzwe kwa makuu anayo tutendea SoMo la Leo limenigusa sana mutumishi mungu azidi kukubariki kwa kazi nzuri aliyo kupa
@joicechambua
Жыл бұрын
Asante yesu kwakutusamehe pasta Mungu akubariki
@sophiaesmarcharo9775
Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💜💜💜💜💜💜🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@assumpterbaitu772
Жыл бұрын
Kwaiyo pastor mpaka umfate uyo mtu umuombe msamaha uwez kuomba kwa Mungu pekee na ukasamehewa
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Mathayo 18:15 Na ndugu yako akikukosa, enenda ukamwonye, wewe na yeye peke yenu; akikusikia, umempata nduguyo. Moreover if thy brother shall trespass against thee, go and tell him his fault between thee and him alone: if he shall hear thee, thou hast gained thy brother.
@assumpterbaitu772
Жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga ahsante pastor sasa km na uyo ndugu na yeye alikukosea na ajakuomba msamaha
@dianamashauri3626 ай бұрын
Amina mtumishi
@rodahadhiambo3637 Жыл бұрын
Amina Kwa neno la Leo,mungu atukuzwe Kwa kukutumia kama chombo.
@frankoomyzomera9730 Жыл бұрын
Kwa Imani nimepona kupitia SoMo ili Mungu Akubaliki Sana.
@edwardjuma4727 Жыл бұрын
Amina mtumishi wa bwana tnazidi kubarikiwa
@joycerwabanu5961 Жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa MUNGU.
@happynescostat74209 ай бұрын
AMINA ubarikiwe Sana,
@ghatimunibi5958 Жыл бұрын
Barikiwa Pr kwa somo zuri
@ruthondieki856710 ай бұрын
Have been blessed alot
@julitharevelian-vc5rd Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe inanitia moyo sana
@josephmwitinjuki6801 Жыл бұрын
Mungu akubarki sna mchungaji umesaidia Sana
@omankadara641810 ай бұрын
Ubarikiwe pasita kwa mafunzo yako hakina nabalikiwa sana
@dianarobert7953 Жыл бұрын
Mungu akutunze pastor.
@rachelraphael13559 ай бұрын
AmeeenNabarikiwa sanaa Mahubiri haya
@baby16mariki48 Жыл бұрын
Amina mchungaji, karibu kwetu
@upendoloondokalembekela7748 Жыл бұрын
Ubarikiwe na Bwana, kwa neno Hai kwetu
@tilaboymatata34118 ай бұрын
Balikiwa sana mtumish
@naomingugi84519 ай бұрын
Amen and amen
@kilungumsabaha3891 Жыл бұрын
Ameeen Nabarikiwa sana kutoka Muscat
@dukesagana784810 ай бұрын
Wow... listening
@sanifukamwela7509 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana pastor
@boscorwakatela3039 Жыл бұрын
Mungu apewe sifa, muchungaji nashindwa kuomba mpaka nakosa maneno usiache kuniombea
@thomasgervas5883 Жыл бұрын
Asante Amina
@marcelineshanga98119 ай бұрын
Nitengeneze. .somo.muchungaji
@NeemaEzely-pj8cr6 ай бұрын
Amen
@olphanyamweya315410 ай бұрын
Mimi nimebarikiwa asantii sana mjungaji🙏🙏
@fidelekabila3365 Жыл бұрын
PASTA FIDÈLE KUTOKANCHI YACONGO AMÈNE BABA MUCHUNGAJI MMBAGA MAHUBIRITV TANZANIE nabarikiwa SANAA,
@marymokaya20209 ай бұрын
Aminaa
@samuelbundalla89158 ай бұрын
amen
@olphanyamweya31549 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@CatherineCharles-fn5gt11 ай бұрын
Amina sana mchungaji
@amanchengula1673 Жыл бұрын
Barikiwa Sana pasta.
@christinamaseke18493 ай бұрын
Mchungaji ubarikiwe,kwa jinsi unavyohubiri nabarikiwa sana,sifa na utukufu kwa Mungu kwa kupitia wewe anqwatoa watu gizani
@ModesterShokolo-mr6km Жыл бұрын
Mungu nite nguvu
@mshigilakarume4425 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana pasta
@samwelgidion3401 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@happinessmichael5429 Жыл бұрын
Amina ni kweli
@MercellineKadenge-un5iv Жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@maorinebarongo778911 ай бұрын
Amen Amen
@hawamusumba431 Жыл бұрын
Amen amen 🙏
@RebbecaAkinyi11 ай бұрын
God are your
@mshigilakarume4425 Жыл бұрын
Kwenye Hili la kujua eneo lako limenigusa sana, kama inaezekana pr andaa hubiri maarum kabisaaa ,maana nahic ndoo kona ya maisha yetu
@neemajohn61429 ай бұрын
Si jina mchungaji tu ww ni mwalimu mwema sna sna
@jamesmasunyiro873311 ай бұрын
Ameeen
@SteveMago-wk2hm11 ай бұрын
Ameen❤❤❤❤❤❤
@bwengemeshack1978 Жыл бұрын
Amen Gloire à Dieu
@pepchallanga3626
9 ай бұрын
sûr
@user-yd7mk3tq3v9 ай бұрын
Grory to God
@robertmwangomale Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi maana nabarikiwa sana kutoka mafundisho yako na kuhusu elimu kweli kabisa jana bunda Mara alienda mh, shulen kuzindua mradi wa maji aliwauliza wanafunzi maswali darasa la saba swali lilikuwa rais wa zanzibar anaitwa nani ,mtoto kajibu ABEDI
@upendoloondokalembekela7748
Жыл бұрын
Yawezekana mtoto uyo kajibu vizuri kwani ulitarajia ajibu kuwa ni mwinyi maana hakuuliza the current president
Пікірлер: 157
Mungu Baba asante kunipenda kunirehemu na kunisamehe. Roho Mtakatifu unisaidie nisifanye yanayomchukiza Mungu Baba katika jina la Yesu Kristo Amina.
SIJAWAH ONA PASTOR SMART KAMA HUYU, YUKO INFORMED SANA NA MAMBO YA KIROHO NA ULIMWENGU, MAHUBIRI YAKE YANANIBARIKI SANA.
Kutoka USA hapa. Nakupata mbashara mtumishi wa Mungu Unanisaidia saaaana sana pastor
Hallelujah Hallelujah Hallelujah AMEN Utukuvu kwa yesu maana nimesaindika sana mungu akubariki sana pastor
When you glorify God you add strength to angels and whe you murmur and complain you add strength to demons, This is a big revelation ❤
@HappinessAhia-ey1lq
24 күн бұрын
Yes it's
Aminà mchungaji.nashukuru sana unanitia moyo nina jeraha kubwa sana moyoni niko 🇴🇲 Oman nakupata vyema sana.natamani sana kuongea nawe binafsi kama nitapqta fursa hiyo.Mungu akubariki sana kwa kututuliza machungu ya dunia.Amina.
Mungu Akubariki Sana. Najiona ndani Ya Mambo Saba. Asante Yesu kwa Ajili yako Pr.Mbaga David.
Asante Pastor umenifundisha kua positive ili nimfaidi Mungu.
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu ni mara yangu ya kwanza kukusikiliza umenifunza yaani siwezi elezea hakika wewe ni chombo cha Bwana Mungu akutunze uendelee kufanya kazi yake
Amina pst ila naomba kumbuka ndoa yangu Kwa maombi Ina migogoro mingi TU Kisha hakuna mafanikio pia nikipata pesa hazifanyi chochote hakuna plan inaefanyika mia na mikaka Niko palepale magonjwa Kwa ndoa yangu ya ajabu kila mwaka afu sitaki niende kanisani naeza Vaa niende mke wangu anajitahidi kunitayarisha lakini nikifika karibu na kanisa na toka naenda Kwa mambo mengine nisaidieni tuchumuike na familia yangu tumwombe mungu Amina 🙏
Pr Mungu akubariki sana mapito tunayopitia Mungu anakutumia kuwa faraja kwetu...
Nashukuru kupitia mafundisho yako pastor nami nimeokolewa nilikua na pepo la madeni nakopa huku nalipa huku nadaiwa kila mahali ila nilisiliza moja ya hubiri lako na leo natoa ushuhuda hii hali imekoma kabisa hakika mimi ndio nakopesha sasa jina la Yesu litukuzwe.
Halleluya to God be the glory that has given me the grace to hear these words, I have been blessed, blessings to you pastor, May our good Lord keep on using you for HIS ministry in Jesus name🙏🙏🙏
Amen and Amen mungu akubariki ulipo mtumishi wa mungu kwa neno hili limenigusa sana naninaamini mungu ameyafuta makosa yangu in mighty name of Jesus christ 🙏🙏
❤Aaaaaaaaamen my Pr David Mmbaga au Daudi Mmbaga
Ameeen. Ameeen. Pastor hizo zote 6 tuko hapo ndani kabisaa. Mungu anisamehe. Congratulations pastor.
Jina la yesu lipewe sifa,pastor umenitoa mbali
Somo la leo limenigusa sana Mwenyezi Mungu aendelee kukutunza Mchungaji unatubariki mnoo
Mtumish hakika Kuna jambo nilihisi nimeshindwa asnt Leo nashinda Kwa jina la yesu
Amina pastor.nyenye umeongea ni ya kwangu roho ya mandeni imeniandama nina watu karibu mimi wa kutuliza mandeni nisaindie kutuliza roho hii niko karibu kunyanganywa vitu za nyumbani
Huyu Mungu ni waajabu sana yani hili ni langu mimi leo nafunguliwa kwa jina Yesu.
Amina, tunazidi kubarikiwa, ubarikiwe na Mungu aliye hai
@neemakidima2610
9 ай бұрын
Amina mpendwa Mungu ni mwema tudumu luutafuta uso wake
Mungu atusaidie somo la leo Nilikua kunihusu mimi , asante pst
Hongera sana mtumish mungu akutumie unanibariki sana
AWESOME! I've really learnt a lot from this wonderful teaching. GOD bless you abundantly Pastor, AMEN.
Amen amen barikiwa sana mchungaji Kwa mafunzo mazuri sana nabarikiwa sana nikiwa huku Saudi Arabia 🙏🙏🙏
Mungu akubariki pastor nimejifunza kitu
Asante nimejifunza jambo kubwa kwa nimepigwa kwenye upande wa maombi
For sure pastor be blessed you have thought me a lot thank God for this connection yaani I used to ask alot of questions in my life since I met you mine ni kushukuru and have seen God upon my life glory be to our living God AMEN 🙏
@stephenmlelwa9210
Жыл бұрын
Hii
Naomba Mungu anisamehe makosa yangu niliyotenda kwa kujua au kwa kutokujua
Ubarikiw sana pastor David Mmbaga
Ubarikiwe..muchungaji.mungu akubariki sana.sana
Glory to God, Neem ya Mungu ktk Kristo Yesu Izidi kwako Izidi kufanya Mapezi yake Kwa Waaminio
Mungu akujarie maisha marefu pastor unazidi kuwa faida kwetu kila kukicha
Usifiwe mungu wangu
ubarikiwe mtumishi mungu akupe maisha marefu
Amina mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana kwa neno zuri la Mungu.
Barikiwa sana pastor kwa mahubiri yeye baraka Mungu
Barikiwa mtumishi wa mungu
May God bless you abundantly pastor, l have seen God's blessings Amen
Mupakwa mafuta wa Mungu, Bwana n'a kujazieni Baraka tele , asanteni kutubariki na somo
Amen.Nabarikiwa sana Mchungaji
God bless you
Namuomba m/mungu anionye
Hi pastor ni Veronica kutoka Kenya. Naomba oniombee Imani yangu imeanza kurudi jini. Mume wangu yuko Canada amerudi nyuma pia yeye haendi kanisa tena Sabato kila Mara excuses. Uniombee nilejeree hari yangu ya zamani. Asante
@MahubiriPrMmbaga
9 ай бұрын
Mungu akutendee muujiza wa kiroho
Asante kwa somo zuri, ubarikiwe pastor 🙏🙏🙏
Mungu akubariki Sana mchungaji kweli hata Mimi hiyo roho ya madeni imenitesa Sana hata Sina amani katika moyo wangu nashindwa niyamalizaji lakini kwa SoMo la leo nimejifunza jinsi ya kuivunja hiyo roho ya madeni
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen
Indeed blessed 🙌 God 🙌 bless you 🙏 pastor
Asante sana pastor Amen Amen
🙏🙏 pastor
Mungu apewe sifa.
When I heard about the eating part😂😂I lost it
Mungu atukuzwe kwa makuu anayo tutendea SoMo la Leo limenigusa sana mutumishi mungu azidi kukubariki kwa kazi nzuri aliyo kupa
@joicechambua
Жыл бұрын
Asante yesu kwakutusamehe pasta Mungu akubariki
@sophiaesmarcharo9775
Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💜💜💜💜💜💜🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@assumpterbaitu772
Жыл бұрын
Kwaiyo pastor mpaka umfate uyo mtu umuombe msamaha uwez kuomba kwa Mungu pekee na ukasamehewa
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Mathayo 18:15 Na ndugu yako akikukosa, enenda ukamwonye, wewe na yeye peke yenu; akikusikia, umempata nduguyo. Moreover if thy brother shall trespass against thee, go and tell him his fault between thee and him alone: if he shall hear thee, thou hast gained thy brother.
@assumpterbaitu772
Жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga ahsante pastor sasa km na uyo ndugu na yeye alikukosea na ajakuomba msamaha
Amina mtumishi
Amina Kwa neno la Leo,mungu atukuzwe Kwa kukutumia kama chombo.
Kwa Imani nimepona kupitia SoMo ili Mungu Akubaliki Sana.
Amina mtumishi wa bwana tnazidi kubarikiwa
Mungu akubariki mtumishi wa MUNGU.
AMINA ubarikiwe Sana,
Barikiwa Pr kwa somo zuri
Have been blessed alot
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe inanitia moyo sana
Mungu akubarki sna mchungaji umesaidia Sana
Ubarikiwe pasita kwa mafunzo yako hakina nabalikiwa sana
Mungu akutunze pastor.
AmeeenNabarikiwa sanaa Mahubiri haya
Amina mchungaji, karibu kwetu
Ubarikiwe na Bwana, kwa neno Hai kwetu
Balikiwa sana mtumish
Amen and amen
Ameeen Nabarikiwa sana kutoka Muscat
Wow... listening
Ubarikiwe sana pastor
Mungu apewe sifa, muchungaji nashindwa kuomba mpaka nakosa maneno usiache kuniombea
Asante Amina
Nitengeneze. .somo.muchungaji
Amen
Mimi nimebarikiwa asantii sana mjungaji🙏🙏
PASTA FIDÈLE KUTOKANCHI YACONGO AMÈNE BABA MUCHUNGAJI MMBAGA MAHUBIRITV TANZANIE nabarikiwa SANAA,
Aminaa
amen
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amina sana mchungaji
Barikiwa Sana pasta.
Mchungaji ubarikiwe,kwa jinsi unavyohubiri nabarikiwa sana,sifa na utukufu kwa Mungu kwa kupitia wewe anqwatoa watu gizani
Mungu nite nguvu
Ubarikiwe sana pasta
Amen 🙏🙏🙏
Amina ni kweli
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen Amen
Amen amen 🙏
God are your
Kwenye Hili la kujua eneo lako limenigusa sana, kama inaezekana pr andaa hubiri maarum kabisaaa ,maana nahic ndoo kona ya maisha yetu
Si jina mchungaji tu ww ni mwalimu mwema sna sna
Ameeen
Ameen❤❤❤❤❤❤
Amen Gloire à Dieu
@pepchallanga3626
9 ай бұрын
sûr
Grory to God
Ubarikiwe sana mtumishi maana nabarikiwa sana kutoka mafundisho yako na kuhusu elimu kweli kabisa jana bunda Mara alienda mh, shulen kuzindua mradi wa maji aliwauliza wanafunzi maswali darasa la saba swali lilikuwa rais wa zanzibar anaitwa nani ,mtoto kajibu ABEDI
@upendoloondokalembekela7748
Жыл бұрын
Yawezekana mtoto uyo kajibu vizuri kwani ulitarajia ajibu kuwa ni mwinyi maana hakuuliza the current president